Friday, May 6, 2016

MUHAMMAD APASULIWA NA KUTOLEWA SHETANI


Huu ni msiba mkubwa sana kwa Waislam.
Katika vitabu vya hadithi na vya siira yaani Maisha ya Muhammad, tunasoma: Mtume Muhammad alipasuliwa (akatolewa fungu la shetani) mara nne. Mara ya kwanza, Muhammad akiwa katika umri wa miaka mitatu. Mara ya pili, akiwa katika umri wa miaka kumi. Mara ya tatu, akiwa katika umri wa miaka arobaini. Mara ya nne pale alipoandaliwa kupelekwa Israa, akiwa katika umri wa miaka arobaini na tatu.
Naomba kunukuu
Imepokewa kutoka kwa Anas bin Malik kuwa "Mtume s.a.w alikuwa akicheza pamoja na watoto, mara akafikiwa na Malaika Jibril (a.s) ndipo alipomchukua na akamtupa chini, kisha akapasua kwenye moyo wake, mara akautoa moyo, tena akatoa humo pande la damu akasema: Hili ni fungu la shetani (nimelitoa) kutoka kwako! kisha akaukosha (moyo wake) katika chombo cha dhahabu chenye maji ya Zamzam, kisha akaufunga na akaurejesha mahali pake.
Swali la kujiuliza, hili fungu la Shetani liliingiaje kwenye moyo wa Muhammad?
Swali la pili: Hivi tokea lini Shetani anatoka kwa kuoshwa kwa maji?
Taz: Sahih Muslim J.l Uk. 147 713.
Ujumbe tunaoupata kutokana na hadith hii ni: Malaika Jibril alimfanyia upasuaji Mtume ili atoe fungu la shetani lilikuamo ndani ya moyo wa Muhammad.
Kwa hiyo, kabla ya upasuaji huu, Mtume Muhammad alikuwa na shetani ndani yake, lakini cha ajabu Anasema Abu Huraira: amesema Mtume kuwa: "Kila mwanadamu anapozaliwa, shetani huingia katika mbavu zake kwa vidole vyake, isipokuwa Isa bin Mariam, alikwenda kumwingia, lakini akakuta pazia."..... Sasa mbona basi msije kwa Yesu amabaye hakuwai guswa na Shetani tokea kuzaliwa kwake?
Kwanini Muhammad aliingiwa na Shetani?
Natanguliza pole kwa Waislam ambao wao wanamsafisha Shetani na maji kama vile Shetani anamwili au ni uchafu fulani.
Hakika hakuna Allah sio Mungu bali ni kiumbe cha ajabu ajabu kinacho sema kuwa, eti Shetani anasafishwa na maji ya Zamzam.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
May 6, 2016

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW