Monday, August 3, 2015

MWANAMKE WA KIISLAM HANA HAKI MBELE YA MUMEWE

Leo nitawapa hadith kadhaa kuhusu Wanawake wa Kiislam na jinsi wanavyo onewa na Mtume Muhammad.

NGONO NI LAZIMA HATA KAMA MWANAMKE ANAUMWAKutoka kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ‘anhu) kwamba Mjumbe wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Mume atakapomwita mkewe kwenye kitanda chake [kwa tendo la ndoa] na yule mke akakataa kumuitika, Malaika humlaani mpaka kupambazuke”[Imepokelewa na Al-Bukhaariy, kitabu cha Nikaah, mlango wa atakapolala mwanamke hali ya kuwa amekihama kitanda cha mumewe. Hadiyth namba 4821 na namba 4822; Muslim, kitabu cha Nikaah, mlango uharamu wa mwanamke kujizuilia [kujitenga] na kitanda cha mumewe, Hadiyth namba 2602 na Hadiyth namba 2603 na 2604.]

MWANAMKE KABLA YA KUFUNGA LAZIMA APEWE RUHUSA NA MUMEWE. HUU NI MSIBAImepokelewa kutoka kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ‘anhu) kwamba Mjumbe wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Asifunge mwanamke [Swawm ya Sunnah] na huku mumewe yuko pamoja nae isipokuwa kwa idhini yake huyo mume na wala asimruhusu mtu katika nyumba ikiwa mumewe yuko isipokuwa kwa idhini yake huyo mume” [Imepokelewa na Al-Bukhaariy, kitabu cha Nikaah, mlango wa Swamw ya Sunnah ya mwanamke kwa idhini ya mumewe, Hadiyth namba 4820; na katika Kitabu cha Tafsiri Qur aan, Suuratul Qul A’uwdhu birabbil Falaq, Hadiyth namba 4823; na Muslim, katika Kitabu cha Zakaah, mlango wa atachotoa mtumishi katika mali ya tajiri wake, Hadiyth namba 1710].

MWANAMKE WA KIISLAM HARUHUSIWI KUSAIDIA NDUGU ZAKEImepokelewa kutoka kwa Abu Umaamah (Radhiya Allaahu ‘anhu) kwamba Mjumbe wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Asitoe mwanamke kitu chochote kutoka katika nyumba ya mumewe isipokuwa kwa idhini ya mumewe.” [Imepokelewa na Al-Bukhaariy, kitabu cha Nikaah, mlango wa Swawm ya Sunnah ya mwanamke kwa idhini ya mumewe, Hadiyth namba 4823; na Muslim, katika Kitabu cha Zakaah, mlango wa atachotoa mtumishi katika mali ya tajiri wake, Hadiyth namba 1710].

MWANAMKE WA KIISLAM KAZI YAKE NI KUMFURAISHA MUMEWE NA NGONO TU.Kutoka kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allahu ‘anhu) amesema kwamba aliulizwa Mjumbe wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) wanawake gani bora? Mjumbe wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akisema: “Ambae humfurahisha [humpendezesha]anapomtazama, na humtii anapomwamrisha, mke humhifadhi katika nafsi yake na mali ya mumewe” [Imepokelewa na Ahmad, katika Musnad ya Kumi waliobashiriwa Jannah, Musnad waliobakia katika Mukthiriyna katika Swahaabah (Radhiya Allahu ‘anhum), Musnad Abi Hurayrah (Radhiya Allahu ‘anhu), Hadiyth namba 7245 na 9377 na 9445].

MWANAMKE WA KIISLAM HARUHUSIWI KUOMBA TALAKAKatazo La Kudai Talaka Bila Ya Sababu Inayokubalika
Ndoa ni katika mambo Aliyoyaamrishwa Allaah na kuyahimizaMjumbe wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam), ndoa ni mafungamano ya kishari’ah baina ya mwanamme na mwanamke yenye mipaka, nidhamu, vidhibiti na kanuni maalumu; na inaathiri mengi; ima kujenga na kusimamisha familia ya Kiislamu yenye kuongozwa na kuongoka kwa uongofu wa Qur-aan na Sunnah za Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na kuwa miongoni mwa tofali la kuijenga jamiirabbaaniy [yenye kumuabudu Allaah pekee Mola wa viumbe vyote na yenye kufundisha Kitabu, kukisoma na kukifuata]; na ima kuvunja na kubomoa familia kwa kuivuruga vuruga na kuisambaratisha na kusababisha athari mbaya kwa jamii na watoto kwa kuachana kwa mume na mke.

Na katika yaliyokatazwa ambayo yameenea na kuzagaa kwa wenye kupenda dunia na kuiweka kando Aakhirah ni kwa mwanamke kumtaka au kumghilibu mumewe; iwe kwa kumhadaa au vinginevyo kwa kumshurutisha amuache mkewe ili apate kuolewa yeye au abakie yeye pekee yake [kama ni mke mwenza] hili limekatazwa kama ilivyothibiti katika Hadiythi kuwa Mjumbe wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Mwanamke asitake (katika Riwayah: Si halali kwa mwanamke kudai kuachwa ukhti wake [mwanamke mwenzake] ili aichukue nafasi yake na kuolewa yeye; kwani hatopata isipokuwa yale aliyoandikiwa.” [Imepokelewa na Al-Bukhaariy, kitabu cha tafsiyr ya Qur-aan, Surat Qul A’uwdhu Birabbil Falaq, Hadiyth namba 6141 na 4782; na Muslim, katika Kitabu cha ndoa, mlango wa Uharamu wa kuwakusanya mwanamke na Shangazi yake, Hadiyth namba 2527; na Abu Daawuud, katika Kitabu cha atw-Twalaaq, mlango katika mwanamke anamtaka mumewe talaka ya mke wake, Hadiyth namba1865].
Max Shimba Ministries Org

YESU ANAOKOA**JESUS SAVES

Sala ya Toba
Inawezekana kabisa ya kuwa wewe unayesoma ujumbe huu hujaokoka - yaani hujampokea Yesu Kristo ndani ya moyo wako kama Bwana na Mwokozi wako. Lakini sasa umeona umuhimu wa kumpokea Yesu Kristo katika maisha yako.
Naamini Roho Mtakatifu ameweka fursa hii mikononi mwako kwa mpango maalum wa Mungu ili ufike mahali pa kutubu na kuokoka. Inawezekana kabisa, pia ya kuwa hujawahi kuambiwa juu ya umuhimu wa wewe kuokoka. Lakini napenda kukuambia ya kuwa ni mpango wa Mungu uokoke. Soma Wakolosai 1:13,14 na Yohana 1:12-14 na 1 Timotheo 2:3-6 na Warumi 1:16,17 na Yohana 3:7. Ni vigumu kuona baraka za Damu ya Yesu bila ya kuokoka.
Kwa hiyo kama unataka kuokoka - tafuta mahali palipo na utulivu, na usome kwa sauti sala ifuatayo: (ukiweza unaweza kupiga magoti unapoomba sala hii)
“Ee Mungu wangu ulie Mtakatifu. Ninakuja mbele zako. Mimi ni mwenye dhambi. Naomba unisamehe dhambi zangu zote nilizokukosea katika maisha yangu. Ninatubu kweli. Naomba damu ya Yesu Kristo iliyomwagika msalabani kwa ajili yangu initakase sasa katika roho yangu na nafsi yangu na mwili wangu.
Nimefungua moyo wangu. Bwana Yesu Kristo nakukaribisha ndani yangu. Ingia kwa uwezo wa Roho wako – uwe Bwana na Mwokozi wangu kuanzia sasa na siku zote. Ahsante kwa kunisamehe na kwa kuniokoa. Nimejitoa kwako nikutumikie katika siku zote za maisha yangu. Shetani hana mamlaka tena juu yangu katika jina la Yesu Kristo. Amina.
Ikiwa umesoma sala hii kwa kukusudia kabisa na kwa imani, basi wewe umeokoka na dhambi zako zimesamehewa na kusahauliwa na Mungu sawasawa na alivyoandika katika neno lake. Damu ya Yesu iko juu yako sasa.
Baada ya kuokoka
Unapoanza maisha haya mapya katika Yesu Kristo nakushauri mambo yafuatayo:
1.Zungumza na Mungu kwa maombi kila siku (Yohana 15:7)
2. Soma Neno la Mungu (Biblia) kila siku (Matendo ya Mitume 17:11)
3.Mruhusu Roho Mtakatifu akutawale (Wagalatia 5:16-25; Warumi 8:14-17)
4.Umtumaini Mungu kwa kila jambo katika maisha yako (1Petro 5:7; Zekaria 4:6)
5.Usiache kukusanyika na kushirikiana na wengine waliompokea Yesu Kristo kuwa Mwokozi wao kama wewe ili uimarike zaidi (Waebrania 10:25)
Ukipenda unaweza kuniandikia kwa anwani hii hapa chini juu ya uamuzi uliofikia leo wa kuokoka, ili tumshukuru Mungu pamoja, na tuzidi kukuombea; na pia, tukutumie maandiko mengine ya kukusaidia:

KUTEKWA NYARA!! USHUHUDA WA KUSISIMUA

“Nilikamatwa na kuteswa na polisi wa Misri kwa kuhoji imani yangu katika Uislamu” 
Na Mark Gabriel

Ilikuwa saa 9 kamili alfajiri wakati baba yangu aliposikia mlango wa nyumba yetu ukigongwa. Wakati alipofungua mlango, watu 15 hadi 20 waliingia kwa haraka ndani wakiwa wamebeba silaha za Urusi Kalashnikov za uvamizi. Walikimbilia ghorofani wakipitapita kila mahali katika nyumba wakiwaamsha watu na kunitafuta mimi. Walikuwa wametapakaa kila mahali mle ndani kabla mmoja wao hajanikuta nimelala kitandani mwangu. Wazazi wangu, kaka zangu na wenzi wao na watoto walikuwa wameamka, wakilia na kuhofia sana wakati hao watu waliponiburuza na kuondoka na mimi. Kila mtu wa eneo lile alisikia habari za vurumai hizo. Nilipelekwa mahali palipoonekana kama jela na nikawekwa rumande. Asubuhi yake wazazi wangu kwa hasira na majonzi walijaribu kutafuta kwamba nini kilichonitokea. Moja kwa moja walienda kituo cha polisi na kudai “mtoto wetu yuko wapi? Lakini hakuna yeyote aliyejua lolote juu yangu. Nilikuwa katika mikono ya polisi wa siri wa Misri.

Matukio Yaliyosababisha Kukamatwa Kwangu Miaka kumi na tano iliyopita nilikuwa Imamu wa msikiti katika jiji la Giza, Misri, mahali ambapo yale mapiramidi maarufu ya Misri yamepangwa. (Imam wa msikiti ni wadhifa unaofanana na mchungaji wa kanisa la Kikristo) Nilihubiri ujumbe wa wiki siku za ijumaa kuanzia saa 6 hadi 7 mchana, ikiwa ni pamoja na kufanya wajibu zinginezo zilizonihusu.
Ijumaa moja ujumbe wangu wa wiki ulikuwa Jihad. Niliwaambia watu 250 waliokuwa wamekaa uwanjani mbele yangu Jihad katika uislamu inatetea taifa la Kiislam na Uislam dhidi ya mashambulizi ya maadui. Uislam ni dini ya amani na itapigana na yule anayepigana nayo tu. Hawa makafiri, wamataifa, wapotoshaji, Wakristo na wanaomhuzunisha Allah, Wayahudi, mbali ya wivu wa Uislam wa amani na Mtume wake; walieneza uongo kwamba Uislam ulienezwa kwa upanga na kwa nguvu kali sana zenye vurugu. Makafiri na washitaki wa Uislam hawayakubali maneno ya Allah.

Katika hatua hii nilinukuu kutoka katika Koran “wala usimuue yeyote ambaye uuaji kwa Allah umekatazwa ila kwa sababu ya haki” (Surah 17:33 Koran Tukufu). Nilipozungumza maneno haya ndio kwanza nilikuwa nimetoka kuhitimu Chuo Kikuu cha Al-Azhar cha Kairo Misri. Chuo Kikuu cha zamani na chenye fahari zaidi cha Kiislam duniani. Kinafanya kazi kama mamlaka ya kiroho ulimwenguni mwote. Nilikuwa nafundisha katika Chuo Kikuu na nilikuwa Imam siku za mwisho wa juma katika msikiti huu. Nilikuwa nakihubiri kile walichonifundisha, lakini kwa ndani nilihitaji kuyaweka mawazo yangu kwenye nafsi yangu. Hata hivyo, nilijua kile kinachowapata watu waliohitilafiana na agenda za Al-Azhar. Watafukuzwa na wasingeruhusiwa kufundisha Chuo Kikuu kingine chochote katika Taifa hilo.

Nilifahamu kwamba nilichokuwa nakifundisha pale msikitini na katika Al-Azhar hakikuwa kile nilichokiona katika Koran, ambayo nilikuwa nimeikariri yote nikiwa na umri wa miaka 12. Kilichonichanganya zaidi ni kwamba niliambiwa nihubiri kuhusu Uislam wa upendo, wema na msamaha. Wakati huo huo wale waumini wakereketwa; wale ambao ndio waliotarajiwa kuishi kwa kutenda Uislam kamili; walikuwa wakiyapiga mabomu Makanisa na kuua Wakristo. Kwa wakati huohuo vuguvugu la jihad lilikuwa limepamba moto ndani ya Misri. Matukio ya mashambulizi na kupigwa mabomu, dhidi ya Wakristo yalikuwa ya kawaida sana. Ilikuwa ni sehemu ya maisha ya kila siku.

Kuutafuta UkweliWakati mwingi nilijaribu kutazama kimantiki aina ya Uislam niliokuwa naufanya kwa kujiambia nafsi yangu “Sawa, hauko mbali sana na ukweli. Kwanza kuna mstari katika Koran kuhusu upendo, amani, msamaha na huruma. Unachotakiwa tu ni kutojali kipengele kinachohusu jihad na cha kuua wasiokuwa Waislam.” Nilipitia kila tafsiri ya koran nikijaribu kukwepa Jihad na kuua wasio Waislamu, bado niliendelea kugundua utekelezaji wa hayo ukiungwa mkono. Wanazuoni walikubali kwamba Waislam lazima wakazie Jihad kwa makafiri (wale wanaoukataa Uislam na waasi wale wanaoucha Uislam). Bado Jihad haikuwa na maelewano na mistari iliyozungumzia kuishi kwa amani na wengine. Mikanganyo yote katika Koran ilikuwa kweli inasababisha matatizo kwa imani yangu. Nilitumia miaka 4 kusomea Digrii yangu ya kwanza, nilihitimu nikiwa wa pili kati ya wanafunzi elfu sita. Halafu kulikuwa na miaka mingine 4 kwa ajili ya Digrii yangu ya pili na mitatu zaidi kwa ajili ya Ph.D (udaktari wa falsafa) yote nikisomea Uislam.

Ninafahamu mafundisho vizuri katika sehemu moja pombe imekatazwa; katika sehemu nyingine imeruhusiwa (linganisha Surah 5:90-91 na Surah 47:15). Katika sehemu moja Koran inasema Wakristo ni watu wema ambao wanampenda na kumwabudu Mungu mmoja, kwahiyo mnaweza kuwa marafiki nao (Surah 2:62,3:113-114). Halafu unakuta mstari mwingine unaosema Wakristo lazima waslim, walipe kodi la sivyo wauwawe kwa upanga (Surah 9:29) Wanazuoni wanasuluhisho la kitheolojia kwa matatizo haya, lakini nashangaa ni jinsi gani Allah, mwenye enzi na mwenye nguvu sana, awe aidha amejichanganya mwenyewe namna hii kubwa au anabadili nia yake kwa kiasi kikubwa namna hii, hata nabii wa Kiislam Mohammed, aliitekeleza imani yake katika njia ambazo zinapingana na Koran. Koran inasema Mohammed alitumwa ili kuonyesha rehema za Mungu kwa ulimwengu. Lakini alikuja kuwa dikteta wa kivita, akishambulia, kuua na kuchukua mali na kupora ili kufadhili himaya yake. Iweje hivyo iwe ni kuonyesha rehema?

Allah, Mungu aliyefunuliwa katika Koran, sio Baba wa Upendo. Inasema kwamba anatamani kuwaongoza watu upotevuni (Surah 6:39,126). Hawasaidii wale walioongozwa nae upotevuni (Surah 30:29) na anatamani kuwatumia kujaza watu kuzimu (Surah 32:13). Uislamu umejaa ubaguzi dhidi ya wanawake, dhidi ya wasio Waislam, dhidi ya Wakristo na zaidi hasahasa dhidi ya Wayahudi.

Chuki imejengwa katika dini. Historia ya Uislam ambayo ilikuwa ndio eneo langu nililobobea hasa, ingeweza ikaainishwa kama mto wa damu. Mwishoni nilifikia mahali ambapo nilikuwa nahoji imani na Koran pamoja na wanafunzi wangu katika Chuo Kikuu. Baadhi yao walikuwa wanachama wa vuguvugu la ugaidi na walighadhibika. “Huwezi kuushutumu Uislam. Ninini kimetokea? Unatakiwa utufundishe. Unatakiwa kukubaliana na Uislam”. Chuo Kikuu kikasikia kuhusu hilo, na niliitwa kwa ajili ya mkutano Desemba 1991. Kufupisha mkutano, nikawaambia kilichokuwepo moyoni mwangu. Siwezi tena kusema kwamba Koran imekuja moja kwa moja toka mbinguni au toka kwa Allah. Huu hauwezi kuwa ufunuo wa Mungu wa kweli. Haya yalikuwa maneno ya kufuru kubwa katika mtazamo wao. Wakanitemea mate usoni, mtu mmoja akanitukana “wewe mkufuru! mbegu haramu!” Chuo Kikuu kikanifukuza na kuita kikosi cha polisi wa siri wa Misri.

Gereza la Misri

Sunday, August 2, 2015

Mohammed foretold destination - Hell

The greatest difference between Allah and Elohim is that Allah promised hell fire and torture for his follower while Elohim promised heaven and eternal life for his followers!  Mohammed could portrait and visualize it while he was in this world as we read in this Hadith:

Volume 1, Book 12, Number 770:
Narrated Abu Huraira:
The people said, "O Allah's Apostle! Shall we see our Lord on the Day of Resurrection?" He replied, "Do you have any doubt in seeing the full moon on a clear (not cloudy) night?" They replied, "No, O Allah's Apostle!" He said, "Do you have any doubt in seeing the sun when there are no clouds?" They replied in the negative. He said, "You will see Allah (your Lord) in the same way. On the Day of Resurrection, people will be gathered and He will order the people to follow what they used to worship. So some of them will follow the sun, some will follow the moon, and some will follow other deities; and only this nation (Muslims) will be left with its hypocrites. Allah will come to them and say, 'I am Your Lord.' They will say, 'We shall stay in this place till our Lord comes to us and when our Lord will come, we will recognize Him. Then Allah will come to them again and say, 'I am your Lord.' They will say, 'You are our Lord.' Allah will call them, and As-Sirat (a bridge) will be laid across Hell and I (Muhammad) shall be the first amongst the Apostles to cross it with my followers. Nobody except the Apostles will then be able to speak and they will be saying then, 'O Allah! Save us. O Allah Save us.'

There will be hooks like the thorns of Sa'dan in Hell. Have you seen the thorns of Sa'dan?" The people said, "Yes." He said, "These hooks will be like the thorns of Sa'dan but nobody except Allah knows their greatness in size and these will entangle the people according to their deeds; some of them will fall and stay in Hell forever; others will receive punishment (torn into small pieces) and will get out of Hell, till when Allah intends mercy on whomever He likes amongst the people of Hell, He will order the angels to take out of Hell those who worshipped none but Him alone.  The angels will take them out by recognizing them from the traces of prostrations, for Allah has forbidden the (Hell) fire to eat away those traces. So they will come out of the Fire, it will eat away from the whole of the human body except the marks of the prostrations. At that time they will come out of the Fire as mere skeletons. The Water of Life will be poured on them and as a result they will grow like the seeds growing on the bank of flowing water......

Let us analyze this Hadith and see what does it say?
This Hadith says that Mohammed is not in heaven right now but he is waiting for the 'Day of Judgment' to go into heaven and he will be the first to cross the bridge to go to heaven as we read this, "Then Allah will come to them again and say, 'I am your Lord.' They will say, 'You are our Lord.' Allah will call them, and As-Sirat (a bridge) will be laid across Hell and I (Muhammad) shall be the first amongst the Apostles to cross it with my followers. Nobody except the Apostles will then be able to speak and they will be saying then, 'O Allah! Save us. O Allah Save us.' "

ALLAH SIO MUNGU (SEHEMU YA NNE)

SABABU 12 ALLAH SIO MUNGU
Leo nitawapa Sababu 12 kwanini allah sio mungu.

1. ALLAH NI MUNGU ASIYE NA JINA KAMILIQr. 17 au surat Bani Israil 110 (Wana wa Israil)
Sema; muombeni (Mwenyenzi Mungu) kwa (jina la) Allah au muombeni (kwa jina la) Rahman. Kwa jina lolote mnalomwita (katika haya itafaa). Kwani ana majina mazuri mazuri………

2. ALLAH NI MUNGU MWENYE MAADUI AMBAO NI WAKRISTO NA WAYAHUDImungu wao ana maadui wake ambao ni wakristo na wayahudi
Qr. 4:51 na 57 (surat Al Maida)
Enyi mlioamini! Msiwafanye mayahudi na wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika hao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.

3. ALLAH NA WAISLAM WOTE KUINGIA JEHANNAMWafuasi wote wa Allah wanangojea moto wa jehanam kisha waokolewe waislam baadaye kutoka motoni
Qr. 19:70-72
Tena hakika sisi tunawajuwa vyema Zaidi wanaostahiki kuunguzwa humo Wala hapana yeyote katika nyinyi ila ni mwenye kuifikia.
Hiyo ni hukumu ya Mola wako mlezi ambayo lazima itimizwe. Kisha tutawaokoa wale waliomcha Mungu; na tutawaacha madhalimu humo hali wamepiga magoti motoni.

4. ALLAH ANAINGIA JEHANNAM WAKATI MUNGU WA BIBLIA HATA INGIA JEHANNAMAllah wao ataionja jehanamu pia
Qr. 50 au Surat Qaf 30 (kuapa)
Siku tutakayoiambia Jahanamu, ‘Je! Umejaa?’ Nayo itasema ‘Je kuna ziada (zaidi? Naije tu!
Imesimuliwa na Anas kuwa: Mtume alisema watu watatupwa jahanamu, Naye Allah ataiuliza jahanamu akisema je umejaa nayo jahanamu itasema kwani kuna nyingine zaidi na ije tu? Mpaka Allah atakapo ingiza mguu wake nayo jahanamu itasema inatosha! Inatosha

5. ALLAH HANA UWEZO WA KUPONYA MAGONJWA WAKATI MUNGU WA BIBLIA ANAPONYA WAGONJWA!!Kwanini Allah alipo mtuma Jibril kwenda kumuombea Muhammad ugonjwa uliosababishwa kula sumu, maombi yao hayakufanya kazi?
Ibn Sa'd Ukurasa wa 265
Aisha, Mke wa Mtume Muhammad alikuwa akisema, "Wakati Nabii wa Allah alipo kuwa anaumwa, Gibril alikuwa anamwombea kwa Allah kwa kusema haya "Katika Jina la Allah ambalo litakuponya kutoka kila magonjwa na maumivu na kutoka kila wenye ubaya nawe na kila wanakuombea ubaya, utapona..
Cha kushangaza, Allah na Jibril pamoja walishindwa kumponya Muhammad, huu sasa ni Ushahid tosha kuwa Allah hana uwezo wa kuponya bali ndie anaye tupia watu Magonjwa.

6. ALLAH NDIE HUWAPA WATU MAGONJWAKumbukumbu na Bukhari katika al-Adab ul-Mufrad (namba 493), kuthibitishwa halisi na al-Albani
"Usitarajie mazuri, kwa sababu Allah ndiye huwapa magonjwa waumini wake kama kafara (kwa ajili ya dhambi yake) ili kumpumzisha, na kwa Makafiri ni kama ugonjwa ni kama Ngamia aliye fungwa na Bwana wake, humuachia huru pale anapotaka, ni hawezi kuelewa ni kwa nini alikuwa amefungwa, wala kwa nini ni huru. "
Kitu cha kushangaza, hawa Waislam wanakwenda Hospitali kupata matibabu huku wakifahamu kuwa Allah ndie aliye watupia Magonjwa. Huu ni Msiba katikaa Uislam.

7. JAMANI KWANINI TUMFUATE ALLAH ANAYE TOA MAGONJWA?
ALLAH ALIUGUA MACHO:
Wakati mmoja macho ya Allah yalikuwa yanauma, na Malaika walikwenda kumuona, na kwamba Allah alitokwa na Machozi, kwa ajili ya Mafuriko ya Nabii Nuhu mpaka macho yake yakawa mekundu. (Al Milal Wannihal J. 1 uk. 141)
Hapa inaonekana Allah alijisahau na akajitupia Ugonjwa wa Macho, RED EYES. Sasa Mungu gani huyu anaye Umwa kama Viumbe? Hakika Allah si Mungu bali ni kiumbe,
Karibu kwa Yesu aliye hai na Mungu Mkuu,

8. ALLAH ANAKIRI KUWA YEYE ANA USO1) Allah anasema: "Popote mutapogeukia kuna Uso wa Mwenyezi Mungu". Sura 2, Aya 115.
Kwenye hiyo aya hapo juu, Allah amesha wajibu wanao bisha kuwa Allah hana uso. Je, kuwa na uso si sifa ya binadamu?
2) Allah anasema: "كل شيء هالك إلا وجهه" (Kila kitu kitaangamia isipokuwa Uso wake (Allah)." Sura 28 Aya 88.
Ndugu zanguni, Allah anaendelea kukiri kuwa yeye ana uso kama viumbe.

9. ALLAH ANA-VAA NGUO KAMA VIUMBE
الكبرياء ردائي والعظمة إزاري
Allah ansema katika Hadithi hii Qudsi "Ukuu ndi vazi langu la juu na utukufu ndio vazi langu la chini".
Sasa kama Allah anavaa nguo inamana kuwa Allah ana mwili kama viumbe?
Msiba huu ni mkubwa sana ndugu wasomaji.
Katika Hadithi nyengine Qudsi, Allah anasema: "….Na mja wangu hajikurubishi kwangu kwa kitu nikipendacho zaidi kuliko yale niliomfaradhishia juu yake. Na mja huwa anaendelea kujikurubisha kwangu kwa nawafil (ibada zisizo za lazima) mpaka nampenda: "فإذا أحببته كنت سمعه الذي يسمع به، وبصره الذي يبصر به ويده التي يبطش بها ورجله) (التي يمشي بها" Basi nikimpenda nakuwa (Mimi ndio) sikio lake analosikia kwalo, na jicho lake analoonea na mkono wake anaoshikia na mguu wake anaoendea."
Hapo Allah kesha kiri kuwa yeye ana masikio, mikono na macho.

10. ALLAH ANAKAA KWENYE KITI KAMA VIUMBE
Katika Sura 69:17 Surat al-Haaqqah tunasoma maneno haya:
“Na malaika watakuwa kandoni mwake na malaika wa namna nane watachukua kiti cha enzi cha Mola wako juu ya…”
Tena katika Sura 85:15 Syrat Buruj inamtaja Mungu wa Waislamu aitwaye Allah kuwa yeye ndiye mmiliki wa kiti cha enzi.

Swali ambalo napenda kuwauliza Waislamu wote Allah kumiliki kiti cha enzi. Je, kiti hicho anakifanyia nini? Huenda watu wakanishangaa. Nasema hivyo nikiwa na maana ya je, Allah naye anakaa katika kiti kama wakaavyo wanadamu? Je, ana miguu kama mwanadamu kama anakaa kama mwanadamu katika kiti cha enzi, basi haikosi hana tofauti na mwanadamu.
Angalia katika Sura ya 69: 44-45 Surat Al-haqqah twasoma.
“Na kama (mtume) angelizuia juu yetu baadhi ya maneno tu bila shaka tungalimshika kwa mkono wa kuume”.
Aya hii inaonesha kuwa Allah ana mkono wa kuume. Na kama Allah ana mkono wa kuume atakosaje mkono wa kushoto? Na kama Allah anasema atakosaje mdomo? Basi ondoeni dhana ya kwamba Allah hana mfano.

11. ALLAH ANA MIKONO KAMA VIUMBE

ALLAH SIO MUNGU (SEHEMU YA TATU)

ALLAH NA WOTE WANAOMWABUDU WATAISHIA JEHANAM
Mwisho wa wanaomwabudu Allah ni wapi? Tunajua kuwa Wakristo tutaishi na Mungu wetu Yehova milele (tazama 1Thesalonike 4:13-17 na Ufunuo 21:3-7) Hivyo Mungu wetu hana mwisho ni wa milele. Lakini tunaposoma Qurani na Hadithi za Muhammad, mtume wa Waislamu tunaona mafundisho haya…
Qr. 51 au Surat Adh-Dhaariyat 56 (sur aya upepo) yasema, Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu

Qr. 6 Surat Al An-Am 128 (Sura ya wanyama)
Na (wakumbushe) siku atakapowakusanya wote (awaambie) "Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu" na marafiki wao katika wanadamu (watawagombania) waseme "mola wetu! Tulinufaishana sisi na wao, na tumefikia muda wetu uliotuwekea" Basi (Mungu) atasema:"moto ndio makazi yenu, mtakaa humo milele.. katika aya hizi tunaona kuwa majini pamoja na watu wote watatupwa motoni. Je Allah naye ni vipi? Tunaposoma kitabu cha hadith za mtume (s.a.w) cha Sahih al-Bukhari Vol: VI Hadithi No: 371.ukurasa wa 353 Kuna maneno haya:

Qr. 50 au Surat Qaf 30 (kuapa)
Siku tutakayoiambia Jahanamu, ‘Je! Umejaa?’ Nayo itasema ‘Je kuna ziada (zaidi? Naije tu!
Imesimuliwa na Anas kuwa: mtume alisema watu watatupwa jahanamu, Naye Allah ataiuliza jahanamu akisema je umejaa nayo jahanamu itasema kwani kuna nyingine zaidi na ije tu? Mpaka Allah atakapo ingiza mguu wake nayo jahanamu itasema inatosha! Inatosha

Hadithi hii ya Anas inasomeka hivi:
Na Allah atasema Je, kuna wa ziada (kuja)? Nayo Jehanam itamuuliza Mwenyezi mola, wakisema je, kuna waziada (kuja)? hadi Mwenyezi Mungu atakapouweka mguu wake ndani ya moto wa jehanam na kisha moto utasema, YATOSHA!

Katika aya hii tunaona Allah mungu wa Waislamu anaiuliza Jehanamu kama imejaa, nayo Jehanamu itamuuliza Allah je, kuna zaidi. Yaani swali hili linaonyesha kuwa Jahanamu ilikuwa bado haijajaa, Maelezo ya Hadithi hii inadhibitisha kuwa Allah ataingiza mguu katika Jahanamu na ndipo Jahanamu itakaposema kuwa inatosha! Inatosha!, yaani imejaa kwa tendo la Allah kuingiza mguu wake humo. Jambo hili ni tofauti kabisa na ilivyo kwa Mungu wetu Yehova., Mungu wetu ameiweka jahanamu maalum kwa ajili ya watu wabaya, na ibilisi, pamoja na malaika zake. Tafadhali soma aya hizi; Mathayo 25:41,46, Ufunuo 20:10, 21:8.

Aya hizi zote zinaonyesha kuwa mwisho wa wabaya, Ibilisi na malaika zake ni katika ziwa la moto. Swali kwako Ndugu mpendwa,

Je, Allah ni nani?Ni matumaini yangu kuwa umeweza kujua kwa undani kupitia Qurani na Biblia na vitabu vya Hadith za mtume wa Waislamu aitwae Muhammad kuwa Allah Sub-Haana Wataala Mungu anayeabudiwa na Waislamu. Siyo Yehova Mungu tunaye muabudu Wakristo.
Unapoijuwa hii kweli ukiwa Muislamu nakuomba kwa neema yake Kristo Bwana wetu umpokee KRISTO YESU maishani mwako ili uweze kuitoroka ibada ya shetani na kujiokoa nafsi yako na mauti ya milele………
Karibu kwa Yesu Kristo wetu.
Ufunuo 3:30 Yeye anasimama mlangoni kwako anabisha!!! Usichelewe kumfungulia.

ALLAH SIO MUNGU (SEHEMU YA PILI)

JE, MALAIKA MKUU WA YEHOVA NDIO YULE YULE WA ALLAH?
Ikiwa Allah ndiye Yehova, basi ni wazi kuwa malaika mkuu atakuwa mmoja pia. Ikiwa si mmoja hata malaika mkuu watakuwa tofauti.

Tuanze kuangalia Allah anavyosimulia katika Qurani naye anasema hivi
Qr. 81 au surat At-Takwyr 19-21 (Kukunja/jua litakapokunjwa)
Kwa hakika hii (Qurani) ni kauli (aliyokuja nayo) mjumbe mtukufu (Jibrili) Mwenye nguvu, mwenye cheo cha hishima kwa mwenyenzi Mungu. Anayetiiwa huko (mbinguni na malaika wenziwe) kisha muaminifu.
Ufafanuzi wa aya hizi. ulio ndani ya Qurani unaelezea aya hizi 19-21, unafundisha hivi…….
Mjumbe mtukufu na mwenye kutiiwa huko mbinguni ni Jibrili, ambaye ndiye mkubwa wa malaika wote

MALAIKA MKUU WA MUNGU YEHOVA NI HUYU
Yuda 1:9,
Lakini Mikaeli Malaika mkuu, aliposhindana na Ibilisi na kuhojiana naye kwa ajili ya mwili wa Musa, hakuthumbutu kumshitaki kwa kumlaumu bali alisema Bwana na akukemee
hapa tunaona aya zinatufundisha waziwazi kuwa malaika mkubwa wa Mungu aitwae Allah anaitwa Jibril na Malaika mkuu wa Mungu wetu Yehova anaitwa Mikaeli. Swali; Kwa kuwaMalaika hao ni tofauti, je, Allah ndiye Yehova? Kwa kujua zaidi tofauti ya malaika, jipatie nakala ya somo la: Malaika Jibrili na Gabrieli, je ni Malaika mmoja. Somo hilo tunalo, jipatie.

Mwanzo1:26-27
Mungu akasema “Na tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu, wakatawale samaki wa baharini, ndege wa angani na wanyama, na nchi yote, pia na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba mwanamume na mwanamke aliwaumba. Hapa tunaona Mungu wetu Yehova ameumba mtu kwa mfano wake, lakini Allah anasema hana anayefanana naye hata mmoja……Swali kwako mfuatiliaji:

Je, Allah ndiye Yehova?
Tafadhali usome aya hizi ili kujua zaidi (Mwanzo 5:1-2, 9:6, 1Korintho 11:7, Kolosai 1:15, 3:10, Matendo 17:28-29,Yakobo 3:9).

Pengine waweza kusema Je, Mungu amefanana na mimi kivipi? Jua kwamba Mungu ni Roho (Yohana 4:24) Naye alitupa pumzi (yaani roho ya uhai (Mwanzo 2:7) isitoshe Mungu ndiye Baba wa roho zetu (Waebrania 12:9) Mungu anasema Roho zetu ni mali yake (Ezekieli 18:4, Hesabu 16:22)
Leo tumejifunza kuwa Allah sio Mungu wa Biblia ajulikanaye kwa jina la YEHOVA.

NGUVU YA MSALABA WA YESU KRISTO

Unaweza kujiuliza kwanini ukiweka msalaba wa Yesu kwenye nchi kama Iran, au nchi nyingi za kiarabu utapingwa sana na unaweza hata kuuawa, Hii ni kwasababu msalaba wa Yesu kristo una nguvu.. kuna nguvu ipatikanayo kwenye msalaba inaitwa ¨NGUVU YA MSALABA¨ 1 Wakorintho 1:18 ¨ujumbe wa msalaba kwao wanaopotea ni upuuzi lakini kwetu sisi tunaoamini ni nguvu ya Mungu¨ kumbe kwenye msalaba wa Yesu Kristo kuna uweza uletao wokovu. Msalaba wa Kristo una nguvu.
Kwanini ujumbe wa msalaba unabeba nguvu?Unaweza kujiuliza ni kwanini, iwe nguvu ya msalaba na isiwe nguvu ya kitu kingine kama jua, mwezi, dunia au nabii?

MANENO 7 ALIYOYASEMA YESU KABLA YA KUFA..
i.) Mathayo 27:46, Kwa wakati ule alibeba dhambi zetu zote. Na ndio maana Mungu akamwacha pale msalabani tunajua kuwa Mungu alimwacha kwa maneno ambayo Yesu alitamka akisema ´´ baba mbona umeniacha´´ baada ya Yesu kubeba dhambi za ulimwengu, Mungu akamwacha na Yesu akasurubishwa kwa dhambi ambazo hakutenda bali alitenda.. Yesu alisulubiwa kwa makosa YETU..
ii.) Luka 23: 34 -Katikati ya maumivu Yesu alisamehe.. watu wa dunia wanaweza kukwambia nimekusamehe lakini sitasahau lakini Yesu akiwa msalabani na katikati ya maumivu makuu ya msalaba akasema ´´baba wasamehe maana hawajui walitendalo´´ ZABURI 103:3 Nguvu ya msalaba unatupa nguvu ya kusamehe, kuna watu wengi wapo kwenye matatizo kwasababu ya kuto kusamehe.. ni kanuni ya Mungu kusamehe na kuponya . tunajifunza hili kwa wale waliomleta mtu kwa Yesu , mgonjwa akiwa kwenye godolo.. na Yesu kabla ya kumponya alimtangazia msamaha wa dhambi kwanza na baada ya hapo akamponya.. Kumbe msalaba unatuwezesha kusamehewa..
iii.) Luka 23:42-43 - ¨..Leo utakuwa pamoja nami peponi ..¨ hili ni neno ambalo Yesu alimwambia mmoja kati ya wale wanyang´anyi, akimwambia kuwa tutakuwa wote peponi, Yesu alisurubiwa pamoja na wanang´anyi.. kumbe usitishe na mtu anaye vaa msalaba akasema ni mtu wa Mungu, kwasababu wengine wanaweza kuvaa msalaba wa wanyang´anyi.. na kwa andiko hili tunajifunza kuwa nguvu ya msalaba inatupa nguvu ya kukumbukwa kwenye Ufalme wa Yesu.. kumbe msalaba unatupa nguvu ya kukumbukwa .. Mungu anakumbuka maombi yako, kazi yako, maisha yako na hata taifa lako.. Mtu yeyote awezi kukuhakikishia kwenda na kuuona ufalme wa Yesu isipokuwa msalaba wa Yesu ndio unaotupa uwakika wa kuuona Ufalme wa Mungu ´´hakuna jina jingine duniani, litupasalo kuokolewa kwalo isipokuwa jina la Yesu..
iv.)Luka 23:46, Kwa mtu yeyote aliyeokoka ,amekabidhiwa kwenye mikono ya Yesu kristo.. na hutakufa mpaka siku ya Bwana , kwasababu roho yako imekabidhiwa kwenye mikono ya Yesu Kristo.. huu ni ulinzi ambao kila mtu aliyeokoka anakuwa nao.. tupo mikononi mwa Mungu na hakuna mtu awezaye kututoa kutoka katika mikono ya Yesu Kristo..
v.) Yohana 19:29 Yesu akiwa msalabani , alikuwa anajali mahusiano.. hii inaonyesha kuwa msalaba wa Yesu unatupa usalama ndani ya mahusiano na wazazi na watu wengine.. Msalaba wa Yesu unatupa mahusihano bora . ukimwomba Mungu akupe nguvu ya mahusiano.. Kumbe msalaba ulileta Nguvu ya upatanisho.. Nguvu ya msalaba inaleta watu pamoja , watumishi wa Mungu pamoja, familia pamoja.. ujumbe wa msalaba ni upuuzi kwao wasioamini lakini kwetu sisi ni NGUVU YA UPATANISHO.
vi.) Yohana 19:28 ¨..ninasikia kiu..¨ hapa Yesu alikuwa amekaa msalabani kwa muda , na alisikia kiu.. kwa kuwa hakuwa amekunywa maji.. kumbe msalaba wa Yesu unakupa kiu ya kumtafuta Mungu, kiu ya kuomba, kiu ya kuponya na kuokoa na rahisi kusikia watu wakisema nyinyi watu wa ufufuo na uzima kwanini kila kitu mnataka mtende nyinyi.. ni muhimu kujua kuwa msalaba wa kristo unatupa kiu ya kutenda na kuthibitisha nguvu ya Mungu.. na inawezeka ulipokuwa umeokoka ulipata hamu sana ya kuomba na kumtafuta Mungu..lakini baada ya muda ile kiu imepotea basi kama unatatizo hilo ni wakati wa kwenda mbele ya msalaba wa Yesu kristo.. na kuomba KIU ya kumtafuta Mungu na Mungu atakupa.. unaweza kuniuliza mimi( Mch. Gwajima) kiu yako ni nini? Mi nitakwambia kiu yangu ni kuona watu milioni moja wanakuja ndani ya ufufuo na uzima Dar es salaam.. nah ii ni kiu nilionayo… kuwa dunia iokolewe na waarabu waokolewe.. ninaona njia kuu ya udhihirisho wa nguvu ya Mungu itakayo tikisa mataifa kutoka katika msalaba wa Yesu.. Nguvu ya msalaba kwao wanaopotea ni upuuzi lakini kwetu sisi ni KIU YA KUMTAFUTA MUNGU.
vii.) Yohana 19:30 ´´.. Yesu alipopokea kile kinywaji akasema IMEKWISHA´´ Kimsingi hakuna aliyemuua Yesu bali aliutoa uhai wake , ili aupokee tena.. na kimsingi Yesu alitenda mambo makubwa ya ufalme wa Mungu, na kwasababu hiyo shetani akakusanya watawala na watu wamuue Yesu na alipokuwa msalabani na kupiga kelele kusema imekwisha.. shetani akafikiri kuwa amemuangamiza na inawezekana kabisa kule kuzimu mashetani walianza kushangilia na inawezekana hata wachawi wa kipindi kile walienda kwenye sherehe .. lakini katikati ya sherehe yao. na Yesu akiwa nanig´inia msalabani Yesu akasema IMEKWISHA..
Baada ya Yesu kusema kuwa IMEKWISHA.. BIBLIA inasema
I. Dunia ikatikisika,.. kumbe Nguvu ya msalaba inaweza kutikisa dunia,
II. Makaburi yakafunguka, miili mingi ya watakatifu wengi ikafufuka. Kumbe Nguvu ya msalaba yaweza kurudisha. Na ndio maana mimi nashangaa watu wanaokataa kuwa wafu hawafufuki..najiuliza ni msalaba gani wanao uhubiri.. labda ni misalaba ya wale wanyang´anyi ..
III. Miamba ikavunjika kumbe msalaba wa Yesu unaweza kuvunja miamba.
IV. Jua likatiwa giza
V. Pazia la hekalu likapasuka.

KWELI KADHAA KUHUSU NGUVU YA MSALABA..
Kipindi cha zamani kulikuwa na aina za usulubishaji.. aina ya kwanza ni ya mti mmoja kama namba moja, ya pili ilikuwa alama ya kuzidisha yaani ´X´ , tatu ni wa alama ya T, na alama ya kujumlisha nah ii inamaanisha msalaba wa Yesu unatupa kujumlisha , kuongezeka, na kukua.. sisi tumesulubishwa pamoja na kristo
Yesu alisurubishwa kwenye mlima, na mahali pale kila mtu aliweza kumuona ,, watu kutoka kila mahali walimuona.. kumbe Yesu alisurubiwa mlimani ili kila mtu aone nakama Yesu alivyoinuliwa mlimani ili kila mtu amuone..´´kama vile Musa alivyomuinua nyoka jangwani mwana wa adamu naye aliinuliwa..
Na unagundua watu walimuona Yesu akisurubiwa mbele ya watu, njiani, mlimani na alipo taka kupaa akaenda mlimani pia..ili watu wote wamuone,, kumbe kama ulikuwa chini na watu walikuona chini Msalaba wa Yesu utakuinua mbele ya watu wote walikuona ukiahibika..
Yesu akashuka kuzimu katika zile siku tatu alipokuwa amekufa, akamnyang´anya funguo za mamlaka.. na hapo akamkanyaga kichwa shetani .. kutimiza andiko ´´uzao wa mwanamke utamkanyaga nyoka kichwa´´
Source: King James Virsion, J,J Gwajima, Christ Nation, and Max Shimba Ministries Org.
Mungu awabariki sana.
Max Shimba Ministries Org

MAMILIONI YA WAISLAM AFRIKA WANAMKIMBILIA YESU KRISTO ISIVYO KAWAIDA

“Tena habari njema ya ufalme itahubiriwa katika 
ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa
yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja”
(Mathayo 24:14).
Ukisoma kurasa mbalimbali za kwenye mtandao juu ya kukua kwa dini ya Kiislamu, utakuta wengi wanasema kwamba Uislamu ni dini inayokua kwa kasi sana. Je, hilo ni kweli? Ni jambo gani linaloonyesha ukweli wa hoja hiyo?
Lakini tunao ushahidi wa Neno la Kristo kwamba siku za mwisho (yaani hizi tulizo nao), Injili itahubiriwa ulimwenguni kote. Pia, Mungu Yehova anaahidi kuwa hizi ni siku za kumwaga Roho wake kwa wanadamu wote. Hakika hizi ni nyakati za Injili ya Yesu Kristo kusonga mbele na kushinda na kubomoa kila upinzani na ukuta uliojengwa na adui ili kuwazuia wanadamu kumjua Mungu wa kweli na Mwokozi pekee, Yesu Kristo.
Uzuri ni kwamba, hili si jambo la mwanadamu. Hii ni kazi ya Mungu, Muumba mbingu na nchi Yeye mwenyewe. Ukristo si kama dini zingine ambazo zinajipigania zenyewe. Ukristo ni kazi ya Kristo mwenyewe! Kuipinga kazi hii ni kupingana naye. Na kuikataa kazi hii ni kumkataa Yeye mwenyewe. Mamilioni ya Waislamu wametambua sasa ni wapi uzima uliko.
Je, ndugu msomaji, umeshaingia kwenye safina ambayo ni Yesu Kristo? Usikubali kuachwa nje ya safina. Hakuna wokovu kwa mwingine awaye yote ila kwa Yesu Kristo peke yake!
Suala si dini. Suala ni maisha ya amani na furaha na mafanikio hapa duniani na kisha uzima wa milele mbinguni baada ya maisha haya. Dini hazitusaidii lolote kamwe – iwe ni Ukristo au dini nyingine!
Kama ingekuwa ni kuhesabu mafanikio ya dini katika historia nzima ya mwanadamu, basi dini zimefanikiwa sana kuleta mafarakano, chuki na uhasama baina ya wanadamu. Hakika hicho ndicho ambacho dini zimefanikiwa kufanya! Lakini Yesu – ah Yesu! Bwana wa amani! Bwana wa upendo! Bwana wa uzima na uzima tele! Yeye ni njia, ni kweli, ni uzima! Dini bila Yesu ni kupoteza kila kitu …!
Yafuatayo ni mahojiano kati ya mtangazaji Maher Abdallah wa kituo cha Al-Jazeera na Sheikh Ahmad Al Katani kuhusiana na suala la Waislamu milioni 6 kuingia kwenye Ukristo kila mwaka.
****************
Mtangazaji Maher:
Idadi ya Waislamu hivi sasa haizidi theluthi ya watu wa bara lote la Afrika. Hii inatilia maanani pia ukweli kwamba, sehemu kubwa ya Waislamu katika Afrika ni Waislamu wa Kiarabu. (Yaani ambao wanapatikana kaskazini mwa Afrika).
Ni wazi kuwa suala la uinjilisti na kuwageuza watu kuwa Wakristo kunakofanywa na Wakristo vimesaidia katika kugeuza hali hii ya mambo katika bara hili.
Katika kujadili mada hii, ninayo furaha kumkaribisha mtu ambaye ni mtaalamu wa suala hili la uinjilisti na kuwageuza watu kuwa Wakristo katika Afrika. Atalenga kwanza kuzungumzia zaidi suala la kuenea kwa Ukristo. Shekhe Ahmad Al Katani, rais wa Companions Lighthouse for Science in Libya, ambayo ni taasisi iliyojikita kwenye kusomesha maimamu na wahubiri wa Kiislamu.
Shekhe Ahmad:

YESU KRISTO NI NJIA YA PEKEE YA KUONDOA DHAMBI

Alikufa kwa ajili yetu ili tujue upendo na mpango wa Mungu kwa maisha yetu.
ALIKUFA ILI ATULETE KWA MUNGU
Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa Mungu.1 Petro 3:18
YESU YU HAI
Kristo alikufa kwa ojili ya dhambi zetu, kama yanenavyo maandiko; na ya kuwa alizikwa; na ya kuwa alitufuka siku ya tatu, kama yanenavyojil maandiko.1 Wakorintho 15:3,4
YESU NDIYE NJIA YA PEKEE
Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.Yohana 14:6
Mwanadamu peke yake hawezi kushirikiana na Mungu. Mungu alimtuma Yesu afe msalabani kwa ajili ya dhambi zetu na tena awe daraja kati yetu na Mungu ili atulete kwa Mungu.
UNAWEZA KUMPOKEA KRISTO SASA
Mungu anaufahamu moyo wako. Yafuatayo katika sala hii yanaweza kukusaidia kumpokea Kristo ukiomba kwa moyo wa kweli.
Bwana Yesu Kristo, ninakuhitaji, mimi ni mwenye dhambi. Nimekubali kwamba nimejitawala maisha yangu mwenyewe, na kutengana nawe. Asante kwa kifo chako msalabani kwa ajili ya dhambi zangu na kwa kunisamehe zote. Sasa nageuka na kutubu. Bwana, nakuomba uingie ndani ya maisha yangu na kunitawala kabisa. Badili maisha yangu yawe kama upendavyo wewe. Amin.
Je, sala hii ni sawa na haja ya moyo wako?
Kama sala hii ni sawa na haja ya moyo wako, basi omba sasa na umkaribishe Kristo aingie maishani mwako.

An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance

  Title: An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance Au...

TRENDING NOW