Thursday, November 17, 2016

UKIMWI "HIV/AIDS" WASHAMIRI ZANZIBAR


Utafiti uliofanywa na "AIDS CONTROL PROGRAM ZANZIBAR" unaonyesha kuwa asilimia 56.2 ya watu wanao ishi Unguja wameathirika na ugonjwa huu wa Ukimwi "HIV POSITIVE".
Zanzibar ni kisiwa chenye asilimia 100 Waislam na kinaongoza kwa wagonjwa na au kuwa na watu walio athirika na UKIMWI.
Bwana Hamad Haji alisema kuwa, takwimu zao zinaonyesha kuwa katika kila watu SITA waishio ZANZIBAR mmoja wao ameathirika na UKIMWI.
Utafiti zaidi unaonyesha kuwa, tabia ya watu hawa wa visiwani wa kuwa na wake wengi na kuwa na nyumba ndogo, ndio sababu kubwa inayo usambaza huu ugonjwa.
Kwa takwimu kamili na habri kamili ingia hapa: http://www.zac.or.tz/
Zanzibar is a gateway to the African continent and is also situated along a major corridor for drug trafficking. Around one in six PWID in Zanzibar is infected with HIV according to estimates, but some believe this figure may be higher.14 15 The tendency to have multiple partners, share needles, engage in 'flash-blood' practices and have unprotected sex, place drug users in Zanzibar at high risk of HIV infection.
Statistics on HIV/AIDS in Zanzibar indicate that increase of the deadly diseases is at alarming rate. The manager of AIDS control program in Zanzibar, Mr. Hamad Haji says that a survey conducted by his centre revealed that 56.2 percent of people living in Unguja urban district were HIV positive.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW