Wednesday, March 28, 2018

African Priest Murdered by Muslim 'Rebels'…

Priest̢۪s death shows fragility of peace in Central African Republic

Cardinal Dieudonne Nzapalainga of Bangui, Central African Republic, joined Imam Omar Kobine Layama, March 26 in denouncing the recent death of a priest who died March 21 after being shot during an attack at his parish in Seko. Nzapalainga and Layama are pictured in a 2014 combination photo. (Credit: Tyler Orsburn/CNS.)

NAIROBI, Kenya - The recent death of a Catholic priest in the Central African Republic demonstrates the delicate nature of peace in the country, where a cardinal and an imam have worked to bring the population toward peace and unity.
Father Joseph Desire Angbabata, parish priest at St. Charles Lwanga Church in Seko in the southern Diocese of Bambari, died March 21 after he was shot during an attack at the parish.
Rebels shot the 48-year-old priest as he intervened to protect refugees camped at the church compound. Such attacks pose risks to Catholic clergy who step up to protect people forced to flee violence in the troubled country.
Two forces - the Christian-dominated Anti-Balaka and the rebel Seleka, led by Arab-speaking Islamists - have clashed in the mineral-rich area for years.
The attack on the parish occurred March 20 and lasted about 24 hours, leaving an unknown number of civilians dead. The victims were buried in a mass grave, according to reports.
Cardinal Dieudone Nzapalainga of Bangui joined Imam Omar Kobine Layama March 26 in denouncing the priest’s killing.
“We strongly condemn these acts. The men of God have the task of announcing the path of peace and reconciliation,” Fides News Agency quoted the two leaders as saying.
The two religious leaders have united to steer a fragile peace effort in the country, where Christians make up about 80 percent of the population and Muslims about 15 percent.
The country has experienced instability since 2013, when Seleka forces overthrew the government. French and African peacekeepers were deployed in January 2014 and drove the rebels from the capital, Bangui.
With a newly elected government unable to move beyond Bangui, armed groups and militias have taken control of more than 70 percent of the country.
Thousands of civilians have been uprooted from their homes, and now more than half of the population need humanitarian aid to survive. Some of the displaced civilians, including Muslims, found refuge in the St. Charles Lwanga Church compound.
The conflict is fueled by the desire to control access to key minerals for a variety of consumer products.
“We keep on repeating that the crisis in our country is an economic struggle about the exploitation of our natural resources,” Bishop Nestor-Desire Nongo-Aziagbia of Bossangao said in a recent interview.
The United Nations Multidimensional Integrated Stabilization Mission has been deployed in the country, but religious leaders are concerned those forces have failed to protect civilians from attacks by militias and armed groups.
Source cruxnow.com

KWANINI MUHAMMAD ALIOA MTOTO WA SHANGAZI YAKE?


Bibi Zainab bint Jahash (r.a.) alikuwa ni binti wa shangazi yake Mtume [s]. Bibi huyu aliolewa na Bwana Zaid bin Haritha kwa mapendekezo ya Mtume [s]. Bwana Zaidi bin Haritha (r.a.) alikuwa huria wa Mtume [s] na akamfanya mwanawe wa kulea. Ndoa hii ilifungwa kwa ajili ya kuondoa ubaguzi kati ya watumwa maskini na kusisitiza usawa na udugu wa Waislamu, kwa kuwa Bibi Zainab (r.a.) alitoka katika ukoo wa Bwana Abdul-Muttalib [a] babu yake Mtume [s] na mtemi wa Waquraishi, ambapo Bwana Zaid (r. a.) alikuwa mtumwa huria wa Mtume [s].

Kwa bahati mbaya, kwa sababu ya majivuno ya Bibi Zainab (r.a.) kuhusu ubora wa familia yake, Bwana Zaid hakuweza kuishi na mke huyo, ingawaje Mtume [s] aliwasihi ndoa yao iendelee.

Tofauti hizo zilizaa talaka. Wakati huo, mtindo wa watoto wa kulea ulikuwa umekatazwa na Mwenyezi Mungu (Qur'ani 33:45). Kwa hiyo, Bwana Zaid (r.a.) alipomtaliki Bibi Zainab (r.a.), Mtume wa Islamu [s] (Qur'ani 33:37) alimuoa Bibi Zainab (r.a.), na hivyo basi aliiulia mbali imani iliyokuwepo isemeyo kuwa watoto wa kulea walikuwa sawa na watoto wa kuzaa na kuwa wake au wajane wa watoto wa kulea walikuwa sawa na wakawana wa watoto wa kuzaa.

Yaani Muhammad kaoa mtoto wa Shangazi yake na mtalaka wa rafiki yake Bwana Zaidi. Kumbe Muhammad alikuwa anamtamani mke wa rafiki yae.

MSIBA HUU

Shalom



Image result for muhammad married zainab

JE, INJILI YA MAFANIKIO NI YA KIBIBLIA?

Image result for prosperity gospel


Biblia inataja maskini zaidi ya mara 245 na hii inaonesha jinsi Mungu alivyo na mengi ya kusema kuhusu umaskini. Suala hili lipo karibu na moyo wake na kamwe hautaji umaskani kama baraka, wala utukufu, au jambo la kufurahiwa, kinyume chake Biblia inasema ni laana.

Mimi Ninaamini Katika INJILI YA MAFANIKIO Maana BIBLIA imesema wazi ya kwamba INJILI YA YESU inatuingiza kwenye FAMILIA YA MUNGU ALIYEFANIKIWA, na Yesu alikuwa maskini kwa ajili yangu ili nami nipate kuwa tajiri kwa umaskini wake.

Hakuna mwanadamu hapa chini ya jua asiyetaka mafanikio ya kimwili! Hakuna mwanadamu asiyetamani kumiliki majumba, magari, fedha na kila aina ya mali ambayo Mungu aweza kumjalia. 

Kristo Yesu alikuwa masikini ili sisi tuwe matajiri 2 Wakorintho 8:9 "Maana mmejua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo, jinsi alivyokuwa maskini kwa ajili yenu, ingawa alikuwa tajiri, ili kwamba ninyi mpate kuwa matajiri kwa umaskini wake"

Neno Ijili likiwa na maana ya HABARI NJEMA, linathibitisha moja kwa moja kuwa, INJILI YA MAFANIKIO ni ya Kibilia maana habari NJEMA KWA MASKINI NI KUTOA UMASKINI WAKE, kama ilivyo habari njema kwa mgonjwa ni kupona.

Sasa mpendwa, kwanini unapinga HABARI NJEMA huku kila siku unaenda kazini kufanya kazi au unafanya biashara ili upate mafanikio? Hata huyo Mchungaji wako anaye pinga hii INJILI iweje aombe fedha ambazo anadai ni za laana, tena analazimisha mtoe KIKUMI NA SADAKA? 

Kama INJILI YA MAFANIKIO ni mbaya na inaendana kinyume na Biblia, kwanini Mungu huyohuyo anawataka wafuasi wake watoe KIKUMI NA SADAKA kutoka fedha unazo ziita wewe za LAANA? Nabii Hosea anakwambia "Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa."(Hosea 4:6)

UTHIBITISHO:

Wafilipi 4:19 "Na Mungu wangu atawajazeni kila mnachokihitaji kwa kadri ya utajiri wake, katika utukufu, ndani ya Kristo Yesu".

Waumini ambao huwapa maskini kwa hiari watabarikiwa na Mungu, lakini utawezaje kumsaidia maskini wakati unapinga vikali INJILI YA MAFANIKIO? "Amhurumiaye masikini humkopesha Bwana,/naye atamlipa kwa tendo lake jema" (Methali 19:17). Baraka hizi za kimungu zinaweza kuwa za kiroho badala ya vifaa, lakini malipo ni ya uhakika-kutoa kwa maskini ni uwekezaji wa milele.

“Tajiri humtawala maskini, Naye akopaye ni mtumwa wake akopeshaye.” MITHALI 22:7

Mtu aliyeokoka anatakiwa we ana mali huku anamcha Bwana, mtazamo wa dunia ni kwamba wenye mali hao hawajaokoka nawasiona mali ndio wameokoka.

“Naye Abramu alikuwa ni tajiri sana kwa mifugo, kwa fedha, na kwa dhahabu.” MWANZO 13:2

“Palikuwa na mtu katika nchi ya Usi, jina lake alikuwa akiitwa Ayubu; mtu huyo alikuwa mkamilifu na mwelekevu, ni mmoja aliyemcha Mungu, na kuepukana na uovu. Kisha walizaliwa kwake wana saba, na binti watatu. Mali yake nayo yalikuwa ni kondoo elfu saba, na ngamia elfu tatu, na jozi za ng’ombe mia tano, na punda wake mia tano, na watu wa nyumbani wengi sana; basi hivi mtu huyo alikuwa ni mkuu sana kuliko watu wote wa upande wa mashariki.” AYUBU 1:1-

Zamani kwenye agano la kale watu wa Mungu walitambulika kwa utajiri wao. Shetani hatishwi na masikini sababu anajua hana madhara na kazi zake na mfumo wa dunia umetengeneza mfumo watu wenye dhambi wazidi kuwa matajiri halafu sisi tulio wa Mungu tuendelee kuwa masikini.

“Nami nitakupa hazina za gizani, na mali zilizofichwa za mahali pa siri, upate kujua ya kuwa mimi ni Bwana, nikuitaye kwa jina lako, naam, Mungu wa Israeli.” Isaya 45:3

Unatakiwa ufute kwenye akili yako kwamba kuwa na mali ni mpaka uwe hujaokoka. 

Shalom

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu na Mwokozi wetu. Tito 2:13





Watch: Saudi Muslims drink camel urine because Western medicines are "haram"

People are drinking CAMEL PISS because it might be good for you... No thanks, we'll stick to water. 
In Saudi Arabia everything that is considered Western is "haram" and all the time clerics are issuing religious rulings to prevent Western influences in Saudi Arabia. 
They believe it can cure diseases and mental illnesses because the Prophet Muhammad said so. 
Please write in the comments below: What do you think about this?
Here's why sharia law should be banned in the West. 
Under Sharia law a woman is considered half of a man, when a woman attests to a Sharia court in countries like Saudi Arabia or Iran, she should bring at least 4 men who support her testimony. 
So in most cases of rape a woman can not prove that she was raped and the court can sentence her to death for adultery, that is what happened to Suraya Menuchari who was stoned to death in Iran on false charges of adultery. 

Under Shari'a laws in the Arab world, almost 90% of women underwent FGM. 
The practice of FGM is banned in most Western countries but some Muslim immigrants are ignoring the law and practicing FGM even in the UK and US. 

Under Sharia law girls can marry at the age of 6, just like the Prophet Muhammad from the Koran did when he married Aisha. 
In Muslim countries like Yemen and Iran, girls are considered "adult" and being sold into forced marriages with grown men by their families. 
There are even some cases of child marriages in Australia and Britain when immigrants brought this tradition into the West. 

According to the Sharia laws An honor killing is the homicide of a member of a family, due to the perpetrators' belief that the victim has brought shame or dishonor upon the family.
Shari'a honor killing is very common in the Muslim world, but it also happens in the West, in countries such as Britain, the United States and even the Netherlands. 
According to the British media there are 12 honour killings in the UK each year. 

Human rights organizations in the Western world are turning a blind eye to the brutal violation of human rights in the Muslim world under Sharia law. 
Sharia law should be banned in the Western world. 
Share this post if you think Sharia law should be banned in the West. 

Liberals and leftists in the West use the made up term "Islamophobia" to portray anyone who criticizes Islam as a "racist". 
They ignore the fact that Islam is an ideology that has nothing to do with race. 
There is an attempt in the West to impose a sharia-blasphemy law to criminalize criticism of Islam. 
It started when Saudi Arabia and Muslim countries tried to pass a UN resolution to force Western states to criminalize criticism of Islam. 
Even The Parliament in Canada passed "Motion M-103" to condemn the so-called "Islamophobia (Fear of Islam)" in a preparation for a blasphemy law in Canada. 
According to the sharia blasphemy law anyone who criticizes Islam or the Prophet Muhammad should be killed. 
Under Sharia blasphemy law in Saudi Arabia and Iran Muslims are executed if they are accused of blasphemy. 
In Pakistan, the situation is even worse, radical Muslims use the blasphemy law to persecute the Christian minority. 
Is this the law the liberals in the West want to adopt? 
If you think Sharia blasphemy law has no place in the West, share this post!

KWANINI NI MUHIMU KWA MKRISTO KUNENA KWA LUGHA - NDIMI?



Kunena katika ndimi. Matendo ya Mitume 2:


Wakati mtu anaponena kwa lugha, akili na ufahamu hupumzika.


Roho Mtakatifu anatumia kinywa cha mtu tu, sio bongo au akili ya mtu.


Usemi ni ya kiroho


Kuna aina nyingi za kunena kwa lugha. ( Lugha mbali mbali )


UNAJUA KUSUDI LA KUNENA KWA LUGHA?

1. Ni dhihirisho ya kiroho ya kubatizwa katika Roho Mtakatifu ( Matendo ya Mitume 10:46)


Ili mwanadamu aweze kuwasiliana na Mungu Kiroho. ( 1 Wakorintho 14: 2 )

Ili waumini wamtukuze Mungu. ( Matendo ya Mitume 10:46)

Ili itubariki sisi wenye. ( 1 Wakorintho 14:39)

Ili itubariki katika nyimbo katika Roho. ( Wakolosai 3:16)

Ili roho zetu, mbali na mawaso yetu, iweze kuomba. ( 1 Wakorintho 14:14)

Kwamba pamoja na kutafsiriwa kwa lugha, kanisa iweze kuinuliwa. ( 1 Wakorintho 14:12,13,5,26.)

Ndimi ni kama ishara kwa wale wasio amini. ( 1 Wakorintho 14:22)

KUTASFIRI LUGHA-NDIMI

Kutafsiri lugha ni katika hali ya kiroho, usemi wa kiajabu.


Inahusika hasa na kunena kwa lugha.


Kuna mashauri machache kuhusu maswali ambayo mara kwa mara inaulizwa:


Kutafsiri ndimi sio sawa na kutafsiri lugha moja hadi lingine. Kutafsiri lugha fulani ni kutafsiri neno kwa neno bali kutafsiri ndimi ni kutoa maana.

Kutafsiri ndimi yaweza kuwa kupitia picha, maelezo ama kinaganaga.


2. Asili, vipawa vya kiasili, na elimu na pia utaifa wa mwenye kutafsiri ita adhiri utafsiri bali kipawa sio kwa ajili hiyo ila kwa miujiza.


Wale ambao hunena kwa ndimi ni bora waombe kwa ajili ya kipawa hiki cha kutafsiri. ( 1 Wakorinto 14:13)

Mtu asitafsiri. ( 1 Wakorinto 14:27)

Kutoa ujumbe kwa lugha mengine na kujitafsiria yaweza kujizoeza.

Andiko yatueleza tusitoe zaidi ya ujumbe tatu katika mkutano moja. ( 1 Wakorinto 14:27 )

Shalom

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu na Mwokozi wetu. Tito 2:13

UNAMJUA MNYAMA NA NABII WA UONGO ALIYE TABIRIWA KWENYE UFUNUO?


Nabii wa uongo wa nyakati za mwisho ameelezwa katika Ufunuo 13: 11-15. Yeye pia hujulikana kama "mnyama wa pili" (Ufunuo 16:13, 19:20, 20:10).

Ufunuo 13,11-17 - Kisha nikaona mnyama mwingine akipanda juu kutoka katika nchi alikuwa na pembe mbili kama mwana-kondoo lakini aliongea kama joka. Hubeba nguvu zote za mnyama wa kwanza mbele yake na kuwa nchi na watu wake kuabudu mnyama wa kwanza, ambaye jeraha la kifo lililokuwa limepona. Anafanya maajabu makubwa, ina hata mbele ya watu moto ukashuka kutoka mbinguni na duniani. Mambo haya ya ajabu, ilikuwa ni kutokana na kuchukua mbele ya mnyama, zidanganyazo wale wanaoishi duniani. Anasema wakazi wa nchi na kuunda sanamu ya mnyama, aliyekuwa na jeraha la upanga, lakini akafufuka.

Hali ya mnyama - nguvu Hii ni kikubwa tofauti na mnyama kutoka baharini. Siyo wa dini sana. Ibada si kwa madhumuni yake (Ufunuo 13,12.15). Kinyume chake, inaelezwa kama nguvu ya kiuchumi - huathiri kununua na kuuza (Ufunuo 13.17), na nguvu ya kisiasa - inaweza kuuwa (Ufunuo 13.15).

Hivyo basi, Mnyama na Nabii wa uongo watauongoza mfumo wa mwisho wa kidini-na-kiselikali wenye nguvu ulioonyeshwa kwenye Ufunuo 17 na 18, ambao Kristo ataupondaponda na kuchukua mahala pake katika Kurudi Kwake. Ufunuo 16:13-14 huelezea roho za mashetani kama zikiwa na nguvu ya “kufanya miujiza” kupitia mfumo huu. Mnyama akiwa ndiye kiungo kikuu cha mfumo huu, atakuwa mtu mkuu atawalaye ulimwengu.

Kazi za Nabii wa uongo ni zipi?

Nabii wa uongo naye, ataongoza ulimwengu kumwabudu mnyama kama Mungu (Ufunuo 16:2; 19:20)! Udanganyifu huu utaenea sana (18:3)—kwa ukamilifu—kiasi kwamba watawadanganya wanadamu wote kufikia kupigana na Kristo katika Kuja Kwake Mara ya Pili (16:9, 13-16; 17:13-14)!

UTHIBITISHO:
Sasa angalia 2 Wathesalonike 2:3-4 na 8. Fungu la 3 humrejelea yule anayeitwa “mtu wa kuasi” na “mwana wa uharibifu; yule mpingamizi, ajiinuaye nafsi yake juu ya kila kiitwacho Mungu ama kuabudiwa; hata yeye mwenyewe kuketi katika hekalu la Mungu, akijionyesha nafsi yake kana kwamba yeye ndiye Mungu.” Nabii wa uongo naye pia hudai kwamba ni Mungu.

UTHIBITISHO:
Linganisha hiki na Ezekieli 28:2 na kielelezo cha “mfalme wa Tiro”—mwanadamu. Ezekieli aliandika kwamba “mfalme” huyu husema “Mimi ni Mungu, naketi katika kiti cha Mungu,” 2 Wathesalonike 2:8 humwelezea huyu “mtu wa kuasi” kama “[yule] mwovu” ambaye “atafunuliwa” namna vile alivyo wakati Kristo anaporudi na kumwangamiza pamoja na mnyama katika ziwa la moto (Ufu. 19:20). Isaya 14:4 humrejelea nabii wa uongo kama “Mfalme wa Babeli.” Huyu ndiye yule yule “Mfalme wa Tiro,”

Ukiendelea katika 2 Wathesalonike 2, fungu la 9 hutoa kauli ya kushangaza juu ya nabii wa uongo. Inasema kwamba “kuja kwake ni kwa mfano wa kutenda kwake Shetani, kwa uwezo wote, na ishara na ajabu za uongo.” Fungu la kumi huonyesha kwamba anaweza kumdanganya kila mmoja “asiyependa kweli.” Fungu la 11 hufunua kwamba Mungu ataleta “nguvu ya upotevu” kwa wote ambao kwa utashi wao huamini uongo wake.

Viongozi wa mfumo huu mkuu wa uongo watakuwa wamepagawa moja kwa moja na shetani! Hali hii itampatia nabii wa uongo nguvu nyingi sana za kudanganya na kutenda miujiza. Shetani, ambaye wakati wote ametamani kumpindua Mungu na kuchukua mahali pake, atanena kupitia mtu huyu ambaye ni kiongozi wa kidini na kuutangazia ulimwengu wote kwamba, hakika yeye ni, MUNGU! Onyo hili la Biblia halina utata. Miujiza atakayotenda itawadanganya walio wengi sana miongoni mwa watu!

Ufunuo 19:20 Yule mnyama akakamatwa, na yule nabii wa uongo pamoja naye, yeye aliyezifanya hizo ishara mbele yake, ambazo kwa hizo aliwadanganya watu wale walioipokea ile chapa ya huyo mnyama, nao walioisujudia sanamu yake; hao wawili wakatupwa wangali hai katika lile ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti;

Shalom,

Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu na mwokozi wetu. Tito 2:13

KWANINI MUNGU ALIMRUHUSU LUCIFER/SHETANI KUTENDA DHAMBI?



Hili ni swali la kutatanisha na kutetemesha akili.

Shetani Alitoka Wapi? Lakini je wakati wote amekuwa shetani? Wakati wote amekuwa yule mwovu, muuaji, mwongo, mkuu wa giza mharabu? Je aliumbwa jinsi hiyo?

Maswali haya yanahitaji ufafanuzi. Yale ambayo utayasoma yatakusaidia uione picha kamili.

Mwanzoni Mungu aliumba Makerubi watatu: Lusifa au Nyota ya Alfajiri (aliyegeuka kuwa Shetani), Mikaeli na Gabrieli. Kila mmoja alitawala theluthi ya mamia ya mamilioni ya malaika (Ufunuo 5:11). Nyota ya Alfajiri na theluthi yake walitawala ulimwengu uliokuwa kabla ya Adamu. Yeye, pamoja na Malaika zake, waliasi serikali ya Mungu, na leo anawaongoza malaika hawa walioanguka, au mapepo, kama mungu wa dunia hii.

Nyota ya alfajiri (Lucifer) alikuwa ni kiumbe mwenye akili sana—“malaika wa nuru,” kama walivyo “watumishi wake” (2 Korintho 11:13-15). Jina Nyota ya alfajiri lina maana ya “mwenye kuleta nuru.” Kiumbe huyu aliyekuwa mkamilifu hapo awali alileta nuru ing’arayo kwa wote waliokuwa wakimzunguka. Lakini aliasi na kutenda dhambi—na hivyo kuwa “mkuu wa giza.” Uasi wake ukamgeuza kuwa kiumbe aliyepinda, aliyepotoka. Japokuwa ni mwenye akili nyingi, kwa hakika amekuwa malaika kichaa aliyeanguka, asiyejua kutofautisha jema na baya!

Je, Mungu Aliumba Shetani? na:

“Mungu alimweka kerubi mkuu, Nyota ya alfajiri, lakini Nyota ya alfajiri yaani Lucifer alikataa kutekeleza mapenzi ya Mungu, amri za Mungu, serikali ya Mungu. Alitaka kuibadili na iwe yakwake mwenyewe. Hivyo akajiondolea sifa yeye mwenyewe.

Wakati Biblia haitoi maelezo mengi kuhusu uasi wa Shetani na malaika walioanguka, inaonekana kwamba Lucifer kama Kerubi wa malaika (Ezekieli 28:12-18 ) - katika kiburi aliamua kuasi dhidi ya Mungu ili kutafuta kuwa mungu wake mwenyewe. Shetani (Ibilisi) hakutaka kuabudu au kumtii Mungu; alitaka kuwa Mungu (Isaya 14:12-14). Ufunuo 12:4 inaeleweka kuwa maelezo ya kimfano ya thuluthi moja ya malaika kuchagua kufuata shetani katika maasi yake, kuwa malaika walioanguka - mapepo.

Tofauti na binadamu, hata hivyo, uchaguzi malaika waliamuwa na kumfuata Shetani au kubaki waaminifu kwa Mungu ni uchaguzi wa milele. Biblia haitoi nafasi kwa malaika walioanguka ya kutubu na kusamehewa. Wala Biblia haionyeshi kwamba kuna uwezekano zaidi wa malaika kutenda dhambi. Malaika ambao hubaki waaminifu kwa Mungu wameelezwa kuwa "malaika wateule" (1 Timotheo 5:21). Shetani na malaika walioanguka walimjua Mungu katika utukufu wake wote. Wao kuasi, licha yao kujua kuhusu Mungu, ulikuwa uovu mkubwa. Matokeo yake, Mungu hawapi Shetani na malaika wengine walioanguka nafasi ya kutubu. Zaidi ya hayo, Biblia haitupi sababu kuwa wengeamini na kutubu hata kama Mungu angewapa nafasi (1 Petro 5:8). Mungu aliwapa Shetani na malaika uchaguzi huo aliowapa Adamu na Hawa, wa kumtii au kuasi. Malaika walikuwa na uhuru wa uchaguzi wa kufanya; Mungu hakuwalazimisha kwa nguvu au kuhimiza malaika yeyote kutenda dhambi. Shetani na malaika walioanguka walitenda dhambini kwa hiari yao wenyewe na kwa hiyo wanastahili hasira ya Mungu wa milele katika ziwa la moto.

Kwa nini Mungu alimpa malaika uchaguzi huu, wakati Yeye alijua matokeo yake itakuwa namna?

Mungu alijua kwamba theluthi moja ya Malaika wataasi na kwa hiyo kulaaniwa kwa moto wa milele. Pia Mungu alijua kwamba Shetani atazidisha uasi wake zaidi na kumjaribu binadamu katika dhambi. Kwa hivyo, ni kwa nini Mungu alirumhusu? Biblia inatuambia kuwa Mungu ametupa uhuru wa kuchagua. Mwandishi wa Zaburi anatuambia, "Kama kwa Mungu, njia yake ni kamilifu" (Zaburi 18:30). Kama njia za Mungu ni "kamili," basi tunaweza kuamini kwamba lolote afanyalo - na chochote Yeye anaruhusu - ni kamilifu pia. Hivyo mpango kamili kutoka kwa Mungu wetu mkamilifu ulikuwa wa kuruhusu uhuru wa kuchagua ambao Lucifer alichagua kutenda kinyume na mapenzi ya Mungui. Akili zetu si mawazo ya Mungu, wala ni njia zetu njia zake, kama Anavyotukumbusha katika Isaya 55:8-9.

Kwa hiyo Mungu HAKUUMBA ibilisi. Aliumba kerubi, Nyota ya alfajiri—mkamilifu katika njia zake, lakini akiwa na nguvu ya uchaguzi huru—na Nyota ya alfajiri alijigeuza mwenyewe akawa shetani kwa kuasi Serikali ya Mungu!

Shalom,

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu na Mwokozi wetu. Tito 2:13

An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance

  Title: An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance Au...

TRENDING NOW