Saturday, December 17, 2016

QURAN ZAIDI YA ELFU TANO ZACHOMWA MOTO IRAQ.

No automatic alt text available.
Habari mbaya kwa wafuasi wa Muhammad ambao wanasema kuwa Quran haichomeki walipigwa na butwaa baada ya kuona nakala zaidi ya elfu 5 za Quran zikiteketea kwa moto na kuwa masizi.
Suleiman al-Kubaisi alisema kuwa nakala hizo zilichomwa moto kwenye mpaka wa Alwaleed port ulipo Iraq na Syria.
Gazeti la Raialyoum "http://www.raialyoum.com" lilisema kuwa, nakala zingine zaidi ya 1280 zilitupwa jalalani.
Wataalam wa dini nchini Iraq wameanza kutabiri kuwa labda Uislam unakaribia mwisho wake.

No comments:

Mohammad’s Myths vs. Biblical and Scientific Reality: A Scholarly Debate on Laughter, Heart, and Divine Truth

By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute Introduction In evaluating the truth-claims of any religion, the alignment between i...

TRENDING NOW