Wednesday, November 16, 2016

UFARANSA YAFUNGA MISIKITI 2500 KWA KUHUSIKA NA UGAIDI


Ufaransa imefunga Misikiti 2500 yenye kufundisha chuki na kuchochea ugaidi.
Serikali ya Ufaransa imesema kuwa, hawata ruhusu chuki kufundishwa na Waislam wenye siasa kali. Hayo yalisemwa na Cazeneuve.
Tangazo hili lilitolewa baada ya Waziri Mkuu wa Ufaransa kuzuia misaada iliyo kuwa inaelekezwa kwenye hiyo Misikiti. Misaada hiyo ilikuwa inatoka nchi za Morocco, Algeria na Saudi Arabia.
Kwa habari kamili ingia hapa
.

No comments:

Why I Left Islam for Christianity: The Transformational Journey of Abou Hamza Hussain

  **Why I Left Islam for Christianity: The Transformational Journey of Abou Hamza Hussain**   My name is Abou Hamza Hussain. I was born in K...

TRENDING NOW