Friday, June 26, 2015

MTUME MUHAMMAD KASEMA MADHEHEBU YOTE YA KIISLAM YATAINGIA MOTONI


1. Muhammad kashindwa kuwahakikishia Waislam Akhera
2. Muhammad akiri kuwa Uislam una Madhehebu
3. Muhammad ashindwa kutuambia ni dhehebu lipi ambalo Allah aliliteremsha.
4. Allah nayeye asema Waislam wote wataingia Jehannam.

Ndugu zanguni,

Leo ningependa kuwaambia kuwa, Muhammad ambaye ni Mtume wa Allah amekiri meble ya kadamnasi kuwa Madhehebu yote yataingia Motoni isipokuwa moja tu. Muhammad hakusema kuwa Waislam hawataingia motoni, bali leo hii ameweka msumari wa mwisho katika jeneza kuwa Waislam wote wataingia Jehannam.

"Wamegawanyika Mayahudi katika mapote 71, wakagawanyika Wakristo
katika mapote 72 na Ummah wangu utagawanyika mapote 73. Yote hayo
yataingia motoni ila moja tu)) [Ahmad, Abu Daawuud, atTirmidhiy
na ad-Daarimiy]

Kama ushahid unavyo sema hapo juu kuwa Madhehebu yote yataingia Motoni, sasa, ni dhehebu lipi hilo ambalo halita ingia motoni?

Endele kusoma

MUHAMMAD(SAW) AKIRI KUWA YEYE NI MTUME BANDIA NA HAJUI ATAFANYWA NINI BAADA YA KIFO
Surat Al Ah'qaaf 9. Sema: Mimi si kiroja miongoni mwa Mitume. Wala sijui nitakavyo fanywa wala nyinyi. Mimi nafuata niliyo funuliwa tu kwa Wahyi, wala mimi si chochote ila ni mwonyaji mwenye kudhihirisha wazi.
Jamani leo tumepata ushaidi kutoka Muhammad kuwa Yeye sisi chochote na Uislam sio mali kitu.

Poleni sana wafuasi wa mtume kiroja kama alivyo dai mwenyewe na kukiri kuwa yeye hajui atafanywa nini baada ya kifo. Kumbe ndio maana kasema kwenye hadith hapo juu kuwa madheheb yote yataingia Motoni. Kumbe Muhammad ataingia Motoni. Kumbe Waislam wataingia Motoni.

Endelea kusoma

ALLAH ANASEMA KATIKA KORAN KUWA WAISLAM WOTE WATAINGIA JEHANNAM



Quran 40: 60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike.

Mungu wa Waislam ajulikanaye kwa Jina la Allah amesema kiuwazi kabisa kuwa “wale wote ambao wanajivunia Uislam na kumuabudu Allah wataingia Motoni” Kumbe ndio maana Muhammad alikiri kuwa madhehebu yote yataingia Motoni isipokuwa moja.

Ndugu zanguni, hii mada imekamilika na haina shaka ndani yake na imenyooka. Hakuna wakubisha hapa kuwa Allah kesha weka nayeye msumari wa mwisho kuwa Waislam wote pamoja na Muhammad wataingia Motoni/Jehannam.

Endelea kusoma,

ALLAH ANAINGIA JEHANNAMAbu Huraira anasimulia kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.):

“Pepo na Jahannam zilikuwa na mzozo, kila kimoja kikijaribu kuonyesha ule ubora wake juu ya kingine.” Basi Jahannam ikazungumza: “Mimi nimependelewa kwa kuwepo kwa wale watu wenye kiburi na nguvu ndani yangu.” Pepo ikajibu: “Mimi sijui ni kwa nini hakuna mtu isipokuwa wale dhaifu na wanyenyekevu ndio walioingizwa ndani yangu!”

Hivyo Mwenyezi Mungu akaiambia Pepo:

“Wewe ndiye Msamaha Wangu, na kupitia kwako ninatoa msamaha kwa yeyote kati ya waja Wangu.”

Halafu Yeye akazungumza na Jahannam:

“Wewe ndio ghadhabu Yangu, na kupitia kwako wewe ninamuadhibu yeyote nitakaye kumuadhibu. Kila mmoja wenu atajaa.”

“Bali Jahannam haitajaa, hivyo Mwenyezi Mungu ataingiza mguu Wake ndani yake.”

Kisha Jahannam itagutia:

“Tosha! Inatosha!”

Endele kusoma,

YESU ANASEMA KUWA YEYE NDIE NJIA KWELI NA UZIMAYohana 14: 6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.

Ndugu zanguni, mwamini Yesu ili uwe na uzima wa milele. Yesu anakupenda. Yesu Ndie Njia Pekee. Yesu Ndie Uzima. Dini haita kupeleka kwa Baba aliye Mbinguni, lakini Yesu anasema Yeye NDIE NJIA.

Mungu awabariki sana,

Katika Huduma Yake,

Max Shimba Ministries Org.

MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED

Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW