Wednesday, October 26, 2016

NENO LA MUNGU LINASEMA NINI KUHUSU SABATO? (SEHEMU YA SABA)


Msomaji wangu,

Tumesha zisoma aina tatu za Sabato katika Sehemu Ya Sita, sasa, tuangalie malengo ya Sabato.
Wanao jiita Wasabato wa karne hii, hawafamu lengo la kushika sabato kwa wana wa Israeli. Kwa kifupi, lengo la kushika Sabato kwa Wana wa Israeli lilikuwa ni kupumzika kazi na kustarehe tu na wala si vinginevyo.
Kitu cha kushanganza, wanaojiita Wasabato katika karne ya leo, wameigeuza sheria aliyo pewa Musa na wana Waisraeli ya kushika sabato kama ni siku ambayo Mungu ameamuru wafanye ibada, kinyume kabisa na kusudi zima na maana halisi ya neno sabato. Watu hawa wamekuwa na tabia ya kuwashutumu wakristo wengine na kusema kuwa, Jumamosi ndiyo siku halali ya kufanya ibada, lakini Jumapili, ni siku ambayo haikuamriwa na Mungu, watu kukusanyika kufanya ibada. Zaidi ya hapo, wanasema kuwa eti Jumapili ni siku ya kipagani. Wasabato hawa wanaihusisha siku ya Jumapili na waabudu JUA, kwa kufanya tafsiri ya neno la Kiingereza ‘Sunday’ – WANALIGAWA NENO “SUNDAY” KWA KUTENGANISHA SUN AND DAY, SUN = JUA NA DAY = SIKU Na kuja na jibu kuwa wale wote wanao abudu Jumapili basi wao wanamwabudu Mungu JUA, ingawa tuna uthibitisho tosha kuwa Wakristo wa kwanza walimwabudu Yesu ambaye alikufa kwa ajili ya dhambi zetu na SIO MUNGU JUA kama wanavyo dai. Ili kufahamu kwanini kuna siku hizi za wiki na maana yake, ni vyema kuangalia msingi wa hizi siku na jinsi walivyo ziweka. MFANO: Tuiangalie siku ya JUMAMOSI ambayo kwa Kiingereza ni SATURDAY, je, hili jina walilipataje? Kutokana na Warumi siku hii ya SATURDAY iliitwa kutokana na SAYARI YA ZOHALI yaani (dies Saturni) kwa sababu Warumi wa wakati huo waliheshimu sayari Zohali. SASA KAMA TUKITUMIA UTAALAMU HUO HUO WA KUHUSISHA SIKU NA IMANI AU DINI, JE, INAMAANISHA KUWA WASABATO “SDA” WAO WANAAMINI NA AU ABUDU SAYARI YA ZOHALI?
Kitu ambacho hawa Wasabato hawakifahamu ni hiki: Agizo la kushika sabato na siku ya kukusanyika ni vitu viwili tofauti na ni maagizo mawili tofauti ambayo wana wa Israeli walipewa kuyatekeleza.
AGIZO LA KUKUSANYIKA KUFANYA IBADA:
Katika agizo la kukusanyika kwa wana wa Israeli, Mungu alitoa siku mbili yaani Jumapili na Jumamosi, ingawa wasabato karibu wote hawalijui jambo hili, maana hao wamekaririshwa siku ya sabato tu yaani Jumamosi.

UTHIBITISHO:
Tunaweza kuthibitisha ukweli huu katika kitabu cha Kutoka 12:16 Biblia inasema, “SIKU YA KWANZA kutakuwa kwenu na kusanyiko takatifu, na SIKU YA SABA kutakuwa na kusanyiko takatifu, haitafanywa kazi yoyote katika SIKU HIZO, isipokuwa kwa hiyo ambayo kila mtu hana budi kula, hiyo tu ifanyike kwenu.”

Mungu aliwaamuru wana wa Israeli wakusanyike siku ya kwanza ya juma yaani Jumapili na siku ya saba yaani Jumamosi kwa kalenda ya kwetu. Pia Mungu hakuwaagiza kukusanyika tu, bali aliwaagiza wasifanye kazi pia. Lakini wanaojiita wasabato nyakati za leo, wanapinga kukusanyika Jumapili sawasawa na maagizo ya torati wanayodai kuifuata.
1. Swali ni kwamba, mafundisho yao ya kukusanyika siku ya sabato yametoka wapi?
2. Kama ni kwenye Biblia mbona siku moja hii wameiacha?
3. Je aliyetoa agizo la siku ya sabato ni Mungu mwingine na aliyetoa agizo katika kitabu cha Kutoka 12:16 (yaani kukusanyka siku ya Jumapili) ni Mungu mwingine?

AER LINGUS: One airline you shouldn’t expect to protect you from potential Muslim terrorists


luckofthemuslims-e1431497410316When a verbal altercation broke out between a non-Muslim and some Muslim passengers on flight EI0330 from Dublin to Berlin, Aer Lingus proceeded to kick the non-Muslim off the plane, based solely on the testimony of another Muslim passenger on the flight .

BEST U.S. AIRLINES to fly if you want to minimize the chances of finding yourself on a plane with potential Muslim terrorists

Independent  According to the other Muslim passenger Khalid Wafiq Kamel on the flight who observed the altercation writing on on Aer Lingus’s Facebook page (below):

14641915_10154482409520446_4353177471356214265_n
I was on Aer Lingus 0330 flight this morning from Dublin to Berlin. Before taking off, a passenger showed an abusive behaviour against two other Muslim passengers. The crew reacted promptly to stop him, and the offending passenger was removed from the flight. I would like to send a special Thank You to Captain O’Shea and the rest of the crew for making my day. As a Muslim, I felt safe and respected being in Ireland and on Aer Lingus. As one of the crew said ‘We are all equal’. Thank you Aer Lingus 

 Aer Lingus declined to comment specifically on the incident about what was said and who started it.

What you probably didn’t hear about in America but was reported in the UK Daily Mail: Fire spread across Aer Lingus passenger jet after ground equipment bursts into flame at Orlando airport leaving 200 passengers stranded.

UK Daily Mail  An Aer Lingus passenger jet  due to depart for Dublin, became engulfed in flames while it was refuelling at a Florida airport. Two baggage handlers were seriously injured in the fire and 193 passengers were left stranded after a large section of the plane burst into flames last week.

39561ce200000578-3834852-image-a-3_1476296115933

Baggage handlers Kevin Charles and Alexix Salgado were both seriously injured in the incident – after both being engulfed in flames while they worked near the cabin hold. They sustained life-changing first, second and third degree burns and one of them broke their leg while trying to jump to safety. 

A total of 193 passengers, who were either on the aircraft or in the process of boarding, escaped unharmed. However, they were left stranded as a result of the incident – with some describing their ordeal as the ‘trip from hell’.

Colin Boylan, County Monaghan, Ireland, was preparing to fly home when he was caught up in the chaos. ‘We were literally all about to board smiling and excited them panic of people running screaming and smoke from our plane. ‘I never want to experience drama like that in an airport again.

 Aer Lingus declined to comment specifically on the incident or what caused it.

islamic_eire

GERMANY: Syrian Muslim so-called ‘refugee’ with four wives and 23 children raking in $391,000 per year in welfare benefits for his harem and large litter


one-muslim-family-mooching-off-uThis Muslim serial freeloader known only as Ghazia A, fled  last year along with his sickeningly large immediate family. He has since resettled in Germany with his four wives and 23 of his children. One of his daughters has since moved to Saudi Arabia where she has married.

(While none of the photos here are of the family in question, they show the typical size of Muslim families that are being supported by hard-working European taxpayers)

84ceb1cebdceb1cf83cf84ceb5cf83-vi

UK Express (h/t Rob E)   The family is estimated to be receiving more than $391,000 a year in benefits according to a financial manager on the Employers’ Association website. There is no official confirmation on this figure.

Under Islamic tradition, the 49-year-old can have up to four wives – as long as he can support them financially (and he knew he’d be in for a lifetime windfall of free benefits for his wives and as many future freeloaders-in-training they can push out).

10001861_h11964295-600x399-2

Germany does not legally recognize polygamy, meaning that Ghazia A was forced to choose a “main wife” so the rest of the family could claim benefits. The other three wives are categorized as “friends” of the Syrian Muslim freeloader for life.

But a local official in the town of Montabaur described the situation as an “exemption” (only available to Muslim parasites)

family1-e1460094431346

Ghazia A now lives with his “main” wife Twasif and their five children in Montabaur, in the state of Rhineland-Palatinate – while the other three wives and children have been moved into neighbouring communities up to 31 miles away (where they also get free benefits for life).

The man used to work in a garage and car hire service in his homeland but has not worked since resettling in Germany. (Why should he when he can get what he needs without lifting a finger…except to cash the welfare checks)

comment_4btuchlqvrgkrsqgerktujketrzi3xs7

Mr Ghazia expressed an interest in working again but noted his commitments to his family made this difficult. He said: “In our religion it is my duty to visit every family and to be with them.” (“I’m much too busy to actually look for a job”)

One of Ghazia’s neighbours, Sergei Jaufmann, said: “The children play football in the street. The mother I often see, when it comes back from shopping (loaded with stuff other people have paid for in advance).”

Social media users vented their frustrations, with one claiming “the Syrian with 4 women and 23 children is now being sold to us as a new normality.”

muslim-welfare

ALLAH ANASEMA KUWA DUNIA NI KAMA ZULIA, KUMBE ALLAH HAKUUMBA DUNIA


Elewa kuwa namba za aya zinatofautiana kwenye matoleo tofauti ya Kurani. Namba hizi za aya zifuatazo zimetolewa kwenye (toleo lililorekebishwa la) Yusuf ‘Ali. Nimesahihisha matumizi ya herufi kubwa.

ETI DUNIA IPO KAMA ZULIA:
Sura 20:53 "Yeye aliyeiumba dunia kwa ajili yako kama zulia ameisambaza"
VIOJA VINAANZA, ALLAH KAUMBA DUNIA KAMA ZULIA 'CARPET'
Sura 50:7 "Na dunia – tumeisambaza 4946, na tumeweka milima juu yake …"
Rejeo la Yusuf ‘Ali la 4946 chini ya ukurasa linasema, "Linganisha xiii. 3; na xv. 19 na rejeo la 1955.

Sura 67:15 "Ni Yeye aliyeifanya dunia iweze kuthibitiwa 5571…" Tafsiri nyingine zinatumia neno "usawa." Rejeo la 5571 la Yusuf Ali chini ya ukurasa linasema, "Zalul inatumiwa kwenye ii.71 kwa mnyama aliyefunzwa na anayeweza kuthibitiwa: hapa linatumika kuielezea dunia, na nimelitafsiri kama ‘inayoweza kuthibitiwa’…."

ETI MWEZI UNATOA MWANGA
Sura 71:15 "‘Je hamuoni jinsi Allah alivyoumba mbingu saba moja juu ya nyingine ‘NA ALIUMBA MWEZI UWE MWANGA KATI YAO, na aliumba jua liwe taa ing’aayo?" Hata kama ikichuliwa kuwa hii ni lugha ya kufananisha, hakuna kitu chochote chenye kuashiria mafundisho ya kisasa ya unajimu.
ETI MWEZI UNATOA MWANGA KWENYE AYA HAPO JUU YA SURA 71 AYA 15. HUU NI MSIBA.
DUNIA NI ZULIA, ASTAGHAFURILLAH.
Sura 71:19 "‘Na Allah aliiumba dunia kwa ajili yako kama zulia (lililosambazwa),5718…" Rejeo la 5718 la Yusuf ‘Ali chini ya ukurasa linasema, "linganisha xx 53.

Sura 78:6-7 "Sisi [Allah] je hatujaumba dunia pana kama eneo kubwa wazi 5890, na milima kama vigingi?" Rejeo la 5890 la Yusuf ‘Ali chini ya ukurasa linasema, Tazama rejeo la 2038 hadi xvi. 15. Linganisha pia xiii. 3 na xv. 19. Eneo kubwa wazi lenye nafasi pana linaweza kulinganishwa na zulia, ambalo milima ni kama vigingi

ALLAH AMECHAKACHUWA KUHUSU SAYANSI NA UUMBAJI?


1. Kurani iliitarajia sayansi ya kisasa: Jua na mwezi ziko kwenye mkondo na huzunguka kwenye mhimili wao (Sura 21:33; 36:27-40). Kurani pia inafundusha nadharia ya mlipuko mkubwa uliosababisha kuumbwa kwa dunia (Sura 21:30; Sura 51:47,48). Neno la Kiarabu falak linamaanisha "mkondo." Wanajimu wanatuambia kuwa jua huzunguka kwenye kitovu cha kundi la nyota kila baada ya miaka karibu milioni 250. Neno la Kiarabu yasbahuna (linatokana na sabaha)linamaanisha kuzunguka mkondo wake.
1 Itikio: Jambo hili ni ndoto za mchana kwa sababu mbili.
1) Maneno hayako bayana: falak ni neno la Kiarabu lenye kumaanisha njia, kuendelea kwenye mkondo, na yasbahuna inaweza kumaanisha kuharakisha, ingawa maana yake ya moja kwa moja zaidi ni kuogelea.
2) Muhammad alituambia wazi kabisa maana yake, na inamaanisha kuwa jua na mwezi vinasafiri juu ya dunia, vikiwa vimepanda kibandawazi kwenye anga la dunia.
Tena, kuna vyanzo viwili vya maneno aliyosema Muhammad.
"Mungu aliumba bahari iliyo fasrakh tatu (kilomita 18) toka mbingni. Mawingu yamethibitiwa, inasimama angani kwa amri ya Mungu. Hakuna tone lake lolote linalomwagika. Bahari zote hazitembei, lakini bahari hutembea kwa mwendokasi wa mshale. Inao uhuru wa kutembea angani kwa uwiano sawa, kana kwamba ni kamba iliyovutwa kwenye eneo kati ya mashariki na magharibi. Jua, mwezi, na nyota zinazorudi nyuma [sayari 5] zinakimbia kwenye kilindi cha tumbo lake. Hivi ndivyo neno la Mungu (linavyomaanisha): ‘KIla kimojawapo huogelea angani.’ ‘Anga’ ni mzunguko wa magari yanayokokotwa na farasi kwenye kilindi cha tumbo la hiyo bahari." al-Tabari juzuu ya 1, uk.235.
Abu Dhar alisimulia: Nabii aliniuliza jioni moja, ‘Unajua mahali jua linakokwenda (wakati linapozama)?" Nilimjibu, "Allah na Mtume wake wanafahamu hilo vizuri zaidi." Aliniambia, "Linakwenda (yaani linasafiri) hadi linasujudu chini ya kiti cha enzi, na linapata ruhusa ya kuchomoza tena, na linaruhusiwa na kisha (muda utakuja wakati ambapo) litakuwa linataka kusujudu lakini kusujudu kwake hakutakubaliwa…" Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 54 sura ya 4 na.441, uk.283. Sahih Muslim juzuu ya 1 kitabu cha 1 sura ya 73 na.297-300, uk.95-96 pia lina maelezo ya kina ya maongezi ya Muhammad na Abu Dharr.
2. Kurani inauelezea mhimili wa jua karibu na kitovu cha kundi letu la nyota
2 Itikio: Jua halina mhimili wake peke yake kwenye kundi letu la nyota. Kama Kurani ilikuwa inajaribu kufundisha sayansi ya kisasa, ingepaswa kusema kuwa jua, mwezi, dunia, na nyota zinazorudi nyuma (sayari) zinazunguka pamoja kwenye mhimili mmoja.

NENO LA MUNGU LINASEMA NINI KUHUSU SABATO? (SEHEMU YA SITA)


Baada ya kusoma kwa undani Sehemu ya Tano kuhusu aina ya mavazi ya kisabato na au ya kitorati, hebu tuangalie aina za Sabato ambazo wana wa Israeli walipewa.
Sasa nitaanza kuelezea kuhusu mwanzo wa hii Sabato na Mungu alitoa hili agiza kwa nani. Kwa mara ya kwanza kabisa, Mwenyezi Mungu anatoa agizo kwa wanadamu, la kushika sheria kuhusu siku ya sabato, lilitolewa kwa Wana wa Israeli tu, na kwa mkono wa Nabii Musa. Hivyo basi, sio kosa nikisema kuwa hata Israeli mwenyewe yaani Yakobo alipo kuwa hai, hakuwai sikia habari ya kupumzika siku ya saba (sabato) na au Mungu hakuwai mwambia kuwa ashike Sabato.
Agizo hili la kuhusu siku ya saba, “Sabato” halikutolewa kwa mataifa mengine, bali kwa wana wa Israeli tu, na sababu kuu ya kupewa wana wa Israeli peke yao ni kwamba, katika karne hiyo, ni wana wa Israeli peke yao ndiyo waliokuwa wanamjua Mungu wa kweli yaani Yehova. Ni kwa sababu hiyo ya kumjua Mungu wa Kweli kabla ya mataifa mengine, Mungu aliwapa sheria (Torati), yaani Amri kumi “Ndio maana huwa nasema Amri kumi hazikuwa kwa Mataifa yote” ingawa si kosa kuzifuata.
Zaidi ya hapo, Mungu alitoa kwa wana wa Israeli sheria nyingine 613 na Hukumu zake.
UTHIBITISHO: Kumbukumbu la Torati 4:7-8 Biblia inasema, “Kwa maana liko taifa gani kubwa, lililo na Mungu aliye karibu nao, kama Bwana, Mungu wetu, alivyo, kila tumwitapo? Tena liko taifa gani kubwa, lililo na amri na hukumu zenye haki kama torati hii yote, ninayoiweka mbele yenu leo.” Sasa tumsikilize Musa: Musa mwenyewe alithibisha kwamba, sheria ya kushika siku ya sabato na sheria nyingine haikuanza na baba zao, bali ilianza na wao wenyewe yaani wana wa Israeli.
UTHIBITISHO: Kumbukumbu la torati 5:1-3 Biblia inasema, “Musa akawaita Israeli wote, akawaambia, Enyi Israeli, zisikieni amri na hukumu ninenazo masikioni mwenu leo, mpate kujifunza na kuangalia kuzitenda. Bwana Mungu wetu, alifanya agano nasi katika Horebu. Bwana hakufanya agano hili na baba zetu, bali na sisi, yaani sisi sote tulio hapa, tu hai.”
Musa anathibitisha kwa kutumia aya hapo juu kuwa hata baba zao hawakupewa Sheria. Sasa, Wasabato wanapo sema kuwa eti Adam alipewa sheria ya kutunza Sabato wanatoa wapi haya madai yao yasio na uthibitisho wa aya?
Kigezo ambacho Wasabato wa leo wanachotumia, ni kwamba Mungu alipumzika siku ya saba, hivyo husema kwamba, Adamu naye alipumzika ingawa Biblia haituambii kama Adamu alipumzika na hakuna kabisa uthibitisho wa aya Zaidi ya madai hewa. Sasa tuwaulize Wasabato, kama Adam alipumzika, alipumzika kwa sababu ya kazi ipi aliyoifanya? Musa ambaye ndiye aliyekuwa msabato halisi, anaipinga hoja hii katika mistari tuliyosoma hapo juu kwa kusema kwamba, Mungu hakufanya agano la zile sheria na baba zao, bali wao wenyewe. Kwa hiyo ni wazi kabisa, kuanzia Adamu mpaka Yakobo hawakuwahi kuambiwa na Mungu juu ya sheria ya kushika siku ya sabato.
JE, UNAZIFAHAMU IDADI YA SABATO AMBAZO WANA WA ISRAELI WALIAMRIWA KUZISHIKA NA MALENGO YAKE?

Tuesday, October 25, 2016

ALLAH KATEREMSHA AYA NA KUSEMA WAISLAM WOTE WATAINGIA JEHANNAM.

Quran 40: 60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike.
Kama wewe mbishi, ingia kwenye linki hapo juu, na ujisomee mwenye wapi hawa Waislam wataishia. JEHANNAM NI YA WAISLAM

Monday, October 24, 2016

KUMBE ALLAH ATAWALISHA CHAKULA NA KUWAPA MAJI WAISLAMU WAKIWA JEHANNAM?


CHAKULA CHA WAISLAM WAKIWA MOTONI
Vyakula vyao vimetajwa kua ni:
1-Dhari’i: Hii ni miba ichomayo koo na imetajwa katika Suratul Ghaashiyah aya ya 6.
2-Ghisliin: Amesema Allah kuhusiana na Ghisliin “ Hawatokua na chakula humo ila Usaha”. Suratu Haaqah aya ya 36. Hivyo ghisliin ni usaha ambao utawatoka wenyewe watu wa motoni kutokana na adhabu kali na kisha watakula usaha wao huo.
3-Zaquum: Ni mti mchungu huu ambao unaota katika jahannam, umoto wake umefananishwa na shaba iloyayushwa ambayo itachemkia tumboni. Matunda yake yanatisha kama vichwa vya mashetani. Umetajwa katika Suratu-Dukhaan aya ya 43-45 na Suratu Swaaffaat aya 62-66 na Suratul_Waaqiah 52-53
4-Ghuswah: Ni aina nyengine ya chakula cha watu wa motoni. Allah amekitaja katika suratul-Muzammil “Na chakula kikwamacho na adhabu iumizayo” 13
VINYWAJI VYA WAISLAMU WAKIWA MOTONI
Kabla ya kutaja vinywaji vya watu wa motoni, tukumbuke kua baada ya watu wa motoni kuingizwa Jahannam watashikwa na kiu kali kutokana na joto la Jahannam, hivyo watawapigia kelele watu wa peponi na kuwaambia kama anavyotusimulia Allah “Watu wa motoni watawanadia watu wa peponi: Tumiminieni maji au kile alichokuruzukuni Allah watasema (watu wa peponi kuwajibu): Hakika Allah ameviharamisha kwa kwa makafiri.(50) Ambao waliifanya dini yao kua ni upuuzi na mchezo,na yakawadanganya maisha ya dunia. Basi leo tutawasahau (na kuwaacha humohumo motoni)kama walivyosahau mkutano wa siku hii(51)” (Suratul Aaraf).
Baada ya joto la jahannam kuzidi wataoneshwa maji yachemkayo, kisha watayaendea lakini hawatoweza kunywa kwa umoto wake, watataka kurudi tena mahali walipokua na wakirudi, watazidiwa na kiu watataka kwenda kwenye yale maji na huo ndio utakua mzunguko wao. Amesema Allah katika suratu Rahman aya ya 44 “Watakua wakizunguka baina ya (Jahannam)na baina ya maji ya moto yachemkayo”. Amesema Allah kuhusiana na maji hayo katika Suratu-Muhammad aya ya 15“……na kunyweshwa maji yachemkayo yatakayokata chango zao” na wapo ambao maji hayo yatatoa ngozi zao na yalokuwemo kwenye matumbo yao kama anavyosema Allah katika Suratul-Hajj aya ya 20 “Kwa maji hayo vitayayushwa viliomo matumboni mwao, na ngozi zao pia”.
Ama vinywaji vyengine ni:
1- Maji ya usaha. Amesema Allah katika Suratu –Ibrahiim aya ya 16-17“ Na atanyeshwa humo maji ya usaha. Awe anayagugumiza na asiweze kuyameza. Na mauti yatamjia kutoka kila mahali na hatokufa”. 16-17.
2- Maji ya shaba. Amesema Allah kuhusiana na maji haya katka Suratul-Kahfi “ Na watakapoomba msaada (kutokana na kiu kali)watapewa maji kama ya shaba iliyoyayushwa itakayounguza nyuso zao, kinywaji kibaya kilioje hicho”
Ama kwa upande wa hadithi: Inasimuliwa kua watu wa jahannam wakiyasogelea maji kwa ajili ya kuyanywa basi itatoka ngozi ya uso na kuingia katika chombo chenye maji yale kutokana na shida ya vuke la moto.
SWALI:
Kwanini Allah atawapa watu wa Jehannam chakuna na vinywaji?
Na pia Mtume swalla Allahu alayhi wasalam amesema” Ameoneshwa moto na akawakuta wengi wao walokuwemo humo ni wanawake..”hivyo akawataka wazidishe kutoa sadaka.
Ili mtu aepukane na Jahaanam ni muhimu kuzidisha amali zifuatazo:
Kuzidisha kutoa sadaka kwani amesema Mtume wa Allah “Sadaka huondoa makosa kama moto unavyokula kuni.(Hadith sahih).
Natanguliza pole kwa Wanawake wa Kiislam maana Allah ataijaza Jehannam na wanawake.
Karibuni kwa Yesu ambaye anawapenda na amesha wasamehe dhambi.

NENO LA MUNGU LINASEMA NINI KUHUSU SABATO? (SEHEMU YA TANO)


Baada ya kujifunza sheria mbali mbali za Sabato na jinsi ilivyo vigumu kuzifuata hizo sharia na adhabu yake ya kifo kwa kupigwa mawe kwenye Sehemu ya Nne. Sasa tuangalie kuhusu mavazi. Je, kuna mavazi ya kitorati?
MAVAZI
Imeandikwa: ... wala usivae mwilini mwako nguo ya namna mbili zilizochanganywa pamoja. (Mombo ya Walawi 19:19b). Usivae nguo iliyochanganyikana sufu na kitani pamoja. (Kumbukumbu ya Torati 22:11). Hii ilikuwa ni amri iliyohusu nguo halisi kabisa zinazovaliwa mwilini.
Hata leo sheria ya kutovaa mavazi yaliyochanganya rangi bado iko palepale.
Pia imeandikwa: Nitafurahi sana katika BWANA, nafsi yangu itashangilia katika Mungu wangu; maana amenivika mavazi ya wokovu, amenifunika vazi la haki ... (Isaya 61:10).
Mavazi ni ishara ya wokovu. Wokovu ni mmoja tu. Hauwezi kupatikana kwa njia nyingine tofauti na iliyowekwa na Mungu.
Maandiko yanasema: Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo. (Matendo ya Mitume 4:12), yaani ni jina la Yesu pekee. Kutafuta wokovu kwa kutumia dini, imani au jambo jingine lolote nje ya Yesu ni kujivika mavazi ya rangi nyingi. Vazi la wokovu ni la rangi moja tu; nyeupe!
Katika kipindi cha kwanza haikuruhusiwa kuvaa mavazi halisi yenye rangi tofautitofauti.
Katika kipindi cha pili, mavazi ni wokovu. Hivyo, kuwa na vazi la aina moja ni kusimama na wokovu halisi wa Yesu Kristo bila kuuchanganya na mambo ya kidunia.
Hata hivyo, katika kipindi cha utimilifu wa yote, mbinguni kuna mavazi halisi ya haki yaliyo ya milele, ambayo yatakuwa safi siku zote; milele na milele.
Imeandikwa: Baada ya hayo nikaona, na tazama, mkutano mkubwa sana ambao hapana mtu awezaye kuuhesabu, watu wa kila taifa, na kabila, na jamaa, na lugha, wamesimama mbele ya kile kiti cha enzi, na mbele za Mwana-Kondoo, wamevikwa mavazi meupe ... (Ufunuo 7:9). Haya ni mavazi ambayo yameoshwa kwa damu ya Mwana-Kondoo wa Mungu.
Kutembelewa na Bwana
Bwana alipotaka kuwatembelea watu wake, watu walifua nguo halisi kabisa walizovaa mwilini. Imeandikwa: Bwana akamwambia Musa, Enenda kwa watu hawa, ukawatakase leo na kesho, wakazifue nguo zao, wawe tayari kwa siku ya tatu; maana siku ya tatu BWANA atashuka katika mlima wa Sinai machoni pa watu hawa wote. (Kutoka 19:10-11).
Katika kipindi cha kwanza, watu walifua mavazi yao halisi ya mwilini ndipo Bwana alikuja kusema nao. Mavazi hayo yalifuliwa kwa maji halisi.
Katika kipindi cha pili, kinachooshwa si mavazi halisi ya mwilini, bali ni dhambi katika mioyo yetu. Dhambi hizo zinaoshwa kwa njia ya damu ya Yesu Kristo.
Katika kipindi cha tatu, yaani cha utimilifu kwa yote, si tu kwamba hakutakuwa tena na haja ya kuoshwa (maana wote watakuwa watakatifu milele), lakini pia hakutakuwa na kusema kuwa kuna kutembelewa na Bwana, maana watakatifu watakuwa naye siku zote.
Imeandikwa: Nao watamwona uso wake, na jina lake litakuwa katika vipaji vya nyuso zao. wala hapatakuwa na usiku tena; wala hawana haja ya taa wala ya nuru ya jua; kwa kuwa Bwana Mungu huwatia nuru, nao watatawala milele na milele. (Ufunuo 22:4-5).
Kwanini Yesu alisema hakuja kuitengua Torati?
Yesu Kristo anasema kwenye Injili kutokana na Mathayo kuwa: “Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza” (Mathayo 5:17).
Sasa tujiulize maswali machache:
1. Je, Yesu alichinja Mbuzi na Mafahali kila mwaka kwa ajili ya dhambi?
2. Je, Wanafunzi wa Yesu, walichinja Mbuzi na Mafahali kwa ajili ya dhambi zao?
3. Je, Wasabato wanachinja Mbuzi na Mafahali kwa ajili ya dhambi zao kila mwaka?
Nategemea jibu lako hapo juu ni hapana, maana sijawai soma aya ambayo inasema Yesu au Wanafunzi wake walichinja Mbuzi au Mafahali. Zaidi ya hapo, sijawai waona Wasabato wakichinja Mbuzi au Mafahali kwa ajili ya dhambi zao kila mwaka. Kumbe basi, hawa Wasabato hawatunzi Torati zaidi ya kuchagua kile ambacho wanataka ili kutengeneza dini yao. Sasa, kuna faida gani ya kuchagua chagua aya ili kukidhi matakwa binafsi?

BRITISH BLEEDING HEART who agreed to foster an alleged Muslim migrant ‘child’ shocked to learn the 12-year-old is actually a 21-year-old Afghan jihadi


Kind-hearted Rosie welcomed Jamal into her family after social workers said he was a 12-year-old orphan who had fled Afghanistan, but became suspicious when she noticed the lad was very ‘hairy’ for his age and was ‘adept at firing rifle.’

The pretend 12-year-old Afghan child
The pretend 12-year-old Afghan child

UK Sun  Jamal was outed when a dentist estimated he was a decade older than claimed. Taliban material and child abuse images were later found on his mobile. The blunder comes after migrants claiming to be children were bussed to the UK from Calais’ Jungle camp. It is feared terrorists could use the same ruse.

Rosie said: “Adults are playing the system. It’s putting families like mine and society as a whole at risk. “I don’t see anything wrong with dental and bone density checks. Some say they are intrusive and degrading. But having a potential terrorist in your home who’s pretending to be a child is far more intrusive.”

Computer analysis of photographs of other ‘child migrants’ who arrived in London from the Jungle camp this week suggests many could be in their 20s and 30s:

3987c45000000578-0-image-m-17_1476922596098

When Rosie and husband Pete, 57, took in Jamal they all switched to halal meat. She said: “He looked thin and I thought, ‘Bless him’. He was so humble, polite.” He roomed with a boy, aged 13. Two girls, 12 and 14, were also in the house.

Alarm bells rang when the family went swimming and Rosie’s 13-year-old commented on how hairy he was. At a climbing centre he shimmied up ropes with ease, and at a shooting range he stripped a gun before firing it.

3987c45000000578-3853816-image-a-25_1476923498963

On a bus to college he was told to get off by a driver who didn’t believe he was 16. Rosie, who lives in the South East, said: “It’s ridiculous how everybody else could see it but not the social workers.”

Jamal’s behaviour worsened. He put the 13-year-old in expert holds, demanded cash and got calls from unknown numbers. One day he claimed he couldn’t pray because there were too many posters on his wall. The interpreter told him, “What do you mean? Allah doesn’t mind?”

3987c45000000578-3853816-image-m-21_1476923362163

His last words to Rosie were: “I’ll kill you and I know where your children are.”

She added: “I can’t say he was a terrorist but I do think he came from a training camp. He was a great actor. “Every day I check the car, and that all the house windows are shut. I panic because I know he knows our routine.”

Since being arrested for an alleged assault, Jamal has been turned down for asylum but is appealing.

An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance

  Title: An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance Au...

TRENDING NOW