Saturday, February 14, 2015

MUHAMMAD AKIRI KUCHEZEWA NA SHETANI

1. Mtume Muhammad asema, Yesu hakuwai chezewa na Shetani.
2. Muhammad akiri kuwa, Waislam wote wanachezewa na kupulizwa matakoni na Shetani.
3. Muhamamd akiri kuwa Uislam ni Bandia.

Hebu tuanze kwa ushahidi kuhusu Yesu ambaye hakuchezewa na Shetani.
Hadith ya Bhukari Mwaminifu 4:506 kama ilivyo letwa kwenu na Abu Huraira:
Mtume Muhammad alisema, Binadamu yeyote yule anapo zaliwa, Shetani humgusa sehemu zote mbili za mwili wake kwa vidole viwili, ISIPO KUWA Yesu Mwana wa Mariamu ambaye Shetani alishindwa kumgusa na wala kumsogolea.

HADITHI nyinge ya Mkweli Mwaminifu Bhukar 4: 642, kama ilivyo letwa kwenu na Said bin Al-Musaiyab:

Abu Huraira alisema, "nilimsikia Nabii wa Allah akisema, Hakuna kiumbe ambaye hakuguswa na Shetani, ndio maana mtoto hulia kwa sauti kubwa wakati wa kuzaliwa kwasababu Shetani anakuwa amemgusa, ISIPOKUWA Mariyam na Mwanae Yesu, wao hawakuguswa na Shetani. Kisha Abu Huraira akasema : " Na najikinga na Wewe kwa ajili yake na kwa ajili ya watoto wake kutoka kiwa Shetani" ( 3.36 )

Ndugu zanguni, Muhammad leo amekiri kuwa, YESU hakuwai kuguswa na Shetani lakini yeye na Waislam wote wameguswa na kuchezewa na Shetani.
Kasema Mtume (s.a.w) “Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala, basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi yule mtu inamwijia fikiria ya kuwa umemtoka upepo (kajamba) nae haukumtoka, basi akiona hali hiyo asiondoke kwenye sala mpaka asikie sauti ya kumtoka huo upepo au anuse harufu yake”. (KITABU CHA MKWELI MWAMIU, JUZUU YA 1 -2 HADITHI NA. 74, UK 42)

Muhammad anasema: Shetani anaingia msikitni na kuwachezea Waislam kama ushahidi unavyo sema hapo juu.

Kwanini mfuate dini ambayo inaongozwa na MASHETANI Msikitini?
Kwanini Shetani ana mamlaka ya kuwapuliza Waislam matako yao?
Hakika Uislam ni dini bandia.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW