![No automatic alt text available.](https://scontent-ord1-1.xx.fbcdn.net/v/t1.0-9/15492427_708402202642718_8633204774281813284_n.jpg?oh=d02d807ddac9800d669ef55135b12344&oe=58ED14C3)
Habari mbaya kwa wafuasi wa Muhammad ambao wanasema kuwa Quran haichomeki walipigwa na butwaa baada ya kuona nakala zaidi ya elfu 5 za Quran zikiteketea kwa moto na kuwa masizi.
Suleiman al-Kubaisi alisema kuwa nakala hizo zilichomwa moto kwenye mpaka wa Alwaleed port ulipo Iraq na Syria.
Gazeti la Raialyoum "http://www.raialyoum.com" lilisema kuwa, nakala zingine zaidi ya 1280 zilitupwa jalalani.
Wataalam wa dini nchini Iraq wameanza kutabiri kuwa labda Uislam unakaribia mwisho wake.
No comments:
Post a Comment