Monday, October 3, 2016

AISHA ANASEMA: MUHAMMAD ALIKUWA AMEROGWA MPAKA AKAPOTEZA FAHAMU



Muhammad Aliwahi Kulogwa (Kwa Apizo, ‘Under a Spell’)
" ‘Aisha anasimulia: Nabii alifanyiwa uchawi hata akaanza kudhani kuwa anafanya kitu fulani wakati hakuwa anafanya. Siku moja alimwomba (Allah) kwa muda mrefu sana kisha akasema, ‘Naona kuwa Allah amenipa mwongozo wa namna ya kujitibu mwenyewe.’..." Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 54 (Mwanzo wa Uumbaji) sura ya 10 na.490 uk.317.
Tazama pia juzuu ya 4 kitabu cha 53 (Wajibu wa Khumus) sura ya 34 na.400 uk.267, juzuu ya 8 kitabu cha 73 (Mienendo Myema) sura ya 56 na.89 uk.56-57, juzuu ya 8 kitabu cha 75 (Kitabu cha Maombi ‘Book of Invocations’) sura ya 59 na.400 uk.266-267. Juzuu ya 7 na.658-660 uk.441-443.
Pia tazama Muislam Sahihi juzuu ya 2 kitabu cha 4 (Kitabu cha Sala) sura ya 309 na.1888 uk.411
Muhammad alilogwa. Alisimulia ‘Aisha: Nabii aliendelea kwa kipindi fulani akidhania kuwa anafanya tendo la ndoa na mke wake, lakini haikuwa hivyo. Siku moja alisema kwangu, "O ‘Aisha! Mungu ameniagiza kuhusiana na suala nililomuuliza. Watu wawili walikuja, mmoja alikaa karibu na miguu yangu na mwingine karibu na kichwa changu. Yule aliyekuwa karibu na miguu yangu alimuuliza yule wa karibu na kichwa changu (akininyooshea kidole), ‘Mtu huyu ana shida gani? Yule mwingine akamjibu, ‘Ameathirika na uchawi. Yule wa kwanza akauliza, ‘Ni nani aliyemfanyia uchawi?’ Yule mwingine akajibu, ‘Lubaid bin A’sam." Yule wa kwanza akauliza, ‘(Alitumia) nyenzo gani?.’ Yule mwingine alijibu ‘Ngozi ya chavua ya mtende wa kiume na chanio lililowekwa nywele, na kuwekwa chini ya jiwe kwenye bwawa la Dharwan.’" Kisha Nabii alikwenda kwenye bwawa lile na kusema, "Hili ndilo bwawa lilelile nililoonyeshwa kwenye ndoto. Ncha za mitende yake inaonekana kama vichwa vya mashetani, na maji yake yanaonekana kama mchanganyiko wa hina."… ‘Aisha aliongeza, "(Mchawi) Lubaid bin A’sam alikuwa anatokea Bani Zuraiq, mshirika wa Wayahudi." Bukhari juzuu ya 8 kitabu cha 73 (Mienendo Myema) sura ya 56 na.89 uk.57. Tazama pia Bukhari juzuu ya 8 kitabu cha 75 (Kitabu cha Maombi ‘Book of Invocations’) sura ya 59 na.400 uk.266
1. Kwanini tumfuate Mtume aliyerogwa na kupoteza fahamu?
2. Hivi kuna Mtume au Nabii yeyote yule kwenye Biblia na yeye alirogwa?
3. Kwanini Allah alishindwa kumlinda Mtume wake kutoka nguvu za kurogwa?
4. Hivi wapi tunasoma kuwa Muhammad alifanyiwa maombi na urogi ukamtoka?
Hakuna ushahid wowote ule ambao unasema kuwa Muhammad aliombewa na kutokwa huo uchawi. Huu ni msiba kwa Nabii wa Allah kufa huku akiwa amefanyiwa urogi.
Ndugu msomaji,
Mtu yeyote yule akifa kwa kurogwa na huku akiwa amejaa Mashetani, basi huyo mtu yeye ataishia kwenye Jehannam ya moto.
Karibuni kwa Yesu aliye hai.
Max Shimba Ministries Org.

HAKIKA YEHOVA NI MUNGU MKUU NA ANAILINDA ISRAEL.



HIVI ALLAH YUPO WAPI, MAANA KULE KWA WATU WAKE "WAISLAMU" KUNA VILIO TUPU NA MAGOFU TU.
Zaburi 121 aya ya 4 hakika, Yeye alindaye Israeli hatasinzia wala hatalala.
NDIO MAANA HUWA NASEMA ALLAH SIO YEHOVAH "YAHUH" BALI ALLAH NI MPINGA MUNGU TU.

MUHAMMAD ALIKUWA NA UGONJWA WA KUSAHAU SAHAU


Katika Sahihi Al-Bukhar Vol vi hadithi nambari 556-558 zinamuelezea Muhammad naye Nabii wa Allah alivyokuwa ni mmoja kati ya watu waliosahau aya na sura za Qur’an. Tazama Qur’an 87:6-7. tena Sahihi al-Bukhari Vol vi hadithi nambari 530-557. sijawahi kusoma wala kusikia habari za Nabii yeyote wa Mungu wa kweli aliesahau ujumbe wake.
Maana sisi Wakristo tunasoma katika 2Petro 1:20-21 maneno haya.
“Mkijua neno hili kwanza ya kwamba hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu. Maana unabii haukuletwa popote kwa mapenzi ya mwanadamu bali mwanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu wakiongozwa na Roho Mtakatifu”.
Kwa hiyo kwa maana ya maneno haya tunakuwa na shaka na imani ya Kiislamu kuwa Nabii anasahau aya na sura za ujumbe wa Mungu.
Sababu nyingine ambayo ni ya kushangaza ni kuondoshwa kwa baadhi ya aya kwa makusudi tu. Imeelezwa katika Sahihi al-Bukhari Vol vi hadithi nambaro 8 na 527 jinsi Sayyidina Umar alivyoziondoa sura za “ HAFD” na “KHAL’A”. Inasemekana sura hizo zilihifadhiwa na Ibn Ka’b. katika maelezo ya mwanazuoni mmoja Ibn majah yanasema katika heke heka ya mazishi ya Muhammad aya zingine ambazo zilihifadhiwa uchagani mwa kitanda cha bibi Aisha zilikuwa na mnyama wa kufugwa. Hii inashangaza sana, inanishangaza mimi hasa kutokana na yale wayasemayo kinyume na Ukristo. Maana ni wepesi wa kusema kudharau, kubeza na hata kutamka maneno yasiyofaa kwa Wakristo. Ukisema wewe utasikia tu huyo anamkashifu Mtume! Mara nyingi sana hujiuliza mbona Waislamu wengi katika mihadhara humkashifu Yesu tena hadharani? Isitoshe Mtume Paulo kwao amekuwa kama taka taka jinsi wanavyomtukana na kumdharau. Sijasikia watu wanapopiga kelele wakionya na kuwaambia waache kumkashifu Mtume.
Waislamu wengi na wanadamu mamia kwa maelfu kila siku wanamtukana Mungu kwa matendo yao, lakini sijawahi kusikia Waislamu wakiandamana na kuwaonya watu waache mara moja laa sivyo watasusia kila kitu kwa wale ambao wamehusika. Je, huyu Muhammad amekuwa bora kuliko Mungu? Nimechunguza kwa miaka mingi kwamba ukiongea lolote juu ya Allah hutasikia Waislamu duniani wakidai lolote, lakini ukiongea juu ya Muhammad tegemea nlipuko wa Waislamu wakikuzomea karibia dunia nzima. Wakianza mtu mashuhuri au kikundi cha watu mashuhuri hawa wengine watafanya bila kuuliza wala kufikiri. Jambo la kutisha lile ambalo mtu anafedha ambazo fedha hizo si zake bali ni za YEHOVA. Yeye atazitumia kwa kuweka dau eti yule atakaye muua mtu fulani kwa kumsema Muhammad nitampa kiasi fulani cha fedha. Na Waislamu wengine wakishangilia na pengine wakimuombea dua kwa Allah.

ALLAH SIO YEHOVA "YAHUH" ( يهوه ) MWENYEZI MUNGU (SEHEMU YA SABA)



Ndugu msomaji,
Naanza kwa kuwauliza Waislamu: "Kwanini kwenye yale majina 99 ya Allah hakuna jina la Yehova "YAHUH"?
Sasa tusome vitabu vyao:
Katika Sahih hadith tunasoma kuwa:
Ime Hadithiwa na Abu Huraira:
Allah ana majina tisini na tisa, Mia toa moja, na yeyote atakayo amini maana zake na kufanya ya pasavyo, ataingia peponi. Na Mwenyezi Mungu ni witr(Mmoja) na anapenda witiri (idadi isiyo gawanyika kwa mbili ikajitosheleza).(Bukhari 6410)
Allah anakiri kuwa yeye ana majina 99, ona kupitia hii linkhttps://ibadhi.com/vipindi/416-dua-mchanganyiko/6238 NA HAKUNA JINA LA YEHOVA KATIKA HAYO MAJINA 99 YA ALLAH.
SASA TUMSIKILIZE MUNGU WA KWENYE BIBLIA ANAVYO JITAMBULISHA KWA WANADAMU.
Isaya 42:8 Mimi ni Yehova. Hilo ni jina langu; nami sitampa mwingine yeyote utukufu wangu mwenyewe, wala sitazipa sanamu za kuchongwa sifa yangu.
SASA ANGALIA ALLAH ANAVYO JITAMBULISHA KWA MUHAMMAD:
"Jua ya kwamba hakuna aabudiwaye kwa haki ila Allah..." (Qur’an. 47:19)
Unaona vituko vinaanza kwa huyu Allah. Allah anaogopa kutamka Jina la Yehova?
SASA ANGALIA MUNGU ANAVYO JITAMBULISHA KWA DAUDI:
"Wajue ya kuwa Wewe, uitwaye jina lako Yehovah, ndiwe peke yako Uliye juu, juu ya nchi yote". (Zaburi 83:18)
SASA, kwanini nimfuate Allah ambaye anapinga Jina la Yehova Mungu wa kweli?
Kwanini Allah aliogopa kuweka Jina la Yehova kwenye Quran?
Kwanini kwenye yale majina 99 ya Allah hakuna jina la Yehova "YAHUH"?
Ni rahisi sana kumtambua Allah ambaye sio Menyezi Mungu. Maana kamwe hato weza jiita Yehova.
Kama kuna ushahidi wowote ule kwamba Allah aliwai jiita YAHUH "Yehova" Basi uleteni hapa ili tusilimu na tuwe Waislamu.
Nakusihi ufanye utafiti wako mwenyewe na uone kama kuna sehemu yeyote ile Allah amejiita Yehova kwenye, Quran, kama ukikosa aya, basi elewa kuwa ALLAH SIO MUNGU WALA MWENYEZI MUNGU WALA MUNGU WA ADAM, AU IBRAHIM, AU ISAKA, AU YAKOBO AU DAUDI, NK, bali Allah ni Mpinga Mungu.
Nawakaribisha Waislamu wote kwa Mungu wa Kweli anaye itwa YEHOVA.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed

Saturday, October 1, 2016

ALLAH SIO YEHOVA "YAHUH" ( يهوه ) MWENYEZI MUNGU (SEHEMU YA SITA)



Je, Yehovah na Allah ni Miungu Tofauti!?

• Ukweli kuhusu Mungu anayeabudiwa na Waislam na Wakristo
• Je, Yehovah au Allah ndiye Mungu wa Wakristo?
• Je, ndiye Mungu wa Ibrahimu, Ismaili, Isaka, Yakobo, Yesu na Manabii
wote?

Yehova ni Jina la Mungu ambalo kwa Kiingereza anaitwa Jehovah na kwa Kiebrania anaitwa יהוה (YHVH) na kwa Kiarabu anaitwa (yahuh ) au ( يهوه ). ngoja niweke kwa urahisi ili wafuasi wa Muhmmad waelewe;

1. Kiebrania = יהוה (YHVH)
2. Kiingereza = Jehovah
3. Kiswahili = Yehova
4. Kiarabu = yahuh ( يهوه )

Kulingana na maelezo ya Biblia, Yehovah ni jina takatifu la Mwenyezi Mungu walilolitumia Wayahudi kwa mnasaba wa lugha yao ya Kiebrania. Aidha, Kwa mujibu wa mafundisho ya Biblia, jina hilo Mungu alilifunua kwa Musa. Maandiko yafuatayo yanathibitisha ukweli huu:

"Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni Yehovah, mami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka na Yakobo kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVAH sikujulikana kwao". (Kutoka 6:2-3)
Kulingana na maandiko hayo juu, tunachojifunza hapa ni kwamba Yehovah ni Mwenyezi Mungu.


1. Mungu alivyojitambulisha kwa Nabii Musa.
Biblia inafundisha kuwa Mungu alijitambulisha kwa Musa na kwa Waisraeli wengine kwa majina ya "Yehovah" na "BWANA".

Kuhusu jina la Yehovah, andiko lifuatalo linathibitisha kama ifuatavyo:
"Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni Yehovah". (Kutoka 6:2).

Kuhusu BWANA, maandiko yafuatayo yanabainisha:
"Ilikuwa siku hiyo BWANA aliponena na Musa katika nchi ya Misri, BWANA akamwambia Musa, akasema, Mimi ni BWANA, mwambie Farao mfalme wa Misri maneno yote nikuambiayo". (Kutoka 6:28-29).


2. Mungu alivyojitambulisha kwa Mfalme Daudi:
Maandiko ya Biblia yanaonyesha pia kuwa Mungu alijifunua na kutambuliwa na Mfalmei Daudi kwa majina ya Yehovah, Yahu na BWANA.
Kuhusu jina Yehovah, Nabii Daudi baada ya Mungu kumfunulia, alitangaza kwa kusema:
"Wajue ya kuwa Wewe, uitwaye jina lako Yehovah, ndiwe peke yako Uliye juu, juu ya nchi yote". (Zaburi 83:18)
Kuhusu jina Yahu, Nabii Daudi pia alifunuliwa na kusema:
"BWANA, Mungu wa majeshi, Ni nani aliye hodari kama Wewe, Ee Yahu?" (Zaburi 89:8) Ama kuhusu BWANA, Nabii Daudi vile vile alisema:
"Kwa kuwa BWANA ni Mungu mkuu, Na mfalme mkuu juu ya miungu yote". (Zaburi 95:3)


3. Mungu alivyojitambulisha kwa Nabii Isaya:
Kulingana na mafundisho ya Biblia, Mungu kupitia kinywa cha Nabii Isaya alijitambulisha kwa jina la BWANA.
Aidha, kwa upande mwingine, maandiko ya Biblia yanaonyesha kuwa Mungu pia alijifunua kwa Nabii Isaya kwa jina la BABA.
Kuhusu kujitambulisha kwa jina la BWANA, Mungu mwenyewe alisema:
"Mimi ni BWANA, ndilo jina langu; na utukufu wangu sitampa mwingine, wala sitawapa sanamu sifa zangu". (Isaya 42:8)

Ama kuhusu jina la BABA, Nabii Isaya alisema:
"Lakini sasa, Ee BWANA, Wewe U baba yetu, sisi tu udongo, nawe u mfinyanzi wetu, sisi sote tu kazi ya mikono yako". (Isaya 64:8)

Nakusihi ufanye utafiti wako mwenyewe na uone kama kuna sehemu yeyote ile Allah amejiita Yehova kwenye, Quran, kama ukikosa aya, basi elewa kuwa ALLAH SIO MUNGU WALA MWENYEZI MUNGU WALA MUNGU WA ADAM, AU IBRAHIM, AU ISAKA, AU YAKOBO AU DAUDI, NK, bali Allah ni Mpinga Mungu.

Nawakaribisha Waislamu wote kwa Mungu wa Kweli anaye itwa YEHOVA.

Mungu awabariki sana.

Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

MWANA MKE WA KIIRAN AUWAWA NA MUMUWE BAADA YA KUBADILI DINI NA KUWA MKRISTO




Nasrin Abek Mwanamke mwenye umri wa miaka 35 alichomwa chomwa visu na Mume mpaka kifo kwasababu ya kubadili dini kutoka Uislam na kuwa imani ya Kikristo.
Amir Darbanou ameshitakiwa kwa kosa la kumuua mke wake ndani ya apartment yao huko Potts Sydney Australia.
Mwanaume huyo wa Kiiran mwenye umri wa miaka 42, alimuua mkewe kwa kumchoma visu mara kadhaa kwasababu ya kubadili dini na kuwa Mkristo, Gazeti la "Sydney Morning Herald" lilisema.
- Snip -
******* NDIO MAANA MIMI HUWA NASEMA UISLAM NI DINI YA KULAZIMISHANA ********
Kwa habari kamili na ya kusikitisha ingia hapa
Read more: http://www.dailymail.co.uk/…/Hairdresser-35-stabbed-death-I…

ALLAH AMEKUBALI KUWA MLEZI WA SHETANI AMBAYE NI IBILISI JOKA KUU.


1. Shetani akiri kuwa Allah ni Mola wake Mlezi.
2. Asema Allah ndie aliye mfundisha kutenda dhambi.
3. Asema na yeye atafanya maovu aliyofundishwa na Allah kwa Binadamu
4. Tabia za Shetani na Allah zafanana
Nini maana ya mlezi?
Mlezi ni mtu au kiumbe ambaye analea au mtoto wake au ndugu yake au analea kiumbe chenye uhai, kwa maadili ya huyo mlezi ambayo yana kuwa kifikra, kimatendo na kiufahamu.
SOMA:
Surah Al Hijr 39. Shetani akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote,
[Sûrah al-A`râf: 16-17], [Sûrah al-Isrâ’: 62] ,
Aya hapo juu inatufundisha jinsi ambavyo Allah analea viumbe wake kama Ibilisi ANAVYO LELEWA NA ALLAH. Malezi ya Allah ni kuwatia watu makosani ili wawe watenda dhambi kama Shehetwain.
Ndugu zanguni, huu ni MSIBA mwingine Mkubwa sana kwa Dini ya Jibril. Leo tunajifunza kutoka aya ambayo Jibril aliiteremsha kwa Muhammad. Aya hii katika Surat Al Hijir inakiri kuwa ALLAH NI MOLA MLEZI WA SHETANI. IKIMAANISHA KUWA , SHETANI AMBAYE NI IBILISI ANALELEWA NA ALLAH.
Sasa Kama Allah ndie Mlezi wa Shetani, na sie wote tunafahamu kuwa Shetani kazi yake ni kufanya Maovu, Kuua watu, na kuendeleza ubaya hapa duniani, JE, inamaanisha hayo yote Shetani kajifunza kwa Allah?
Shetani anaendelea kusema kuwa, NI ALLAH ndie aliye mtia makosani, Je, inamaana kuwa MALEZI ya Allah ndio yaliyo mfunza ubaya na dhambi Shetani?
Shetani anaendelea kusema na kukiri kwa Allah kuwa, NUKUU "basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote" ATAWAPOTEZA WATU WOTE,
Swali: Kwanini Allah alikaa kimya wakati Shetani anajitamba kufanya mabaya kwa viumbe visivyo na hatia? Au ni kwasababu yeye Allah ndie aliye mfuza ubaya Shetani, ndio maana alishindwa kumkanya au mwonya Shetani?
Ndugu zanguni, sidhani kuna Muislam atakaye weza bisha na au ipinga hii aya ambayo ipo wazi kabisa kuwa, ALLAH NI MOLA MLEZI WA SHETANI na ALLAH NDIE ALIYE MFUZA UBAYA SHETANI. Huu ni MSIBA MKUBWA SANA KWA WAISLAM.
Waislam, ningependa mtujibu sio kwa jazba bali kwa aya, KWANINI ALLAH HAKUKATAA KUITWA MOLA MLEZI WA SHETANI?
Max Shimba Ministries Org

ALLAH KASEMA ADUI YAKE MKUBWA NI YESU KRISTO "MFALME WA WAFALME" WA KWENYE BIBLIA



Ndugu msomaji,
Waislamu hudai kuwa Muhammad ametumwa na Mwenyezi Mungu wao, ambaye ni Mfalme wa Wafalme . Lakini tusomapo Biblia Takatifu katika kitabu cha Ufunuo 17:14 “ Hawa watafanya vita na Mwanakondoo, na Mwanakondoo atawashinda, kwa maana Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa Wafalme; na hao walio pamoja naye ndiyo walioitwa na wateule, na waaminifu”
Katika Ufunuo 19:11-16 “ Kisha nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama, farasi mweupe, na yeye aliyempanda, aitwaye Mwaminifu na Wa-kweli, naye kwa haki ahukumu na kufanya vita. Na macho yake yalikuwa kama mwali wa moto, na juu ya kichwa chake vilemba vingi; naye ana jina lililoandikwa, asilolijua mtu ila yeye mwenyewe. Naye amevikwa vazi lililochovywa katika damu, na jina lake aitwa Neno la Mungu. Na majeshi yaliyo mbinguni wakamfuata, wamepanda farasi weupe na kuvikwa kitani nzuri, nyeupe, safi. Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili awapige mataifa kwa huo. Naye atawachunga kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga shinikizo la mvinyo ya ghadhabu ya hasira ya Mungu Mwenyezi. Naye ana jina limeandikwa katika vazi lake na paja lake, MFALME WA WAFALME NA BWANA WA MABWANA “
Yesu Kristo ndiye Mfalme wa Wafalme na Bwana wa Mabwana. Lakini tunaposoma Hadithi sahihi za Kiislamu zinaeleza kuwa adui mkubwa wa Allah (s.w) wanayemwabudu Waislamu, ni yule anayeitwa Mfalme wa Wafalme.
Sahih Al- Bukhari, Vol.8.Hadithi Na.225, Al-Lu’lu Wal-marjan,Juzuu ya 3, Hadithi Na.1385 “Hadithi ya Abu Huraira (r.a) amesema,Mtume wa Allah (s.a.w) amesema,” Majina yaliyo dhalili mno na mabaya mbele za Allah ni mtu kujiita,Malikil-Amlaak (Mfalme wa Wafalme).”
Hivyo, ufunuo aliopokea Muhammad, ambao anatutaka na sisi Wakristo tuuamini haujatoka kwa Mungu tunayemwamini sisi Wakristo, yaani, Yesu Kristo. Bali kama alivyonukuliwa katika vitabu vya Kiislamu, unatokana na kuchezewa na Shetani, na kwa sababu hiyo kwetu anakuwa nabii na mtume wa uongo’
Biblia Takatifu imetuonya kuwachunguza mitume na manabii. Katika kitabu cha Ufunuo 2:1-2 “ Kwa malaika wa kanisa lililoko Efeso andika; Haya ndiyo anenayo yeye azishikaye hizo nyota saba katika mkono wake wa kuume, yeye aendaye katikati ya vile vinara saba vya dhahabu. Nayajua matendo yako, na taabu yako, na subira yako, na ya kuwa huwezi kuchukuliana na watu wabaya, tena umewajaribu wale wajiitao mitume, nao siyo ukawaona kuwa waongo”
Kwa mujibu wa aya hizi Muhammad s.a.w hastahili kuitwa nabii na mtume wa Mungu wa Kweli, bali anaangukia katika kundi la manabii na mitume wa uongo. Hatufai.
Zaidi ya hapo, Allah ambaye ni adui mkubwa wa Yesu Kristo ambaye ni Mfalme wa Wafalme sio Mwenyezi Mungu.
Mungu awabariki sana
Ni mimi Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

QURAN NA BIBLIA ZATHIBITISHA KUWA PAULO NI MTUME WA MWENYEZI MUNGU LAKINI MUHAMMAD NI MTUME BANDIA




HUU NI MSIBA MKUBWA SANA KWA WAISLAM.
Kwa mujibu wa Biblia manabii na mitume wanathibitishwa kwa njia ya miujiza.
Kutoka 14:21” Musa akanyosha mkono wake juu ya bahari,BWANA akaifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wa nguvu utokao mashariki,usiku kucha,akaifanya bahari kuwa nchi kavu”.
Matendo 19:11-12 “Mungu alifanya kwa mikono ya Paulo miujiza ya kupita kawaida . Hata wagonjwa wakaletewa leso na nguo zilizotoka mwilini mwake magonjwa yao yakawaondokea, pepo wachafu wakawatoka”. Tazama pia Matendo 16:16-18, 20:7-12 na Matendo 13:6-12.
Qur’an nayo inathibitisha kuwa manabii na mitume ni lazima wafanye miujiza.
Qurani 40:78 Suratul Al-Muumini [Waumini] inasomeka “Na kwa yakini tumewatuma mitume kabla yako wengime katika wao tumekusimulia (majina yao na habari zao) na wengine hatukukusimulia na haikuwa kwa mtume yoyote kuleta muujiza wowote ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu”
Muhammad hakupewa kufanya muujiza wowote ili kuthibitisha madai ya unabii na utume wake.
Qur’an 29:50 Suratul Al-Ankabuut (Buibui). “Na walisema “Mbona hakuteremshiwa miujiza kutoka kwa Mola wake? Sema miujiza iko kwa Mwenyezi Mungu tu (akitaka atakuteremshieni na kama hataki basi), nami hakika ni mwonyaji mbainishaji (dhahiri tu).” (Taz. Qur,an 6:35-37 13:7,)
Katika Qur’an iko aya ambayo tunapaswa tuitafakari wote kwa pamoja. Katika Surat An-Nisaa, (wanawake), 4:79 “Wema uliokufikia unatoka kwa Mwenyezi Mungu na ubaya uliokufikia unatoka nafsini mwako, mwenyewe umefanya mambo hata yakakufika hayo. Nasi tumekupeleka kwa watu kuwa mtume na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha (hapaitajiwi shahidi mwingine)”
Aya hii inaonesha kuwa Muhammad mtume wa Waislamu, alipelekwa kwa watu kuwa mtume, huku Mwenyezi Mungu akiwa shahidi tu. Siku zote shahidi si mtendaji bali ni mwonaji tu wa tendo lililotendeka.
Hoja yetu tungependa kuwajua hao watu waliompeleka Muhammad kwa watu ni akina nani? Kwa sababu tumeona kule nyuma baada ya Muhammad kutoka pangoni, mkewe Bi. Khadija anamwambia Muhammad kuwa “utume huo!!!!!!! Na Bwana Waraqah ibn Naufal akimwambia Muhammad kuwa “ basi jibashirie kuwa wewe ni mtume wa umma huu” kabla ya Qur’an .Je hao si wale “Nasi tumekupeleka” wanaotajwa kwenye aya hiyo hapo juu? Tafakari!!
Muhammad alikuwa nabii wa uongo na mtenda dhambi kubwa kubwa na hakufanya miujiza.
Lakini Mtume Paulo alifanya miujiza mingi sana.
Ndio maana huwa nasema Uislam ni dini ya kutengeneza tu.

MUHAMMAD AWARUHUSU WAISLAM KUPIGA WAKE ZAO


Ndugu msomaji,
Muhammad alikuwa na tabia ya kuwapiga wake zake, hususan Aisha na Hafsa.
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA KWA WAISLAM
Nabii wa Alah Muhammad alipiga Aisha kifuani na kumsababishia maumivu makali. Sahih Muslim #2127:
SOMA KISA HIKI HAPA CHINI.
Sahih Muslim #2127:
Ilipokuwa zamu yangu kwa Nabii wa Allah kuwa nami usiku, aliingia na kugeuka, akavua joho lake na viatu vyake, na kuviweka karibu na miguu yake, na akajilaza kwenye kitanda mpaka alipo fikiria kuwa na mimi nimelala.
Basi akachukua joho lake taratiibu na kuvaa viatu vyake, na akafungua mlango na kutoka nje na kuufunga taratibu. Aisha akasema, na mimi nikajifunika kichwa changu, na kuvaa hijabu yangu na kujifunga nguo kiunoni mwangu, na baadae nikatoka nje na kumfuta Nabii wa Allah mpaka alipo fika Baqi.
Alisimama pale kwa muda mrefu. Na baadae akanyanyu mikono yake mara tatu, na baadae kurudi, na mimi vile vile nikarudi nyumbani. Alikuwa anatembea kwa haraka haraka, na mimi vile vile nilitembea kwa haraka haraka. Alikimbia, na mimi nikakimbia vile vile. Akaja nyumbani na mimi vile vile nilikwenda nyumbani, ingawa mimi nilkwenda kwa haraka kabla yake. Nilipo ingia tu na kujilaza kitandani, na Nabii wa Allah akaingia nyumbani, akasema: Hii ni nini, O' Aisha, mbona unahema sana? Nikamwambia, hakuna kitu. Akasema, Niambie au una mambo ya siri hautaki kuniambia.
Nikamwabia, Nabii wa Allah, baba na mama yangu wawe fidia kwako, halafu nikamwambia kila kitu bila kumficha kitu.
Muhammad akasema, kumbe nilicho kuwa nakiona kwenye giza mbele yangu ilikuwa ni wewe? Nikamjibu, NDIO. Basi Nabii wa Allah, AKANIPIGA KWA NGUVU SANA KWENYE KIFUA CHANGU, na nilipatwa na maumivu makali sana. HALAFU AKASEMA, unafikiri Allah na Nabii wake wamekuonea?
Bukhari volume 8, #828
Amesema Aisha: Abu Bakr alikuja kwangu na akanipiga ngumi kwa nguvu sana na kusema, umewaweka watu kizuizini kwasababu ya mkufu wako. Lakini nilikuwa nimekaa kimya kama vile nimekufa, .......

An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance

  Title: An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance Au...

TRENDING NOW