Tuesday, January 9, 2018

WAISLAM WAMETENGENEZA AGANO JIPYA FEKI NA KUBANDIKA JINA LA ISA BADALA YA YESU

Abel Suleiman Shiliwa
"TANGAZO KWAKO MKRISTO"
Ukikutana na Kitabu hiki ambacho kimeandikwa INJILI, ambapo ni Kiarabu na Kiswahili, usiinunue ni Injili iliyoghoshiwa! wamempachika Isa kwenye maneno ya Kiswahili wakati Kiarabu kimemtaja يسوع (Yasuu)
Maandishi ya Kiarabu yapo sahihi kabisa ila TAFSIRI ndiyo ambayo imechakachuliwa! kama alivyosema Mtume PAULO.
Wagalatia 1:6 Nastaajabu kwa kuwa mnamwacha upesi hivi yeye aliyewaita katika neema ya Kristo, na kugeukia injili ya namna nyingine.
Kwenye Tafsiri ya Kiswahili wamepachika Jina la ISSA ili kuwaaminisha watu kuwa YESU ndiye Isa.
Ila Picha ambayo imeandikwa.
NENO AGANO JIPYA:- hiyo ni Tafsiri sahihi kabisa, ambayo ndiyo ya kwanza, Yasuu ametajwa YESU, maana ndivyo ilivyo!
Kuna picha nne, Kava ya Juu na ndani, Utaona tofauti yake.








Friday, January 5, 2018

SAUDI ARABIAN PRINCE CAUGHT IN BACON TRAFFICKING SCANDAL

A Saudi Arabian prince has been caught in an international bacon trafficking scandal involving hundreds of members of the Saudi royal family reports the Jerusalem Herald this morning.
Prince Adel Al-Otaibi is actually being detained by Israel authorities after trying to smuggle over 2,000 kilos of undeclared various pig meat products.
The 2,000 kilos of processed meat originally declared as “veal meat” were found to be suspicious by local authorities who eventually realized the meat was in fact pig meat, a delicacy which is under heavy scrutiny by the country’s laws and that makes pig farming a crime in most regions of Israel except for a minority of Christian Arab communities that are allowed by law to raise the farm animals.
prince-saudi
Prince Adel Al-Otaibi is being detained by Israeli authorities after trying to smuggle over 2,000 kilos of “pig meat products”, a situation that could cause a major diplomatic incident between the two countries, warn experts
Saudi authorities have not taken to the news kindly as Saudi Arabia’s Minister of Foreign Affairs, Adel Al Jubeir, has accused Israel of “framing a member of the royal family” in a disloyal attempt to “attack the reputation of the royal Saudi family” and is asking for the immediate release of Prince Adel Al-Otaibi and his 17 body guards.
Prince Adel Al-Otaibi, who is renown for his outlandish ways and extravagant parties, made international headlines last year after rumors spread on social media that he had offered $1 million dollars to Kim Kardashian for an evening with the celebrity. Although Kim Kardashian never publicly confirmed the rumor, she was spotted at Riyadh King Khalid International Airport weeks later by paparazzis.
In 2010, Wikileaks released leaked documents originating from US diplomats describing a world of sex, drugs and rock’n’roll behind the official pieties of the Saudi Arabian royalty, where liquor and prostitutes were present in abundance, all things strictly prohibited by Saudi law and custom.
Saudi Arabia prohibits the import, use, or possession of pork, as pork is held to be contrary to the tenets of Islam.

ITALY: SOMALI MUSLIM savage arrested for trying to rape a woman in labor in the delivery room of a hospital

The Somali Muslim migrant was arrested after disguising himself as a nurse and attempting to rape a woman in labor at the Sant’Eugenio Hospital in Rome.

Daily Caller   Alì Abdella, 38, has been accused of sexual violence and theft by attempting to rape an unidentified woman, 43, while she was in labor at the Sant’Eugenio Hospital in Rome, reported Italian outlet Il Libero Quotidianno. Abdella allegedly stole and donned a green hospital uniform, entered the woman’s hospital room, and began groping her thigh and masturbating in front of her, reported La Stampa.
The woman began screaming, alerting hospital staff who called the police, accoring topupia.tv. Abdella, who has been living in Italy for the past five years and has a history of crime, was arrested Dec. 31 by the Epozione police department.

Egypt Urged to Sue Israel for Biblical Plagues…


Bible study meets modern litigiousness in a story that may one day yield a riveting courtroom drama.
Ahmad al-Gamal, an Egyptian columnist for Egyptian daily Al-Yawm Al-Sabi, advocated in the newspaper on March 11 that Egypt sue the State of Israel for damages caused by the 10 Biblical plagues,
“We want compensation for the plagues that were inflicted upon [us] as a result of the curses that the Jews’ ancient forefathers [cast] upon our ancient forefathers, who did not deserve to pay for the mistake that Egypt’s ruler at the time, Pharaoh, committed,” the cranky journalist wrote, according to a translation provided by the Middle East Media Research Institute.
According to the Biblical Book of Exodus, the Egyptian king prevented Moses from liberating the Jews and leading them out of Egypt.
The plagues that summarily struck Egypt in consequence included the Nile turning into blood, an outbreak of lice, diseased livestock, boils, and so on, culminating in darkness and the deaths of all Egyptian firstborn males. The telling of the tale features prominently in the Jewish observance of the spring holiday of Passover.
“For what is written in the Torah proves that it was Pharaoh who oppressed the children of Israel, rather than the Egyptian people,” Gamal continued, “[But] they inflicted upon us the plague of locusts that didn’t leave anything behind them; the plague that transformed the Nile’s waters into blood, so nobody could drink of them for a long time; the plague of darkness that kept the world dark day and night; the plague of frogs; and the plague of the killing of the firstborn, namely every first offspring born to woman or beast, and so on.”
Gamal also pressed suing Israel for the “precious materials” used by the ancient Israelites in order to construct their desert tabernacle.
“We want compensation for the gold, silver, copper, precious stones, fabrics, hides and lumber, and for [all] animal meat, hair, hides and wool, and for other materials that I will mention [below], when quoting the language of the Torah. All these are materials that the Jews used in their rituals. These are resources that cannot be found among desert wanderers unless they took them before their departure.”
Israel isn’t the only country that finds itself in Gamal’s cross-hairs. In the same column he also demanded reparations from Turkey for damage caused by the Ottoman Empire during its invasion of Egypt in the 16th century, and from France for Napoleon’s invasion in 1798.
He also wants Britain to pay for 72 years of occupation.
The courts are unpredictable these days, but Gamal may need to wait for an “act of God” for his requests to become reality.
READ MORE:

TANZANIA: WAISLAM WAHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA BUKOBA KWA UGAIDI

Mahakama ya Hakimu Mkazi Bukoba imewahukumu kifungo cha maisha jela washitakiwa watatu baada ya kuwatia hatiani kwa kuchoma Kanisa la EAGT mwaka 2015.

Hukumu imetolewa leo Jumanne Januari 2,2018 na Hakimu Mkazi Mfawidhi, Charles Oisso baada ya kuridhika na ushahidi uliowasilishwa na upande wa mashtaka kuwa washtakiwa walitenda makosa ya kula njama na kuchoma kanisa hilo eneo la Omukibeta, Manispaa ya Bukoba.

Waliohukumiwa ni Rashid Athuman, Ngesela Ismail na Ally Hassan ambao walidaiwa kutenda makosa hayo kutokana na chuki dhidi ya dini nyingine jambo ambalo Mahakama imesema lingesababisha uvunjifu wa amani na usalama.

Washtakiwa tayari wako gerezani wakitumikia kifungo cha maisha baada ya kutiwa hatiani katika shauri lingine namba 178 la mwaka 2015 ambalo pia linahusu kuchoma makanisa katika maeneo tofauti mkoani Kagera.

Islamic CLERIC (Imam) fondling the breast of a NINE year old girl in the Mosque, the other girl just looked away


The Photo says it all: Islamic CLERIC (Imam) fondling the breast of a NINE year old girl in the Mosque, the other girl just looked away. Lol

AIBU! DOKTA MUISLAM APIGWA TALAKA BAADA YA PICHA AKISALITI NDOA KUNASWA, MUME AZIMIA .... HUKO ZANZIBAR


DAKTARI wa Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja Zanzibar, Muislam na Ustaadhat Salha Hassan amejikuta akipigwa talaka na mume wake, Sheikh Abdullatif Mohamed kufuatia picha zake chafu akiwa na mwanaume mwingine kunaswa kwenye simu yake mkononi, Uwazi limenyetishiwa.

Akizungumza kwa masikitiko makubwa, Sheikh Abdul alisema alifunga ndoa na Salha Februari 15, 2007 na waliishi kwa upendo mkubwa.
KISA KILIPOANZIA
Sheikh Abdul alisema kuwa mkewe aliondoka Zanzibar na kwenda kuongeza ujuzi kwenye Chuo Kikuu cha Udaktari Muhimbili jijini Dar es Salaam.
MKE ALALAMIKIA SIMU YAKE MBOVU, AAHIDIWA KUNUNULIWA MPYA
“Akiwa pale Muhimbili mke wangu alinieleza kuwa simu yake ya mkononi (Nokia) inamsumbua sana, nikamshauri kwamba akirudi huku tuiuze halafu nimnunulie nyingine,” alisema Sheikh Abdul.
Ustaadhat Salha Hassan akiisaliti ndoa yake.
Aliongeza kuwa, katika mwaka wa tatu, mkewe alipofanya mtihani alifeli, hivyo akalazimika kurejea Zanzibar kuendelea na kazi katika hospitali anayofanyia kazi.
SIMU MBOVU YAENDA SOKONI, MKE ATOA ‘MEMORY CARD’
“Siku kadhaa baada ya kurejea, nilichukua simu yake kwa lengo la kwenda kuiuza kama tulivyokubaliana, lakini mke wangu alitoa ‘memory card’ yake ambayo najua mlikuwa na vikorokoro vyake, hilo sikulifuatilia. “Tayari nilishapata mteja, tukakubaliana bei lakini kabla ya kumkabidhi niliamua kufuta vitu vingine ambavyo vilikuwa ndani ya simu ya mke wangu. Wewe mwandishi unajua, simu zina ‘dokumenti’ mbalimbali,” alisema Abdul.
MAMBO HADHARANI
Sheikh Abdul alisema kuwa akiwa katika zoezi la kufuta kumbukumbu mbalimbali zilizokuwemo kwenye simu hiyo, ghafla alizibamba picha chafu za mke wake akiwa na mwanaume mwingine ambaye hakumjua. “Nilishtuka sana, sikuwahi kufikiria. Hata hivyo, awali nilidhani naota ndoto, lakini baadaye nikajiridhisha kwamba sikuwa ndotoni,” alisema Sheikh Abdul.
AANGUKA, AZIMIA
Mwanaume huyo aliongeza kwamba, kufuatia tukio hilo baya machoni mwake alijikuta akianguka na kupoteza fahamu.
MTAZAMO WA PICHA
Sheikh Abdul alimuonesha paparazi wetu picha alizozinasa ambapo moja, Ustaadhat Salha anaonekana amelala kitandani akiwa amenyoosha miguu kwa kujisitiri na ‘kufuli’ tu. Picha nyingine amepozi kwa kuegemeana na mwanaume huyo ambaye Sheikh Abdul alisema anaamini anaishi jijini Dar es Salaam au alikuwa akisoma naye Muhimbili. Picha nyingine, Salha anaonekana amepozi katika mkao tata akiwa mtupu. Picha mbili zilionesha alijipiga mwenyewe isipokuwa ile aliyolala kitandani.
ASITISHA KUUZA SIMU
Sheikh Abdul alisema kuwa kufuatia kuuona uozo huo wa mke wake aliyempenda sana, baada ya kuzinduka alibatilisha uamuzi wa kuiuza simu hiyo na kurejea nyumbani ambapo alipomuuliza, mwanamke huyo hakuwa na majibu ya kujitosheleza. Waligombana sana na mwishowe aliamua kumrudisha nyumbani kwa wazazi wake ‘akimsindikizia’ talaka juu kwamba si mke wake tena.
MUME ADAI MOYO ULISHINDWA KUVUMILIA
Akasema: “Kwa kweli sikuweza kukivumilia kitendo kile, haikuwa nia yangu kumpa talaka lakini moyo ulishindwa kuvumilia kuona mke wangu yupo kama alivyozaliwa.
UWAZI LAMSAKA MKE, AUKANA UDAKTARI
Baada ya kuzinyaka habari hizo, gazeti hili lilimtafuta Salha kwa njia ya simu yake ya kiganjani (huenda alinunua simu nyingine au aliitengeneza ileile) ambapo baada ya kumpata na kumsomea mashitaka yake kuhusu picha hizo, alijibu kwa jeuri: “Mimi naona ulizokuwa nazo (picha) hazikutoshi kabisa. Ninazo nyingine, kama upo tayari nikutumie ili uziongezee kwenye habari yako. Kwanza mimi siyo daktari. Uwazi: Sikia Salha… Salha akakata simu.
TAHADHARI
Uzoefu unaonesha kuwa, tangu simu za mkononi zilipoingia nchini Tanzania, wapendanao, wakiwemo wachumba, wamekuwa wakiingia kwenye migogoro mikubwa inayosababishwa na matumizi mabaya ya simu hizo. Ni vyema wapendanao wakachukua tahadhari kuhusu matumizi ya simu zao. Baadhi ya wafuatiliaji wa masuala ya ndoa wanasema kuwa hakuna kiwango cha juu cha wanandoa kutopendana kama usaliti.
POLENI SANA WAISLAM

MALAIKA NI WALINZI WAKO


Je, Malaika ni walinzi?
Na kwa kuwa malaika wanafanya kazi kwa niaba ya wanaotafuta ili kuwa watoto wa Mungu, watoto wake wa kiume na wa kike – watu wengi kuuliza kama kuna kiumbe malaika ‘walinzi’. Wakati Petro alipofunguliwa na malaika kutoka katika Gereza (Matendo 12:7-15) na akafika mlango wa nyumba ambayo walikuwemo waamini walio kutania humo; hawakuweza kusadiki kama ni Petro mwenyewe lakini walisema, ni malaika wake’. Lakini kabla ya hapo, Yesu alikuwa amekwishawaambia wafuasi wake kuwa
walio wapole wenye kutii kwa kuamini kama mtoto alivyo.
Wanaomnyenyekea Mungu wapate huduma ya watumishi wake. ‘Kwa kuwa malaika wao siku zote huutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni’.
(Mathayo 18:10). Hivi ni vielelezo vya muhimu kuonyesha kuwa Mungu humlinda kila mtu kumwokoa anayeteswa na yupo tayari kuwasaidia wote wamchao Wanafunzi wa Yesu hawa huachwa na mashaka wakati wanaposoma waraka kwa Waebrania.
Sura za mwanzoni zinadhihirisha namna Mungu alivyokuwa akiwasiliana na watu, jinsi gani malaika walivyowatumishi wake na kwa namna Yesu ambaye ni Mwana wa Mungu amefanyika bora kuliko malaika na kustahili kupewa heshima na wao. Vile vile wale wote wanaofanyika wana wa Mungu na hasa wale watakaoingia katika ufalme na kuwa wafalme katika ufalme wa Mungu ule ujao watakuwa wakuu kuliko malaika.
Katika sura ya 1 mwandishi anasema kwamba Mungu ambaye alisema zamani kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi (Kwa mfano, kwa njia ya malaika waliopokea neno toka kwa Mungu na kulipeleka kwa mababu na manabii). Lakini kwa sasa anasema moja kwa moja katika mwana wake, ‘ambaye ni chapa ya nafsi yake Mungu akiwa amefanyika bora kupita Malaika kwa kadri ya jina alilolirithi lilivyo tukufu kuliko wao’ Mwana ni mkuu kupita Watumishi. Hata sasa mwandishi anasema, malaika
wanaendelea kufanya kazi zao.
‘Na kwa habari za malaika asema, Afanye malaika wake kuwa pepo, na watumishi wake kuwa miali ya moto….Je! hao wote si roho watumikio wakitumwa kuwahudumu wale watakaourithi wokovu? (Waebrania 1:7,14,UV)
Hii ilikuwa habari isiyo ya kawaida kwa kuwa Mariamu alikuwa hajaolewa. Hakuna neno lisilowezekana kwa Mungu! Yusufu, mmewe mtarajiwa, naye pia alipokea ujumbe wa malaika uliomsihi namna ya kufanya kulingana na tukio hili la kipekee.
Wakati Yesu alipozaliwa Bethlehemu, ishara ya kuzaliwa kwake ilikuwa ishara ya uthibishto wa utukufu wa Mungu ulioonekana kwa wachungaji:
"Malaika wa Bwana (yawezekana kuwa Gabrieli?) aliwatokea na utukufu wa Bwna ukawang’arizia pande zote, wake ukiwa na hofu kuu Mara walikuwepo pamoja na huyo malaika, wingi wa jeshi la mbiguni, wakimsifu Mungu na kusema, Atukuzwe Mungu juu mbinguni na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia (Luka 2:9-14 U.V)
Shalom
USIKOSE SOMO LA "MALAIKA MWENYE NGUVU NYINGI"

KWANINI MUNGU ALIUMBA MALAIKA?


Yeye Muumba ni mwenye uweza na utukufu hata asiweze kukaribiwa na mwanadamu katika namna alivyo. Yeye peke yake asiyepatikana na mauti, amekaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa, wala hakuna mwandamu aliyemwona wala anaweza kumwona. (Timotheo 6:16). Kwa kuwa malaika wao hawana upungufu kwa hiyo wanatenda kwa ajili ya Mungu wakimwakilisha yeye wanapowasiliana na wanaume na wanawake. Wao hufanyika faraja kati ya ufa mkubwa kati ya utukufu na ukamilifu wa Mungu wa Mbinguni na dhambi damu anayekufa katika sayari hii. malaika wao ni wa milele (yaani, hawafi). Umilele wao ni wa namna moja na ule Yesu aliounena wakati aliposema: Lakini wale wahesabiwao kuwa wamestahili kuupata ulimwenngu ule na kule kufufuka katika wafu, hawaoi wala hawaolewei; wala hawawezi kufa tena; kwa kuwa huwa sawa sawa na malaika nao ni wana wa Mungu kwa vile walivyo wana wa ufufuo (Luka 20:35,36). Lakini Yesu alisema hivyo, kwa namna moja na Malaika (watoto au "wana" wa Mungu) wanaishi milele na ni wa jinsia moja,kwa hiyo pia wale watakaoitwa "wana" na mabinti wa Mungu wakati Yesu atakaporudi watawezakuishi milele na hawataoa au kuolewa.
Waefeso 6: 12 “Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.”
Kwenye maisha yetu ya Ufalme tumefahamu sana kuhusu Jeshi la malaika wabaya na nguvu zao za giza lakini tumesahau kujifunza na kulitumia jeshi letu la Malaika watakatifu.
Tulijifunza kwenye Biblia kazi ya jeshi hili la Malaika watakatifu nahizi ni Baadhi ya sheria zao.
Mathayo 26: 53 “Ama wadhani ya kuwa mimi siwezi kumsihi Baba yangu, naye ataniletea sasa hivi zaidi ya majeshi kumi na mawili ya malaika?”
Luka2: 13 “Mara walikuwapo pamoja na huyo malaika, wingi wa jeshi la mbinguni, wakimsifu Mungu, na kusema,”
Mwanzo 32: 1 “1 Yakobo akashika njia yake na malaika wa Mungu wakakutana naye.Naye Yakobo alipowaona, alisema, Hili ni jeshi la Mungu. Akapaita mahali pale, Mahanaimu. Basi, Yakobo akapeleka wajumbe mbele yake kwenda kwa Esau nduguye mpaka nchi ya Seiri katika nyika ya Edomu.”
Zaburi 148: 2 “Msifuni, enyi malaika wake wote; Msifuni, majeshi yake yote.”
Waebrania 12: 22 “Bali ninyi mmeufikilia mlima Sayuni, na mji wa Mungu aliye hai, Yerusalemu wa mbinguni, na majeshi ya malaika elfu nyingi,”
Tumejifunza kwamba unapookoka unaingia kwenye Ufalme wa Mungu na huko unakutana na majeshi ya Ufalme ambao ni Malaika watakatifu. Tumejifunza kwamba malaika ni polisi wa Ufalme na pia ni wanajeshi wa Ufalme lakini kama hujui kuwatumia unakuwa hufanyi kitu ndani ya Ufalme. Tumeona pia kuna mambo mengine ambayo sisi tunafanya kama wana wa Ufalme, kuna mambo mengine ambayo malaika wanayafanya na kuna mambo mengine Neno la Mungu linayafanya na sio sisi. Kwa mfano:-
Luka 10:19 "Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru."
Maana yake ni sisi tunaokanyaga si Mungu, Unaweza kumkuta mtu anamwomba Mungu ashuke aje akibariki chakula chake na ashuke amlinde usiku kucha kitu ambacho hakiwezekani kwa Mungu kutoka kwenye kiti chake cha Enzi kwenda nyumbani kwa mtu kumlinda. hivyo ndivyo tulivyokuwa tukiamini lakini sasa tumeshafahamu maarifa kwamba siri ya Nguvu zetu Kuwa ndani ya Ufalme wa Mungu kuishika katiba yake ambayo ndiyo inatupa maelekezo ya namna ya kutenda hapa duniani.
Ufunuo 12: 12 “Kwa hiyo shangilieni, enyi mbingu, nanyi mkaao humo. Ole wa nchi na bahari! Kwa maana yule Ibilisi ameshuka kwenu mwenye ghadhabu nyingi, akijua ya kuwa ana wakati mchache tu.”
Wakamshinda kwa damu ya mwanakondoo ina maana ndani ya Ufalme kuna silaha inayoitwa Damu ya mwanakondoo ambayo tunaweza kuitumia kushinda kila tatizo ‘unapokuwa kwenye maombi unakuwa unaitumia damu ya Mwanakondoo kushinda’, kwenye Maandiko imeandikwa neno la Mungu ni nyundo ivunjayo mawe vipandevipande, ni Upanga uuwao kuwili. Ukishafahamu sheria hii ndipo sasa unaamua kuitumia kupenya sehemu yeyote.
Pia tumejifunza kwamba tunayo silaha ya Malaika ambao ni watumishi wetu na tunao uwezo wa kuwaagiza kwenda mahali popote kutenda kazi.
USIKOSE SOMO LA "SHERIA YA MALAIKA ANAYEWEZA KUFUNGUA MILANGO"
Shalom

KUMBE KANZU NI VAZI LA WAKRISTO NA SIO WAİSLAM


Naanza na swali kwa Waislam:
Nileteeni aya kutoka Quran inayo waamrisha kuvaa Kanzu nyeupe vazi la Wakristo.
Mkinipa aya leo hii nitasilimu na kuwa Muislam.
Ama kuhusu kanzu, Agano la Kale linasema:
“Ataoga mwili wote katika maji, kisha atavaa mavazi matakatifu. Ataingia mahali hapo akiwa amevaa mavazi matakatifu: joho la kitani baada ya nguo ya ndani ya suruali ya kitani na akiwa amevaa kanzu ya kitani na kujifunga mkanda wa kitani” (Walawi 16: 4).
(Marko 11:17) Wanadhihirisha imani katika dhabihu ya fidia ya Yesu Kristo, ‘wakifua kanzu zao na kuzifanya nyeupe katika damu ya Mwana-Kondoo.’
(1 Petro 2:9) Unabii wa Malaki unaweza pia kuwatia moyo wale wa “umati mkubwa,” ambao ‘wamesimama mbele ya kiti cha ufalme na mbele ya Mwana-Kondoo, wakiwa wamevikwa kanzu nyeupe.’
LAKINI
Katika sahih hadith tunasoma:
Na amesema Abu Ramthah Rifaa‘ah at-Taymiy (Radhiya Allaahu ‘anhu): Nilimuona Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akiwa na nguo mbili za kijani (Abu Daawuud na at-Tirmidhiy kwa Isnadi iliyo Sahihi. Pia imenukuliwa na an-Nasaa’iy, na Isnadi yake ni Sahihi).
Kumbe Muhammad alikuwa anavaa mavazi ya kijani na sio Kanzu.
§ Na imepokewa kwa Jaabir (Radhiya Allaahu ‘anhuma) kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) aliingia siku ya kufunguliwa Makkah akiwa na kilemba cheusi (Muslim).
Hata Muhammad hakuvaa kanzu nyeupe bali nguo ya kijani na kilemba cheusi.
Kumbe Uislam ni dini ya kugezea tu tena kwa Wakristo.
1. Leteni aya inayo waamrisha kuvaa Kanzu.
2. Leteni aya inayosema Kanzu sio vazi la Wakristo.
HAKIKA UİSLAM NI DINI YA KUTENGENEZA TU.
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu na Mwokozi wetu.

An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance

  Title: An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance Au...

TRENDING NOW