Saturday, December 17, 2016

ZAIDI YA WAISLAM 1200 WA MASHARIKI YA KATI KUBATIZWA BAADA YA KUMPOKEA YESU NA KUWA WAKRISTO

Image may contain: 5 people, people standing, wedding, outdoor and water
Zaidi ya Wislam 1200 ambao wamempokea na kumwamini Yesu kama Bwana na Mwokozi wao katika nchi kadhaa za Mashariki ya Kati wakubali kubatizwa.
Waislam hao ambao sasa ni Wakristo, wamemuomba Mchungaji wa "Bibles for Mideast" awafanayie ubatizo haraka iwezekanavyo.
Kikundi cha Injili cha Biblia kwa Mshariki ya kati (http://bibles4mideast.com) wapo katika kuomba na kufunga ili kupata mwongozo kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
Wakati huo huo, Magaidi wa Kiislam na serikali za Kiislam wanapinga tukio hilo la kuwabatiza Waislam ambao sasa wamesha okoka na kumpokea Yesu.

No comments:

Mohammad’s Myths vs. Biblical and Scientific Reality: A Scholarly Debate on Laughter, Heart, and Divine Truth

By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute Introduction In evaluating the truth-claims of any religion, the alignment between i...

TRENDING NOW