Sunday, December 1, 2013

MTUME PAULO AENDA UARABUNI BAADA YA KUOKOKA


Kufuatana na kitabu cha Wagalatia, Mtume Paulo baada ya kuokoka alikwenda Uarabuni. Hebu tuisome Biblia kwa ushaidi yakinifu:

Wagalatia1: 17wala sikupanda kwenda Yerusalemu kwa hao waliokuwa mitume kabla 
yangu, bali nilikwenda mara moja Arabuni na kisha nikarudi Dameski.

Kwanini Mtume Paulo alikwenda Urabauni baada ya kuokoka?

Mtume Paulo alikwenda kufanya nini Uarabuni?

Ndugu Wasomaji, Ukumbi ni wenu kujadili.

Max Shimba Ministries

No comments:

Why I Left Islam for Christianity: The Transformational Journey of Abou Hamza Hussain

  **Why I Left Islam for Christianity: The Transformational Journey of Abou Hamza Hussain**   My name is Abou Hamza Hussain. I was born in K...

TRENDING NOW