Saturday, April 26, 2014

JAMANI EEEE ALLAH AMEFIRISIKA SASA ANANUNUA WATU?

KUMBE ALLAH NI MFANYA BIASHARA..............

Suratut Tawba 111. Hakika Mwenyezi Mungu amenunua kwa Waumini nafsi zao na mali zao kwa kuwa wao watapata Pepo. Wanapigana katika Njia ya Mwenyezi Mungu - wanauwa na wanauwawa. Hii ni ahadi aliyo jilazimisha kwa Haki katika Taurati na Injili na Qur'ani. Na nani atimizae ahadi kuliko Mwenyezi Mungu? Basi furahini kwa biashara yenu mliyo fanya naye. Na huko ndiko kufuzu kukubwa

UKIONA ALLAH ANANUNUA WATU, BASI ELEWA KUWA YESU ANABATIZA KWA MALUNDO.

Hakika hakuna Mbingu wataingia watu walio nunuliwa na Allah.

No comments:

Mohammad’s Myths vs. Biblical and Scientific Reality: A Scholarly Debate on Laughter, Heart, and Divine Truth

By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute Introduction In evaluating the truth-claims of any religion, the alignment between i...

TRENDING NOW