Tuesday, April 14, 2020

IMAM HAFIZ NISAR GORJI DIED WITH CORONAVIRUS


The Ghousia Mosque based on Leamington Road, Blackburn


Tributes have been paid to a leading maulana who has died after contracting coronavirus.
Hafiz Nisar Gorji who was a maulana (religious leader) at the Ghousia Mosque based on Leamington Road, Blackburn passed away yesterday asged 61. Hafiz Nisar was admitted to hospital last week.
Hafiz Nisar was well respected and known throughout the town and will be remembered by many people who grew up with him as their Islamic teacher. He also led many Taraweeh prayers both in Blackburn and surrounding areas.
This may well have been one of the largest funerals the town has seen. However, it has been announced that ten people will be permitted at the funeral due to the present circumstances.
Tributes were paid by former students and members of the local community. 
A message from former student Maksud Yusuf read, "Hafiz Nisar's passing has left the whole community, elders and children in shock. I have known Hafiz Sahib since I was a child. He was a very simple and humble person.
"He used to maintain the Masjid-e-Ghousia at Preston New Road and without his invaluable support, the mosque on Leamington Road wouldn't have been possible. 
"He was a very honest, trustworthy, reliable individual who helped to manage the masjid. 
"Not only his local masjid but he was also doing Khidmat (service) at other local Masajids when needed as matter of emergency and he will be sorely missed by all. 
"May Almighty Allah grant him the highest place in heaven and give patience to his children, family, friends and all the members of the Masjid-e-Ghousia."
Leader of Blackburn with Darwen Council, Cllr Mohammed Khan told us today, ”I,  like many people  was very saddened to hear of the death and we are going to miss him dearly.
“He had many students throughout the town and was an outstanding individual.
“My grandchildren still go to the same mosque and when they heard the news they were very upset.
“For the past few years he would also lead prayers at the Blackburn Islamic Centre on Davenport Road and many were looking forward to hearing him again before the lockdown was announced.
“People enjoyed his company and listening to him."
Kas Akhtar posted, "Everyday we hear the passing away of someone we know from COVID-19. Today the news has come that a person who was dearly respected and was the backbone of the masjid community who taught most of you."
Six-year old Mustafa Raza Yusuf said, "Hafiz Nisar used to give me money every time he used to meet me and very kind to me and my sisters."
Yahya Garda, aged 12 said, "It is with great sadness that we mourn the loss of our teacher, mentor, leader and friend, Hafiz Nisar Molisab.
"He was my Hafiz teacher, he always showed me the utmost respect and guided me towards my hifz of the Quran, where I’ve memorised 19 siparah (chapters) at the age of 12.
"He used to listen to my recital to check that I haven’t forgotten anything everyday  and used to reward me with £5 each month, this shows the generosity of this amazing man.
"Hafiz Nisar Molisab has for many years not only taught countless people, but guided them through difficult times. 
"He will be a great loss not only to me, but the wider community and our Mosque.
"May Allah grant him the highest rank in Jannah and give sabr to his family and friends. I will miss you dearly."

Saturday, April 11, 2020

“I won’t give citizenship to Muslims coming from India,” said PM Imran Khan on CAA



“Our country will not be able to accommodate more refugees,” Khan added in a statement.
During his speech, he had mentioned three actions of the Indian government – the scrapping of Jammu and Kashmir’s special status, the National Register of Citizens exercise in Assam, and the Citizenship Amendment Act.
Meanwhile, India on Tuesday had reprimanded Pakistan Prime Minister Imran Khan for making unwarranted comments on the internal affairs of India at multilateral platforms.
In response to a query on the statement made by Imran Khan, the Ministry of External Affairs spokesperson by the name of Raveesh Kumar said, “Pakistan’s Prime Minister Imran Khan has once again peddled familiar falsehoods at a multilateral platform to advance his narrow political agenda by making gratuitous and unwarranted remarks on matters entirely internal to India. It should now be clear to the entire world that this is an established pattern of his habitual and compulsive abuse of global forums.”
The spokesperson said that it has been the “unfortunate experience of most of Pakistan’s neighbours that its actions have had adverse consequences next door.”
The Ministry of External Affairs spokesperson stated that the Islamic Republic of Pakistan, for the last 72 years, has systematically persecuted all its minorities, forcing most of them to go to India. Khan, he added, “wishes the world forgets what his Army did in 1971 to the people of erstwhile East Pakistan.”
“Pakistan would do well to remember that India is the world’s largest democracy, that all its governments have been freely and fairly elected through universal adult franchise, and that all Indians irrespective of faith enjoy equal rights under the Constitution. We urge Pakistan to similarly aspire to these ideals,” the statement said.
The government also went on to clarify once again that the Citizenship Amendment Act 2019 does not prevent anyone from his or her citizenship in India but grants citizenship to ‘persecuted religious minorities’ from select foreign nations.

Bangladeshi Imam dies from Coronavirus in Gambia


Bangladeshi imam dies from coronavirus in GambiaWorld — The ...
An imam from Bangladesh died in The Gambia after preaching in several other countries, becoming the tiny West African nation's first coronavirus fatality, the health ministry said.
The preacher, aged 70, was The Gambia's second recorded case of Covid-19.
He arrived from neighbouring Senegal on March 13, the health ministry said in a statement dated Sunday and received Monday.
The Bangladeshi visitor was given lodging in the residence of the Bundung mosque in a suburb of the capital Banjul, the statement said.
"He was said to have travelled from 6 other countries where he was carrying out similar preaching," it said.
Suffering from diabetes, he went to a Banjul health centre and died on Friday while being transferred by ambulance to a hospital.
Authorities are searching for people with whom he had contact and notifying the other countries he visited.
The Gambia decided on Saturday to close its air and land borders. The country is a deep enclave inside Senegal, with an Atlantic seaboard.
The closures particularly affect the frontier with Casamance, an agricultural region in south Senegal that has become cut off from the rest of the country, leading to a detour of several hundred kilometres (miles) around Gambian territory.
Gambian authorities are also looking for some 15 people who fled from a hotel where they had been quarantined as a precautionary measure after flying in from Britain, the health ministry said.

Coronavirus kills Iran Imam as death toll jumps again

Iranian sanitary workers disinfect Qom''s Masumeh shrine to prevent the spread of the coronavirus [Mehdi Marizad/Fars News/AFP]

Ayatollah Hashem Bathayi Golpayegani dies two days after testing positive, while the number of deaths tops 850.

COVID-19 has killed a member of the clerical body that appoints the supreme leader, according to Iranian state media, the latest official in the country to die of the highly infectious disease caused by the new coronavirus.
Ayatollah Hashem Bathayi Golpayegani, 78, died two days after testing positive for the new coronavirus and being hospitalized, state news agency IRNA reported on Monday.

Wednesday, February 26, 2020

Saudi Arabia suspends pilgrimage entry visas over coronavirus fears



(File photo) Saudi Arabia's King Salman spoke at the start of two back-to-back emergency summits in the holy city of Mecca.

(File photo) Saudi Arabia's King Salman spoke at the start of two back-to-back emergency summits in the holy city of Mecca. AFP/File

Saudi Arabia on Thursday suspended visas for pilgrims wishing to visit Mecca over coronavirus fears, the foreign ministry said.

ADVERTISING

The government is "suspending entry to the Kingdom for the purpose of Umrah and visiting the Prophet's Mosque temporarily", the foreign ministry said in a statement, referring to the Islamic pilgrimage to Mecca that can be undertaken at any time of year.

Umrah attracts tens of thousands of devout Muslims from all over the globe each month.

The foreign ministry said it was also suspending visas for tourists visiting from countries where the new virus is a "danger".

Even as the number of fresh cases declines at the epicentre of the disease in China, there has been a sudden increase in parts of Asia, Europe and the Middle East.

Iran has emerged as a major hotspot in the region, where 15 people have succumbed to the disease -- officially known as COVID-19.

The Gulf states of Kuwait and Bahrain have also announced additional cases this week.

(AFP)

Tuesday, October 22, 2019

Je, Yesu Alitumwa kwa Israeli Peke Yake?

Image result for yesu kwa mataifa yote

Waislamu “wanahubiri” kuwa Yesu  hakuja kwa ajili ya ulimwengu wote bali alikuja kwa ajili ya Wayahudi peke yao. Kisha wanasema kuwa Muhammad ndiye mtume sahihi kwa sababu huyo alikuja kwa ajili ya ulimwengu wote. Andiko wanalotumia kupinga utume wa Yesu kwa ulimwengu ni lile alilolisema Yesu wakati akiongea na mwanamke Mkananayo (yaani asiye Myahudi), ambaye alikuwa anaomba Yesu amponye mwanawe.

Imeandikwa:
Akajibu akasema,  Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. (Mathayo 15:26).


Mungu ni Mungu wa utaratibu na ratiba kamili. Ndiyo maana hakuumba kila mtu kwa mara moja. Alianza na mtu mmoja tu, kisha wengine wote tukatokea kwa huyo mtu. Vivyo hivyo, alianza kwa kujifunua kwa taifa moja tu duniani kote. Kisha kutokea hapo ndipo wokovu unasambaa kwenye mataifa yote. Ni ukweli ulio wazi kwamba, ukiacha Israeli, jamii zote zilizobakia duniani, kwa asili zilikuwa zikiabudu miungu (yaani mashetani). Ni Israeli peke yao ndio ambao kwa asili walianza na Mungu wa kweli.

Ndiyo maana Bwana Yesu alipoongea na mwanamke Msamaria pale kisimani alimwambia hivi:

Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tukijuacho; kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi. (Yohana 2:22).


Wokovu unatoka kwa Wayahudi kwa sababu hakuna taifa jingine lolote duniani ambalo lilimjua Mungu wa kweli – yote yalikuwa na dini za kipagani – iwe ni wazungu, Waafrika, Wahindi, Waarabu, n.k. Huo ndio ukweli.

Kusema kwamba Yesu hakuja kwa ajili ya mataifa yote hakuna tofauti na kusema kuwa, kwa vile Mungu alimuumba Adamu na Hawa peke yake, basi Yeye si wa familia yangu maana hakuniumba na mimi kama alivyomuumba Adamu.

Yesu aliongea na wanafunzi wake siku moja na akawaambia kuwa:

Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu; na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanzia tangu Yerusalemu. (Luka 24:46-47). 

Je, unaona kwamba Injili inatakiwa kuanzia Yerusalemu? Na je, unaona pia kwamba anasema kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake? Je, mataifa yote ni Israeli peke yake?

Mwanamke Mkananayo alikuja wakati usio wake. Huo ulikuwa ni wakati wa kuhubiri Injili kwa Israeli kwanza ndipo iende ulimwenguni kote.

Ufuatao ni ushahidi zaidi wa maneno ya Bwana Yesu mwenyewe kuthibitisha kwamba alitumwa kwa mataifa yote ulimwenguni na kwamba Yeye ndiye Masihi wa Mungu, yaani aliyepakwa mafuta kwa Roho Mtakatifu kwa ajili ya kuukomboa ulimwengu wote.

  • Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, na katika Uyahudi wotena Samaria, na hata mwisho wa nchi. (Matendo 1:8). 
  • Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu (Mathayo 28:19).
  • Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye. (Yohana 3:17).
  • Na mtu akiyasikia maneno yangu, asiyashike, mimi simhukumu; maana sikuja ili niuhukumu ulimwengu, ila niuokoe ulimwengu. (Yohana 12:47).
  • Nami nautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo. na kondoo wengine ninao, ambao si wa zizi hili; na hao nao imenipasa kuwaleta; sauti yangu wataisikia; kisha kutakuwako kundi moja na mchungaji mmoja. (Yohana 10:15-16).
  • Tena habari njema ya ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja. (Mat 24:14). 

Nihitimishe kwa kurejea tena mambo machache niliyoyasema. Mungu amekuwa na kawaida ya kuanza jambo na mtu mmoja.

  • Aliumba mwanadamu mmoja, kisha tukatokea humo wote.
  • Alijifunua kwa taifa moja, kisha tukamjua wote.
  • Alianza na Mwana mmoja (Yesu), kisha tunazaliwa wote kwa imani katika huyo.
  • Vivyo hivyo, alileta wokovu kwa taifa moja la Israeli, kisha unasambaa kote – ndiyo maana anasema na mwanamke Msamaria pale kisimani – “Wokovu watoka kwa Wayahudi.” (Yohana 4:22).


Hali hii ya kuanza na mtu au sehemu moja, ni ushahidi kuwa wale wote wanaojifariji kwa maneno eti “dini mbalimbali ni njia tofauti ambazo zote zinaishia kwa Mungu”, wanajidanganya na kupoteza muda wao na uzima wao wa milele! “Wokovu watoka kwa Wayahudi” – yaani KWA YESU PEKEE!

Sasa, kwa kuwa muda wa kusambaa kwa wokovu huo ulikuwa haujatimia (maana Mungu anakwenda kwa ratiba ya majira na nyakati), ndiyo maana akamwambia yule mwanamke Mkananayo (yaani asiye Myahudi) kuwa hakutumwa ila kwa Israeli.

Lakini utimilifu wa majira ulipofika, yaani alipokufa na kufufuka, tunaona akiwaagiza sasa mitume wake waende ulimwenguni kote.

Na Biblia inasema wazi: Kwa ajili ya hayo kumbukeni ya kwamba zamani ninyi, mlio watu wa Mataifa kwa jinsi ya mwili, mnaoitwa Wasiotahiriwa na wale wanaoitwa Waliotahiriwa, yaani, tohara ya mwilini iliyofanyika kwa mikono; kwamba zamani zile mlikuwa hamna Kristo, mmefarakana na jamii ya Israeli, wageni wasio wa maagano ya ahadi ile. Mlikuwa hamna tumaini, hamna Mungu dunianiLakini sasa, katika Kristo Yesu, ninyi mliokuwa mbali hapo kwanza mmekuwa karibu kwa damu yake Kristo. Kwa maana yeye ndiye amani yetu, aliyetufanya sisi sote tuliokuwa wawili kuwa mmoja; akakibomoa kiambaza cha kati kilichotutenga. Naye akiisha kuuondoa ule uadui kwa mwili wake; ndiyo sheria ya amri zilizo katika maagizo; ili afanye hao wawili kuwa mtu mpya mmoja ndani ya nafsi yake; akafanya amani. Akawapatanisha wote wawili na Mungu katika mwili mmoja, kwa njia ya msalaba, akiisha kuufisha ule uadui kwa huo msalaba. (Waefeso 2:11-16).


Tafakari

Hoji mambo

Jiulize

Chukua hatua

Je, Yesu alisema kuwa Yeye ni Mungu?

Image result for Who is Jesus

“Wahubiri wa injili” wa Kiislamu huwa wanapinga kuwa Yesu ni Mungu na unapowakatalia wanakwambia, “Lete andiko.” Maandiko yapo mengi sana ndani ya Biblia juu ya ukweli kwamba Yesu ni Mungu. Ni mengi mno!

Ukishawapa andiko, wanabadilika na kusema, “Nataka maneno aliyoongea Yesu mwenyewe.”

Hiki ni kigezo POTOFU na si cha kibiblia hata kidogo. Ukweli ni kwamba, Biblia YOTE ni Neno la Mungu. Haijalishi amezungumza Musa, Isaya, Yohana, Petro au Yesu mwenyewe. Imeandikwa:
Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu. (2Petro 1:21).


Hivyo, kudai kwao eti, “Nataka maneno aliyosema Yesu mwenyewe,” ni kigezo batili na kisicho na mantiki hata kidogo.
  

Ufuatao ni ushahidi wa kibiblia kwamba YESU KRISTO  ni Mungu.

Yohana 8:58
Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye IBRAHIMU ASIJAKUWAKO, MIMI NIKO.
NIKO ni jina la Mungu peke yake. Tunakutana na jina hilo pale Musa alipoongea na Mungu na kutumwa kuwakomboa wana wa Israeli kutoka Misri. Imeandikwa:
Musa akamwambia Mungu, Tazama, nitakapofika kwa wana wa Israeli, na kuwaambia, Mungu wa baba zenu amenituma kwenu; nao wakaniuliza, Jina lake n'nani? Niwaambie nini? Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO (Kutoka 3:13-14).

Mwanadamu yuko kwa sababu Mungu alisababisha awepo. Gari liko kwa sababu injinia au mbunifu alisababisha liwepo. Nyumba ipo kwa sababu fundi alisababisha iwepo. Lakini Mungu YEYE YUKO TU!! Hayupo kwa kusababishwa na yeyote! Ndiyo maana akasema MIMI NIKO AMBAYE NIKO! Yesu ni NIKO. Kwa hiyo, Yeye ni Mungu.

Yohana 10:30
Mimi na Baba tu umoja.
Waislamu wana msemo wao kwamba eti, Yesu na Mungu ni wamoja katika malengo, si katika asili yao. Basi huwa nawauliza swali kuhusu aya ifuatayo ya Isaya, nao wanazimika na kukosa jibu:

Isaya 9:6
Maana kwa ajili yetu MTOTO amezaliwa, Tumepewa MTOTO MWANAMUME; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, MUNGU MWENYE NGUVU, BABA WA MILELE, Mfalme wa amani.

Aya hii iko wazi kabisa. anayetajwa ni Yesu kwamba Yeye ni Mungu mwenye nguvu.


Yohana 14:9
Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? ALIYENIONA MIMI AMEMWONA BABA; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?

Maneno haya Yesu aliyasema baada ya kuulizwa swali lililo wazi kabisa, ambalo lilikuwa na lengo la kumjua MUNGU BABA! Imeandikwa: 
Filipo akamwambia, Bwana, UTUONYESHE BABA, yatutosha.  Ndipo Yesu akajibu waziwazi: ALIYENIONA MIMI AMEMWONA BABA. Maana yake ni kuwa, “Mimi ndio Baba mwenyewe.”

Ufunuo 1:17 na Ufunuo 22:13
Mimi ni wa kwanza na wa mwisho
Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, wa kwanza na wa mwisho.

Ni Mungu TU ndiye mwenye uwezo wa kuwa wa kwanza na wa mwisho; Yesu ni Alfa na Omega. Kwa hiyo Yeye ni Mungu.

Yohana 1:1
Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye NENO ALIKUWA MUNGU.
Andiko hili Waislamu hawalipendi kabisa. ni kwa sababu liko wazi mno. Yesu ni Neno; na Neno ni Mungu; hivyo, Yesu ni Mungu!
Yohana 20:28
Tomaso akajibu, akamwambia, BWANA WANGU NA MUNGU WANGU!
Tomaso aliposema hivi, Bwana Yesu hakukanusha na kusema, “Mimi sio Mungu.” Badala yake: Yesu akamwambia, Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona, wakasadiki. (Yoh 20:29). 


Matendo 20:28
Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa lake MUNGU, ALILOLINUNUA KWA DAMU YAKE MWENYEWE.

Ni Mungu gani mwenye damu huyu? Jibu liko wazi. Huyu ni Yesu Kristo. Huyu ndiye aliyetoa uhai wake na kumwaga damu yake msalabani; na hapo ndipo alipoanzisha Kanisa.

Wakolosai 1:16
Kwa kuwa KATIKA YEYE VITU VYOTE VILIUMBWA, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake.

Katika Yeye Yesu vitu vyote viliumbwa. Ina maana kuwa vitu vyote vilitokana na Yesu; maana Yesu ni Neno la Mungu. Na tunajua kuwa Muumba wa vitu vyote ni Mungu; hivyo, Yesu ni Muumba – Yeye ni Mungu!!

Wakolosai 2:9
Maana KATIKA YEYE UNAKAA UTIMILIFU WOTE WA MUNGU, kwa jinsi ya kimwili.

Sisi sote ni watu wasio wakamilifu. Tunaanguka tena na tena kwenye dhambi. Kwa hiyo, hakuna mwanadamu wa kawaida ambaye anaweza kujigamba kwamba yeye ametimia kama alivyo Mungu. Lakini katika Yesu “utimilifu WOTE wa Mungu unakaa.” Kwa nini? Kwa sababu Yeye ndiye Mungu huyohuyo.

1Timotheo 3:16
Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. MUNGU ALIDHIHIRISHWA KATIKA MWILI, Akajulika kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu.


Ni Mungu gani aliyedhihirishwa katika mwili? Jibu liko wazi. Ni Yesu Kristo peke yake.

Tito 2:13
….tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa KRISTO YESU, MUNGU MKUU NA MWOKOZI WETU

Yesu Kristo ni Mungu Mkuu!!

Shida KUU ya Waislamu ni hii: Wanampima Mungu kwa vigezo vya kibinadamu. Mungu anasema: Tazama, mimi ni Bwana, Mungu wa wote wenye mwili; je! Kuna neno gumu lo lote nisiloliweza? (Yer 32:27) 

Jibu liko wazo. HAKUNA!
Lakini utakuta Waislamu wanauliza maswali ya ajabu sana. Eti, kama Yesu ni Mungu, wakati amekufa, nani alikuwa anaangalia dunia?

Hili ni swali linalofaa kuulizwa juu ya kiumbe. Kama tungesema kuwa mwanadamu fulani alikuwa amekufa, ndipo kuna mantiki kuuliza kwamba, wakati amekufa nani alikuwa anatunza familia yake? Maana hili ni swali linalohusu tabia za kibinadamu kwa kuwa mwanadamu hawezi kuwa mahali kuwili au zaidi kwa pamoja. MUNGU SI MWANADAMU! ANAWEZA YOTE – NA HASA MUNGU WA IBRAHIMU, ISAKA NA YAKOBO!

YESU NI MUNGU MILELE NA MILELE!!

HALELUYA!!

Tafakari

Hoji mambo

Chukua hatua!

YESU NI NENO

No photo description available.
Kwa kawaida, maneno “Neno la Mungu” yanawakilisha ujumbe kutoka kwa Mungu au mkusanyo wa ujumbe huo au Yesu ambaye ni Neno. (Luka 11:28) Katika sehemu chache, “Neno la Mungu” au “Neno” hutumiwa kumwakilisha Yesu.​—Ufunuo 19:13; Yohana 1:​14.
Yohana 1:1 inasema “Neno alikuwa Mungu”. Yohana 1:14 inasema “Neno akafanyika mwili.” Hii inaonyesha wazi ya kwamba Yesu ni Mungu katika mwili. Matendo 20:28 inatuambia, “…Muwe wachungaji wa kanisa la Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe,” Ni nani aliyelinunua kanisa kwa damu yake mwenyewe? Yesu kristo. Matendo 20:28 inasema ya kwamba Mungu alilinunua kanisa kwa damu yake mwenyewe. Kwa hivyo Yesu ni Mungu!
Ujumbe kutoka kwa Mungu. Mara nyingi manabii walisema kwamba ujumbe ambao walitoa ulikuwa Neno la Mungu. Kwa mfano, Yeremia alianza ujumbe wake wa kinabii kwa kusema “Neno la Yehova likaanza kunijia.” (Yeremia 1:4, 11, 13; 2:1) Kabla ya kumwambia Sauli kwamba Mungu alikuwa amemchagua kuwa mfalme, nabii Samweli alisema hivi: “Simama tuli sasa ili nikuambie Neno la Mungu.”​—1 Samweli 9:27.
Pia “Neno” linaonekana katika Biblia likiwa ni Yesu Kristo, akiwa Roho mbinguni na pia akiwa Mwanadamu duniani. Fikiria sababu kadhaa za kufikia mkataa huo:
Neno aliishi kabla ya vitu vingine vyote kuumbwa. “Hapo mwanzo Neno alikuwako . . . Hapo mwanzo huyo alikuwa pamoja na Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.” (Yohana 1:1, 2,3).
Neno alikuja duniani. “Neno akawa mwili, akakaa katikati yetu.” (Yohana 1:14) Kristo Yesu “alijiondolea mwenyewe hali yake na kuchukua umbo la mtumwa na kuwa kama wanadamu.”​—Wafilipi 2:5-7.
Neno ni Mungu. Baada ya kusema kwamba “Neno akawa mwili,” kama ilivyonukuliwa hapo juu, mtume Yohana aliendelea kusema hivi: “Nasi tukautazama utukufu wake, utukufu kama ule ulio wa Mwana mzaliwa-pekee kutoka kwa Baba.” (Yohana 1:14) Pia, Yohana aliandika hivi: “Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu.”​—1 Yohana 4:15.
Neno ana sifa za Mungu. “Neno alikuwa Mungu.” (Yohana 1:1) Yesu “ndiye mng’ao wa utukufu [wa Mungu] na mwakilisho sawasawa wa utu wake wenyewe.”​—Waebrania 1:2, 3.
Neno anatawala akiwa mfalme. Biblia inasema kwamba kwenye kichwa cha Neno la Mungu “kuna vilemba vingi.” (Ufunuo 19:12, 13) Neno anaitwa pia “Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.” (Ufunuo 19:16) Yesu anaitwa “Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.”​—1 Timotheo 6:14, 15.
Neno ni Mungu. Inaonekana kwamba jina “Neno” linamtambulisha Yesu. Yesu alisema kwamba alitimiza jukumu hilo: “Baba mwenyewe aliyenituma amenipa amri kuhusu jambo la kutangaza na la kusema. . . . Kwa hiyo mambo ninayosema, kama vile Baba alivyoniambia, ndivyo ninavyoyasema.”​—Yohana 12:49, 50.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu na Mwokozi wetu. Tito 2:13

An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance

  Title: An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance Au...

TRENDING NOW