Tuesday, September 27, 2016

MSIKITI WALIPULIWA NA BOMU UJERUMANI




Ulinzi umeongezwa katika Mji wa Dresden Ujerumani baada ya Mabomu maliwili kulipuka Msikitini na kwenye ukumbi wa mikutano.
Habari zinasema kuwa hakuna aliye umia kutokana na milipuko hiyo ambayo inasadikika kuwa ni Mabomu ya kutengeneza nyumbani.
Mabomu haya yanakuja baada ya Mwisho wa wiki ujao ni sikukuu ya umoja nchini Ujerumani ambayo Chancellor Angela Merkel anategemea kuhudhuria. Maadhimisho hayo ni ya miaka 26 ya umoja wa Ujerumani Mashariki na Magharibi.

No comments:

Why I Left Islam for Christianity: The Transformational Journey of Abou Hamza Hussain

  **Why I Left Islam for Christianity: The Transformational Journey of Abou Hamza Hussain**   My name is Abou Hamza Hussain. I was born in K...

TRENDING NOW