Tuesday, August 22, 2017

JE, UNAYO NEEMA YA YESU KRISTO, MUNGU MKUU?

Image may contain: food
Nini basi maana ya neema? Watu wengi wamekuwa wakiimba ,”Neema, neema imefunuliwa” na kukariri na kuisema Neema ya Bwana (2 WAKORINTHO 13:14) kama Kasuku huku hawajui wayasemayo. Nini basi maana ya neema?
Neema, ni upendeleo wa kuchaguliwa, bila kustahili kutokana na matendo yoyote aliyoyafanya mtu au sifa aliyonayo mtu.
Neema pia, ni uwezo wa kushinda katika tabia na utumishi wa Mungu sawasawa na mapenzi yake, tunaopewa na Mungu bila gharama yoyote au nguvuzetu au kufanyia kazi yoyote.
1. Upendeleo wa kuchaguliwa bila kustahili- Kutokana na matendo yake, hakuna mwanadamu yeyote mwenye haki mbele za Mungu (WARUMI 3:20). Tangu kabisa amekuwa akimhuzunisha Mungu (MWANZO 6:5-7). Wakati wa Nuhu, watu waliangamizwa kwa Gharika. Wakati wa Musa, Mungu alitaka pia kufuta kabisa kizazi cha Wausraeli na kubaki na Musa tu kama siyo maombi ya Musa (HESABU 14:11-20). Wakati wote, wanadamu wote wamepotoka na kuoza (WARUMI 3:12). Ni Yesu peke yake tu ambaye siku zote alifanya yanayompendeza Mungu (YOHANA8:29).Alijaribiwa sawasawa na sisi lakini hakutenda dhambi (WAEBRANIA 4:14-15). Yesu huyu anayempendeza Mungu ndiye aliyekufa msalabani na Baraba aliyekuwa mhalifu mkubwa akafunguliwa. Kama Baraba alivyofunguliwa pamoja na ukosaji wake, kila mwanadamu amefunguliwa, akiamini tu. Mbele za Mungu kila mtu amepimwa na kuonekana amepungua (DANIELI 5:27). Sasa kwa kuamini tu kwamba Yesu alizichukua dhambi zetu pale msalabani, sisi tunaokolewa. Watu wengi hawaokolewi kwa sababu hawajui tunaokolewa kwa neema tu kwa njia ya imani peke yake (WAEFESO 2:5). Kazi aliyoifanya Yesu msalabani imetupa kuirithi mbingu aliyokwenda bila sisi kuifanya. Ni kama ambavyo bondia anavyopigana ulingoni kwa shida kubwa na kasha akishinda na kupewa mamilioni ya fedha, mke wake aliyebaki nyumbani bila kupigana naye atakuwa milionea. Hii ndiyo neema.
2. Uwezo wa kushinda bila kutumia nguvu zetu- Neema ni uwezo wa kushinda dhambi na kumtumikia Mungu apendavyo. Neema ndiyo inayotufundisha (inayotuwezesha) kukataa ubaya na tama za kidunia na kuishi kwa kiasi na haki na utakatifu (TITO 2:11-12; WAGALATIA 2:8). Maisha ya wokovu siyo ya kutumia nguvu zetu au kujitahidi. Uweza wa Mungu unatimilika kwetu katika udhaifu wetu yaani kutokuweza kwetu. Hatupaswi kujitumainia wenyewe katika kufanya lolote (2 WAKORINTHO 1:8-9).
Shalom,
Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu na Mwokozi wetu.

UNAYAJUA MADHARA YA KUANGALIA PICHA ZA UTUPU "PONOGRAFIA"? (SEHEMU YA SABA)

Image may contain: 1 person, text


Madhara ya Kiroho unapo angalia ponografia:
Ponografia husababisha madhara mabaya ya kiroho. Inaweza kuwa kizuizi kikubwa kwa mtu anayetaka kuwa na uhusiano na Mungu.* Biblia huhusianisha hamu ya ngono na tamaa na ibada ya sanamu. (Wakolosai 3:5) Mtu anayetamani kitu huwa na hamu kubwa sana ya kukipata hivi kwamba kinakuwa jambo kuu maishani mwake kuliko vitu vingine vyote. Kwa kweli, wale ambao wamezoea ponografia hutanguliza tamaa zao za ngono badala ya Mungu. Kwa hiyo wanazifanya kuwa sanamu yao. Amri ya Mungu inasema: “Usiwe na miungu mingine ila mimi.”—Kutoka 20:3.
Ponografia huharibu mahusiano yenye upendo. Mtume Petro, ambaye alikuwa amefunga ndoa, aliwahimiza waume Wakristo wawaheshimu wake zao. Mungu hatasikiliza sala za mume anayekosa kufanya hivyo. (1 Petro 3:7) Je, mtu anayetazama picha chafu za wanawake faraghani anamheshimu mke wake? Mke angehisije akigundua? Na Mungu ambaye “ataleta hukumuni kila kazi” na ambaye “huzipima roho” angeonaje? (Mhubiri 12:14; Mithali 16:2) Je, mtu anayetazama ponografia anaweza kumtarajia Mungu asikilize sala zake?
Ponografia hukazia kutosheleza tamaa za mtu binafsi kwa vyovyote vile. Kwa hiyo, kutazama ponografia ni kukosa upendo. Hudhoofisha uwezo wa Mkristo wa kudumu akiwa safi kiadili na kuwa mwadilifu mbele za Mungu. “Haya ndiyo mapenzi ya Mungu,” akaandika mtume Paulo, “kwamba mjiepushe na uasherati; kwamba kila mmoja wenu apaswe kujua jinsi ya kupata umiliki wa chombo chake mwenyewe katika utakaso na heshima, si katika hamu yenye tamaa ya ngono . . . , kwamba yeyote asifikie hatua ya kudhuru na kuziingilia haki za ndugu yake.”—1 Wathesalonike 4:3-7.
Ponografia huwatumia vibaya hasa wanawake na watoto. Huwavunjia heshima na pia huwashushia hadhi na kuwanyima haki zao. Yule anayetazama ponografia hushiriki na kuunga mkono matumizi hayo mabaya ya wanawake na watoto. ‘Hata mtu akijiona kuwa mwema kadiri gani,’ wasema watafiti Steven Hill na Nina Silver, ‘anapotazama au kukubali ponografia, anakuwa asiyejali au hata mwenye chuki kuelekea mtu anayedai eti anamjali.’
USIKOSE SEHEMU YA NANE
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo, Mungu Mkuu na Mwokozi Wetu.

NINI MAANA YA KUUMBWA KWA MFANO WA MUNGU?

Image may contain: cloud, sky, ocean, text, nature and outdoor
Mungu ni Roho. Je wewe ni nani?
Katika somo hili la uumbaji wa binadamu, nitajibu hoja na maswali mbali mbali ambayo yanaulizwa zaidi na waumini wa dini ya Kiislam katika Mihadhara mbalimbali ya kidini, kupitia wahadhiri wao wa Dini, Waislamu wamekuwa wakipinga kuwa Mungu hana Mfano kama ilivyo andikwa katika kitabu cha Mwanzo Sura ya Kwanza na aya ya 26.
Ndugu msomaji, nakusihi ufuatilie somo hili kwa makini ili ujue ukweli kuhusu kuumbwa kwa Binadamu kwa Mfano wa Mungu na nini maana yake:
Katika siku ya mwisho ya uumbaji, Mungu alisema, "Na tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu" (Mwanzo 1:26). Mungu alimuumba Mtu kutoka vumbi na akampa uhai kwa kumpulizia pumzi yake mwenyewe (Mwanzo 2:07). Binadamu ni kiumbe cha kipekee ambacho Mungu alikiumba na baada ya kukiumba, akatumia pumzi yake kukipa uhai, zaidi ya hapo, binadamu ni kiumbe pekee chenye Mwili, Roho na Nafsi.
Kuwa "mfano" wa Mungu maana yake, katika suala rahisi ni kwamba sisi hatufanani na Mungu katika maana ya mwili na sura na/au mwonekano wetu, bali sisi tunafanana na Mungu katika Roho. Maandiko yanasema kwamba "Mungu ni roho" (Yohana 4:24). Binadamu tuna Mwili, Roho, na Nafsi. Unaweza kuniuliza, ni kivipi ninaweza kuthibitisha hayo? Ngoja nikupe mfano mdogo. Mtu anapo kufa, huwa tunasema hivi: Huu ni Mwili wa Marehemu “Fulani”. Kwanini tunauita “MWILI WA MAREHEMU”…Fulani? Kwa kifupi ni kwamba, Yule ambaye alikuwa anaishi katika huo MWILI amesha ondoka na/au toka katika huo MWILI na kwenda sehemu nyingine. Kumbe basi Binadamu si Mwili, bali kuna zaidi ya MWILI.
Biblia inasema kuwa, Mungu alipo pulizia pumzi ya uhai ule udongo ambao aliuumba, huo udongo ukafanyika na ukawa kiumbe chenye uhai. Kumbe basi, kilicho fanya huo udongo kuwa kiumbe chenye uhai ni ile pumzi ambayo Mungu alipulizia ule udongo alio ufanya katika umbo la mtu. Hiyo pumzi ndio Roho ya Binadamu. Hiyo Roho ndio mfano halisi wa Mungu.
Sasa tuagalie zaidi maana ya Sura ya Mungu na inahusiana kivipi na sisi Wanadamu. Mtu ni tofauti na hafanani na Wanyama amboa hawana mamlaka juu ya vilivyo umbwa, nikimaanisha kuwa Binadamu alipewa Mamlaka katika kila kitu ambacho kipo hapa duniani (Mwanzo 1:28), na zaidi ya hapo, binadamu alikuwa na uwezo wa kuzungumza na Muumba wake, kitu ambacho Wanyama wote hawana.
Hebu, tumtazame Binadamu kiakili, kimaadili, na kijamii.
Kiakili, mtu ameumbwa kama wakala wa busara. Kwa maneno mengine, mtu anaweza kuchagua nini anataka kufanya kwa kutumia fikra yakinifu na/au pevu. Kwa kufanya hivyo, mtu ameonyesha uhuru wa akili ambayo Mungu anao. Mfano, mtu anapo tengeneza mashine, anapoandika kitabu, fanya mambo mbalimbali, huko ndiko kuna ashiria neno la kufanana na Mungu, maana Mungu aliumba vitu vyote na sasa binadamu anaonyesha ustadi wa akili pevu kwa kufanya mambo ya uvumbuzi katika sura ya Mungu.
Kimaadili, mtu aliumbwa kwa uadilifu na kutokuwa na hatia ya dhambi, huo ni mwaonekano wa utakatifu wa Mungu. Mungu akaona kila alichokifanya ( pamoja na uumbaji wa Mwanadamu) alikiita kuwa ni "kazi nzuri sana" (Mwanzo 1:31). Dhamiri zetu au "dira ya maadili yetu" ni alama ya awali ya hali tuliyo kuwa nayo. Binadamu tumetunga na kuandika sheria za kutuongoza na uovu, sifa na tabia nzuri , nk, hayo yote ni kuthibitisha ukweli kwamba sisi tulifanywa na/au umbwa katika mfano wa Mungu mwenyewe.
Kijamii, mtu aliumbwa kwa ajili ya ushirika na/au kushirikiana. Huu ni uthibitisho kuwa Mungu ni Utatu ambao ni asili ya upendo wake. Katika Bustani ya Edeni, Mtu alikuwa na uhusiano na Mungu (Mwanzo 3:08 ina maana ushirika na Mungu ), na Mungu alifanya mwanamke wa kwanza kwa sababu "si vema huyo mtu awe peke yake " (Mwanzo 2:18). Kila wakati mtu anapo oa, hufanya urafiki na huyo aliye muoa, huzaa watoto na kuwa na familia hayo yote ni kutuonyesha ukweli kwamba sisi ni tulifanywa katika mfano wa Mungu.
Sehemu ya kuumbwa kwa mfano wa Mungu ni kwamba Adam alikuwa na uwezo wa kufanya uchaguzi kwa huru. Adam alipewa haki ya kuchangua mema au mabaya, uhuru huo ni sehemu ya mfano wa Mungu.
Ndugu msomaji, nategemea leo umefahamu kidogo maana ya kuumbwa kwa mfano wa Mungu ni katika Roho na si Mwili au mwonekano wetu. Mungu ni Roho. Je wewe ni nani?
Katika Huduma yake
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo
Copyright © Max Shimba Ministries 2013

ROHO MTAKATIFU ROHO AWAFUFUAYE WATU WALIOKUFA KIROHO

Image may contain: cloud and text
Kurudi nyuma na kuacha wokovu kunaitwa pia kufa kiroho (Ufunuo 3:1;Waefeso 2:1). Kwa kila aliyerudi nyuma na kuacha wokovu, hii ni saa ya kuamka usingizini na kuanza upya (Warumi 13:11-12).
Lakini, je, inawezekana kuanza upya tena katika hali hii?
Ndiyo, kwa msaada wa Roho Mtakatifu. Hii ni kazi yake nyingine. Roho Mtakatifu ndiye aliyemfufua Yesu, alipokufa
(Warumi 13:11).
Kwa jinsi hiyo hiyo, Roho Mtakatifu anaweza kutufufua kiroho na kutupa uhai tena wa kiroho (Waefeso 2:1,4-6). Mwambie Roho Mtakatifu kwamba unataka kufufuliwa kiroho, naye atafanya.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo, Mungu Mkuu na Mwokozi wetu.

SINAGOGI KWA KIARABU NI KANIS "كنيس" NA SIO MSIKITI

Image may contain: text and indoor
Huu ni Msiba Mkubwa sana kwa Waislam.
Ili kujua tafsir ya neno au maana ya neno fulani, ni bora basi ukatumia utaalam wa kutafsir lugha katita utafiti wako.
Leo naendelea kubomoa dai dhaifu la Waislam kuwa, eti SINAGOGI NI MSIKITI WA WAYAHUDU.
Bila ya kupoteza muda, tuanze na utafiti wetu.
Tafsir ya neno au Jina Sinagogi:
TAFSIR YA NENO SYNANGOGUE:
1. KIEBRANIA: בית כנסת = synagogue
2. KIINGEREZA: Synagogue au ˈsinəˌgäg
3. KIARABU: كنيس AU Kanis
4. KISWAHILI: Sinagogi au Hekalu.
Wayahudi hutumia pia neno la Kiyiddish "shul" (=shule שול) kutajia Sinagogi.
Ndugu msomaji,
Bila kumuonea huruma huyu Muhammad muongo muongo, tumeweka tafsir ya hilo neno "SYNAGOGUE" kwa kiarabu na umesha pata maana yake ni KANIS au كنيس .
Huu ni MSIBA MKUBWA SANA KWA WAISLAM ambao wanafuata mkumbo na dini za wazazi wao bila ya utafiti.
SASA TUMSOME NA ALLAH:
Suratul Hajj 40. Wale ambao wametolewa majumbani mwao pasipo haki, ila kwa kuwa wanasema: Mola wetu Mlezi ni Mwenyezi Mungu! Na lau kuwa Mwenyezi Mungu hawakingi watu kwa watu, basi hapana shaka zingeli vunjwa nymba za wat'awa, na MAKANISA, na MASINAGOGI, na MISIKITI, ambamo ndani yake jina la Mwenyezi Mungu linatajwa kwa wingi. Na bila ya shaka Mwenyezi Mungu humsaidia yule anaye msaidia Yeye. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu Mtukufu. http://www.quranitukufu.net/022.html
AYA HAPO JUU INATAJA MAJENGO TOFAUTI TOFAUTI YA IBADA IKIWEMO, SINAGOGI, KANISA, MISIKITI.
KWANINI ALLAH AMEYATENGANISHA MAJENGO YA SINAGOGI NA MISIKITI KIMAJINA?
NDIO MAANA HUWA NASEMA UISLAM NI DINI YAKUTENGEZA TU NA WALA HAIKUWEPO KABLA YA MUHAMMAD.
Leo tumejifunza kuwa Sinagogi SIO Msikiti kwa kutumia aya na tafsir ya neno Sinagogi.
Shalom.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo, Mungu Mkuu na Mwokozi wetu.

YESU NI MUNGU MKUU NA MWOKOZI WETU


Biblia iliyo kuja miaka zaidi ya 690 kabla ya Quran na kuzaliwa kwa Muhammad na dini yake dhaifu, inasema kuwa:
Tito 2:13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;
Ukiona kiumbe mwengine anakuja baada ya hii aya na kupinga, basi huyo ni Kafiri na hafai kufuatwa.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo, Mungu Mkuu na Mwokozi wetu.

Monday, August 21, 2017

“DEATH THREATS EVERYDAY” for Muslim woman who dared to open a liberal mosque


GERMANY: The opening of a new mosque this month in Berlin further strained already-tense relations between Germany and Turkey, and has caused outrage in various corners of the Muslim world — even prompting religious authorities in Egypt to issue a decree condemning the mosque as “un-Islamic.”

CBS  But despite recieving hundreds of death threats, the mosque’s founder, Seyran Ateş, says she’ll continue to fight for her cause. Ates said the new mosque will be a place of liberalism where everyone is welcome and equal. Women don’t have to wear headscarves, (face-covering niqabs and burqas are not allowed), and can preach as imams and call the faithful to prayer just like men.

That cause, and the principle behind the Ibn-Rushd-Goethe mosque, is that Muslims from all of the religion’s many sects are welcome to worship. Named after medieval Islamic scholar Ibn Rushd and German writer Johann Wolfgang Goethe, the mosque holds prayers every Friday in space rented inside a Lutheran church.

Ateş wanted to create a place where Sunni and Shiite, Alawite and Sufi Muslims, men and women — and members of the LGBTQ community — could pray side by side. The 54-year-old lawyer and women’s rights activist of Turkish origin has a long history of challenging conservative interpretations of her religion, which she believes are no longer compatible with modern-day life.

The progressive house of prayer offers a platform for female imams like Ani Zonneveld, from the U.S., who gave the call to prayer for the mosque’s inauguration. House rules state that female visitors not wear full-body garments like the burka or niqab, as it “would only send a political statement.”

While liberal Muslims who feel restricted by mainstream Islam cherish Ateş’ project, conservative worshippers have expressed outrage, calling it “disgusting and sinful,” as it “disrespects the key elements of Islamic faith.” Egypt’s Dar al-Ifta al-Masriyyah, a state-run religious authority, issued a “fatwa” or official decree labelling the Ibn-Rushd-Goethe mosque an “attack on Islam.”

“I receive hundreds of death threats every day. I rely on personal protection, but I will continue to stand up for my organisation. Islam needs a change, and together with our supporters across the world we can make a difference,” Ateş told CBS News.

EX-MUSLIM warns the West of the dangers of the uncontrolled Islamic tsunami


As the most intolerant ideology on earth, Islam does not deserve tolerance from the West.

Teen Spits on Quran: "We'll Anger God If We Don't Execute Him"…


A video of a teen 'spitting' on the holy Quran sparked outrage among social media users in Saudi Arabia, Kuwait, and several other Gulf countries over the weekend. 
A few days after it began circulating online, the teen was arrested by authorities late on Sunday, reported local Saudi newspaper Okaz.
In his statement on the matter, the Riyadh Police spokesperson Gen. Fawaz Al Meeman said:
"Riyadh authorities were able to identify and locate the teen who offended the holy Quran. He is a 15-year-old and therefore has been placed in a social services detention center.  Riyadh's prosecutor office has been notified of the incident and will be taking action shortly."  

The now-viral video sparked outrage and debate on social media

In the past few days, the video has continued to anger thousands of social media users who have taken to the hashtag 'civilian offends the holy Quran,' sharing their thoughts on it. 
Many people refrained from sharing the video on the platform and only shared a screenshot of the teen who featured in it, calling on authorities to arrest and punish him. 
While some even called for the severe death penalty punishment, others refrained from jumping to conclusions and tried to defend the young man. 

People were angered

"I couldn't even finish watching the video... five seconds in and I was overwhelmed." 

Some called for severe action to be taken against the teen

"I hope that he receives jail time and lashes as punishment... people like him must be severely punished." 

Others even called on authorities to execute him

"I saw his video and I wish I hadn't. We'll anger God if we don't execute him. And those who say he's only a teen are OK with what he did." 

"He's only 15, he might just be looking for fame but that shouldn't exempt him from punishment"

Others defended the young man

"He's a teen who appeared naked in a video while he spat on the holy Quran, it's clear that he's got a psychological problem. Instead of all the drama, and instead of calling on him to be executed, we must call on authorities to provide him with treatment." 

"Don't be too harsh on him"

"He's only 15-years-old... he's just a kid! Who knows what led him to do this, who knows who influenced him or what his living situation is like!! Don't be too harsh on him..." 

"No one asked why!! No one thought of excuses!! You all just want him executed"

A few thought that severe punishments are simply uncalled for

"What's wrong with people who are calling for such severe punishments, everything comes with leniency. The boy could be suffering from a mental health issue, he could be uneducated or influenced by someone older than him." 

An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance

  Title: An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance Au...

TRENDING NOW