Sunday, February 11, 2018

Critics Of Bible Silenced Once Again: Archaeological Discoveries Prove Torah To Be Accurate

ebla-tablets-550x350
For many years, the critics of the Old Testament continued to argue that Moses invented the stories found in Genesis. The critics contended that the ancient people of the Old Testament times were too primitive to record documents with precise details.
In doing so, these critics basically claimed that there was no verification that the people and cities mentioned in the oldest of Biblical accounts ever really existed.
The discovery of the Ebla archive in northern Syria in the 1970′s confirmed that the Biblical records concerning the Patriarchs are spot on. It was during the excavations in northern Syria that the excavating found a large library inside a royal archive room. This library had tablets dating from 2400 -2300 BC.
The excavating team discovered almost 15,000 ancient tablets and fragments which when joined together accounted for about 2,500 tablets. Amazingly, these tablets confirmed that personal and location titles in the Biblical Patriarchal accounts are authentic. These tablets are known as the Ebla Tablets.
For a long period of time, the critics of the Old Testament used to argue that the name ‘Canaan’ was used wrongly in the early chapters of the Bible. They claimed the name Canaan was never used at that specific time in history. They further accused that the name was inserted in the Old Testament afterwards, while the earliest books of The Holy Bible were not written in the times that are described.
However, with the discovery of the tablets from the northern Syria, the word the word “Canaan” does appear, contrary to the claims of the critics. The tablets proved that the term was actually used in ancient Syria during the time in which the Old Testament was written.
Additionally, the cities of Sodom and Gomorrah were also thought to be pure fiction by Bible critics. These cities are also identified in the Ebla tablets, in addition to the city of Haran. Haran is described in Genesis as the city of Abram’s father, Terah. Previous to this discovery, ‘scholars’ suspected the actual presence of the ancient city.
In addition to this, countless other archaeological findings confirm the Biblical records to be real and accurate. Some of these findings are listed below:
• The campaign into Israel by Pharaoh Shishak (1 Kings 14:25-26) is recorded on the walls of the Temple of Amun in Thebes, Egypt.
• The revolt of Moab against Israel (2 Kings 1:1; 3:4-27) is recorded on the Mesha Inscription.
• The fall of Samaria (2 Kings 17:3-6, 24; 18:9-11) to Sargon II, king of Assyria, is recorded on his palace walls.
• The defeat of Ashdod by Sargon II (Isaiah 20:1) is recorded on his palace walls.
• The campaign of the Assyrian king Sennacherib against Judah (2 Kings 18:13-16) is recorded on the Taylor Prism.
• The siege of Lachish by Sennacherib (2 Kings 18:14, 17) is recorded on the Lachish reliefs.
• The assassination of Sennacherib by his own sons (2 Kings 19:37) is recorded in the annals of his son Esarhaddon.
• The fall of Nineveh as predicted by the prophets Nahum and Zephaniah (2 Kings 2:13-15) is recorded on the Tablet of Nabopolasar.
• The fall of Jerusalem to Nebuchadnezzar, king of Babylon (2 Kings 24:10-14) is recorded in the Babylonian Chronicles.
• The captivity of Jehoiachin, king of Judah, in Babylon (2 Kings 24:15-16) is recorded on the Babylonian Ration Records.
• The fall of Babylon to the Medes and Persians (Daniel 5:30-31) is recorded on the Cyrus Cylinder.
• The freeing of captives in Babylon by Cyrus the Great (Ezra 1:1-4; 6:3-4) is recorded on the Cyrus Cylinder.

Watch: Terrorist armed with a sword attacks worshipers in a church in Indonesia

Police in Indonesia shot a sword-wielding man who attacked a church congregation during Sunday Mass, injuring four people, including a German priest. 
The reason for the attack Sunday morning in Sleman district in Yogyakarta province was not immediately clear. The 22-year-old attacker decapitated statues of Jesus Christ and the Virgin Mary during the incident. 
Christians are the world’s most persecuted religious group, according to studies 
Christians and other Non-Muslim minorities throughout the Muslim world are being persecuted for being non-Muslims. 
The Christian community in Iraq and Syria was completely annihilated by radical Muslims, anyone who could not escape and refused to convert to Islam was executed. 
The Western world ignores the cruel persecution of Christians in the Muslim world. 
Where are all the human rights organizations of the UN? Where are all human rights organizations in the West? 
Please pray for the Christian minorities in the Muslim world.
Radical Muslim terrorists all over the world carry out terror attacks "in the name of Allah". 
They justify their violence by quoting verses from the Quran. 
Politicians in the West always claim “Islam is a religion of peace”, 
Despite the fact that some Muslims and even former Muslims such as Ayaan Hirsi Ali, Sandra Solomon claim that there are verses in the Quran and the Islamic scriptures that call for violence against infidels that often what leads to the violence and terrorism carried out against infidels by Muslims. 

Liberals and leftists in the West use the made up term "Islamophobia" to portray anyone who criticizes Islam as a "racist".
They ignore the fact that Islam is an ideology that has nothing to do with race. 
There is an attempt in the West to impose a sharia-blasphemy law to criminalize criticism of Islam. 
It started when Saudi Arabia and Muslim countries tried to pass a UN resolution to force Western states to criminalize criticism of Islam. 
The Parliament in Canada passed "Motion M-103" to condemn the so-called "Islamophobia (Fear of Islam)" in a preparation for a blasphemy law in Canada. 
According to the sharia blasphemy law anyone who criticizes Islam or the Prophet Muhammad should be killed. 
Under Sharia blasphemy law in Saudi Arabia and Iran Muslims are executed if they are accused of blasphemy. 
In Pakistan, the situation is even worse, radical Muslims use the blasphemy law to persecute the Christian minority. 
Is this the law the liberals in the West want to adopt? 
If you think Sharia blasphemy law has no place in the West, share this post!

17 Famous Celebrities who love Jesus Christ! (Christians Athletes, Actors, Actress, Musicians)


Meet the famous born-again Christians who believe in God, Jesus Christ.
List include Dr Ben Carson, Kirk Cameron, George Foreman, Phil Robertson, Manny Pacquiao , Denzel Washington, Devon Franklin, David Oyelowo, Angus T Jones, Mark Burnett, Tim Tebow, Ray Lewis

Saturday, February 10, 2018

ISLAM: Teach the pint-sized terrorists well

In Libya, another video has emerged of child terrorists-in-training performing ISIS-style mock executions, – shouting “Allahu Akbar” while pretending to shoot kneeling victims. Many ISIS videos have shown small chidren actually executing prisoners (see below).

Saturday, February 3, 2018

YESU KRISTO ALIKUWA MASKINI ILI SISI TUWE MATAJIRI

No automatic alt text available.
“ Maana mmejua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo, jinsi alivyokuwa maskini kwa ajili yenu, ingawa alikuwa tajiri, ili kwamba ninyi mpate kuwa matajiri kwa umaskini wake” (2 Wakorintho 8:9).
Je! unafahamu kwa nini Yesu Kristo aliamua kuwa maskini? Ni “…….. ili kwamba ninyi mpate kuwa MATAJIRI kwa umaskini wake”.
Najua kuna wengine watashangaa kuusoma mstari huu; lakini ndivyo ilivyo.
Nimewahi kusikia mkristo mmoja akisema: “ Mimi ni maskini kwa kuwa Yesu Kristo alikuwa maskini”.
Na mwingine alisema; “ Napenda kuwa maskini kwa kuwa Yesu Kristo alikuwa maskini”.
Nadhani kuwa kuna wakristo wengi ambao wana mawazo kama haya. Ni kweli kwamba Yesu Kristo alipokuwa hapa duniani alikuwa maskini. Lakini hakuwa maskini ili sisi tuwe maskini; bali alikuwa maskini ili sisi tuwe matajiri! Kama alikuwa maskini ili sisi tuwe maskini kama wengine wanavyodhani, basi kazi hiyo haina faida kwetu. Lakini Yesu Kristo asifiwe kwa kuwa alikuwa maskini ili sisi tuwe MATAJIRI.
Na ndiyo maana alisema katika Luka 4:18a ya kuwa; “Roho wa Bwana yu juu yangu, kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri MASKINI habari njema.”
Je! kuna habari njema kwa maskini zaidi ya kumwondoa katika umaskini wake?
Injili ni habari njema. Na injili ni uweza wa Mungu uuletao wokovu kwa kila aaminiye (Warumi 1:16). Kuokoka si kuenda tu mbinguni; bali kuokoka maana yake ni uokolewe usiende motoni bali uende mbinguni ukifa, PAMOJA na kuokolewa kutoka kwenye matatizo ukiwa hapa duniani ambayo ni pamoja na umaskini.
Petro aliposema “Bwana niokoe” alipokuwa anazama katika maji unafikiri alikuwa anataka wakati huo aokoke aende mbinguni? La hasha! Yeye Petro alitaka aokoke ASIZAME KATIKA MAJI. Na Yesu akasikia kilio chake akamwokoa. Hivi leo kuna watu wengi mijini na vijijini wanalia Yesu awaokoe kutokana na njaa, kukosa mavazi, magonjwa, maonezi, nakadhalika. Kanisa kama mwili wa Kristo linatakiwa kuwa mstari wa mbele kuwasaidia watu hao, kwa kuwa kazi hii ni sehemu ya utume wake.
Wakristo wengine utawasikia wakisema; hapa duniani hawahitaji kitu bali thawabu yao wataipata mbinguni. Lakini matamshi ya namna hii yanaeleza ukweli nusu na usiokamilika. Kuwa mkristo kuna thawabu duniani na kuna thawabu mbinguni.
Kama hakuna thawabu yoyote tunayoipata tukiwa hapa duniani kwa kumfuata Yesu Kristo; basi ukristo wetu hauna maana na hauna msaada wowote kwa mwanadamu. Ukristo usiotatua matatizo ya mwanadamu ya kila siku, ni ukristo usio na uhai.
Mtume Petro naye aliwahi kusumbuliwa sana na jambo hili, hata ikabidi amuulize Bwana Yesu.
“Ndipo Petro akajibu, akamwambia, tazama, sisi tumeacha vyote tukakufuata, TUTAPATA NINI BASI?” (Mathayo 19:27)
“Yesu akasema, Amini, nawaambiaeni, hakuna mtu aliyeacha nyumba, au ndugu waume, au ndugu wake, au mama, au baba, au watoto, au mashamba, kwa ajili yangu, na kwa ajili ya Injili, ila atapewa MARA MIA SASA WAKATI HUU, nyumba, na ndugu waume, na ndugu wake, na mama, na watoto, na mashamba, pamoja na udhia; na katika ulimwengu ujao uzima wa milele” (Marko 10:29,30).
Majibu haya ya Bwana Yesu, yanazidi kutudhihirishia ya kwamba si mapenzi ya Mungu tuwe maskini. Yesu Kristo ameeleza wazi kabisa ya kuwa atakayemwamini na kufuata maagizo hayo atapata MARA MIA SASA WAKATI HUU akiwa bado duniani. Na kati ya vitu atakavyopewa ni pamoja na nyumba na mashamba!
Ni kweli Bwana Yesu Kristo alipokuwa hapa duniani alikuwa maskini, lakini baada ya kufufuka alirudishiwa utajiri wake. Ndiyo maana Mtume Paulo anazungumzia juu ya “….. utajiri wake Kristo usiopimika”. (Waefeso 3:8). Na katika Wafilipi 4:19 tunasoma hivi; “Na Mungu wangu atawajazeni kila mnachokihitaji kwa kadri ya utajiri wake, katika utukufu, ndani ya Kristo Yesu”.
Kumbuka ya kuwa; Yesu Kristo alichukua dhambi zetu na magonjwa yetu , na kwa kupigwa kwake sisi tumepona (Isaya 53:5; Mathayo 8:16,17; 1Petro 2:24). Na kwa kujua hili kanisa linajihusisha na kuombea wagonjwa na kutoa huduma za afya kwa wagonjwa.
Kumbuka ya kuwa; Yesu Kristo alichukua dhambi zetu na akafanyika dhambi kwa ajili yetu, “ Ili sisi tupate kuwa haki ya Mungu katika Yeye” (2Wakorintho 5:21). Na kwa kujua hili kanisa linahubiri habari za ondoleo la dhambi kwa yeyote atakayemwamini Kristo.
Kumbuka ya kuwa; Yesu Kristo alikuwa maskini, ingawa alikuwa tajiri, ili kwa umaskini wake sisi tupate kuwa matajiri (2 Wakorintho 8:9). Na kwa kujua hili kanisa linajihusisha na miradi mbalimbali ya kimaendeleo ili mtu aondokane na umaskini.
Shalom

FEDHA NA KUPENDA FEDHA

No automatic alt text available.


Nimewahi kumsikia mhubiri mmoja akisema; “Fedha ni shina la maovu, kwa hiyo wakristo wajihadhari nazo.” Na wakristo wengi wamekuwa wakisikika wakisema hivyo, kwa hiyo wanaogopa kuwa na fedha za kutosha.
Lakini ninaposikia watu wakisema hivi, huwa najiuliza wanaupata wapi usemi huu? Biblia haisemi; “Fedha ni shina la maovu.”
Badala yake Biblia inasema hivi;“ Maana shina moja la mabaya ya kila namna ni kupenda fedha;ambayo wengine hali wakiitamani hiyo wamefarakana na Imani, na kujichoma kwa maumivu mengi”(1Timotheo 6:10)
Kupenda fedha ni kuwa na tamaa ya fedha; ni kuzitamani fedha. Na kupenda fedha huku ndiko shina moja la mabaya ya kila namna.
Kuwa na fedha nyingi au kidogo siyo dhambi, kwa kuwa fedha ni mali ya Mungu (Hagai 2:8) Lakini kupenda fedha nyingi au kidogo ni shina moja la maovu.
Tamaa ya fedha ndiyo inayoleta wizi, ujambazi, mauaji, dhuluma, kutokutosheka, uchoyo, wivu, uasherati; nakadhalika. Lakini unaweza kuwa na fedha bila ya kufungwa na roho ya kupenda fedha.
Je! Unafahamu ni kwa nini shetani hapendi wakristo safi wawe na fedha? Maana ni kazi ya shetani kuwapiga vita wakristo wanaotaka kujipatia fedha kwa njia ya halali. Akishindwa kuwazuia kupata fedha; atahakikisha zile fedha walizonazo wanazimaliza haraka hata kwa matumizi ambayo hawakupanga.
Je! Unafahamu ni kwa nini?
Kwa sababu anafahamu mkristo safi akiwa na fedha za kutosha, atazitumia hizo kumpiga nazo vita kwa kuihubiri injili! Na shetani anafahamu kuwa Yesu alisema mwisho hautakuja mpaka injili ihubiriwe katika mataifa yote. Kwa hiyo anajua akiweza kuwakosesha wakristo fedha za kutosha ili injili ihubiriwe, yeye anapata muda wa kupumua na kupumzika.
Wengi wameshindwa kujenga makanisa kwa sababu ya ukosefu wa fedha. Watumishi wa kanisa wanalipwa mishahara kidogo, kwa sababu ya ukosefu wa fedha. Mikutano ya injili na semina za neno la Mungu hazifanyiki mara kwa mara kwa kukosa fedha. Wainjilisti wanatafuta fedha za kununulia vipaza sauti wanakosa. Na matokeo yake ni kazi ya Mungu kupoa.
Je! Unadhani ni nani ambaye anaweza kutoa fedha yake ili ikahubiri injili kama siyo wakristo wenyewe? Na wakristo watatoaje fedha kama hawana fedha? Na watakuwaje na fedha, kama wanadhani kuwa na fedha nyingi ni dhambi?
Na shetani ameutumia mwanya huu kuzitumia fedha ambazo wanazo watu wasiopenda haki kueneza dhambi na uovu. Je, ni haki kwa nchi nyingine kutumia ma-billioni ya fedha kutengeza silaha ambazo baadaye wanaziharibu tena, huku mamillioni ya watu wanakufa kwa njaa na maafa mengine?
Kwa hiyo usikubali unaposikia mtu akisema kuwa na fedha ni vibaya; lakini uwe mtu wa kutokupenda fedha. Kwa kuwa ukizitamani fedha utajikuta unaanza kuzitafuta hata kwa njia ambazo ni kinyume cha maadili yetu ya Kikristo; na pia kinyume cha utu wa mwanadamu.
Shalom

UKRISTO ULIKUWEPO KABLA YA DINI YA UISLAM





YAMEKUWEPO madai kwamba Uislam ulianza tangu kuumbwa kwa dunia. Na wapo watu wanaotuaminisha hayo. Ukweli ni kwamba Uislam ulianzishwa na Marehemu Muhammad mwaka 622 BK huko Arabia. Kabla yake, dini zilizokuwepo zilikuwa ni Uyuda ambayo ni dini rasmi ya Wayahudi (Judaism) na Ukristo ambayo ni imani ya mataifa wasio Wayahudi ulioanza miaka kadhaa baada ya Yesu kuwa ameondoka mwaka 33BK.
Maelezo haya yana msingi wa kistoria na sio propaganda za kidini. Ndio ni propaganda kwa sababu dini zote zimekuwa na tabia ya kuonyesha kwamba zenyewe ndizo za kweli kuliko dini nyinginezo hata ikibidi kwa kuichezea historia.
Na ni bahati mbaya kwamba Dini zimekuwa na tabia ya kufanana ya kuzima uwezo wa waumini wake kuhoji lolote kwa kuwajengea hofu ya kujitafutia laana.
Qur’an inatupa maelezo yanayokinzana kuhusu lini hasa Uislamu ulianza. Baadhi ya mistari katika kitabu hicho zinadai kwamba ‘nabii’ Muhammad ndiye aliyekuwa Mwislamu wa kwanza. Kwa mfano, ukisoma Sura. 6: 163 anasema yeye ndiye wa kwanza kwa Waislamu hii ikiwa na maana kwamba yeye ndiye mwanzilishi wa Uislamu na kwamba Uislamu haukuwapo kabla yake.
Lakini katika maeneo mengine, Qur’an inadai kuwa Musa ndiye Mwislamu wa kwanza. Soma Sura 7:143. Sasa Mussa inajulikana kabisa ndiye mhusika mkuu wa dini ya Uyuda.
Kwa mshangao mkubwa zaidi, mahali pengine inadaiwa kwamba Adam, Abraham na Yesu wote walikuwa waislamu!
Hili, kwa hakika ni jambo la ajabu sana. Unapodai Yesu alikuwa Mwislamu, wakati mafundisho yake yanapingana pakubwa na Uislamu, huo ni ushahidi wa mkanganyiko ambao kwa hakika yeyote anapaswa kuuona bayana.
Kwa maoni yangu, dini hii yaweza kudai kuanza tangu kuumbwa kwa Ulimwengu ili tu kuonyesha kwamba yenyewe ndiyo ya kweli kuliko nyinginezo.
Ukweli uko wazi kwenye Qur’an yenyewe (hata kama inajichanganya) kwamba Muhammad ndiye alikuwa mwanzo wa Uislamu ndio maana anaitwa 'mtume' yaani mleta Uislam.
Sasa sisemi Uislam ni Dini potofu. Hiyo sio kazi yangu. Lakini sikubaliani na wanaodai kwamba Uislamu ulianza tangu enzi za Adam. Ndivyo ilivyo pia kwa Ukristo, dini nyingine yenye asili yake kule kule Mashariki ya kati.
Mambo mengine ni muhimu kuyaelewa hata kama yanaonekana kuwa kinyume na ‘ukweli’ wa kidini. Ikiwa unadhani kwa kujadili haya maana yake ni chuki kwa Uislamu, basi unahitaji kujielewa sasa hivi. Maana ni wazi umejitia kifungo cha hiari.
Itaendelea..

NANI ANAUPENDA WOKOVU WA KIMASIKINI?

No automatic alt text available.
“Nani anaupenda wokovu wa Ukristo wa kimaskini?” Ukiona mtu amefika hali ya kujiuliza swali la jinsi hii, ujue ana hali ngumu sana kiuchumi.
Hili swali nilijikuta najiuliza mwenyewe baada ya kuwa na hali ngumu sana kimaisha baada kuokoka. Kuna wakati fulani baada ya kuokoka mimi na mke wangu tulijikuta tumefika mahali pa kukosa hata dawa ya mswaki, nguo, viatu, na chakula kizuri. Licha ya shida hizi zote bado zilifuata zingine baada ya ndugu zetu wawili tuliokuwa tunawalipia masomo yao kufukuzwa na kurudi nyumbani kwa kukosa ada. Na waliambiwa wasirudi shuleni bila nusu ya ada!
Unadhani tulikuwa na furaha tena? Ingawa tulikuwa tunasema tumeokoka, na mtu akituambia ‘Bwana asifiwe’ tuliitika ‘Amina’ ndani ya mioyo yetu tulikuwa na vita vikali na maswali mengi.
Ni vigumu kuieleza hali hiyo tuliyoipitia ilivyokuwa ngumu kwa maneno. Lakini utaelewa mtu mwenye familia anavyojisikia anapoona anakosa hata fedha za kuwanunulia mke na watoto wake chakula licha ya mavazi. Wakati huo tulikuwa na mtoto mmoja.
Hali ilivyozidi kuwa ngumu, ndivyo nilivyozidi kusongwa na mawazo. Ilifika wakati ambapo nilikuwa naona aibu hata kukaa sebuleni, maana niliogopa hata kuwaangalia wale vijana waliofukuzwa shule, nikijua kuwa wataniangalia kwa macho ya huruma ili niwape ada warudi shule. Lakini si kwamba nilikuwa siwahurumii, bali sikuwa na fedha za kuwapa.
Ningeanzaje kuwaambia kuwa sina fedha, wakati wanajua nafanya kazi, na pia waliona nilikuwa na fedha nyingi kabla sijaokoka? Jambo hili lilinifanya niwaze sana. Inakuwaje kabla sijaokoka nilikuwa na fedha nyingi na baada ya kuokoka najikuta nimefilisika? Ingawa ni kweli kwamba kabla ya kuokoka fedha zingine nilizipata kwa njia zilizo kinyume cha ukristo lakini nilikuwa nazo. Na baada ya kuokoka ilibidi niziache njia hizo – na matokeo yake nilijikuta nimefilisika.
Lakini nilikuwa nimesoma katika Hagai 2:8 kuwa fedha na dhahabu ni mali ya Mungu. Na pia nilijua kuwa vyote vya Mungu ni vyangu nikiwa ndani ya Kristo. Kwa hiyo ilikuwa vigumu kuelewa kwa nini Mungu aseme fedha ni mali yake, halafu mimi niliye mtoto wake nisiwe nazo.
Ningewezaje kusema wokovu ni mzuri wakati baada ya kuokoka nimejikuta sina fedha za kutosha kununua chakula, nguo, dawa ya mswaki na hata kukosa ada za watoto! Je ndivyo Mungu anavyotaka tuwe baada ya kuokoka?
Wakati huo ndipo nilipoelewa kwa nini wana wa Israeli waliyakumbuka masufuria ya nyama ya Misri, ingawa walikula nyama hizo wakiwa utumwani. Ni rahisi sana mtu aliyeokoka kurudia njia au maisha mabaya ya kutafuta fedha kwa njia zilizo kinyume cha ukristo anapokuta anabanwa na matatizo ya kiuchumi maishani mwake. Na hata wakati mwingine unakesha katika maombi ili kumlilia Mungu akupe chakula na mavazi unaona kama vile hasikii.
Nilipokuwa nasumbuliwa na hali hii ndipo nilipojikuta najiuliza mwenyewe; “ Nani anaupenda wokovu wa kimaskini?” Nilijikuta siupendi kabisa. Ni wokovu gani huu ambao haunisaidii hata kutunza familia yangu?
Siku moja nilimuuliza mke wangu; nikasema; “Je! wewe unaupenda wokovu wa kimaskini?”
Akajibu; “Hapa, siupendi!”
Nikasema; “Naona tuna mawazo yanayofanana. Kwa hiyo naona ni muhimu tumuulize Mungu katika maombi kwa nini tulipokuwa kwa shetani tulikuwa na fedha za kutosha, lakini baada ya kuokoka na kuja kwake tunajikuta hatuna fedha hata za kununulia vitu muhimu?”
Baada ya kukubaliana hayo, mimi na mke wangu tulianza kumwomba Mungu kwa mfululizo wa siku tatu juu ya jambo moja hilo hilo. Namshukuru Mungu kwa kunipa mke ambaye aliweza kusimama pamoja nami katika maombi juu ya jambo hili. Sijui ningekuwa na hali gani kama angelalamika. Namshukuru Mungu mke wangu hakulalamika bali ALIOMBA PAMOJA NAMI.
Mungu alitujibu maombi na akaanza kutufundisha mambo mengi ambayo mengine nawashirikisha katika ujumbe huu.
Tulijua hakika kuwa hayakuwa MAPENZI YA MUNGU tuwe na hali ngumu ya kimaisha namna hiyo – kukosa fedha za kutosha kununulia nguo, chakula na vitu vingine muhimu. Na baada ya kuyaweka katika matendo yale tuliyoambiwa na Bwana yaliyo katika neno lake, hali yetu ilibadilika. Na matatizo tuliyokuwa nayo wakati ule yakaisha. Tukaanza kuona furaha tena katika maisha haya ya wokovu.
Ni vizuri kujua kuwa Mungu wetu hapendi tuwe maskini. Wala hapendi wokovu wa kimaskini! Ndiyo maana alimtuma Mwana wake wa Pekee, Yesu Kristo kutukomboa.
Kwa kukumbusha tu, Yesu Kristo aliyafanya yafuatayo kwa kufa na kufufuka kwake:
"Yesu Kristo alifanyika dhambi kwa ajili yetu, ili sisi tuhesabiwe haki bure ndani yake ya kusimama tena mbele ya Mungu"
(2Wakorintho 5:21)
"Yesu Kristo aliuchukua udhaifu wetu, ili katika mambo yote tuzitegemee nguvu zake" (Mathayo 8:17; Wafilipi 4:13)
Yesu Kristo aliyachukua magonjwa yetu, ili tusitawaliwe na magonjwa tena na kwa kupigwa kwake tumepona (Isaya 53:4,5; Mathayo 8:17; 1 Petro 2:24)
Yesu Kristo aliyachukua masikitiko na huzuni zetu, ili tukae katika amani yake ipitayo fahamu zote (Isaya 53:34; Wafilipi 4:6,7)
Yesu Kristo alikuwa maskini kwa ajili yetu ingawa alikuwa tajiri, ili sisi tupate kuwa matajiri katika Yeye (2 Wakorintho 8:9)
Ndiyo maana matunga Zaburi 23 aliandika hivi:
“Bwana ndiye mchungaji wangu, SITAPUNGUKIWA NA KITU.Katika malisho ya majani mabichi hunilaza, kando ya maji ya utulivu huniongoza. Hunihuisha nafsi yangu; na kuniongoza katika njia za haki kwa ajili ya jina lake …. Hakika WEMA
NA FADHILI zitanifuata siku zote za maisha yangu; nami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele”.
Ni rahisi sana kusema. “Bwana ndiye mchungaji wangu, SITAPUNGUKIWA NA KITU, lakini je! Ni kweli hujapungukiwa na kitu? Je! Zaburi hii ni ya kweli, au ni maneno mazuri tu ya kutungia nyimbo?
Lakini napenda kukutia moyo kuwa maneno haya ni ya kweli, ukikaa ndani ya Kristo hutapungukiwa na kitu. Ndiyo maana Mungu alimwambia Yoshua ya kuwa atii maagizo yake yote na kuyafanya HATAMPUNGUKIA WALA KUMUACHA (Yoshua 1:5)
Kwa kuwa maneno haya ni ya kweli, mbona basi wakristo wengi WAMEPUNGUKIWA NA VITU? Tatizo haliko kwa Mungu, bali kwetu sisi. Na tuwe watendaji wa neno na tutaona mafanikio.
Shalom

INJILI YA UMASKINI MAKANISANI IMETOKA WAPI KAMA SI KWA SHETANI?

No automatic alt text available.
UMASIKI NI NINI?
Umaskini (kutoka neno la Kiarabu) ni hali ya ukosefu wa mahitaji ya msingi ya binadamu kama vile chakula, maji salama, huduma za afya, mavazi na nyumba kutokana na kukosa uwezo wa kuvinunua. Hii pia inajulikana kama umaskini uliokithiri au ufukara.
Kwa maana nyingine, umasikini ni ile hali ya mtu kukosa pesa au mali ya kumiliki, kukosa pesa ya kufanyia shughuli za kimaendeleo, kwa mfano elimu, biashara n.k
Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake” YOHANA 1:12
Biblia inatuambia kuwa, wote walio mpokea Yesu aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu. Sasa, iweje Mungu Baba MWENYE UPENDO awe tajiri na wewe mtoto wake uwe maskini wakutupwa?
Hakika kuna Injili ya upotofu ambayo inafundishwa Makanisani. Eti, Mkristo kuwa na Fedha au Mali au Tajiri basi wewe huwezi kuuona Ufalme wa Mbinguni. Je, hii Injili ua UMASKINI AU WOKOVU WA UMASKINI ni wa Kibiblia?
UNAFAAMU KUWA, MUNGU ANATAKA KUKUPA UTAJIRI WAKE?
“Na Mungu wangu atawajazeni KILA MNACHOHITAJI KWA KADIRI YA UTAJIRI WAKE KATIKA UTUKUFU, NDANI YA KRISTO YESU" (Wafilipi 4:9)
Biblia inasema Yesu Kristo Mungu Mkuu alifanyika maskini ili atufikie hata tulio maskini tupate kuwa matajiri na kumiliki pamoja nao. Neno kufanyika maskini haina maana alikuwa maskini, Yesu wa Nazareti ni tajiri kule kuja duniani ni kama alikuja katika umaskini kwani utajiri na ufahari wa mbinguni ukilinganisha na dunia, dunia inahesabiwa ni kama maskini, hakuna kitu huku utajiri wa kweli katika vyote u mbinguni na unapatikana tu kupitia Yesu kristo wa Nazareti.
HUDUMA YA YESU ILIKUWA TAJIRI ILE MBAYA, JE, MCHUNGAJI WAKO NA KANISANI KWENU NI MATAJIRI KAMA ALIVYO KUWA YESU?
Biblia katika Yohana 12:6 inasema; Yuda alisema hivyo si kwa kuwa aliwajali sana maskini bali kwa kuwa alikuwa mwizi. Kama mtunza fedha, alikuwa mara kwa mara anaiba kutoka katika fedha alizokabidhiwa. – INA MAANA HUDUMA YA YESU WA NAZARETI WALIKUWA MATAJIRI KIASI AMBACHO HATA YUDA PAMOJA NA KUIBA KWAKE HAWAKUPUNGUKIWA KITU YAANI NI KAMA VILE KUCHOTA MAJI BAHARINI YATAISHAJE?.
Luka 5:29-30; Baadaye Lawi mwana wa Alfayo akafanya karamu kubwa kumkaribisha Yesu wa Nazareti nyumbani kwake. Watoza kodi wengi walikuwa miongoni mwa watu wal ioalikwa, 30 Basi baadhi ya Mafarisayo na walimu wa sheria ambao walikuwa kundi moja wakawalalamikia wanafunzi wa Yesu wa Nazareti wakisema, “Mbona mnakula na kunywa na wenye dhambi?” – LAWI MWENYEWE ALIKUWA TAJIRI LAKINI AKATAJIRISHWA ZAIDI KATIKA KUMTUMIKIA YESU WA NAZARETI.
Matendo 28:30; Kwa muda wa miaka miwili Paulo aliishi katika nyumba ya kupangisha akiwakaribisha wote waliokuja kumwona.- MTUME PAULO ANATHIBITISHA PIA KWAMBA KUMHUBIRI YESU WA NAZARETI NI UTAJIRI KATIKA KILA IDARA.
Marko 10: 23-25; Yesu akatazama pande zote, akawaambia wanafunzi wake, “Itakuwa vigumu sana kwa matajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu!”. Wanafunzi wake wakashtushwa sana na maneno hayo. Lakini Yesu akasema tena, “Wanangu, ni vigumu sana kuingia katika Ufalme wa Mungu. Ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano kuliko tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu.”- KAMA WASINGEKUWA MATAJIRI WANAFUNZI WA YESU WASINGESHITUSHWA NA KAULI YAKE HIYO.
Mpendwa mwana wa Mungu nakutakia baraka na heri za Mbinguni sasa na daima na milele. Tumsifu Yesu Kristo Mungu Mkuu na Mwokozi wetu.
USIKUBALI KUFUNDISHWA INJILI POTOFU YA UMASKINI KANISANI KWAKO. ANZA KUKIRI KUWA WEWE NI MBARIKIWA NA TAJIRI. ANZA KUKUBALI KUWA MUNGU ALIKUUMBA WEWE UWE MMILIKI WA UTAJIRI NA SIO UMASKI AMBAO NI MTEGO WA SHETANI.
Shalom,
Ni mimi Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu na Mwokozi wetu.

Rap 'Gangsta' Snoop Dogg Debuts New Gospel Album



Famed rapper and music producer Snoop Dogg is stepping away from his usual rhymes to release his first gospel album called "Snoop Dogg: Bible of Love."
The album includes gospel and R&B heavy-hitters like Tye Tribett, the Clark Sisters, Faith Evans, and Rance Allen. 
Snoop Dogg says the gospel album is something he's been wanting to do for a while.
 https://www1.cbn.com/cbnnews/entertainment/2018/february/rap-gangsta-snoop-dogg-debuts-new-gospel-album

An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance

  Title: An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance Au...

TRENDING NOW