Thursday, September 29, 2016

THE SUPREME COUNCIL OF ISLAM IN TANZANIA ONCE AGAIN YEARN TO INTRODUCE HALAAL BUREAU MEANWHILE NON-MUSLIMS DENIED

Halaal Certification In Tanzania.

In 2012, The Supreme Council of Islamic organizations and Institutions of Tanzania in the course to fulfill its religious and social roles established Halaal Bureau Ltd for a number of purposes including but not limited to promote awareness to the general public on the need to use of Halaal branded goods voluntarily, to certify goods for Halaal certificate in order to protect consumers from flimsy goods among others. Goods with Halaal certification are increasing in the Tanzanian market, some are locally produced and others are coming from as far as South Africa, Kenya, UAE, China, Thailand among others in order to bully Muslims and general public to believe that these goods were prepared in line with acceptable Sharia (Islamic rules) standards. 

Those produced in Tanzania could hardly stand validity challenge of being Halaal due to absence of Halaal certification agency in the country to validate their claims and audit the production process until it reaches the ultimate consumers. However, now things are expected to change with the establishment of Halaal Bureau Ltd. The 'Halaal Industry' as referred to to day is vast and it includes financial services like Islamic Banking and Insurance as well as Manufacturing Industry among others. Despite its significance it is not free from defects and challenges which must be worked upon to ensure Halaal brand stands to its expectations. Below are some assertions which Halaal Bureau Ltd must devote its resources to address as explained by Rashid Siddique in his recent article 'Halaal Industry-Fact, Fiction and 'Faction'? 

THE SOLUTON OF NON-MUSLIMS TO THE ISLAMIC CHALLENGES POLITICALLY, ECONOMICALLY AND SOCIALLY

  ARE YOU A SWAHILI SPEAKER? A MUST TO READ!!
                                        TSH. 7,000/=      US 3.50 


We are facing the Islamic Challenges which range Politically, Economically and Socially.  Non Muslims are un aware of the Islamic radicalization process in their land,  they are just recipient of the circumstance. More worse how can you know which block does your friend Muslim belong between Dar al Harb (Zone of War) and Dar al Salaam (Zone of Peace) in your country.

In this 149 pages of  book SUMU YA UDINI (Religiosity: A Green Snake in Green Grass), those challenges are intensively addressed with permanent solution!

Get your copy at:
Dar: Mbogo Shop, at Benjamin Mkapa Sec School, Kariakoo Lindi Street No.65 
Arusha: KIMAHAMA Book shop near Sheikh Abeid Karume Stadium 
Mwanza: Mary Mrutu Shop near Lutheran Church Cathedral at Makongoro
Bukoba: Ujirani Mwema Book shop
Mbeya: Umoja wa Kujisomea Biblia (Scripture Union Book shop) at Mwanjelwa near Dar Bus stand  

                                                      OR

 FOR WHOLE SALE AND RETAIL CALL HOTLINE +255 755 680101 or
                           Email: dmwankemwa@gmail.com 

HELP TO REDUCE A CATASTROPHY TO A VULNERABLE CHRISTIAN COMMUNITY IN TANZANIA

Tanzania, is among the very few countries in the world known to be a “peaceful country,” despite the diversity of beliefs. However, in recent days, the increase of Islamic radical movements tends to cause trauma to non Muslims especially to the vulnerable Christian community. Of all societies in the land, Christian community is a more victim of the circumstance.

The government tries hard to either decrease or halt these movements, but some seems hard because they are from within designated to preserve the Islamic bigotry.

Constitutionally, Tanzania is a secular state whose constitution stipulates the right of every citizen to enjoy the freedom of worship.

Despite the constitutional right of worship, day after day we experience the series of chain of command to oppress, persecute and suppress Christians and Christianity, which sometimes mask as legal, while in the real sense they are under Islamic influence.

There are a handful of reports and evidences at our disposal, which range from social, political, religious and economic, which have been reported internally and externally, to justify these claims.
Radical Muslims claim superiority over all non Muslims as they cling to the teachings of Prophet Mohammad which encourages a Muslim to discriminate non-Muslims, especially Christians, oppress and suppress them regardless the status of the land.

Tanzania: Proliferation of Churches Blamed for Noise Pollution

Hazla Omar,  Daily News 8th April 2016

Arusha — THE proliferation of many churches which undertake their activities throughout the night is said to be an emerging major problem in Arusha City. Arusha regional authorities have begun taking measures to halt the activities of these churches which create chaos to the city's tranquility at night.

Arusha Regional Commissioner (RC), Daudi Felix Ntibenda, has directedleaders at all levels of governance to warn owners of the churches that their night activities are a source of apprehension to many residents in the tourist city.

"I have received complaints from many people about the activities of the churches - especially the use of loudspeakers in residential areas," he said. "We have a problem in Arusha; almost everywhere nowadays someone erects a tent to establish a church.

For seven days of the week people are treated to noise pollution, It's bad," he said. He directed the local leaders to start working on the issue urgently to minimise noise pollution affecting the majority of Arusha residents during the night.

We can't just ban snooker (pool table) and drinking beer during the day and then allow people to make noise during the night," he explained. Ntibenda banned the sale of sachets of liquor (viroba), in groceries and shops.

"We have banned day time beer drinking in bars, but people have found another way of buying 'viroba' and mixing them with water or other drinks," he said. Meanwhile, Ntibenda has suspended the registration of new weapons until the ongoing exercise to verify people owning guns is completed.

"Once we resume another exercise of registering guns, the process will be different as applicants shall be compelled to start right from the village, ward and division levels before seeking clearance from other levels," he said.

Wednesday, September 28, 2016

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU


Ndugu msomaji; 
Je, unamfahamu Roho Mtakatifu?Je, Roho Mtakatifu ni nani kwako? Katika kijarida hiki kifupi, ningependa tumzungumzie Roho Mtakatifu kama alivyo semwa na kutajwa katika Biblia Takatifu. Kuna utatanishi mkubwa sana na maelezo mengi sana kuhusu Roho Mtakatifu. Kuna imani zingine kama Mashahidi wa Yehova, wao husema kuwa Roho Mtakatifu ni Nguvu Fulani na au ni uwezo wa Mungu katika kufanya mambo. Wengine kama Waislamu, wao husema kuwa Roho Mtakatifu ni Malaika Gabriel. Wengine husema kuwa Roho Mtakatifu ni sehemu ya Nafsi ya Mungu. Lakini, Biblia inasema nini kuhusu Roho Mtakatifu. Ni vyema tujifunze kuhusu Roho Mtakatifu kwa kutumia aya za Biblia na sio theologia na akili zetu.
ROHO MTAKATIFU NI MUNGU
Tuanze kwa ushaidi wa aya: Matendo ya Mitume 5:3-4. Petro akamwambia, “Anania, mbona shetani ametawala moyo wako kiasi cha kukubali kumdanganya Roho Mtakatifu, ukaficha sehemu ya fedha ulizopata? 4 Kabla hujauza hilo shamba lilikuwa mali yako. Na hata baada ya kuliuza, fedha ulizopata zilikuwa zako. Kwa nini basi umeamua moyoni mwako kufanya jambo kama hili?
Ujue hukumdanganya mtu ila umemdanganya Mungu.” Katika aya hizo hapo juu, Petro anapambana na anania aliyemdanganya Roho mtakatifu na anasisitiza yakuwa “hukumdanya mtu bali Mungu. Kwa maana nyingine, Petro alikuwa anamwambia Anania kuwa, kumdanganya Roho Mtakayifu ni sawa na kumdanganya Mungu.
Huu ni uthibitisho wa kwanza kuwa, kumbe Roho Mtakatifu ni Mungu.
ROHO MTAKATIFU YUPO KILA MAHALI
Hebu tuangalie kama Roho Mtakatifu ana adhama za Mungu aliye hai. Sifa, moja ya Mungu ni kuwa, yeye yupo kila Mahali. Je, Roho Mtakatifu anayo hii sifa ya kuwa kila mahali? Fungua Zaburi 139:7-8, “nitaenda wapi nijifiche na Roho? ama nitakimbilia wapi mbali na uwepo wako? Nikipanda juu mbinguni, huko uko; nikifanya malazi yangu kuzimu, tazama uko huko,” Daudi anatuambia kwa kupitia Zaburi kuwa, huwezi kumkimbia Mungu.
Daudi anamtaja Mungu na au anamwita Mungu kuwa ni Roho. Hii sifa ya kuwa kila mahali ni ya Mungu pekee, na katika Zaburi 139: 7-8, tumesoma kuwa, Roho Mtakatifu yupo kila mahali. Tuendele na ushahidi zaidi wa kuwa kila mahali; katika Wakorintho wa Kwanza, hapa Mtume Paulo anasema yafuatayo 1 Wakorintho 2 aya ya 10 Lakini Mungu ameyajulisha kwetu kupitia Roho wake mtakatifu.
Kwa kuwa Roho huyachunguza mambo yote, naam, mambo ya siri ya Mungu. Kwa maana ni nani ayajuaye ya mwanadamu isipokuwa roho ya mwanadamu inayokaa ndani yake?
Vivyo hivyo, hakuna ajuaye mambo ya Mungu isipokuwa Roho wa Mungu.” Kama Roho Mtakatifu anafahamu kila kitu kilicho ndani ya Binadamu, ambao wametapakaa Duniani kote, basi kitendo cha kuwa kila mahali kwa wakati mmoja ni Mungu pekee ndie aliye na huo uwezo. Tuendelee kwa Ushihidi mwingine katika aya hiyo hiyo ya 10 ya Wakorintho wa kwanza Sura ya 2. Roho Mtakatifu ni Mungu kwasababu ana akili, hisia, na mapenzi yake. Katika Wakorintho wa kwanza 2:10 tumesoma kuwa Roho Mtakatifu hufikiria na hujua siri iliyo ndani yako. Hii sifa ya kufikiria na kujua, inavunja hoja ya Mashahidi wa Yehova kuwa Roho Mtakatifu ni “Nguvu”. Nguvu haina uwezo wa kufikiria wala kufanya maamuzi.
ROHO MTAKATIFU UHUZUNIKA
Katika Waefeso 4:30 inasema “Na msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu ambaye ni mhuri wenu wa uthibitisho kwa siku ya ukombozi” Unaweza jiuliza, ni kivipi unaweza kumhuzunisha Roho Mtakatifu? Kama Roho Mtakatifu angekuwa ni “Nguvu –Energy” kama anaitwa na Mashahidi wa Yehova, je, ni kivipi Nguvu ipate huzuni?
Unapo tenda dhambi huku Roho Mtakatifu akiwa ndani yako kama alivyo fanya “Anania – Matendo ya Mitume 5:3-4” Unamhuzunisha Roho Mtakatifu maana yeye hujua yote na akuna siri ambayo haifahamu. Hii sifa ya kumhuzunisha Roho Mtakatifu ina pinga madai ya Mashahidi wa Yehova na inapinga madai ya Waislam yanayo kama Uungu wa Roho Mtakatifu.
ROHO MTAKATIFU HUTUOMBEA
Warumi 8:26-27 Bibilia Takatifu (SNT)=12pt26 Hali kadhalika Roho hutusaidia katika udhaifu wetu. Kwa sababu hatujui kuomba ipasavyo, lakini Roho mwenyewe hutuombea kwa uchungu usioelezeka kwa maneno. 27 Na Mungu ambaye ana chunguza mioyo yetu anafahamu mawazo ya Roho kwa maana Roho huwaombea watakatifu kufuatana na mapenzi ya Mungu.
Katika aya hapo juu, tumesoma kuwa, Roho Mtakatifu anatuombea na kutusaidia katika udhaifu wetu. Hii sifa ya upendo usio na kipimo ni ya Mungu peke yake. Zaidi ya hapo, tunasoma kuwa, Mungu anachunguza mioyo yetu kwa kupitia Roho Mtakatifu. Kumbe basi, Roho Mtakatifu anafahamu mapenzi ya Mungu kwako.
Hii sifa ya Roho Mtakatifu kuwa na uwezo wa kufahamu nini Mungu anawaza inamfanya Roho Mtakatifu na yeye awe Mungu. Hakuna mwenye uwezo wa kufahamu mawazo ya Mungu, isipokuwa Mungu.
ROHO MTAKATIFU HUFANYA MAAMUZI YAKE
Roho mtakatifu hufanya maamuzi kutokana na mapenzi yake mwenyewe (Wakorintho wa kwanza 12:7-11). =12pt1 Wakorintho 12:7-11=12ptNeno: Bibilia Takatifu (SNT)=12pt7 Roho Mtakatifu hudhi hirishwa kwa kila mtu kwa faida ya wote. 8 Maana mtu mmoja hupewa neno la hekima na huyo Roho, na mwingine hupewa neno la ufahamu kutoka kwa Roho huyo huyo. 9 Mtu mwingine hupewa imani na huyo Roho na mwingine karama za kuponya. 10 Huyo huyo Roho humpa mwingine uwezo wa kufanya miujiza, mwin gine unabii, mwingine uwezo wa kutofautisha kati ya roho mbalim bali, mwingine aina za lugha na mwingine uwezo wa kutafsiri lugha. 11 Lakini ni Roho huyo huyo mmoja anayefanya haya yote, naye hugawa karama kwa kila mtu, kama yeye mwenyewe apendavyo.
Katika Wakorintho wa kwanza hapo juu, tumesoma kuwa, Roho Mtakatifu ndie anaye toa zawadi/karama ya hekima, ufahamu, imani, kuponya, miujiza, unabii, nk. Hii sifa ya kutoa hizi Karama ni ya Mungu, lakini hapa kwenye Wakorintho tumesoma na kugundua kuwa, Kumbe Roho Mtakatifu ndie anaye toa hizi karama za Mungu. Hivyo basi, kwa kuwa Roho Mtakatifu ndie anaye toa hizi karama za Mungu, hufanya hivyo kwa kuwa yeye ni Mungu na hizo karama ni zake.
ROHO MTAKATIFU ANAFAHAMU MAMBO YOTE
Kama ambavyo Mungu anafahamu mambo yote na anaweza yote, vivyohivyo Roho mtakatifu ni Mungu na anauwezo wa huohuo wa kufahamu yote. Kama Mungu, Roho mtakatifu anaweza kufanya kazi ya msaidizi na mshauri kama vile Yesu kristo aliyevyoahidi kuwa atakuja kufanya (Yohana 14:16,26; 15:26). Yohana 14:26 Neno: Bibilia Takatifu (SNT) 26 Lakini yule Msaidizi, yaani Roho Mtakatifu, ambaye Baba yangu atamtuma kwenu kwa jina langu, atawafundisha mambo yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia.
Katika Yohana hapo juu, tunajifunza kuwa, Roho Mtakatifu yupo nasi kila siku na anaishi ndani yetu. Huu uwezo wa kuishi ndani yetu na kuwa kila mahali, na kufahamu yote ambayo Yesu aliyo tuambia na kutukumbusha, huu uwezo ni wa Mungu na unamfanya Roho Mtakatifu kuwa Mungu.
HITIMISHO
Roho Mtakatifuni Mungu, mwenye nguvu zote, maarifa yote, anayepatikana kila mahali. Yeye pia anayo nafsi na kwa hiari yake ameamua kuishi ndani ya mwili wa mwanadamu kwa kuzingatia mgawanyo wa majukumu waliyokubaliana yaani nafsi ya Mungu Baba, Mungu Mwana(Yesu) na Mungu Roho Mtakatifu.
Kazi/lengo kubwa la ujio wake ni kuwa Msaidizi wa mwanadamu kwenye ulimwengu huu wa mwili, ili kumsaidia kuishi katika mapenzi ya Mungu.
Katika huduma yake Max Shimba Ministries
@February 10, 2015
New York, NY 10019

MBINGUNI, PEPONI, KUZIMU NA JEHANNAM NI WAPI?




Mpendwa mmoja aliniuliza maswali yafuatayo ambayo nimeona ni muhimu niyajibu kama Makala fupi kwa ajili hata ya faida ya watu wengine wenye maswali kama haya:


Swali la 1: Hivi watu wakifa, roho zao zinakuwa wapi hasa?
Swali la 2: Roho hizo zinakuwa katika hali gani hasa?



WATU WAKIFA, ROHO ZAO ZINAKUWA WAPI?


Biblia inasema kuhusu Bwana Yesu kuwa:

Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina; ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; (Wafilipi 2:9-10).


Kulingana na mstari huu, tunagundua kuwa kuna sehemu kuu tatu:
                                                 Mbinguni
                                                 Duniani
                                                 Chini ya nchi


Mbinguni ni mahali aliko Mungu; duniani ni mahali tuliko sisi wanadamu tulio hai; na chini ya nchi ni mahali aliko ibilisi.


Tangu nyakati za Adamu kulikuwapo wanadamu wema na waovu. Wanadamu wema walikufa na waovu nao walikufa. Swali ni kuwa, je, walipokufa walienda wapi?


Mwinjilisti Luka anatupatia picha nzuri kutokana na kisa alichosimulia Bwana Yesu juu ya tajiri na Lazaro. Tunasoma katika Luke 16:22-26:


22 Ikawa yule maskini alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa.


23 Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa katika mateso, akamwona Ibrahimu kwa mbali, na Lazaro kifuani mwake.


24 Akalia, akasema, Ee baba Ibrahimu, nihurumie, umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu.


25 Ibrahimu akasema, Mwanangu, kumbuka ya kwamba wewe uliyapokea mambo mema yako katika maisha yako, na Lazaro vivyo alipata mabaya; na sasa yeye yupo hapa anafarijiwa, na wewe unaumizwa.


26 Na zaidi ya hayo, kati yetu sisi na ninyi kumewekwa shimo kubwa, ili wale watakao kutoka huku kwenda kwenu wasiweze; wala watu wa kwenu wasivuke kuja kwetu.


Tunachoona hapani kuwa Lazaro alikuwa ni mwenye haki kama Ibrahimu na tajiri alikuwa ni asiye na haki. Hawa walikaa sehemu mbili tofauti, maana zilitenganishwa na bonde. Sehemu hizi zote mbili zilikuwa chini ya nchi.


Kabla ya Yesu kufa, wanadamu wote walipokufa walienda chini ya nchi. Na huko kulikuwa na sehemu mbili – kwa shetani na kifuani mwa Ibrahimu. Katika habari hii ya tajiri na Lazaro – ambayo ilitokea zamani sana hata kabla ya Musa, Bwana Yesu anatuonyesha kuwa tajiri alikuwa kwenye mateso; na Lazaro alikuwa penye raha.


Lakini mtu anaweza kusema hivi, “Huoni kuwa tajiri aliinua macho yake? Je, hii si ishara kuwa Lazaro na Ibrahimu walikuwa mbinguni?

Tuesday, September 27, 2016

IMAMU AMBAKA MVULANA WA MIAKA 11 NA KUMLAUMU SHETANI




Imamu mwenye tabia mbaya wa Msikiti wa Rugby alimbaka mvulana mdogo wakati akimfudsha Quran ndani ya Msikiti na kukimbia nchi.
Imamu Noor Walile (miaka 38) ambaye alikuwa anafanya kazi kwenye huo msikiti, moja ya majukumu yake ilikuwa ni kufundisha Quran kwa watoto wadogo.
Mvulana (Jina limeifadhiwa) alisema kuwa siku ya tukio alikwenda Msikitini kusoma Quran lakini alipo fika Msikitini Imamu Walile alimnyemelea nyuma na kumbaka na kumsababisha maumivu makali.

MSIKITI WALIPULIWA NA BOMU UJERUMANI




Ulinzi umeongezwa katika Mji wa Dresden Ujerumani baada ya Mabomu maliwili kulipuka Msikitini na kwenye ukumbi wa mikutano.
Habari zinasema kuwa hakuna aliye umia kutokana na milipuko hiyo ambayo inasadikika kuwa ni Mabomu ya kutengeneza nyumbani.
Mabomu haya yanakuja baada ya Mwisho wa wiki ujao ni sikukuu ya umoja nchini Ujerumani ambayo Chancellor Angela Merkel anategemea kuhudhuria. Maadhimisho hayo ni ya miaka 26 ya umoja wa Ujerumani Mashariki na Magharibi.

MUHAMMAD ANAMPENDA SHETANI MPAKA AKAAMUA KUMSILIMISHA


Ndugu zanguni,
Leo nawaletea ushahidi mwingine wa mapenzi ya Muhammad na Shetani ambaye alisilimu na kuwa Muislam. Hebu ungana nami moja kwa moja.
Ni bahati mbaya kwamba Adamu Hawa hawakufanikiwa kufanya jitihada za kumwezesha shetani na wanae kuuomba msamaha kwa mwenyezi Mungu na kuwa Waislamu, ni mtume Muhammad tu ndiye aliyemsilimisha shetani akawa muislamu… (KITABU CHA ASILI YA MAJINI UK 20)
Sasa Ikiwa shetani ni muislamu, na sisi tunajua kuwa shetani yeye ndiye adui yetu namba moja ambaye sisi hatupaswi kushirikiana nae,
Yakobo 4:7 Basi mtiini Mungu. Mpingeni shetani, nae atawakimbia.
Sasa iweje tena tumfuate shetani katika uislamu? Kwa kuwa shetani ambaye aliwadanganya Adamu na Hawa.
Kwanini tuifuate dini ambayo ina mapenzi na Shetani?
KUMBE NDIO MAANA SHETANI AKAWEKA AYA ZA SHETANI KWENYE QURAN.
KUMBE SHETANI NI RAFIKI YA MUHAMMAD NA NI MUISLAMU. HUU NI MSIBA KWA WAISLAM

Monday, September 26, 2016

YESU NDIYE ATAKAYE HUKUMU WAISLAMU WOTE PAMOJA NA MUHAMMAD, MAJINI, NA ALLAH



Nani atakuhukumu walimwengu wote?
Biblia inakujibu kuwa Yesu ndie atakaye hukumu walimwengu wote, ikimaanisha Muhammad, Allah, Waislam wote, Majini yote yatahukumiwa na Yesu.
(Zaburi 58:11 ), ‘Hakika yuko Mungu anayetawala katika dunia“. (Ufunuo 18;8 ) “Kwasababu hiyo, mapigo yake yatakuja katika siku moja, mauti na huzuni na njaa naye atateketeza kabisa kwa moto. Kwa maana Bwana Mungu aliyemhukumu ni mwenye nguvu“. Tene ndiye atakaye ihukumu Dunia yote “Tena Baba hamhukumu mtu ye yote,bali amempa Mwana (YESU) hukumu yote“.
(Mathayo 25:31-32 ) “Hapo atakapokuja Mwana wa Adamu (YESU) katika utukufu wake, na malaika watakatifu wote pamoja naye, ndipo atakapoketi katika kiti cha utukufu wake. Na mataifa yote yatakusanyika mbele zake,naye atawabagua kama vile mchungaji abaguavyo kondoo na mbuzi”.
(Matendo 10:42 ) “Akatuagiza tuwahubiri watu na kushuhudiaya kuwa huyu ndiye (Yesu) aliyeamriwa na Mungu awe mhukumu wa wahai na wafu” ( WARUMI 2:16 ) “Katika siku ile Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu,sawasawa na injili yangu,kwa Kristo Yesu“. (2 Timotheo 4:1 ) “Nakuagiza mmbele za Mungu,na mbele za Kristo Yesu, atakayewahukumu waliohai na waliokufa; kwa kufunuliwa kwake na kwa ufalme wake’.
Sasa kwanini suimpokee Yesu ambaye atakuhumu maisha yako/ Kumbuka, HAKIMU NI YESU NA SIO ALLAH, AU MUHAMMAD.
Karibu kwa Yesu
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo

An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance

  Title: An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance Au...

TRENDING NOW