Monday, November 21, 2016

MAANA YA NAMBA 666? (SEHEMU YA PILI)


JE, ALLAH, MUHAMMAD, UISLAM NA QURAN NDIO 666?
ALLAH SASA ATEUA MTUME KWA WANYAMA = 666. KUMBE BASI ALLAH NA MUHAMMAD NA DINI YAKE NDIO 666
Ndugu Msomaji,
Katika kijaridi hiki, tutajifunza kuhusu Mnyama aliye semwa kwenye Kitabu cha Ufunuo, Biblia Takatifu.
KATIKA kitabu cha Ufunuo 13:18 ametabiriwa mnyama ambaye idadi ya herufi za jina lake itakuwa 666. Wataalamu wa Biblia (wanatheologia) wamekhitilafiana katika aya hiyo.
Kifungu kuu katika Biblia ambacho kinataja "alama ya mnyama" ni Ufunuo 13:15-18. Marejeo mengine yanaweza kupatikana katika Ufunuo 14: 9, 11, 15:2, 16:2, 19:20, na 20:4. Alama hii hutumika kama muhuri kwa wafuasi wa Mpinga Kristo na nabii wa uongo (msemaji wa Mpinga Kristo). Nabii wa uongo (mnyama wa pili) ndiye ambaye husababisha watu kuchukua alama hii. Alama hasa huwekwa katika mkono au paji la uso na sio kadi mtu atabeba.
Kabla ya kusema wazi ni nani kati ya hao ni "mnyama" mwenye namba "666", kwanza niweke sawa mambo mawili yafuatayo: Kwanza tujue kuwa kitabu cha Yohana ni kitabu cha unabii (ufunuo).
Mnyama - Ufunuo 13:1-18
Kila kitu kinatambulika kwa sifa zake na vitendo vyake. Jina pekee haliwezi kuthibitisha mtu au kitu. Kwani mara nyingi majina hufanana au hubadilishwa au kubadilika. Hivyo katika makala hii sitajihangaisha na utafiti wa majina kama hao wanatheolojia waliofilisika kielimu wanavyofanya. Hapa nitafafanua sifa zilizotajwa katika ufunuo ili kila msomaji mwenye akili zilizotulia aone mwenyewe ninani mnyama huyo.
Kwanza tujue "mnyama" huyu amepata kutoka wapi madaraka hayo makubwa. Kama inavyoeleweka, hadi sasa dunia iko chini ya miliki ya Shetani (Taz. Yohana 12:31, 16:11; 1 Yohana 5:19 nk). Hivyo naye mnyama amepewa mamlaka hayo na shetani, yaani "Joka". (Taz. Ufunuo 13:1-10, 12:7-9). Kwa hiyo "Mnyama" huyo ni Wakala wa Shetani duniani. Hivyo atafanya juhudi zote kinguvu, kiushawishi nk. ili wanadamu wamwasi Mwenyezi Mungu na wamtii Mkubwa wake (Shetani).
Sifa za Mnyama
(1) Atasifiwa, atatiiwa na kuogopwa na watu wote duniani. "...Dunia yote ikamstaajabia mnyama yule. Wakamsujudu yule joka (Shetani -kufanya maasi) kwa sababu alimpa huyo mnyama uwezo wake; nao wakamsujudu yule mnyama (yaani wakamtii na kumuogopa kupita kiasi), wakisema, ni nani afananaye na mnyama huyu?" (Ufunuo 13:3-4).
(2) Wakuu wa dola (Marais, Wafalme, Masultani nk.) wote watamtegemea yeye na kumpa mamlaka na nguvu zao za kidola. Hivyo watatawala kwa kufuata apendavyo "mnyama". Kwa hiyo watakuwa mawakala wa mnyama katika nchi zao. Kwa hiyo nao watakuwa mawakala wa "Joka" (Shetani). "... Na zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme (watawala) kumi, ambao hawajapokea ufalme bado, lakini wapokea mamlaka kama wafalme muda wa saa moja pamoja na yule mnyama. Hawa wana shauri moja, nao wampa yule mnyama nguvu zao na mamlaka yao: (Ufunuo 17:12-13).
ALLAH ATEUWA NABII "MNYAMA"
Surat An Naml 82. Na itapo waangukia kauli juu yao, tutawatolea mnyama katika ardhi atakaye wasemeza, ya kuwa watu walikuwa hawana na yakini na Ishara zetu
Allah anasema kuwa ataleta Mnyama ambaye atawasemeza watu.
Kitabu cha Quran ndio namba 666. Ngoja nikuonyeshe jinsi namba 666 ilivyo ndani ya Quran.
Kwanza fahamu kuwa, namba SITA ni namba thabit katika Mahesabu, ni namba pekee ambayo ukiijulimsha au zidisha namba tatu za kwanza unapata 6.
1 + 2 + 3 = 6
1 x 2 x 3 = 6
Sura 111 ina 100 letters na Gematrical Value of letter Qaf ni namba 100.
Sura 111 ina aya 6 ; 111 x 6 = 666 , The Quran
Sura 6 aya 111 ambayo ukizidisha unapa 666 aya katika jedwali la Qaf.
Waislam wanasema “ALLAHUAKBAR” mara 111 katika maombi yao ya kila siku "times in daily contact prayers".
Ukijumlisha namba zote 666 = 6+6+6 unapata 18, na mfano 111 ni sawa na 111 (100+10+1).
SASA BASI,
Sura 18 ina aya 111 na 18 x 111 = 1998 (666×3). Soma zaidi kwenye hii link http://freerepublic.com/focus/f-chat/1971221/posts
SIRI IMESHA FUNGUKA, SASA TUNAFAHAMU KUWA, ALLAH NDIE ATAKAYE LETA MPINGA KRISTO 666, NA ALLAH AMEKIRI KATIKA SURAT AN NAML KUWA YEYE AMESHA TEUA MTUME AMBAYE NI MNYAMA NA HUYO MTUME ANASOMA QURAN YA MUHAMMAD.
KAMA kweli Quran ni maneno ya Allah na aliiteremsha, basi, leo tunafahamu kuwa Allah sio tu ataleta Mpinga Kristo, bali Allah na Muhammad ndio Mpinga Kristo.
Kwanini Waislam wanasema kuwa "ISLAM WILL DOMINATE THE WORLD" ?
Kwanini Allah aliumba Mnyama na kumpta UTUME?
Hakika kuna siri kubwa kwenye Uislam ambao unapinga Kristo.
Karibuni kwa Yesu ambaye ndie Njia Pekee ya Kwenda Mbinguni.
Mungu awabariki sana.
USIKOSE SEHEMU YA TATU, JE QURAN NI 666?
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW