Sunday, November 27, 2016
BULGARIAN Prime Minister says “Send them back!” Orders mass deportations of violent Muslim invaders posing as refugees
FURIOUS Bulgarian Prime Minister orders mass deportations of Afghan Muslim thugs after they trashed and set fire to their holding camp. Those who are not sent back to the Middle East will be dispersed to migrant camps across the country in a bid to prevent them from organizing another violent uprising
UK Express (h/t Terry D) Bulgaria’s furious prime minister ordered officials to begin the mass deportation of hundreds of migrants who went on the rampage and trashed their camp. Fuming Boiko Borisov vowed all migrants involved in the violent disturbance will be “brought to justice” with many being deported back to their home countries.
Riot police had to storm the camp yesterday using water cannon and rubber bullets to restore order at the camp on the border with Turkey, with 24 officers being injured in the operation.
. Mr Borisov raged: “I am very worried. You see there is no window left unbroken. The people who committed these acts of vandalism will be brought to justice.
“Based on an agreement between the European Union and Afghanistan we have asked for a plane to start extraditing people there in early December. As for the rest, all who have acted brutally and violated public order will be moved to closed camps.”
More than 400 asylum seekers had been confined in a part of the camp after rumours rippled through a nearby town that many of them had a serious and highly contagious skin condition. It is home to around 3,000 migrants overall, making it the largest in Bulgaria.
Residents in nearby Harmanli have upped their calls for the camp to be permanently closed, claiming that migrants regularly venture into the town and steal from them. Local Rusi Stoev said: “This camp should be closed. You should see what it’s like here at weekends. They go around in big groups and take fruit and vegetables at the market without paying.”
ORIGINAL STORY: BULGARIA: 2,000 Muslim invaders attack police, set fire to largest illegal alien migrant center in the country
Oh, NOES! Designated terrorist group CAIR is demanding police protection after second mosque receives same anti-Muslim letter a mosque in San Jose received
In this report, they won’t show you the whole letter because “it is so disturbing” but you can see the content below. The use of expressions such as “your mothers are whores and your fathers are dogs” is a dead giveaway that it was written by a Muslim.
SILICON VALLEY BANK considers removing names from résumés to prevent (anti-Muslim?) bias against job candidates
Silicon Valley Bank, a bank that offers a range of financial services tailored towards technology and life science businesses, is considering whether to remove names from job candidates’ résumés in a bid to prevent gender/religious bias from its recruiters.
Business Insider The bank has already undergone unconscious bias training globally, which involves exercises including splitting into groups and assessing the merits of four different résumés, only to return to find they belonged to the same candidate — just with different names and genders attached.
It’s those sort of exercises that has got the bank thinking about what it can do to prevent unconscious bias, according to Tracy Isacke, Silicon Valley Bank’s corporate relationship management team managing director. Using artificial intelligence [AI] to screen candidates could also help prevent unconscious bias, according to Isacke.
(Unlike gender bias, anti-Muslim bias comes from the unusually high number of the lawsuits against employers that Muslims file claiming ‘religious’ discrimination for refusing to accommodate excessive Muslim religious demands. So a common Muslim name like Mohammed would be a sure-fire job killer)
Isacke says there have also been discussions about setting diversity targets, but while on one hand, “what you don’t measure doesn’t happen,” targets can also lead to backlash around whether companies lowered the bar and turned down the better candidate in order to meet set quotas.
YEHOVA KWA KIARABU NI YAHUH ( يهوه ) NA SIO ALLAH
Ndugu msomaji,
Ninaendelea kuweka ukweli kuhusu Allah ambaye sio Yehova na wala hajawai sema yeye ni Yehova kwenye Quran yake.
Wakati Biblia inatumia jina la Yehova kwa zaidi ya mara 9000, Allah yeye anasema hivi kwa Muhammad:
"Jua ya kwamba hakuna aabudiwaye kwa haki ila Allah..." (Qur’an. 47:19)
Unaona Allah anavyo likwepa jina la Yehova? Sasa tujifunze maana ya neno "JINA" . Waislam wengi kama sio wote hawajui tofauti ya JINA na [Jina la Sifa/wasifa kama Rais].
NINI MAANA YA JINA?
Ngoja kwanza nieleze kiurefu maana ya "JINA" na ASILI YAKE:
Kila mtu au kiumbe au Malaika ana jina lake na jina hilo linabeba kitu kikubwa sana.
Kila mtu au kiumbe au Malaika ana jina lake na jina hilo linabeba kitu kikubwa sana.
Chimbuko ya neno ‘’jina’’ linatokana na neno la kigiriki liitwalo ‘’Sum’’
‘’Sum’’ maana yake ni ukumbusho au kumbukumbu. Ukumbusho au Sum kama ilivyoandikwa katika Biblia ya Kigiriki maana yake ni jina.
‘’Sum’’ maana yake ni ukumbusho au kumbukumbu. Ukumbusho au Sum kama ilivyoandikwa katika Biblia ya Kigiriki maana yake ni jina.
-Kwa hiyo maana ya kwanza ya jina/sum ni ukumbusho ambao mtu au kiumbe au Malaika anapewa.
-Jina/sum maana yake ni alama ya pekee ambayo anapewa mtu au kiumbe au Malaima ili kumtofautisha na wengine.
-Jina/sum ni zawadi ya pekee ambayo mtu au Malaika au Kiumbe anapewa.
-Jina/sum maana yake ni alama ya pekee ambayo anapewa mtu au kiumbe au Malaima ili kumtofautisha na wengine.
-Jina/sum ni zawadi ya pekee ambayo mtu au Malaika au Kiumbe anapewa.
Vigezo vya kumpatia mtu jina hutofautiana.
Majina mengine huwakilisha heshima ya kipekee.
Wafilipi 2:9-11( Kwa hiyo tena MUNGU alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina; ili kwa jina la YESU kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa MUNGU Baba. )
Majina mengine huwakilisha sifa ya huyo anayepewa jina .
Mfano rais wanchi ni [jina la sifa] ambalo anapewa mhusika.
Majina mengine ni kuonyesha mamlaka mfano [Askari ni jina ambalo linaonyesha mamlaka].
Mfano rais wanchi ni [jina la sifa] ambalo anapewa mhusika.
Majina mengine ni kuonyesha mamlaka mfano [Askari ni jina ambalo linaonyesha mamlaka].
Kwa sababu ya tabia Fulani Fulani baadhi ya majina hutokea.
Mfano mwingine JEHOVAH SHALOM maana yake MUNGU ni Amani yetu hili ni jina jema ambalo linatokana na sifa ya MUNGU katika kuleta amani kwa watu wake.
Mfano mwingine JEHOVAH SHALOM maana yake MUNGU ni Amani yetu hili ni jina jema ambalo linatokana na sifa ya MUNGU katika kuleta amani kwa watu wake.
SASA TURUDI KWENYE MADA YETU: YEHOVA KWA KIARABU NI YAHUH ( يهوه ) NA SIO ALLAH
Nini tafisri ya YEHOVA KWA KIARABU?
Kutokana na Tovuti ya Serikali ya Saudi Arabia ya AL TAFSIRhttp://www.altafsir.com/ Jina la Yehova kwa KIARABU NI YAHUH ( يهوه ). Umeona kuwa Kumbe Yehova sio Allah wa Waislam. Sasa, kwanini Waislam wanalazimisha kuwa Allah ni Yehova?
Majina yana tafsiri yake na yana utaalamu wake wa kuyafsir.
Mungu wa kwenye Biblia anaitwa Yehova (Jehovah/Yahweh) kwa zaidi ya mara 9000. LAKINI Allah hajaitwa kwa jina la Yehova kwenye Quran yake hata mara moja. Kama Allah ni Yehova kwanini Quran imekataa kumwita hivyo?
Mungu wa kwenye Biblia anaitwa Yehova (Jehovah/Yahweh) kwa zaidi ya mara 9000. LAKINI Allah hajaitwa kwa jina la Yehova kwenye Quran yake hata mara moja. Kama Allah ni Yehova kwanini Quran imekataa kumwita hivyo?
Mungu vile vile anaitwa Elohim kwenye Biblia kwa zaidi ya mara 2500, LAKINI hilo Jina la Elohim halipo kwenye Quran ya ALLAH.
Yehova ni Jina la Mungu ambalo kwa Kiingereza anaitwa Jehovah na kwa Kiebrania anaitwa יהוה (YHVH) na kwa Kiarabu anaitwa ( yahuh ) au ( يهوه ). ngoja niweke kwa urahisi ili wafuasi wa Muhmmad waelewe;
Yehova ni Jina la Mungu ambalo kwa Kiingereza anaitwa Jehovah na kwa Kiebrania anaitwa יהוה (YHVH) na kwa Kiarabu anaitwa ( yahuh ) au ( يهوه ). ngoja niweke kwa urahisi ili wafuasi wa Muhmmad waelewe;
1. Kiebrania = יהוה (YHVH)
2. Kiingereza = Jehovah
3. Kiswahili = Yehova
4. Kiarabu = yahuh ( يهوه )
2. Kiingereza = Jehovah
3. Kiswahili = Yehova
4. Kiarabu = yahuh ( يهوه )
UISLAM NI DINI YA KULAZIMISHANA

Kutoka na al Shafi : "The Ordinances of the Quran", Muhammad alilazimisha watu wajiunge nae au aliwauwa watu walio mkataa. Soma Bukhari 53:386.
Vinyo hivyo, Abu Kabkr, aliye chukua baada ya Muhammad, alifanya Jihad mbaya zaidi katika nchi za jirani kwa watu walio ukataa Uislam. Katika Barua iliyo tumwa kwa Persians, Abu Bakr alisema kuwa "Silimuni na muwe waislam hapo mtakuwa huru na kama mkikataa basi eleweni kuwa nimekuja kwenu na Jeshi la Kiislam ambalo linapenda kuuwa watu, kama jinsi ninyi mnavyo penda maisha/uhai"
Hizi sifa za Muhammad sasa zinaonekana kwa akina Boko Haram, Al Qaeda, Al Shabab. Ushahid wa huu utamaduni vile vile upo kwa ISIS ambao wameuwa mamilioni ya watu huko Syria. Hata kule Afrika katika nchi ya Naijeria, Boko Haram wamekuwa mstari wa mbele kutekeleza amri hii ya Muhammad ya kuuwa Wakristo. Waislam wao wanaamini kuwa kufanya hivi ni kutekeleza matakwa ya Allah na watapewa Akhera kwa kulazimisha watu wajiunge na Uislam. Bukharu 52: 254.
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo
ALLAH KWA KIEBRANIA MAANA YAKE NI LAANA “CURSE”

Ndugu msomaji,
Je, hili limetokea kwa bahati mbaya?
Isaya 24: 6 Ndiyo sababu laana [“alah”] imeila dunia hii, na hao wanaoikaa wameonekana kuwa na hatia, ndiyo sababu watu wanaoikaa dunia wameteketea, watu waliosalia wakawa wachache tu.
Huu uvumbuzi ulieleweka baada ya kuangalia neno la Kiebrania la “LAANA –CURSE”- linatamkwa kwa Keibrania “alah” sawa sawa na Allah wa kwenye Quran. Nilifanya uchunguzi zaidi kuhusu na kulinganisha neno la Kiebrania “ALAH” na la Kiarabu Allah; yote yapo sawa, isipokuwa tofauti ndogo ya ongezeko la “L” kama ifuatavyo:
אלה , alah (“curse = laana” in Hebrew) na الله , Allah (“mungu katika Kiislamu”), wakati:
א = aleph (Heb) ni sawa sawa na ا = alif (Arab), au “A” katika Kiingereza
ל = lamed (Heb) ni sawa sawa na ل = lam (Kiarabu), au “L” katika Kiingereza; “Allah” ina “L” mbili katika Kiarabu na kiislamu
ה = heh (Heb) ni sawa na ه = ha (Kiarabu), au “H” katika Kiingereza
Inashangaza sana neno la Kiebrania la “laana” na neno la Kiarabu la “Allah” sio tu yanatamkwa vilevile bali yana maana ileile.
א = aleph (Heb) ni sawa sawa na ا = alif (Arab), au “A” katika Kiingereza
ל = lamed (Heb) ni sawa sawa na ل = lam (Kiarabu), au “L” katika Kiingereza; “Allah” ina “L” mbili katika Kiarabu na kiislamu
ה = heh (Heb) ni sawa na ه = ha (Kiarabu), au “H” katika Kiingereza
Inashangaza sana neno la Kiebrania la “laana” na neno la Kiarabu la “Allah” sio tu yanatamkwa vilevile bali yana maana ileile.
Kuna wazo linaitwa “the law of first occurrence” (labda lipo zaidi kama sharia Fulani) ambapo unapo weza kuona neno Fulani huwa linaweza kukusaidia katika na au kivipi neno la Mungu lina maanisha.
Katika kuchunguza “curse –laana” (אלה , alah), neno hilo limeonekana katika Hesabu 5 ya ‘the adultery test’, Njia ya Mosaiki ya kuangalia ukweli kuhusu mume au mke kama una kosa au la.
Kuna mwanzo wa neno “curse-laana” katika Kiebrania (arar); lilitumika kwa mara ya kwanza katika bustani ya Edeni Mwanzo Mlango wa 3 aya ya 14 na 15:
Kuna mwanzo wa neno “curse-laana” katika Kiebrania (arar); lilitumika kwa mara ya kwanza katika bustani ya Edeni Mwanzo Mlango wa 3 aya ya 14 na 15:
Mwanzo 3: 4 Bwana Mungu akamwambia nyoka, Kwa sababu umeyafanya hayo, umeLAANIWA wewe kuliko wanyama wote, na kuliko hayawani wote walioko mwituni; kwa tumbo utakwenda, na mavumbi utakula siku zote za maisha yako; 15 nami nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na uzao wake; huo utakuponda kichwa, na wewe utamponda kisigino.
KWA MARA YA KWANZA “laana” ilitumiwa kwa Nyoka ambaye ni Shetani; labda tuangalie kwa makini, kama ALLAH inamaanisha LAANA katika Kiebrania, naamini sio kosa tukiendelea kumhusisha Allah wa Waislam katika hili neno LAANA.
KWA MARA YA KWANZA “laana” ilitumiwa kwa Nyoka ambaye ni Shetani; labda tuangalie kwa makini, kama ALLAH inamaanisha LAANA katika Kiebrania, naamini sio kosa tukiendelea kumhusisha Allah wa Waislam katika hili neno LAANA.
Strong’s Concordance namba 422 nayo inakiri kuwa neno la Kiebrania lenye maana ya laana ni ALAH. http://biblehub.com/hebrew/422.htm
Saturday, November 26, 2016
ALLAH SIO MUNGU (SEHEMU YA TATU)
ALLAH NA WOTE WANAOMWABUDU WATAISHIA JEHANAM.
Mwisho wa wanaomwabudu Allah ni wapi?
Tunajua kuwa Wakristo tutaishi na Mungu wetu Yehova milele (tazama 1Thesalonike 4:13-17 na Ufunuo 21:3-7). Hivyo Mungu wetu hana mwisho ni wa milele. Lakini tunaposoma Qurani na Hadithi za Muhammad, mtume wa Waislamu tunaona mafundisho haya…
Quran 51 au Surat Adh-Dhaariyat 56 (sur aya upepo) yasema, Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu
Quran 6 Surat Al An-Am 128 (Sura ya wanyama)
Na (wakumbushe) siku atakapowakusanya wote (awaambie) "Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu" na marafiki wao katika wanadamu
(watawagombania) waseme "mola wetu! Tulinufaishana sisi na wao, na tumefikia muda wetu uliotuwekea" Basi (Mungu) atasema: "moto ndio makazi yenu, mtakaa humo milele.. katika aya hizi tunaona kuwa majini pamoja na watu wote watatupwa motoni.
(watawagombania) waseme "mola wetu! Tulinufaishana sisi na wao, na tumefikia muda wetu uliotuwekea" Basi (Mungu) atasema: "moto ndio makazi yenu, mtakaa humo milele.. katika aya hizi tunaona kuwa majini pamoja na watu wote watatupwa motoni.
Je Allah naye ni vipi?
Tunaposoma kitabu cha hadith za mtume (s.a.w) cha Sahih al-Bukhari Vol: VI Hadithi No: 371.ukurasa wa 353 Kuna maneno haya:
Tunaposoma kitabu cha hadith za mtume (s.a.w) cha Sahih al-Bukhari Vol: VI Hadithi No: 371.ukurasa wa 353 Kuna maneno haya:
Quran 50 au Surat Qaf 30 (kuapa)
Siku tutakayoiambia Jahanamu, ‘Je! Umejaa?’ Nayo itasema ‘Je kuna ziada (zaidi? Naije tu!
Siku tutakayoiambia Jahanamu, ‘Je! Umejaa?’ Nayo itasema ‘Je kuna ziada (zaidi? Naije tu!
Imesimuliwa na Anas kuwa: mtume alisema watu watatupwa jahanamu, Naye Allah ataiuliza jahanamu akisema je umejaa nayo jahanamu itasema kwani kuna nyingine zaidi na ije tu? Mpaka Allah atakapo ingiza mguu wake nayo jahanamu itasema inatosha! Inatosha
Hadithi hii ya Anas inasomeka hivi:
Na Allah atasema Je, kuna wa ziada (kuja)? Nayo Jehanam itamuuliza Mwenyezi mola, wakisema je, kuna waziada (kuja)? hadi Mwenyezi Mungu atakapouweka mguu wake ndani ya moto wa jehanam na kisha moto utasema, YATOSHA!
Na Allah atasema Je, kuna wa ziada (kuja)? Nayo Jehanam itamuuliza Mwenyezi mola, wakisema je, kuna waziada (kuja)? hadi Mwenyezi Mungu atakapouweka mguu wake ndani ya moto wa jehanam na kisha moto utasema, YATOSHA!
Katika aya hii tunaona Allah mungu wa Waislamu anaiuliza Jehanamu kama imejaa, nayo Jehanamu itamuuliza Allah je, kuna zaidi. Yaani swali hili linaonyesha kuwa Jahanamu ilikuwa bado haijajaa, Maelezo ya Hadithi hii inadhibitisha kuwa Allah ataingiza mguu katika Jahanamu na ndipo Jahanamu itakaposema kuwa inatosha! Inatosha!, yaani imejaa kwa tendo la Allah kuingiza mguu wake humo. Jambo hili ni tofauti kabisa na ilivyo kwa Mungu wetu Yehova., Mungu wetu ameiweka jahanamu maalum kwa ajili ya watu wabaya, na ibilisi, pamoja na malaika zake. Tafadhali soma aya hizi; Mathayo 25:41,46, Ufunuo 20:10, 21:8.
Aya hizi zote zinaonyesha kuwa mwisho wa wabaya, Ibilisi na malaika zake ni katika ziwa la moto. Swali kwako Ndugu mpendwa,
Je, Allah ni nani?
Je, Allah ni nani?
Ni matumaini yangu kuwa umeweza kujua kwa undani kupitia Qurani na Biblia na vitabu vya Hadith za mtume wa Waislamu aitwae Muhammad kuwa Allah Sub-Haana Wataala Mungu anayeabudiwa na Waislamu. Siyo Yehova Mungu tunaye muabudu Wakristo.
Unapoijuwa hii kweli ukiwa Muislamu nakuomba kwa neema yake Kristo Bwana wetu umpokee KRISTO YESU maishani mwako ili uweze kuitoroka ibada ya shetani na kujiokoa nafsi yako na mauti ya milele………
Karibu kwa Yesu Kristo wetu.
Ufunuo 3:30 Yeye anasimama mlangoni kwako anabisha!!!
Usichelewe kumfungulia.
Shalom
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo
KITABU CHA DANIEL (SEHEMU YA SABA)

Siku Moja Mfalme Nebukadneza alitengeneza sanamu kubwa sana ya dhahabu ambayo urefu wake ulikuwa ni dhiraa sitini, na upana wake dhiraa sita; akaisimamisha katika uwanda wa Dura, katika wilaya ya Babeli. Kisha akatuma watu kuwakusanya maamiri, na manaibu, na maliwali, na makadhi, na watunza hazina, na mawaziri, na mawakili, na wakuu wa wilaya zote, ili wahudhurie wakati wa kuizindua ile sanamu, ambayo aliyoisimamisha.
Akamwamuru mpiga mbiu kwamba awapigie kelee watu wa kabila zote na taifa na lugha kwamba wakati watakapoisikia sauti ya panda, na filimbi, na kinubi, na zeze, na santuri, na zomari, na namna zote za ngoma, lazima kuanguka na kuiabudu sanamu ya dhahabu, ambayo mfalme Nebukadreza ameisimamisha. Ikatolewa tangazo kwamba kila mtu asiyeanguka na kuabudu atatupwa saa iyo hiyo katika tanuru ya moto uwakao.
Hivyo Basi watu wote chini ya Mbingu walipoisikia sauti ya panda na filimbi, na kinubi na zeze na namna zote za ngoma wakaanguka kuisujudia ile sanamu ambayo Mfalme aliisimamisha. Lakini Marafiki zake Daniel ambao ni Shedrak na meshak na Abednego walikataa kuisujudia ile sanamu ya mfalme wakawa wakali wamesimama. Ndipo wakaldayo wakawashtaki hao wayahudi watatu kwamba wameikaidi amri ya Mfalme.
Mfalme aliposikia alikasirika sana. Akaamuru watu hao waitwe naye akawaambia hivi;”- Enyi Shadraka, na Meshaki, na Abednego, je! Ni kwa makusudi hata hammtumikii mungu wangu wala kuisujudia sanamu ya dhahabu niliyoisimamisha? Basi sasa, kama mkiwa tayari wakati mtakapoisikia sauti ya panda, na filimbi, na kinubi, na zeze, na santuri, na zomari, na namna zote za ngoma, kuanguka na kuisujudia sanamu niliyoisimamisha, ni vema; bali msipoisujudia, mtatupwa saa iyo hiyo katika tanuru iwakayo moto; naye ni nani Mungu yule atakayewaokoa ninyi na mikono yangu?
Wakina Shedrack na Meshak na Abednego wakamjibu mfalme kwamba hawataisujudia sanamu aliyoisimamisha mfalme na Kwamba Hata kama Mungu akiwaokoa ama la hawataisujudia ile sanamu kamwe. Mfalme alikasirika sana akaamuru Moto uchochewe mara saba na kisha akaamuru mashujaa wa jeshi lake wawafunge Wayahudi wale watatu na kisha kuwatupa katika lile tanuru la Moto. Ndipo wayahudi wale watatu wakatupwa katika lile tanuru la Moto hali wamefungwa.
Cha ajabu ni kwamba wale waliowatupa waliungua wakafa papo hapo walakini wale wayahudi watatu waliotupwa hawakuungua hata unywele tu na Moto haukuwa na Nguvu juu yao. Mungu alimtuma Mwana wake kuwaokoa akina Shedrack na Meshak na Abednego, na Mfalme alipoliangalia tanuru aliona watu wane badala ya watatu na yule wa Nne ni kama Mwana wa Miungu.
Ndipo mfalme akaamuru watu wale watolewe. Mungu aliwatukuza wale Marafiki zake Daniel mbele ya mfalme mpagani na watu wa babeli.Mfalme akaona ukuu wa Mungu na akamtukuza Mungu wa Mbinguni na kuamuru kuwa watu wote katika ufalme wake wasimtumikie Mungu mwingine isipokuwa Mungu wa Shadrak, meshak na Abednego.
Kisa hiki kinatufundisha kuwa imetupasa kuwa waaminifu kwa Mungu bila kukengeuka hata nukta ya maagizo yake hata kama kwa kufanya hivyo itaugharimu uhai wetu. Imewapasa watu wa Mungu waone kuwa ni bora kufa kuliko kuasi maagizo ya Mungu. Walakini Mungu aliyewaokoa wale wayahudi watatu atakuwa pamoja na watu wake naye atawaokoa wale wote walio waaminifu kwake.
Siku Moja Mfalme Nebukadneza alitengeneza sanamu kubwa sana ya dhahabu ambayo urefu wake ulikuwa ni dhiraa sitini, na upana wake dhiraa sita; akaisimamisha katika uwanda wa Dura, katika wilaya ya Babeli. Kisha akatuma watu kuwakusanya maamiri, na manaibu, na maliwali, na makadhi, na watunza hazina, na mawaziri, na mawakili, na wakuu wa wilaya zote, ili wahudhurie wakati wa kuizindua ile sanamu, ambayo aliyoisimamisha.
Akamwamuru mpiga mbiu kwamba awapigie kelee watu wa kabila zote na taifa na lugha kwamba wakati watakapoisikia sauti ya panda, na filimbi, na kinubi, na zeze, na santuri, na zomari, na namna zote za ngoma, lazima kuanguka na kuiabudu sanamu ya dhahabu, ambayo mfalme Nebukadreza ameisimamisha. Ikatolewa tangazo kwamba kila mtu asiyeanguka na kuabudu atatupwa saa iyo hiyo katika tanuru ya moto uwakao.
Hivyo Basi watu wote chini ya Mbingu walipoisikia sauti ya panda na filimbi, na kinubi na zeze na namna zote za ngoma wakaanguka kuisujudia ile sanamu ambayo Mfalme aliisimamisha. Lakini Marafiki zake Daniel ambao ni Shedrak na meshak na Abednego walikataa kuisujudia ile sanamu ya mfalme wakawa wakali wamesimama. Ndipo wakaldayo wakawashtaki hao wayahudi watatu kwamba wameikaidi amri ya Mfalme.
Mfalme aliposikia alikasirika sana. Akaamuru watu hao waitwe naye akawaambia hivi;”- Enyi Shadraka, na Meshaki, na Abednego, je! Ni kwa makusudi hata hammtumikii mungu wangu wala kuisujudia sanamu ya dhahabu niliyoisimamisha? Basi sasa, kama mkiwa tayari wakati mtakapoisikia sauti ya panda, na filimbi, na kinubi, na zeze, na santuri, na zomari, na namna zote za ngoma, kuanguka na kuisujudia sanamu niliyoisimamisha, ni vema; bali msipoisujudia, mtatupwa saa iyo hiyo katika tanuru iwakayo moto; naye ni nani Mungu yule atakayewaokoa ninyi na mikono yangu?
Wakina Shedrack na Meshak na Abednego wakamjibu mfalme kwamba hawataisujudia sanamu aliyoisimamisha mfalme na Kwamba Hata kama Mungu akiwaokoa ama la hawataisujudia ile sanamu kamwe. Mfalme alikasirika sana akaamuru Moto uchochewe mara saba na kisha akaamuru mashujaa wa jeshi lake wawafunge Wayahudi wale watatu na kisha kuwatupa katika lile tanuru la Moto. Ndipo wayahudi wale watatu wakatupwa katika lile tanuru la Moto hali wamefungwa.
Cha ajabu ni kwamba wale waliowatupa waliungua wakafa papo hapo walakini wale wayahudi watatu waliotupwa hawakuungua hata unywele tu na Moto haukuwa na Nguvu juu yao. Mungu alimtuma Mwana wake kuwaokoa akina Shedrack na Meshak na Abednego, na Mfalme alipoliangalia tanuru aliona watu wane badala ya watatu na yule wa Nne ni kama Mwana wa Miungu. Ndipo mfalme akaamuru watu wale watolewe. Mungu aliwatukuza wale Marafiki zake Daniel mbele ya mfalme mpagani na watu wa babeli.Mfalme akaona ukuu wa Mungu na akamtukuza Mungu wa Mbinguni na kuamuru kuwa watu wote katika ufalme wake wasimtumikie Mungu mwingine isipokuwa Mungu wa Shadrak, meshak na Abednego.
Kisa hiki kinatufundisha kuwa imetupasa kuwa waaminifu kwa Mungu bila kukengeuka hata nukta ya maagizo yake hata kama kwa kufanya hivyo itaugharimu uhai wetu. Imewapasa watu wa Mungu waone kuwa ni bora kufa kuliko kuasi maagizo ya Mungu. Walakini Mungu aliyewaokoa wale wayahudi watatu atakuwa pamoja na watu wake naye atawaokoa wale wote walio waaminifu kwake.
SWALI:
Kwenye Dan 2:38, nini inaweza kuwa ni sababu ya Danieli kusema kuwa Nebukadneza alitawala wanadamu, wanyama wa kondeni na ndege wa angani?
Kwenye Dan 2:38, nini inaweza kuwa ni sababu ya Danieli kusema kuwa Nebukadneza alitawala wanadamu, wanyama wa kondeni na ndege wa angani?
Subscribe to:
Posts (Atom)
An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance
Title: An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance Au...
TRENDING NOW
-
Baba umenipa funguo muhimu katika Mathayo 16:19 za kufunga na kufungua. Ninatumia funguo hizo kufunga na kufungua, kuvunja na kubamiza kil...
-
Kuna watu wanapitia mateso mengi sana, wengine wamefungwa katika vifungo bila wao kujijuwa basi chukua muongozo huu utakusaidia au itasaid...
-
Adui anakuja kuiba, kuua na kuharibu kila kitu chetu, ni lazima kuwa tayari kupambana na maadui, tujue silaha zetu, na kutumia neno la Mun...
-
Twakusalimu kwa mara ingine katika jina tukufu na takatifu la Yesu Kristo Bwana wetu. Twazidi pia kukushukuru kwa ajili ...