Tuesday, August 14, 2018

KAMA YESU SIO MUNGU, KWANINI ANATUMA MANABII?




Tuanze kusoma aya:

Mathayo 23:34 Kwa sababu hiyo, angalieni, mimi natuma kwenu manabii na wenye hekima na waandishi; na wengine wao ninyi mtawaua na kuwasulibisha, na wengine wao mtawapiga katika masinagogi yenu, na kuwafukuza mji kwa mji;

Nabii ni mtu aliye tumwa na Mwenyezi Mungu, na sio kinyume chake. 

Neno nabii (kwa Kiebrania נביא nevì, kwa wingi נְבִיאִים nevi'ìm, kwa Kiarabu نبي) linatumika kumtajia binadamu aliye tumwa na Mwenyezi Mungu na anayesema kwa niaba ya Mwenyezi Mungu, hasa kwa kusudi la kuelekeza wenzake wafuate imani na maadili sahihi.

Lakini kwenye Mathayo 23 aya 34 tunasoma kuwa Yesu anatuma Manabii kwetu. Aya hiyo haisemi "Nabii Mmoja" bali MANABII.

Tunapo sema Yesu ni Mungu huwa hatutanii bali tunahakika na tunao uthibitisho.

Swali kwa Waislam wanao bisha Uuungu wa Yesu. 

1. Yesu anatuma manabii kama nani?
2. Nani mwenye mamlaka ya kuma manabii duniani?

Shalom,

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

No comments:

WHY CHRISTIANITY IS BETTER THAN ISLAM?

Has Islam Improved to Become Better Than Christianity? Does Muhammad fulfill and complete the mission and purpose of Christ? Muhammad emphat...

TRENDING NOW