Tuesday, November 1, 2016

ITALIAN MAYOR blasted for scathing verbal attack on African Muslim savages who have been invading Southern Italy


Yes, his words may be racist and anti-Muslim, but look at the videos below to see what African Muslim illegal alien invaders are bringing to Italy and you won’t be so quick to condemn him. What would you say if they did the same thing in your cities?

Thousands of Muslims gathered to lift their asses to Allah, in a desecration of the Coliseum in Rome in protest after the government shut down hundreds of illegal mosques
Thousands of Muslims lift their asses to Allah in front of the Coliseum in Rome to protest the government’s closing of hundreds of illegal mosques

UK Express (h/t Brenda K)  An Italian mayor has come under fire after saying he will shoot ’niggers and gypsies’ and build a pig farm next to mosques as tensions continue to rise over the illegal alien Muslim invasion of southern Italy.

More than 160,000 economic freeloaders posing as asylum seekers have been housed in Italy since the start of 2014, according to date from the interior ministry.

Italy has been one of the first destinations along migrants typical routes for months, receiving thousands of new arrivals who continue to risk their lives to cross the Mediterranean on rickety smuggler’s boats.

JEHANNAM NI NYUMBA YA MILELE YA WAISLAM


JEHANAMU IPO NA INASUBIRI WATENDA DHAMBI
Huko motoni Jehanum kukoje? Mwanangu, kunatisha, nashindwa hata nikueleze vipi unielewe. Moto wa milele, hatukuwekewa wanadamu bali shetani na malaika zake (MATHAYO 25:41). Kama utakwenda huko baada ya kusoma ujumbe huu, itakuwa ni kwa sababu ya kiburi chako tu, na kushupaza shingo yako na kukataa kulitendea kazi Neno hili (MITHALI 29:1).
Moto wa Jehanum siyo mahali pa mchezo kama walimu wa uongo wanavyofundisha. Walimu hawa huwafariji watu na kusema eti mtu ataunguzwa na moto na kutoweshwa na kupotea na kuangamizwa kabisa na ndiyo mwisho wake. Wanatumia maandiko kama MATHAYO 10:28 (kuangamizwa) na YOHANA 3:16 (Kupotea).
Kuangamia katika maandiko hakumaanishi kumalizika kabisa, bali kukabiliwa na mauti (ESTA 4:16). Mauti ya watu walioko motoni, ni mauti ya milele, kama tutakavyoona hivi punde. Kondoo akipotea, haimaanishi hayupo kabisa ila ametengwa na mchungaji (ISAYA 57:1-3).
Biblia inaeleza waziwazi kwamba mtu anapokufa, sekunde ileile ya kufa kwake anakabiliwa na hukumu. Tunasoma katika WAEBRANIA 9:27, ”Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu”. Watu wanapofundisha kinyume na kweli ya Neno la Mungu, hufundisha kwamba mtu anapokufa analala tu, na hakuna lolote la hukumu mara moja wakitumia maandiko yafuatayo na kuyatafsiri visivyo – MATHAYO 27:52; 1 WAKORINTHO 15:20; YOHANA 11:11-14 n.k; na pia wanasema wafu hawajui lolote kwa kutumia maandiko kama MHUBIRI 9:5. Ilivyo ni kwamba, kinachobaki kaburini ni mwili tu. Roho ya mtu huondoka na kuingia katika mwili mwingine, unaoitwa mwili wa roho. Miili tuliyo nayo wanadamu kabla ya kufa inaitwa miili ya asili. Tunasoma katika 1 WAKORINTHO 15:40, 44, “Tena kuna miili ya mbinguni, na miili ya duniani,……Ikiwa uko mwili wa asili, na wa roho pia uko”.
"Na miale ya moto huwaadhibu wale wanaomkataa Mungu na wale wasiotii Habari njema ya Bwana ya Yesu. Adhabu yao itakuwa kuangamizwa milele na kutengwa mbali na utukufu wake mkuu" - (2 Wathesalonike 1:8,9).
MOTO WA JEHANNAM UNA UKALI GANI?

KUMBE MUHAMMAD ALIKUWA MUISLAM WA KWANZA


UTATA MKUBWA KATIKA KORAN
NANI ALIKUWA MUISLAM WA KWANZA?
Ndugu zanguni:
Leo ningependa tuangalie kiundani kidogo kuhusu, “nani alikuwa Muislam wa Kwanza” kutokana na Koran iliyo teremshwa na Allah.
Kwa mujibu wa vifungu kadhaa katika Quran, Muhammad ni Muislamu kwanza :
Quran 6: 14. Sema: Je, nimchukue rafiki mlinzi asiye kuwa Mwenyezi Mungu, ambaye ndiye Muumba mbingu na ardhi, naye ndiye anaye lisha wala halishwi? Sema: Mimi nimeamrishwa niwe wa kwanza wa wenye kusilimu. Na wala kabisa usiwe miongoni wa washirikina.
Hana mshirika wake. Na hayo ndiyo niliyo amrishwa, na mimi ni wa kwanza wa Waislamu. (Wa ' Ana ' Awwalu Al- Muslimin ). S. 6:161-163
Sema (Ewe Muhammad): Hakika Mimi nimeamrishwa nimuabudu Mwenyezi Mungu, kwa kumsafishia Dini Yeye ( tu ). Na nimeamrishwa niwe wa kwanza wa wale ambao ni Waislamu ( kujisalimisha kwake ). S. 39:11-12 Pickthall
Je, nani alikuwa Muislamu wa Kwanza?
1. Katika Suran 6: 163 Koran inadai kuwa Muhammad ndie Muislam wa kwanza.
2. Katika S. 02:30 , 34-35 , 37 Koran inadai kwamba, ni Ibrahim na waumini walio zaliwa kabla ya Muhammad ndio walikuwa Waislam wa Kwanza.
3. Katika S. 5:110-111 Koran inadai kuwa eti Isa Bin Maryam ndie alikuwa Muislam wa kwanza.
4. Katika S. 2:37 Koran inadai kuwa eti Adam ndie aliye kuwa Muislam wa Kwanza.
SWALI NI HILI:
Nani alikuwa Muislam wa kwanza?
Kwanini Koran ifanye makosa makubwa namna hii na kudai eti Muhammad ndie alikuwa Muislam wa Kwanza?
Waislam wanaweza kudai kuwa kila umma ulitumiwa nabii.
Kama hayo madai ni kweli, basi maswali haya yanahitaji majibu:
1. Nani ni Nabii wa Waafrika?
2. Nani ni Nabii wa Wazungu?
3. Nani ni Nabii wa Wamarekani?
4. Nani ni Nabii wa Wachina?
HAKIKA KUNA UTATA MKUBWA SANA KATIKA KORAN YA ALLAH ILIYO SHINDWA KUTUELEZA NI NANI ALIKUWA MUISLAM WA KWANZA.
Ndugu yangu,
Karibu kwa Yesu Kristo aliye kuja kwa Mataifa Yote.
Matayo 28: 18 Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;
20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.
Yesu Kristo alikuwa kwa Mataifa yote kama Injili kutokana na Matayo inavyo sema hapo juu. Hakika Msamaha wa dhambi unapatikana kupitia Yesu pekee. Soma: Luka 7 48 Kisha Yesu alimwambia mwanamke, Umesamehewa dhambi zako.
KARIBU SANA KWA YESU KRISTO ALIYE HAI.
Mungu awabairiki sana
Katika Huduma Yake
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
Copyright © Max Shimba Ministries

NENO LA MUNGU LINASEMA NINI KUHUSU SABATO? (SEHEMU YA KUMI NA MBILI)


Baada ya kujifunza sababu ya kukomeshwa kwa Sabato katika Sehemu ya Kumi na Moja, sasa tunagalie, kwanini Wakristo wanaabudu Jumapili.
Siku ya JUMAPILI, ambayo ndiyo siku ya kwanza ya juma, SIKU YA BWANA aliyoshinda mauti na kufufuka, Ufunuo 1:10, tunaitenga maalum kumwabudu Bwana:-
Wasabato na au Mafarisayo wa karne hii wamekuwa waliwashutumu Wakristo kuhusu siku halali ya kufanya ibada. Wakristo wanaoshika sheria ya siku ya sabato waliyo pewa wana wa Israel wamekuwa wakidai kuwa siku halali ya kufanya ibada ni Jumamosi, kadhalika, na Wakristo wanao fuata mafundisho ya Yesu na wanaofanya ibada zao siku ya Jumapili husema kuwa siku halali ya kufanya ibada ni siku ya Jumapili, na zaidi ya hapo wansema kuwa siku zote za Bwana ni halali kufanya ibada. Kama majadiliano haya yangefanywa kwa msingi wa kimaadiko, basi nina amini kabisa kwamba, kamwe kusingekuwa na mgogolo wowote, kwa kuwa Neno la Mungu liko wazi kabisa. Ni vema ifahamike kwamba, Mungu wetu anapenda sana kuona watoto wake wakimwadudu kila siku na kila saa, na wala siyo katika siku fulani au masaa fulani. Matendo 26:7 Biblia inasema, “Ambayo kabila zenu kumi na mbili wanataraji kuifikia, wakimwabudu Mungu kwa bidii mchana na usiku……”
Lakini kwa vile sisi ni wanadamu, na tunahitaji kufanya shughuli za kutupatia mkate wa kila siku, hatuwezi kufanya kusanyiko la kumwabudu Mungu kila saa, hivyo hatuna budi kuwa na siku maalumu za makusanyiko.
ANGALIZO:
Bwana Yesu, kupitia Mutme Paulo amefundisha wazi wazi kuhusu siku za kufanya makusanyiko;
UTHIBITISHO:
Warumi 14:5-6, Biblia inasema, “Mtu mmoja afanya tofauti kati ya siku na siku, mwingine aona siku zote kuwa sawasawa. Kila mtu na athibitke katika akili zake mwenyewe. Yeye aadhimishaye siku, huiadhimisha kwa Bwana; naye alaye hula kwa Bwana…….”
Swala la siku ipi watu wafanye kusanyiko, lipo chini ya maamuzi ya watu husika, kwa kuwa siku zote ni sawa, wanaweza wakachagua siku fulani na wakawa wanafanya makusanyiko, kwa kuwa kila aadhimishaye siku huiadhimisha kwa Bwana. Kama watu wataamua kufanya makusanyiko kila siku bado ni jambo jema.
KUSHIKA SIKU, SIYO NJIA YA KUOKOKA
Kushika siku yoyote hata iwe Jumapili, sio njia ya kuokoka.Tunaokolewa kwa kumuamini Yesu kuwa ni BWANA na MWOKOZI na sio kwa kushika siku yoyote [WARUMI 10:9-10,13].

SHETANI NI MUISLAM


MUHAMMAD AMSILIMISHA SHETANI
Kitabu Asili ya Majini Ukurasa wa 20 INASEMA: Ni bahati mbaya kwamba Adam na Hawa hawakufanya jitihada za kumwezesha Shetani na wanawe kuomba Msamaha kwa Mwenyezi Mungu, NI MTUME MUHAMMAD TU NDIE ALIYE MSILIMISHA SHETANI AKAWA MUISLAMU.
Haya sio maajabu, maana tumesoma hapo kwenye Quran Surat Al Anaam kuwa Shetani anakaa kwenye NJIA ILIYO NYOOKA YA ALLAH. Na Njia iliyo nyooka ni UISLAMU Quran 6 aya ya 126 Na hii Dini ya Uislam, ndiyo Njia ya Mola wako Mlezi Iliyo nyooka. Tumezipambanua Aya kwa watu wanao kumbuka.
Ndugu zanguni, kwa mara nyingie tumejifuza kuwa Shetani ndie kiongozi wa dini ya Uislam. Shetani ndie yupo kwenye NJIA ILIYO NYOOKA NA AMEKETI HAPO. ZAIDI YA HAPO, SHETANI AMESILIMISHWA NA MUHAMMAD kama tulivyo soma katika Kitabu cha Asili ya Mini Ukurasa wa 20.

WAISLAM WANABEBA MIZIGO YA DHAMBI MPAKA JEHANNAM


Soma Quran Surat An Nahl(16) aya ya 25. Kuna watu wanawapoteza wengine Ili wabebe mizigo ya madhambi Siku ya Kiyama, na sehemu ya mizigo ya wale wanao wapoteza bila ya kujua. Angalia, ni mibaya mno hiyo mizigo wanayo ibeba!
Allah kupitia Quran anawaambia Waislam wote kuwa, hiyo mizigo ya dhambi wanayo beba, NI MIBAYA MNO, na wamepotezwa ili waibebe wenyewe mpaka siku ya kiyama.

MWAMINI BWANA YESU NAWE UTAOKOKA

Matendo ya Mitume 16:30-31
" kisha akawaleta nje akasema, Bwana zangu, yanipasa nifanye nini nipate kuokoka? Wakamwambia, Mwamini Bwana Yesu, nawe utaokoka pamoja na nyumba yako."
Inawezekana nawe unajiuliza ya kwamba unawezaje kupokea kipawa hiki cha Mungu cha wokovu kwa njia ya Yesu Kristo ukisema na kuuliza moyoni "Tutendeje, ndugu zetu?".Jibu linapatikana unatakiwa kufanya yafuatayo:
1. Tubu dhambi zako zote ulizotenda mbele ya Mungu kwa kumwambia kwamba umekosa na muombe akusamehe na akupe nguvu ya kushinda hiyo dhambi ili usije ukaanguka tena.atakusamehe na kukupokea ikiwa utafanya hivyo kwa moyo wako wote na kwa imani.
2. Mwamini Bwana Yesu na mkaribishe kwenye moyo wako na maisha yako.Ni Yesu pekee ndio mwokozi wa ulimwengu na hakuna njia nyingine yoyote ile ya kumfikia Mungu isipokuwa kristo Yesu hata anasema mwenyewe "Yohana 14:6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi."
YESU NI MUNGU

NENO LA MUNGU LINASEMA NINI KUHUSU SABATO? (SEHEMU YA KUMI NA MOJA)


Baada ya kufahamu kuwa, kushika torati kunaambatana na Torati ya Musa “Sehemu ya Kumi”, sasa tuangalie, Je, Sabato ilikomeshwa?
Je, unafahamu kuwa agizo la kushika siku ya sabato na torati yote kwa ujumla, ilikuwa ni huduma ya mauti au huduma ya adhabu ya kifo?
Siandiki mada hii kuhusu “SABATO” kwa sababu napenda kushindana na watu! La hasha! Kwa upande moja, napenda kuondoa utata juu ya mada hii. Kwa upande mwingine, inanihuzunisha sana na nasikia uchungu kuona watu na au Wakristo wenye nia njema tu ya kufanya mema, lakini wanatumia njia au sheria ambayo haina nguvu na ni kivuli tu, huku tukiwa na Yesu ambaye ndie Bwana wa Sabato.
UTHIBITISHO:
Katika kitabu cha 2 Wakorintho 3:7-8 tunasoma, “Basi, ikiwa huduma ya mauti iliyoandikwa na kuchorwa katika mawe, ilikuja katika utukufu, hata Waisraeli hawakuweza kuukazia macho uso wa Musa, kwa sababu ya utukufu wa uso wake; nao ni utukufu uliokuwa ukibatilika. Je huduma ya roho haitazidi kuwa katika utukufu?”
Kwa hiyo torati yote ikiwemo kushika sabato, ilikuwa ni huduma ya mauti. Pia torati haikuwa huduma ya mauti tu, bali ilikuwa ni nguvu za dhambi, kama maandiko yanavyosema katika kitabu cha 1 Wakorintho 15:56, “Uchungu wa mauti ni dhambi, na nguvu za dhambi ni torati.”
Kwa kadiri unavyozidi kuifuata torati ndivyo nguvu ya dhambi inavyozidi, kwa kuwa torati kazi yake ni kubaini makosa. Haina tofauti na darubini ya kupima vijidudu vya magonjwa. Kwa vile torati ilikwisha tolewa katika agano la kale na imetufanya kujua dhambi nini; hivyo katika agano jipya, haupaswi tena kuifuata torati, bali tunapaswa kuifuata dawa ya dhambi, ambayo ni Bwana wetu Yesu Kristu.
UTHIBITISHO:
Warumi 8:2 Biblia inasema, “Kwa sababu sheria ya Roho ya uzima ule ulio katika Kristo Yesu imeniacha huru, mbali na sheria ya dhambi na mauti.”
Kwa ujumla ni kwamba, torati ilikuwa ni huduma ya mauti, kwa kuwa sheria walizoshindwa kuzifuata Wana wa Israeli, iliwalazimu kuuawa. Watu wengi walikufa kwa nguvu ya torati; mfano mtu ambaye hakushika sabato aliuawa (Kutoka 31:14-15; Kutoka 35:2-3).
Mtu aliye jaribu kukusanya kuni siku ya sabato kwa kusudi la kujipikia chakula aliuawa (Hesabu 15:32-36).
Watu wagonjwa hawakutakiwa kutibiwa siku ya sabato hivyo kusababisha watu wengi kufa (Luka 13:14), kitu ambacho si mpango wa Mungu.
KUMBE HATA WAISRAELI WALISHINDWA KUISHIKA TORATI
Hata hivyo, pamoja na torati kuwa ni huduma ya mauti, pia Wana wa Israeli wenyewe, hawakuweza kudumu katika lile agano la kwanza walilofanya na Mungu, hivyo kufanya agano hilo, kutofanikiwa;
UTHIBITISHO:
Yohana 7:19 tunasoma, “Je! Musa hakuwapa torati? Wala hakuna mmoja wenu aitendaye torati.”

KWANINI AGANO HUVUNJWA AU VUNJIKA?

MUHAMMAD ALIFUMANIWA NA KIJAKAZI WA MKEWE


Siku moja mtume (s.a.w) Alikuwa Nyumbani kwa Mkewe Hafsa bint Umar, Hafsa akaenda kwa Baba yake kumjulia hali, Mtume (s.a.w) alimwita Mjakazi wake bibi Mariya Alqbitiyya, akawa nae Chumbani, Aliporudi Hafsa Akasema Maneno makali kwa Mtume juu ya tendo hilo (s.a.w) Mtume akasema nakuhakikishia Kuwa: Kuanzia Leo Sitamwingilia tena, mjakazi wako.
(Tafsir Ibn Kathir J. 6 Uk. 367)
Je, huku kufumaniwa ndio sifa za kitume?

KUMBE MUHAMMAD ALIKUWA NA CHANGU DOA


Sunan Abu-Dawud, Kitabu 38, Namba 4458: Amehadithia Ali ibn AbuTalib: "Mtumwa wa Kisichana ambaye alikuwa mali ya nyumba ya Mtume wa Allah aligawa Uroda kwa Rafiki ya Muhammad. Basi Nabii wa Allah akasema kwa Ali: Nenda na ukampe adhabu Muasherati wangu kwa kufanya Ngono bila ya ruhusa yangu. Ali akaharakisha kwenda alipo yule Mtumwa wa Kisichana wa Muhammad na kuona damu ilikuwa inatiririka kutoka kwake, na bila kuacha. Hivyo Muhammad alikwenda kwake na akasema: Mwache damu iendelee kutiririka mpaka itakopo simama; kisha mpe adhabu kwa mujibu wa dhambi yake".
Je, kuwa na chagu doa ni sifa ya kiutume?

An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance

  Title: An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance Au...

TRENDING NOW