Friday, June 12, 2015

MUHAMMAD NI NABII NA MTUME PEKEE ALIYE PATA UTUME KWA KUUGUA HOMA, NA ALIYEKUFA KWA KUUGUA HOMA


Abel Suleiman Shiriwa
Sijambo la kustaajabis kuwasikia Waislamu
waKIMNADI Muhammad kuwa ni mtume wa Mwenyezi Mungu, na tena mbaya zaidi
husema kuwa yeye ndiye kiongozi wa mitume na mwisho wa Manabii, NA MBORA WAO.
yaani wakiwa na maana kuwa,
Ibrahimu
Isaka
Musa
Yusufu
Yona
Haruni
Eliya
Daudi
Yohana
Yesu
Wapo chini ki ubora dhidi ya Muhammad, kwa hivyo Marehemu Muhammad, yeye ni mbora wao,
maana yeye ni kipenzi cha Mwenyezi Mungu, jambo hili kwa mtu mwenye akili timamu, haliwezi kumuingia kabisa, kwani Muhammad thamani yake inazidiwa na hata Yuda Isakariote (Aliyemsaliti YESU) seuze Manabii hao? Ukimzungumza Eliya tu pekee ambaye yeye kwa Yesu hafiki hata robo, bado Eliya yupo juu mara 100,0000. dhidi ya marehemu Muhammad, na pia ni Makosa makubwa sana kwa Mkristo kusema eti Muhammad siyo nabii wala siyo mtume, ukimkuta Mkristo anakataa utume wa Muhammad, basi tambua kuwa huyo Mkristo hasomi kabisa habari za Yesu Kristo, kwani kila Mkristo ni lazima atambue kuwan Muhammad ni Mtume na NABII, swali la msingi sasa ni hili

JE! NI MTUME NA NABII WA UKWELI?

QURAN YAMKIRI YESU KUWA NI MUNGU WA KWELI

Mwandishi Abel Suleiman Shiriwa

Katika vitu ambavyo waislamu huwasumbua vichwa na akili zao, ni kuhusu Uungu wa Yesu, sema vitu vyote lakini ukifika hapo kwenye Uungu wa Bwana Yesu basi mnapotezana, na kitu ambacho kinawafanya waislamu washindwe kukubali kuwa yeye ni Mungu, ni ukosefu wao wa ROHO MTAKATIFU, maana mtu hawezi kukiri kuwa Yesu ni Bwana (Mungu) kama hana ROHO MTAKATIFU, kama yasemavyo maandiko.
2 Korintho 12: 3 Kwa hiyo nawaarifu, ya kwamba hakuna mtu anenaye katika Roho wa Mungu, kusema, Yesu amelaaniwa; wala hawezi mtu kusema, Yesu ni Bwana, isipokuwa katika Roho Mtakatifu.
Kwa hivyo Ndugu yangu Mkristo unapojadiliana na Muislamu kuhusu Habari za Uungu wa Yesu, kamwe hawezi kukubali mpaka ROHO MTAKATIFU auhusike, kinyume na hapao itakuwa ni sawa na kumpigia mbuzi Gitaa, kwa hivyo hoja zake zote zitaegemea katika hali ya Kuutazama mwili kama ambavyo Elisabeti, alimtazama Yesu kama mtu wa kawaida sana ambaye atazaliwa na Mariam, lakini mara baada ya kujazwa na Roho Matakatifu, ndipo alipokiri kuwa Yesu ni Bwana yaani Mungu wake.
Luka 1: 39 Basi, Mariamu akaondoka siku hizo, akaenda hata nchi ya milimani kwa haraka mpaka mji mmoja wa Yuda,
40 akaingia nyumbani kwa Zakaria akamwamkia Elisabeti.
41 Ikawa Elisabeti aliposikia kule kuamkia kwake Mariamu, kitoto kichanga kikaruka ndani ya tumbo lake; Elisabeti akajazwa Roho Mtakatifu;
42 akapaza sauti kwa nguvu akasema, Umebarikiwa wewe katika wanawake, naye mzao wa tumbo lako amebarikiwa.
43 Limenitokeaje neno hili, hata mama wa Bwana wangu anijilie mimi?
Hapo tumeona ni namna gani Umuhimu wa ROHO MATAKATIFU, katika kumjua Yesu kuwa ni Mungu, kwa kuwa Waislamu hawana Roho Mtakatifu, kazi yao hasa ni kumtaza Yesu alipoutwaa Mwili wa Kibinadamu, na kuwa na asili ya mtu, na kuuficha Uungu wake katika mwili, ndo maana akawa akiijita Mtume, Mwana, Kuhani, na hata Nabii, sasa leo sina lengo hasa la kuueleza Uungu hasa wa Yesu, kiundani kwa Biblia, bali nataka niitazame Quran namna ambavyo imemkiri Yesu kuwa ni Mungu, kwa kueleza Sifa za Mungu, ambazo Yesu anazo, kwa hivyo nitaeleza SIFA 5 NDANI YA QURAN ambazo zinakiri UUngu wa Yesu.
(1) Mungu ni mwenye kujua yaliyomo katika nyoyo za watu.
رَّبُّكُمْ أَعْلَمُ بِمَا فِي نُفُوسِكُمْ إِن تَكُونُواْ صَالِحِينَ فَإِنَّهُ كَانَ لِلأَوَّابِينَ غَفُورًا
Quran 17:25. Mola wenu anajua sana yaliyomo nyoyoni mwenu, kama mkiwa wema, basi hakika yeye ndiye Mwenye kusamehe wenye kurejea.

IBADA YA VIATU NA SHUTUMA ZA WAISLAMU KWA WAKRISTO

SOMO LA LEO:
“IBADA YA VIATU NA SHUTUMA ZA WAISLAMU KWA WAKRISTO”
Kumekuwepo na shutuma nyingi sana kutoka kwa jirani zenu walio kushoto (Waislamu) wakitushutumu sisi Wakristo kwa kuingia kwetu Ibadani hali ya kuwa tumevaa Viatu, wakati wao wanapoenda kuswali msikitini, huingia bila viatu, kuonesha kwamba wao ndiyo wenye kufanya Ibada sahihi kuliko watu wa imani zingine zote Ulimwenguni, shutuma hizo huambatanishwa na baadhi ya maandiko ndani ya Biblia, ambayo kwa sehemu kubwa sana yametumika kuwasilimisha Wakristo (Kuwaingiza kwenye uislamu) wakidhani kwamba, kuingia kwao huko wataenda kufanya Ibada sahihi inayodhaniwa na jamaa zetu waislamu, ibada ya kuvua Viatu, maandiko ambayo huyatumia ni haya:
Kutoka 3:4 Bwana alipoona ya kuwa amegeuka ili atazame, Mungu akamwita kutoka katikati ya kile kijiti, akasema, Musa! Musa! Akasema, Mimi hapa.
5 Naye akasema, Usikaribie hapa; vua viatu vyako miguuni mwako; maana mahali hapo unaposimama ni nchi takatifu.
Yoshua 5:15 Huyo amiri wa jeshi la Bwana akamwambia Yoshua, Vua viatu vyako miguuni mwako; kwa kuwa mahali hapo usimamapo ni patakatifu. Yoshua akafanya vivyo.
Mandiko haya ndiyo ambayo huwafanya waislamu wavue viatu vyao msikitini, hata wengine kuzifunga YEBO YEBO, au Kandambili zao kwa kutumia kamba, au Kufuri, ili tu kuzuia wezi wasiwezi kuiba yebo yebo zao, hata kama zimetoboka, na maandiko hayo pia yametumika kuwasilimisha Wakristo wengi bila wao kujua kuwa walipotoshwa, sasa fuatana nami katika somo hili ili uweze kujifunza juu ya Ibada hii ya kusali na Viatu, au kusali bila viatu:
1. MUSA NA KUVUA VIATU KATIKA NCHI TAKATIFU

ATHARI YA MKRISTO KUOANA NA MUISLAMU

Abel Suleiman Shiriwa's photo.
Imeletwa kwenu na Abel Suleim Shiriwa
Imekuwa ni jambo la kawaida kushuhudia Wakristo na waislamu wakiishi pamoja kama mke na mume, na wengi wao huona ni jambo sahihi, kwa sababu Mungu wetu ni mmoja, kwa hivyo hata kama ataolewa na muislamu, hakuna tatizo kwake, tena kama ataoneshwa mapenzi ya dhati kwa kipindi fulani, basi hapo atajiona kuwa amefika sehemu salama, na wengine hujitetea kupitia andiko ambalo Paulo alitoa ushahuri kuhusiana na mtu aaminie kuishi na mtu ambae hana imani kama yake:
1 Korintho 7:12 Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana, ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asimwache.
13 Na mwanamke, ambaye ana mume asiyeamini, na mume huyo anakubali kukaa naye, asimwache mumewe.
14 Kwa maana yule mume asiyeamini hutakaswa katika mkewe; na yule mke asiyeamini hutakaswa katika
Andiko hili Watu wengi hulitumia vibaya, wakidhani kwamba, limewapa ruhusa ya Mkristo kuolewa na mtu ambae si Mkristo, Kwanza hapo naomba ifahamke kwamba, katika maelezo hayo ya PAULO, hakuna ndoa baina ya mtu asie amini (Asiye Mkristo) na Mkristo ambae ameamini, ndiyo maana Paulo akasema:
1 Korintho 7:15 Lakini yule asiyeamini akiondoka, na aondoke. Hapo huyo ndugu mume au ndugu mke hafungiki. Lakini Mungu ametuita katika amani.
Amesema huyo asie amini kama ataamua kundoka, basi ni ruksa kwake kuondoka, na hapo hapatakuwa na kizuizi cha Mkristo kuoa au kuolewa, ushauri huo hakumlenga Mkristo na Muislamu, bali ulilenga juu wa watu ambao Walipelekewa Injili huko Korintho, kuna baadhi ya watu ambao walilipokea neno, wakaamini, lakini wengine hawakukubali, na miongoni mwa wale ambao hawakukubali, walikuwa tayari wanaishi na kama mume na mke na wale ambao wamekwisha kuamini, kwa hivyo Paulo hakutaka kuwatenganisha, akawataka wale walioamini waendelee kuishi nao, kwa ushauri wake Paulo, na si agizo la Yesu, maana aliamini kwamba kupitia jambo hilo, huyo asie amini anaweza kuongoka kupitia mume au mke alie ongoka, ila kwa wale ambao walioana katika ndoa inayokubalika kwa Mungu, aliweka msimamo wa Yesu mwenyewe akasema:
1 Korintho 7:10 Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe;
11 lakini, ikiwa ameachana naye, na akae asiolewe, au apatane na mumewe; tena mume asimwache mkewe.
Hapo aliposema kuwa waliokwisha kuoana, maana yake wale ambao ndoa zao zinatambulikana na Mungu, (Hawakuchukuana tu na kuanza kuishi pamoja) bali hao ni wale ambao tayari wameshaunganishwa na Mungu, kwa kufuata taratibu zote, akasema hakuna ruhusa ya kuachana, kama ilivyo kwa mtu asie amini na aaminie, hata kama mmefunga ndoa, ikatokea mmoja akakengeuka, hakuna ruhusa hiyo ya kuachana, mke akae bila kuolewa, na mume nae pia akae bila kuoa.
Mathayo 19:5 akasema, Kwa sababu hiyo, mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe; na hao wawili watakuwa mwili mmoja?

ABEL SULEIMAN:KWA NINI NILIAMUA KUACHANA NA UISLAMU NA KUWA MKRISTO?

SEHEMU YA 1
UTANGULIZI:
Hii ni sehemu ya ushuhuda wangu, ambao nitaeleza ni sababu gani ambayo ilipelekea niachane na uislamu, na hatimae kuwa Mkristo, Katika DVD ya ushuhuda wangu, nilieleza kwa kifupi, na mengi sikuyasema, nilieze hasa harakati zangu katiks mihadhara, ila hapa nitachumbua mengi zaidi.
Nimezaliwa miaka 27 Iliyopita, katika JIJI LA MWANZA (Rock city) Jina langu ambalo nilikuwa nalitumia katika uislamu, ni Aboubakar, nimesoma Madrasa Pale THAQAAFATUL ISLAMIYA, Mwanza, karibu na Shule ya msingi Mirongo, shule hiyo imepakana na Lake Secondary School, pia na Ipo karibu na hospitali ya Seketule.
Miongoni mwa walimu wangu wa madrasa, ni:
Ramadhani Maganga
Ustadh Kikatani
Ustadh Hassan Lolo.
Ustadh Kaisy
Ustadh Shekue.
Pia nilisoma Madrasa iliyopo TAQWA, maeneo ya Ghana, chini ya Sheikh Abdallah Panya, pia Ghana mtaa wa kifua Wazi, kwa Ustadh, Thuqmal bin Hussein (Huyu ni ustadh aliyekuwa ana diri na Elimu za dua za kafara, kuchinja mbuzi, kuku na kisha kutuchukya kwenda kufanya zindiko ndani ya nyumba, kwa kutumia vitabu mbali mbali vya kiislamu) Nitaeleza habari zake katika mwendelezo wa ushuhuda wangu....

HATUUTAKI UISLAMU KWA KUWA MUHAMMAD HAJUI KAMA ATAINGIA PEPONI AU MOTONI

1. Allah ashindwa kumwakikishia Muhamamd wapi ataingia baada ya kifo.
2. Muhammad akiri kuwa yeye hataingia peponi.
3. Muhammad akiri kuwa Waislam wote wataingia Jehannam.
Ndugu wasomaji,
Leo hii naanza moja kwa moja na ushahid wa Quran kuwa, Muhamamd hajui atafanywa nini baada ya kiifo. Huu ni Msiba mkubwa sana kwa Waislam wanao fuata unabii wa Muhammad asiye juwa wapi anaenda.
Qur’an 46;9 (Surat Al-Ahqaf) Sema; mimi si kiroja (mpya) katika mitume wala sijui nitakavyofanywa, wala mtakavyofanywa ninyi, sifuati yaliyofunuliwa kwangu, sikuwa mie lolote, ila ni muonyaji tu ninayedhihirisha.
Hadithi ya Abu Huraira (r.a) amesema, Mtume wa Allah (s.a.w) amesema, “Hakuna yeyote miongoni mwenu atayeokolewa na amali yake” Wakasema hata wewe mtume wa Allah? Mtume (S.A.W) akasema, “Wala mimi isipokuwa anifunike Allah kwa rehema zake; hivyo fanyeni amali njema kwa uadilifu” (Bukhari Hadithi Na. 470, Juzuu ya
Hadithi ya Aisha kutoka kwa Mtume (s.a.w) amesema, “Fanyeni yaliyo sahihi na yatekelezeni, na furahini kwa kuwa hakuna yeyote atakayeingiziwa peponi kwa amali (matendo) yake” Wakauliza ‘hata wewe mtume wa Allah?’ Mtume (s.a.w) akasema, ‘Hata mimi isipokuwa kama Allah atanifunika kwa rehema zake” (Bukhari Hadihthi Na. 474, Juzuu ya
Sasa kama mtume mwenyewe hajui hatima yake siku ya mwisho kuna haja gani Wakristo tunaojitamua kuufuata UISLAMU? Yaani tumwache Yesu mwenye uhakika na watu wake na kile atakachowapa wanaomfuata
Yohana 10;27-28
27 Kondoo wangu waisikia sauti yangu, nami nawajua, nao wanifuata.
28 Nami nawapa uzima wa milele, wala hawatapotea kamwe, wala hakuna mtu atakayewapokonya katika mkono wangu.
Eti tuufuate Uislamu chini ya kiongozi Muhammad ambaye hajui hatima yake kama ataenda peponi, au ataenda motoni, bila shaka kwa Mkristo anayejitambua hawezi kuwa Muislamu.
Hakika Muhammad alikuwa Mtume Bandia na Allah ni Mpinga Mungu.
Karibuni kwa Yesu aliye hai,
Max Shimba Ministries Org.

HIVI KATI YA ALLAH NA ISSA BIN MARYAMU NANI ALIUMBA, FUFUA WATU NA KUPONYA?

a. Isa Bin Maryam anaumba
b. Allah anaumba na wasaidizi wake.
c. Isa bin Maryam, anafufua wafu, lakini Allah na Muhammad hawakuwai fufua mtu hata mmoja.
d. Isan bin Maryam anaponya watu, lakini Allah na Muhammad hawakuwai ponya mtu hata mmoja.
Je, Kati ya Isan bin Maryam na Alla, nani ni zaidi? Hebu ungana nami katika somo hili fupi la nani zaidi kati ya Allah na Isa bin Maryam.

1.ALLAH NA WASAIDIZI WAKE!Q 7:11. Na hakika TULIKUUMBENI, kisha tukakutieni sura, kisha tukawaambia Malaika: Msujudieni Adam.Basi wakasujudu isipo kuwa Iblisi, hakuwa miongoni mwa walio sujudu.
Kama ni kweli kuwa Allah hana wasaidizi, mbona anatumia wingi? Hivi Allah na akina nani hao wanaumba? Hivi Allah alikuwa anaongea na nani hapo?

2.ISSA BIN MARYAM PEKE YAKE!Q 3:49. Na ni Mtume kwa Wana wa Israili kuwaambia:Mimi nimekujieni na Ishara kutoka kwa Mola Mlezi wenu,ya kwamba NAKUUNDIENI kwa udongo kama SURA ya ndege.Kisha nampuliza anakuwa ndege kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na ninawaponesha vipofu wa tangu kuzaliwa na wakoma, na ninawafufua maiti kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, na ninakwambieni mnacho kila na mnacho weka akiba katika nyumba zenu.Hakika katika haya ipo Ishara kwenu ikiwa nyinyi ni wenye kuamini.
Isan bin Maryam yeye anaumba kama ilivyo thibitishwa kwenye aya hapo juu. Zaidi ya hapo, Isa Bin Maryam anaponyesha wagonjwa na kuwafumbua macho vipofu.
Isa bin Marya anafufua na wafu. Je, mbona Allah hakuwa fufua wafu kwa kupitia Mtume Muhammad?
Je, mbona Allah hakuwai ponya watu kwa kupitia Mtume Muhammad?
Hivi, kuna muujiza wowote ule ulio fanywa na Allah au Muhammad au Jibril?

KWA AYA HIZO NAULIZA:1.Sifa ya kuumba ni ya nani? Kama ni ya Mungu,Je,Issa bin Maryam ni Mungu?
2. Nataka kujua ni watu gani waliumbwa na Allah na ni watu gani waliumbwa na Issa bin Maryam ?
3.Kwa kuwa Waislamu wanasema Issa ni Yesu,si kwamba tayari kwa aya hiyo tayari wanakubali kuwa YESU NI MUNGU?
4.Kati ya Issa na Muhamaad nani MBORA wa Viumbe vyote? Issa kaumba viumbe vyote,kafufua wafu,kawafanya vipofu waone lakini huyu Muhamaad hakuumba,hakufufua,hakuwaponya vipofu !

Sunday, June 7, 2015

KUMBE KORAN HAIKUTEREMSHWA KUTOKA KWA ALLAH


Ni Nani Walikuwa Waandishi Wa Quran Tukufu Wakati Wa Mtume Muhammad?
Je, ungependa kuwafahamu waandishi wa Koran?
Katika somo letu la leo, tutajifunza kuhusu waandishi wa Koran. Je, ni kweli Koran ilishushwa?
Je, kuna ushaidi wa kutosha wa kusaidia madai ya kuteremshwa kwa Koran?
Unaposema kuwa Allah ndie mwandishi wa Qur'ani, ni uongo mkubwa sana na wengi wameukubali huu uongo na udanganyifu kwamba eti Koran ilishushwa wakatia inafahamika kuwa iliandikwa miaka 1400AD.
Mtu mwenye fikra anaweza kusema bila ya wasiwasi kuwa Qur'ani iliandikwa na watu kadhaa ambao wanajulikana kimajina. Waandishi Mashuhuri zaidi miongoni mwao ni hawa hapa:
Imrul Qays-mshairi: wa kale wa Arabia ambaye alifariki miaka michache kabla ya kuzaliwa Muhammad
Zayd b. Amr b. Naufal:-'lililopotoka' wa wakati wake ambaye alihubiri na kupandwa Hanifism
Labid:-mshairi mwingine
Hasan b. Thabit:-mshairi rasmi wa Muhammad
Salman: – Mshauri wa Kiajemi wa Muhammad
Bahira:-Nestoraian Mkristo mtawa wa Kanisa huko Syria
Jabr:-Jirani wa Kikristo wa Muhammad
Ibn Qumta:-Mtumwa wa Kikristo
Khadija:-Mke wa kwanza wa Muhammad
Binamu Waraqa:- Ndugu ya Khadija
Ubay b. Katibu Ka'ab;-Muhammad na Mwandishi wake
Muhammad: – Mwenyewe
Hapa chini, nitaandika historia fupi ya baadhi ya waandishi wa Koran. Nitaanza na Bahira ambaye alikuwa ni Mtawa wa Kikrito.
Bahira
Bahira alikuwa Mtawa wa Kikristo wa Nestorian aliyeishi katika Sham (Syria). Jina lake la Kikristo lilikuwa Sergio Georgius. Inaaminika kwamba alifukuzwa kutoka utawa baada ya makosa.
Katika mji wa Makkah, alikutana na Muhammad, akawa karibu sana na yeye na kukaa pamoja naye. Yeye alikuwa na mazungumzo ya siri na Muhammad, ambayo yeye hakika alimwambia Muhammad mambo mengi ya Ukristo. Aya kadhaa katika Qur'an zinazozungumzia Ukristo zilitoka kwa huyu Mtawa Bahira.

Friday, June 5, 2015

Pursue, Overtake and Recover


Scripture Reading: 1 Samuel 30
Confessions: Psalms 18:37
Praise Worship
1. Thank God for His love, and mercy on you.
2. Praise the Lord with this chorus: “Who is like unto Thee . . .?”
3. The Lord should ordain terrifying noises unto the camp of the enemies of the gospel in my life (II Kings 7:6,7).
4. I command every satanic embargo on my goodness and prosperity to be scattered to irreparable pieces, in the name of Jesus.
5. Let every door of attack on my spiritual progress be closed, in Jesus’ name.
6. Holy Spirit, set me on Fire for God.
7. I command all my imprisoned benefits to be released, in Jesus’ name.
8. The Lord should anoint me to pull down negative strongholds standing against me, in the name of Jesus.
9. Let the thunder fire of God strike down all demonic strongholds manufactured against me.
10. The Lord should anoint me with the power to pursue, overtake and recover my stolen properties from the enemy.

Prayers for Success and Breakthroughs in Business

Confessions: Psalms 56:9; 32:8; 23:1,6 Exodus 23:20

Praise Worship
1. Let all my enemies turn back because God is for me.
2. As you are turning back, let the doors of business opportunities open for me; morning, afternoon and evening.
3. Let profitable business meet me on the way in Jesus’ name.
4. No devourer shall destroy the fruit of my labor in Jesus’ name.
5. You devourers and wasters of fortune, I command you to depart from my life in the name of Jesus.
6. I use the Blood of Jesus Christ to wash my hands and my entire body and make them clean today.
7. I retrieve my blessings from every evil attack in Jesus’ name.
8. I break every curse of failure in the name of Jesus.
9. Let the Lord reveal to me every secret behind the problem.
10. I command the devil to take off his legs from any money that belongs to me in the name of Jesus.
11. Let the ministering spirits (God’s Angels) go forth and bring in blessings unto me in the name of Jesus.
12. Let the rod of iron fall on any strange money passed to me in Jesus’ name.
Release of Prosperity on Business & Business Transactions
Confession: Deut. 3:19; 31:66, Psalm 46:1,5; 68:19; 35:27b; 24:1 Jer. 32:27, Phil. 4:19, 3John 2, 1Sam. 30:8, Job 22:28, Mat. 7:7

Praise Worship
Confess this modified version of Psalm 23:
The Lord is my banker ; I shall not owe. He maketh me to lie down in green pastures; He restoreth my loss: He leadeth me beside still waters. Yea though I walk in the valley of the shadow of debt, I will fear no evil, for thou art with me; thy silver and thy gold, they rescue me. Thou preparest a way for me in the presence of business competitors; Thou anointed my head with oil, my cup runneth over. Surely goodness and mercy shall follow me all the days of my life and I shall do business in the name of the Lord. Amen.

An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance

  Title: An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance Au...

TRENDING NOW