Monday, March 18, 2019

YONA WA BIBLIA SIO YUNUS BANDIA WA QURAN


Image may contain: 2 people, text

Mungu anamwambia Yona: Simama, uende Ninawi ule mji mkubwa, ‘uutangazie kwamba ubaya wake umefika mbele zangu.’ (Yona 1:2)

Yona kwa Kiingereza ni Jonah

Yona kwa Kiarabu ni يونان yunan

Yona kwa Kituruki ni Jonah

Yona kwa Kichina ni 约拿 Yuē ná

Sasa hili jina la Yunus walilitowa wapi hawa Waislam

Kwenye Biblia ya Kiarabu kuna jina la يونان yunan na sio Yunus jina bandia la Waislam.

https://www.arabicbible.com/arabic-bible.html

HEBU TUANGALIE KUFANANAKWA NA KUTOFAUTIANA KWAO:

Similarities and Differences:

1. In both the Bible and the Qur’ān the nation (Nineveh) asked repentance and was spared by God.
The Bible, Jonah 3: 10.
The Qur’ān 10: 98.

Ina maana:
Zote Biblia na Quran zinakiri kuwa Mji wa ninawi unatakiwa kutubu.

2. In the Bible Prophet Jonah built himself a little shelter outside the town. He was so angry that he rather wanted death than life. The Qur’ān however says, he went away in
an angry mood.

Ina maana:
Katika Biblia Yona alijenga sehemu ya Kivuli nje ya mji wa Ninawi, LAKINI KWENYE Quran Yunus alikimbia huku akiwa na hasira.

3. In the Bible When the Nineveh was spared Jonah marched away from the situation, angry at God. Isamic traditions said, "Nobody has the right to say that I am better than Jonah bin Matta."

Ina maana:
Biblia inasema Nninawa ilipo samehewa Yona aliondoka akiwa na hasira, LAKINI KWENYE Quran inadai hakuna anaye takiwa kusema yeye ni bira kuliko Yunus Bin Matta

4. In the Bible Prophet Jonah flee first and then came to the Nineveh and warned them.

The Qur’ān, 21: 87.
The Bible, 4: 1-2.

= Yona alikimbia kwanza kabla ya kwenda Ninawai

While In the Qur’ān he fleed after preaching but without God’s permission.

= Yunus anakimbia baada ya kwenda Ninawi. Msiba huu.

5. In the Bible Prophet Jonah sat in the whale’s belly for three days and nights. He spends that time in prayer, thanking God for saving him. Jonah recognized the miracle that God saved him. He was truly grateful. Prophet Jonah was sincere in his prayer.

The Bible, Jonah 2 : 1-10
The Qur'ān 37: 144.
Exp. The Qur’ān 68: 49. (‘Usmānī, 2006)Vol 2.
Exp.The Qur’ān 37:145 (‘Usmānī, 2006)Vol 2.
Exp.The Qur’ān 37: 143- 144, (Al-Khālīl, 2003)pp 131 (‘Usmānī, 2006) Vol. 2.

Kwenye Biblia Yona alikaa ndani ya Samaki kwa siku 3,

In the Qur’ān, also he was sincere in his prayers. Thus God cast him in wilderness in a reproachable state

Yunus yeye alikuwa kwenye Smakai akifanya maombi.
.
In the Qur’ān Almighty God cast him (Prophet Yunus) ashore in the open while he was ill. He caused a tree to grow over him.

Allah alimtupa kwenye ufuko wa kwasababu Yunus alikuwa anaumwa.

In both the Bible and the Qur’ān after his (Prophet Yunus) prayers God responded to Jonah and rescued him from the distress.

6. In Bible Jonah 4 : 2-3, Jonah prayed to God, "Ah, Lord, was not this I said when I was still in my country? Therefore I fled previously to Tarshīsh; for I know that You are a gracious and merciful God, slow to anger and abundant in loving kindness, One who relents from doing harm. Therefore now, O Lord, please take my life from me, for it is better for me to die than to live, while In Qur’ān, when Dhunūn (Prophet Yunus) walked away in anger, he thought that God would never put him to trouble. Then (Yunus) prayed in the depth of darkness, there is no god but God. Pure are God. Indeed he (Yunus) himself was among the wrong doers.

Qur’ān 21: 87, (Al-Khālīl, 2003)pp 130, (‘Usmānī, 2006)Vol 1.

Kwenye Biblia Yona alikimbia kuelekea Tashishi lakini kwenye Quran hakuna uthibitosho huu zaidi ya Yunus kukimbia baada ya kwenda Ninawai.

Kama Allah ni Mungu, iweje afanye makosa makubwa kama haya?

Shalom.

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

Saturday, March 2, 2019

Wild pig storms Mosque and attacks Muslims

Image may contain: one or more people and indoor



In Malaysia, there was an unusual incident on Wednesday in an Islamic Mosque. An aggressive boar, according to media reports, invaded a mosque near Kuala Lumpur during evening prayers and caused a stir throughout the house.

The animal had first invaded the area and then galloped into the Mosque. The incident happened when several believers spoke a few verses after the obligatory evening prayer, as Imam Ungku Ahmad Hazwan Ungku Kamarudin reports to The Star.

The boar allegedly made targeted hunt for visitors and children, the imam said. It should also have been a person injured by the animal's neck.

While many people have fled, some of those present still tried to scare the animal out of the mosque. When the bristle cattle finally disappeared from the mosque, it was struck down by a believer with a shotgun.

God's house almost completely desecrated
According to Ungku Ahmad Hazwan, two-thirds of the prayer hall was "polluted" by the boar. For this reason, a crisis meeting had to be convened by the denomination, to which even the supreme mufti of the state was called.

As The Star reports, all the rugs that came into contact with the animal's blood have been removed from the mosque. Several believers have already cleaned seven walls and floors seven times - including a mixture of earth and water to remove all supposed impurities.

The purges were personally supervised by two imams and finally the mosque was blessed again. Since the pig in Islam is considered "impure", this is an extreme case of the desecration of a mosque.

Source:https://www.unsertirol24.com/2018/03/08/wildschwein-stuermt-moschee-und-greift-moslems-an/?fbclid=IwAR09pfCaxO9zWxN4a0elIG5-kvJcrGx9xhTsfB2ByaBCbRxNaSH22THdXgk

JE, MUNGU ALIUMBA WATU WEUSI?

Image may contain: one or more people and text



Je, Biblia inafundisha kwamba watu weusi wamelaaniwa?

Mwanzo 5:1, 2; 1:28: “Siku ile Mungu alipomuumba Adamu alimfanya kwa mfano wa Mungu. Mwanamume na mwanamke aliwaumba. Baada ya hapo akawabariki, akawaita jina lao Mwanadamu siku ile walipoumbwa.” “Mungu akawabariki na Mungu akawaambia: ‘Zaeni, muwe wengi, mjaze dunia.’” (Kwa hiyo, wanadamu wote ni wazao wa watu hao wawili wa kwanza, Adamu na Hawa.)

Tunaweza kusema kwa kiwango cha uhakika ya kwamba, ndiyo, Biblia inataja watu weusi, ingawa Biblia haitambui wazi mtu yeyote kuwa mwenye ngozi nyeusi. Pia, Biblia haitambui mtu yeyote kama mwenye ngozi nyeupe. Rangi ya ngozi ya mtu haijatajwa sana katika Biblia; rangi ya ngozi ya mtu haina maana kwa ujumbe wa msingi wa Biblia.

Matendo 17:26: “[Mungu] alifanya kutoka kwa mtu mmoja [Adamu] kila taifa la watu, ili wakae juu ya uso wa dunia nzima.” (Kwa hiyo, watu wa mataifa yote ni wazao wa Adamu, hata wawe ni wa jamii gani.)

Hadithi nyingi za Biblia zinafanyika katika Mashariki ya Kati, ndani na karibu na Israeli. Watu "weusi" na "weupe" sio wengi katika mikoa hii. Watu wengi katika Biblia ni wa Kisemiti na wangekuwa rangi ya maji ya kunde. Hatimaye, haijalishi rangi ya ngozi watu wa Biblia walikuwa na nayo.

“Wanadamu wote wanaoishi leo ni wa aina moja, Homo sapiens, nao wote wametoka katika ukoo mmoja. . . . Tofauti za kimaumbile kati ya wanadamu husababishwa na tofauti katika urithi na athari za mazingira juu ya urithi huo. Mara nyingi, tofauti hizo husababishwa na mambo hayo mawili. . . . Mara nyingi tofauti kati ya watu mbalimbali katika jamii moja au katika kundi moja la watu ni kubwa kuliko tofauti za wastani kati ya jamii mbalimbali au makundi ya watu.”—Baraza la kimataifa la wanasayansi lililoitishwa na UNESCO, ambalo lilinukuliwa katika kichapo Statement on Race (New York, 1972, chapa ya tatu), Ashley Montagu, uku. 149, 150.

Mwanzo 9:18, 19: “Wana wa Noa waliotoka katika safina walikuwa Shemu na Hamu na Yafethi. . . . Hao watatu walikuwa wana wa Noa, na kutokana nao watu wote wa dunia walienea kotekote.” (Baada ya Mungu kuuharibu ulimwengu usiomwogopa yeye kwa kutumia gharika ya duniani kote katika siku za Noa, watu wapya duniani, kutia ndani jamii zote zinazojulikana leo, ni wazao wa wana watatu wa Noa na wake zao.)

Wasomi wengine wanadhani kwamba mke wa Musa, Zippora, alikuwa mweusi kwa sababu alikuwa Mkushi (Hesabu 12: 1). Kushi ni jina la kale la eneo la Afrika. Shulammite inawezakana alikuwa mweusi (Wimbo Ulio bora wa Sulemani 1: 5), ingawa muktahdha unaonyesha kwamba ngozi yake ilikuwa nyeusi kutokana na kufanya kazi kwenye jua. Wengine hupendekeza kwamba Bathsheba (2 Samweli 11: 3) alikuwa mwenye ngozi nyeusi. Wengine wanaamini kwamba Malkia wa Sheba aliyemtembelea Sulemani (1 Wafalme 10: 1) alikuwamwenye ngozi nyeusi. Simoni wa Kurene (Mathayo 27:32) inawezekana ali kuwa mwenye ngozi nyeusi, na pia "Simeoni aitwaye Nigeri" katika Matendo 13: 1. Mtumwa wa Ethiopia huko Matendo 8:37 alikuwa wa ngozi nyeusi. Waethiopia wanatajwa mara 40 katika Biblia, na tunaweza kudhani kwamba haya ni marejeleoo kwa watu weusi, kwa kuwa Waethiopia ni watu wa ngozi nyeusi. Nabii Yeremia aliuliza, "Je! Mtiopiya anaweza kubadili ngozi yake?" (Yeremia 13:23) — Dhana ya asili ni kwamba Yeremia anaelezea ngozi nyeusi.

Wengi wa walimu wa Biblia wanaamini kwamba watu wa rangi nyeusi ni wazao wa Nuhu, mwana wa Hamu (Mwanzo 10: 6-20), lakini hatuwezi kuwa na hakika kwa kuwa Biblia haswa haielezei, Biblia mara kwa mara iko kimya kwa mambo ya rangi ya ngozi. Rangi ya ngozi si muhimu kwa Mungu kama hali ya moyo. Injili ni habari njema ya ulimwengu wote. Watu wenye ngozi nyeusi, watu wenye ngozi nyeupe, na walio kati ya rangi hizi mbili wanaalikwa kuja kwa Kristo kwa ajili ya wokovu. Kwa neema ya Mungu tunaweza kuchukua macho yetu mbali na ngozi na kuzingatia roho.

Je, Biblia inafundisha kwamba watu weusi wamelaaniwa?

Wazo hilo linategemea kutoelewa vizuri andiko la Mwanzo 9:25, ambapo Noa ananukuliwa akisema hivi: “Alaaniwe Kanaani. Na awe mtumwa wa hali ya chini kabisa kwa ndugu zake.” Soma andiko hilo kwa uangalifu; halisemi lolote kuhusu rangi ya ngozi. Laana hiyo ilitolewa kwa sababu inaonekana Kanaani mwana wa Hamu alikuwa amefanya kitendo fulani kibaya kilichostahili laana. Lakini wazao wa Kanaani walikuwa nani? Hawakuwa watu weusi, bali watu wenye ngozi nyeupe walioishi upande wa mashariki wa Bahari ya Mediterania. Kwa sababu ya matendo yao mapotovu, desturi za kishetani, ibada ya sanamu, na kuwatoa watoto kuwa dhabihu, Mungu aliwahukumu, naye akawapa Waisraeli nchi iliyokaliwa na Wakanaani. (Mwanzo 10:15-19) Wakanaani hawakuharibiwa wote; wengine waliwekwa wafanye kazi ya kulazimishwa, kupatana na laana iliyokuwa imetolewa.—Yos. 17:13.

Kati ya watoto wa Noa, watu weusi walikuwa wazao wa nani? “Wana wa Kushi [mwana mwingine wa Hamu] walikuwa Seba na Havila na Sabta na Raama na Sabteka.” (Mwanzo 10:6, 7) Biblia inapotaja Kushi, mara nyingi humaanisha Ethiopia. Na baadaye jina Seba linatumiwa wakati wa kurejelea kundi lingine la watu walio upande wa mashariki ya Afrika na inaonekana eneo hilo liko karibu na Ethiopia.—Isaya 43:3.

Shalom,

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

MWANADAMU ALITOKEA WAPI?

Image may contain: 2 people, text




Asili ya Mwanadamu

Wazo la kumuumba mwanadamu lilitoka kwa Mungu. (Mwanzo 1:26.) Na wakati anamuumba, alitekeleza wazo lake kwa kuumba watu wawili, mtu mume na mtu mke, akawaita jina lao Adamu. (Mwanzo 1:27; 5:1, 2.)

Mwanadamu aliumbwa kwa udongo na pumzi (Mwanzo 2:7) Vitu viwili vilitengeneza mtu, udongo na pumzi ya uhai. Kilichopatikana kutokana na mwunganiko wa udongo na pumzi kimeitwa nafsi hai, yaani kama tungekuwa tunafanya hesabu, udongo + pumzi ya uhai = nafsi hai. Nafsi hai haiwezi kuwa nafsi hai ikiwa kimojawapo kati ya udongo au pumzi ya uhai kitaondolewa. Kwa hiyo, nafsi hai ni kitu kisichoweza kugawanyika ili kila kipande kibaki na maisha yake )yanayojitegemea peke yake. (cf. Mhu. 12:7)

Katika siku ya mwisho ya uumbaji, Mungu akasema, “Na tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu” (Mwanzo 1:26). Na hivyo Akamaliza kazi yake kwa “uguzo wake mwenyewe.” Mungu alimuumba mwanadamu kutoka kwa udongo na akampa uhai kwa kumwekea pumzi yake (Mwanzo 2:27). Vilevile, mwanadamu ni kiumbe tofauti katika viumbe vyote alivyoviumba Mungu, vyote vikiwa na mwili wa nyama na wa ndani nafsi/roho.

Aliumbwa kwa sura ya Mungu (Mwanzo.1:26) Viumbe vingine vilikuwa kwa jinsi zake (Mwanzo.1:2, 24, 25). Lakini mwanadamu alikuwa kwa mfano wa Mungu. Na Luka anasema, Adamu ni mwana wa Mungu (Luk.3:38)

Mwanadamu ana hadhi ya juu. Aliumbwa akiwa na hadhi ndogo kuliko malaika lakini alipewa kusimamia uumbaji wa Mungu. (Mwanzo. 1:28; Zaburi. 8:4-9)

Kuwa na “sura” ya Mungu yamaanisha, kwa ufupi, kwamba tuliumbwa tumfanane Mungu. Adamu hakumfanana Mungu kwa kuwa na mwili wa nyama na damu. Bibilia inasema kwamba “Mungu ni roho” (Yohana 4:24) na kwa hivyo anaishi bila kuwa na mwili. Ingawaje, mwili wa Adamu ulidhihirisha maisha ya Mungu vile yalikuwa makamilifu kwa afya na haukutishika na kifo.

Sura ya Mungu yamaanisha mwili wa ndani wa mwanadamu. Unatofautisha mwanadamu kutoka ulimwengu wa wanyama, na kumweka mwanadamu kufaa mamlaka Mungu alimuumbia kuwa nayo katika nchi (Mwanzo 1:28), na kumwezesha kuwa na ushirika na muumba. Mwanadamu anamfanana Mungu, kimawazo, tabia na maisha ya furaha.

Kimawazo, mwanadamu aliumbwa kama kiumbe kiwezacho, kuwa na uwezo wa kuamua. Kwa njia nyingine, mwanadamu anaweza kuwaza na kuchagua. Hii ni taswira ya hekima na uhuru wa Mungu. Wakati wowote mtu anaweza vumbua/gundua chombo (mashine), aandike kitabu, airembeshe picha ya nchi aliyoichora, na afurahie kucheza ngoma, afanye hesabu, ama avipatie viumbe majina, na hivyo anatangaza kuwa tumeumbwa kwa mfano wa Mungu.

Kitabia, mwanadamu aliumbwa kwa utakatifu na ukamilifu ukiambatana na, taswira ya utakatifu wa Mungu. Mungu akaona kila kitu alichokifanya (mwanadamu akiwemo) na akakiita “chema sana” (Mwanzo 1:31). Fikra zetu au “dira ya tabia” ni dalili ya ile hali ya asili. Popote mtu anaandika sheria, na kugeuka kutoka dhambi, kuisifu tabia njema, au kujishuku na hatia, hii inadhibitisha dhana kwamba tumeumbwa kwa mfano wa Mungu.

Udongo: Tafsiri ya udongo haina shida. Ni sehemu ya ardhi.

Pumzi ya Uhai. (Mwa.2:7). Wakati Mungu alipobadili maada ya dunia kuwa kiumbe hai, alipulizia pumzi ya uhai. Alipulizia pumzi ya uhai, pumzi za Mwenyezi (Ayu.33:4), cheche ya uhai.

Mwanadamu - Nafsi Hai . Hesabu ya Maandiko iko wazi. Udongo jumlisha pumzi ya Mungu ni sawa na nafsi hai. Siyo wanadamu pekee waliopewa pumzi ya uhai. Nafsi hai hujumuisha pia wanyama wa baharini, vitambaavyo, na wanyama (Mwa.1:20, 24; 2:19). Siyo kwamba mwanadamu akapokea roho, bali akawa nafsi (roho) hai.
Umoja usiogawanyika- Mwanadamu ni kiumbe kimoja kisichogawanyika. Je, kuna uhusiano gani baina ya nafsi na roho?

1. Maana ya Biblia ya Nafsi.

Katika Agano la Kale, neno la kiebrania lililotafsiriwa nafsi ni nephesh. Ndivyo Mw. 2:7 inavyosema mtu akawa nafsi hai. Kwa jinsi hiyo hiyo kila mtoto mchanga anapozaliwa, nafsi hai huongezeka. Kwa hiyo, nephesh siyo sehemu ya mwanadamu hai bali ni mwanadamu mzima. Anavyokufa binadamu vivyo hivyo na mnyama (Mwanzo.7:20–23) Wakati wa Nuhu vilikufa viumbe vyote isipokuwa Nuhu na waliobaki ndani ya safina. Kwa kuwa roho (nephesh)
ndiyo nafsi hai, roho nayo inakufa (Ezekiel.18: 4).

Katika Agano Jipya lililoandikwa Kigiriki, neno litumikalo kwa nafsi ni psuche. Hutumika kwa wanadamu na wanyama (Ufunuo 16:3) “Na huyo wa pili akakimimina kitasa chake juu ya bahari, ikawa damu, kama damu ya mfu, na vitu vyote vyenye roho ya uhai katika bahari vikafa.”
Kwingine roho ina maana ya uhai (Mat. 2:20, 6:25, 16:25). Kwingine roho inamaanisha watu (Mdo. 7:14, 27:37, Rum. 13:1 1Pet.3:20) Hutumika kwa nafsi (Mt. 12:17. 2 Kor.12:15) Na kwingine humaanisha hisia (Mk.14:34 Luk. 2:35) au akili (nia) (Mdo 14:2, Filipi 1:27) au moyo
(Ef. 6:6)

Katika yote haya, lengo ni kuhitimisha kwamba psuche (roho) haina hali ya kutokufa bali ina hali ya kufa. (Uf. 16:3)

Katika maisha ya ushirika, mwanadamu aliumbwa ili awe na ushirika. Hii inadhihirisha hali ya utatu wa Mungu na upendo wake. Katika Edeni, uhusiano wa mwanadamu ulikuwa na Mungu (Mwanzo 3:8 yamaanisha ushirika na Mungu), na Mungu akamuumba mwanamke wa kwanza kwa sababu “Si vyema huyo mtu awe pekee” (Mwanzo 2:18). Kila wakati mtu anapooa, anatengeza urafiki, kumpusu mototo, au kushiriki kanisa, ni kuonyesha kuwa tumeumbwa kwa mfano wa Mungu.

2.
Maana ya Pumzi ya Uhai

Neno ruach lililotafsiriwa pumzi, hupatikana kwenye Agano la Kale mara 377. Kufuatana na Ayubu 33:4, ni pumzi ya Mungu inayotia uhai, Inaitwa upepo, roho au pumzi (Mw. 8:1) Na kila chenye uhai, Hutumika kuonyesha hali ya kuwa mzima wenye nguvu (Amu. 15:19). Hutumika
wakati mwingine kuonyesha ujasiri (Yosh. 2:11) hasira au kukosa uvumilivu (Amuz. 8:3).

Pia huonyesha hadhi (Isa. 54:6), tabia adilifu (Ez. 11:19) “Nami nitawapa moyo mmoja, nami nitatia roho mpya ndani yao; nami nitauondoa moyo wa kijiwe katika miili yao, name nitawapa moyo wa nyama.”

Kwa maana ya upepo au pumzi, hakuna tofauti kati ya binadamu na mnyama kwenye kifo (Mh. 3:19 -21). Roho humtoka mwanadamu akifa Zab. 146:4 na humrudia Mungu Mh. 12:7 (Angalia pia Ay. 34:14). Ruach hutumika mara nyingi kumaanisha Roho ya Mungu (Isa. 63:10). Hakuna kwenye Agano la Kale ambako roho (ruach) imepata kuishi kwa kujitegemea nje ya mwili.

Katika Agano jipya, neno lililo na maana ya ruach (Kiebrania) ya agano la kale ni pneuma

(Kigiriki) – kupuliza, kupumua. Kama ilivyo kwa ruach, hakuna chochote ndani ya mwanadamu chenye kuweza kuishi nje ya mwili.

Roho/Moyo (pneuma) imetumika pia kuonyesha mtizamo – (Rum. 8:15, 1 Kor 4:21, 2 Rum. 1:7, 1Yoh.4:6) na hali mbali mbali za kibinadamu kama katika (Gal. 6:1, na Rum. 12:11).

Pneuma hutoka mtu anapokufa (Luk. 23:46, Mdo. 7:59). Kama ruach, pneuma pia inatumika tunaposema Roho ya Mungu (1Kor.2:11, 14, Ef.4:30, Ebr.2:4 1Pet.1:12, 2Pet. 1:21).

3.
Muungano wa mwili, moyo na roho
a) Muungano wa viwili. Biblia haisemi uhusiano uliopo baina ya mwili, moyo na roho.

Wakati mwingine nafsi na roho hutumika kwa kubadilishana “moyo wangu wamwadhimisha Bwana, roho yangu imemfurahia” (Luk. 1: 46, 47). Mara moja, Yesu
amemsema mwanadamu kuwa ni mwili na roho Mt.10:28). Mahali pengine, Paulo anamwona binadamu kuwa ni mwili na roho (1Kor.7:34)

b) Muungano wa vitatu. Paulo ambaye alipata umzungumza mwanadamu kuwa wa muungano wa viwili, amesema kwenye 1Thes.5:23 kuwa mwanadamu ana nafsi, roho na mwili. Hapa, roho yaweza kuwa kanuni ya juu ya akili inayowasiliana na Mungu (Rum. 8:16). Kufanywa upya nia, hutubadilisha (Rum.12:1, 2)

c) Muungano usiogawanyika. Mwili, moyo na roho hutenda kazi kwa kushirikiana ikionesha hali ya mtu kiroho, kiakili na kimwili.

Sehemu ya kuumbwa kwa mfano wa Mungu ni kwamba Adamu alikuwa na uwezo wa kufanya uamuzi. Ingawa alipewa hali takatifu, Adamu akafanya uamuzi wa dhambi na kuasi kinyume na muumba wake. Kwa kufanya hivyo, Adamu akaiaribu sura ya Mungu ndani yake na akaupitisha huo ubaya kwa kizazi chake chote (Warumi 5:12). Hata hii leo bado twaibeba hiyo sura ya Mungu (Yakobo 3:9), lakini bado twavibeba vidonda vya dhambi kimawazo, kitabia, kimaisha ya kawaida na hata kimwili twaonyesha madhara ya dhambi.

Habari njema ni kwamba Mungu anamwokoa mtu binafsi, anaanza kurejesha sura ya kiasili ya Mungu, kuumbwa “mkavae utu mpya, ulioumbwa kwa namna ya Mungu katika haki na utakatifu wa kweli” (Waefeso 4:24). Huo wokovu upo tu kwa neema ya Mungu kupitia kwa imani katika Kristo Yesu aliyetuokoa kutoka dhambi ambayo ilitutenganisha na Mungu (Waefeso 2:8-9). Kupitia Kristo tumefanywa viumbe vipya kwa mfano wa Mungu (2Wakorintho 5:17).

Shalom,

Max Shimba mtumwa wa Yesu kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

MUNGU NI NANI NA ALITOKEA WAPI?

Image may contain: one or more people and text




Hili ni swali nzuri sana. Kuna majibu mengi sana kwa hili swali. Watu wengine husema "Hakuna Mungu." Jibu lako kwa swali hili, litatambua jinsi unavyo wajali watu wengine. Tena jibu lako litaonyesha ni wapi utakapoishi baada ya hapa duniani. Jinsi tunavyo amini Mungu ni nani, hudhibitisha kama tunaabudu Mungu wa kweli au sisi wenyewe. Kama tunampenda Mungu, basi inatupasa tuwapende watu wengine. Kuna dini kubwa tatu hapa duniani. Sote hufundisha mafundisho tufauti. Kwa hivyo zote tatu haziwezi kuwa za ukweli.

Mungu wa kweli ndiye Muumba wa vitu vyote. Hana mwanzo wala mwisho. (Zaburi 90:2) Yeye ndiye Chanzo cha habari njema inayopatikana katika Biblia. (1 Timotheo 1:11) Kwa kuwa Mungu ndiye aliyetuumba, tunapaswa kumwabudu yeye peke yake.​—Soma Ufunuo 4:11.

Musa aliandika hivi: ‘Ee Mungu, kabla ya kuzaliwa kwa milima, ao kutokezwa kwa dunia na inchi yenye kuzaa kana kwamba kwa maumivu ya kuzaa, tangu wakati usio na kipimo mupaka wakati usio na kipimo wewe ni Mungu.’ (Zaburi 90:1, 2) Nabii Isaya naye alisema hivi: ‘Je, haujajua ao, je, haujasikia? Mungu, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu mupaka wakati usio na kipimo’! (Isaya 40:28) Vilevile, barua ya Yuda inaeleza kwamba Mungu amekuwapo “kwa umilele wote uliopita.”—Yuda 25.

Mungu ni roho, kwa asili isiyoonekana (Yohana 4:24). Mungu ni Mmoja, lakini Yeye yupo kama watu watatu-Mungu Baba, Mungu Mwana, na Mungu Roho Mtakatifu (Mathayo 3: 16-17). Mungu ni asiye na mwisho (1 Timotheo 1:17), hauwezi kulinganishwa (2 Samweli 7:22), na hawezi kubadilika (Malaki 3: 6). Mungu yupo kila mahali (Zaburi 139: 7-12), anajua kila kitu (Mathayo 11:21), na ana nguvu zote na mamlaka (Waefeso 1; Ufunuo 19: 6).

Mungu (Elohim) wa pekee Mmoja ndiye Mungu wa kweli. Kabla yake Mungu hakuumbwa awaye yote, wala baada yake hatakuwepo yeyote mwingine. (Isaya 43:10) masomo haya yanayolenga katika kutufundisha kumjua Mungu yakijikita zaidi katika kutufundisha jinsi tunavyoweza kumjua Mungu,na Kunyenyekea kwa Kicho Kwake na Kumwabudu yeye Mungu Mmoja wa Kweli wa pekee.

Mungu ni nani? — Tabia yake

Hapa ni baadhi ya sifa za Mungu kama ilivyofunuliwa katika Biblia: Mungu ni wa haki (Matendo 17:31), mwwenye upendo (Waefeso 2: 4-5), mwenye kweli (Yohana 14: 6), na mtakatifu (1 Yohana 1: 5). Mungu anaonyesha huruma (2 Wakorintho 1: 3), huruma (Warumi 9:15), na neema (Warumi 5:17). Mungu anahukumu dhambi (Zaburi 5: 5) lakini pia hutoa msamaha (Zaburi 130: 4).

Kulikuwa na wakati ambapo hakuna kitu cho chote kilicho ishi, yaani nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, ila Roho wa Mungu aliyekuwa Mmoja. Alikuwako tangu milele. Tangu mwanzo, alikuwako Yeye wa Pekee, hakuhitaji kitu cho chote ili kupata Nguvu au Uhai. Huyu ndiye Mungu Mmoja na wa Kweli. (Yohana. 17:3:1Yonana 5:20) Ni Mungu wa Milele (1 Timotheo 6:16). Hii ina maana ya kwamba ni Mungu asiyekufa. (Mungu asiyepatikana na mauti)

Mungu ni nani? — Kazi Yake

Hatuwezi kuelewa Mungu mbali na matendo Yake, kwa sababu kile Mungu anachotenda hutoka kwake. Hapa kuna orodha ya kazi za Mungu, zilizopita, zilizopo, na za baadaye: Mungu aliumba ulimwengu (Mwanzo 1: 1; Isaya 42: 5); Anashikiria kikamilifu ulimwengu (Wakolosai 1:17); Anafanya mpango wake wa milele (Waefeso 1:11) ambayo inahusisha ukombozi wa mwanadamu kutoka kwa laana ya dhambi na kifo (Wagalatia 3: 13-14); Anawavuta watu kwa Kristo (Yohana 6:44); Anawaadhibu watoto Wake (Waebrania 12: 6); Na atahukumu ulimwengu (Ufunuo 20: 11-15).

Hapo mwanzo Mungu (Elohim) alianza Uumbaji. Lakini kabla ya kuanza Uumbaji wa cho chote, Mungu alijua ni nini atakachokiumba na kwa namna gani atakavyoumba. Hakuna lisilowezekana kwa Mungu. Alijua hata mwisho wa uumbaji wake wa kila kitu. Kwa kila kitu ambacho kilitokea kuwepo, Mungu (Elohim) alijua jinsi ya utendaji wa kazi wa kila kiumbe katika uumbaji na uhusiano kati ya kila kimoja na kingine.

Mungu (Elohim) ni Alpha na yeye ni Omega (Ufunuo 1:8) Yeye ni wa Pekee alikuwako tangu Mwanzo na wa Milele, kwa hiyo ni Alpha, au Mwanzo. Yeye ni Omega kwa sababu yeye atakuwa wa mwisho katika vyote alivyo viumba. Uumbaji unaendelea kwa sababu ya Yeye. Uumbaji umejikita juu Yake na Yeye Ndiye yote katika wote.

Kabla ya kitu cho chote kuwepo, Mungu alijua atakacho kiumba na kwa namna gani. Alijua kila kitu kitakavyokuwa. Alijua kabla, matokeo na mwisho wa kila kitu. Hakuna cho chote kilichofichika au kilichofanyika kwa siri ambacho Mungu hakukijua kabla ya Uumbaji kuanza. Mungu alijua kila kitu (1Yoh. 3:20). Tendo hili la Mungu kujua kila kitu yaani kujua yote linaitwa hekima kuu ya Mungu (Omniscience). Mungu hakutaka msaada wa kitu cho chote, kutoka kwa ye yote kumsaidia yeye katika kufikiri, kufanya maandalio, au kufanya hesabu kabla ya uumbaji. Aliweza yeye mwenyewe kufikiri na kufanya hesabu ya kila umbo na aliweza kuona ni njia ipi ambayo kila chaguo lake lingeweza kutekelezwa.

Mungu ni Mweza wa yote Omnipotent. (Mwenye Nguvu na Mamlaka). Hakuna kitu ambacho hawezi kukifanya kikamilifu kutimiza mapenzi ya mpango wake. Yeye anajua yote yanawezekana kwake, na anajua njia sahihi ya kuumba vitu mbalimbali.Kila kitu kilichoumbwa kiliandaliwa na kuthibitishwa, kudhihirika tangu mwanzo. Huo ni pamoja na Uumbaji wetu sisi. Kila kitu kilionyesha maana katika kutenda kazi njema hata mwisho.

Mungu alijua ni jinsi gani vitu vingeweza kutengenezwa, na kwa namna gani na kwa idadi gani na kadhalika. Elimu hii ni kweli; Mungu ni Kweli (Kumbukumbu 32:4). Mungu aliweza kuumba ulimwengu na vitu vyote bila kubahatisha au kujutia matokeo yake. Kwa hiyo, mapenzi yae yalileta nuru ya utimilifu wake katika ukweli (Mungu ni Kweli) Kwa asili au kitabia Yeye hana makosa yo yote (Yaani ni Mkamilifu Mtakatifu na kazi yake haina makosa kiasili na kitabia) Mungu hawezi kutenda kosa kwa sababu ya uweza na uhodari wake mkubwa katika utendaji wake. Humuwezesha kuepukana na majuto katika hekima yake kuu ya kujua yote, inamfanya Mungu kuwa Mkamilifu (Mathayo. 5:48).

Kabla ya kuanza Uumbaji, Mungu alijua ya kwamba kazi yake yote itakuwa kamilifu na njema. Alijua ni nini kilichokuwa chema sana, kwa sababu Mungu alipenda Uumbaji uwe kama yeye Mwenyewe na kuwa Nuru kama yeye Mwenyewe alivyo nuru. Mapenzi ya mwisho ya Mungu ni wema (Zaburi 25:8) Chanzo cha wema wote hutoka kwake. Wema wote hutoka kwake. Mtu mmoja aliposema yakuwa Kristo ndiye Mwalimu Mwema, Yesu alijibu, “ kwa nini unaniita Mimi Mwema? Mungu tu ndiye Mwema” (Mathayo. 19:17; Marko. 10:18, Luka 18:19).

Maandiko hayo yanatuonyesha kwamba Mungu ni ‘Mfalme wa umilele,’ kama vile mtume Paulo anavyoeleza. (1 Timotheo 1:17) Hilo linaonyesha kwamba Mungu amekuwako siku zote, hata iwe tunafikiria miaka ngapi iliyopita. Na ataendelea kuwapo wakati unaokuja. (Ufunuo 1:8) Kwa hiyo, kwa kuwa amekuwapo milele hilo linahakikisha kwamba yeye ni Mweza-Yote.

Sababu gani tunaona kuwa ni vigumu kuelewa wazo hilo? Kwa sababu maisha yetu ni mafupi, tunaelewa wakati kwa njia tofauti kabisa na namna Mungu anavyouelewa. Kwa sababu Mungu ni wa milele, kwake miaka elfu ni kama siku moja. (2 Petro 3:8) Kwa mfano: Je, panzi anayeishi tu siku 50, anaweza kuelewa urefu wa maisha yetu wa miaka 70 ao 80? Hawezi kabisa kuelewa! Hata hivyo, Biblia inaeleza kwamba tuko kama panzi inapotulinganisha na Muumbaji wetu Mkubwa. Hata uwezo wetu wa kufikiri unaonekana kuwa kidogo sana unapolinganishwa na uwezo wake. (Isaya 40:22; 55:8, 9) Kwa hiyo, kuna utu ao namna ya kuwa ya Mungu ambayo wanadamu hawaelewe kabisa.

Hata ikiwa wazo la kwamba kuna Mungu wa milele linaweza kuwa gumu kuelewa, tunaona kwamba wazo hilo linapatana na akili. Ikiwa kuna mutu fulani aliyemuumba Mungu, mutu huyo anapaswa kuwa ndiye Muumba. Lakini, Biblia inasema kwamba ni Mungu tu ndiye ‘aliyeumba vitu vyote.’ (Ufunuo 4:11) Zaidi ya hilo, tunajua kwamba wakati fulani ulimwengu haukuwa. (Mwanzo 1:1, 2) Ulimwengu ulitoka wapi? Muumbaji wake alipaswa kuwa kwanza. Aliishi pia mbele ya kuumbwa kwa viumbe vyote vyenye akili, kama vile Mwana wake muzaliwa-pekee na malaika. (Ayubu 38:4, 7; Wakolosai 1:15) Kwa hiyo, ni wazi kwamba aliishi kwanza peke yake. Haiwezekane kwamba aliumbwa kwa sababu hakuna kitu kilikuwapo ambacho kingemuumba.

Mungu ni nani? — Uhusiano na Yeye

Katika Mtu wa Mwana, Mungu akawa mwili (Yohana 1:14). Mwana wa Mungu akawa Mwana wa Mtu na hivyo ni "daraja" kati ya Mungu na mwanadamu (Yohana 14: 6, 1 Timotheo 2: 5). Kwa njia ya Mwana tu tunaweza kuwa na msamaha wa dhambi (Waefeso 1: 7), upatanisho na Mungu (Yohana 15:15, Warumi 5:10), na wokovu wa milele (2 Timotheo 2:10). Katika Yesu Kristo "ukamilifu wote wa Uungu huishi katika hali ya mwili" (Wakolosai 2: 9). Hivyo, kwa kweli kujua Mungu ni nani, tunapaswa kufanya ni kuangalia Yesu.

Kuwapo kwetu na kuwapo kwa ulimwengu wote muzima kunahakikisha kwamba kuna Mungu wa milele. Yule aliyeumba ulimwengu wetu mukubwa, Yule aliyeweka sheria za kuuongoza, anapaswa kuwa alikuwapo sikuzote. Ni kwa sababu hiyo tu ndipo alipulizia vitu vingine vyote pumuzi ya uzima.—Ayubu 33:4.

Shalom,

Max Shimba mtumwa wa Yesu kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

KWANINI HAKUNA GANO JIPYA KWENYE UISLAM?

No photo description available.
Agano ni nini?
Agano ni mapatano baina ya mtu na mtu ama baina ya pande mbili na ambalo linawafunga wote wawili . Agano huwa linaambatana na kanuni za Agano ambazo hazipaswi kuvunjwa na zinapaswa kushikwa kama kanuni ambazo zinaunda agano. Mifano ya Agano ni Agano baina ya Mungu na Nuhu [Mwanzo 9:9-17], Agano baina ya Mungu na Abrahamu [Mwanzo 17:1-21], Agano Baina ya Ibrahimu na Abimeleki [Mwanzo 21:27-32,], Agano baina ya Isaka na Abimeleki [Mwanzo 26:26-33], Agano baina ya Yakobo na Labani [Mwanzo 31:43-54].
Agano Jipya ni sehemu ya pili ya Biblia ya Kikristo, ikifuata Agano la Kale: Agano Jipya limefichika katika lile la Kale, na Agano la Kale limedhihirika katika lile Jipya.
Linakusanya vitabu ambavyo Wakristo wote wanaviheshimu kama vitakatifu na vilivyoandikwa baada ya ujio wa Yesu Kristo hadi mwisho wa wakati wa mitume wake.
Vitabu vyake 27 vinaleta habari zake, za mitume wake na za mwanzo wa Kanisa lake.
Agano la Pili ni Agano ambalo Mungu alifanya na watu wake kwa njia ya Yesu Kristo. Kuhusu Agano hili Unabii wa Biblia unasema kwamba Yesu angefanya Agano na watu wengi kwa Mda wa Juma moja. Biblia yasema hivi “Naye atafanya agano thabiti na watu wengi kwa muda wa juma moja; na kwa nusu ya juma hiyo ataikomesha sadaka na dhabihu; na mahali pake litasimama chukizo la uharibifu; na hivyo, hata ukomo, na ghadhabu iliyokusudiwa imemwagwa juu yake mwenye kuharibu. [Daniel 9:27]. Yesu alipokufa pale msalabani mwaka 31AD[Nusu Juma ya unabii wa Daniel] Msalaba wa Kristo uliondoa Agano la kwanza na Sadaka zake za kuteketezwa na makafara yake yote na mifumo yote ya Patakatifu pa kidunia, Ukuhani wa kidunia, na sikukuu zote ambazo zilikuwa ni vivuli vinavyomwakilisha Kristo; na kulisimamisha Agano la pili, Na Kristo mwenyewe akawa Mjumbe wa Agano jipya na Damu yake mwenyewe ikawa damu ya utakaso ya Agano jipya. Mwaka 34 AD kulingana na Unabii wa Daniel[Nusu ya pili ya juma la unabii wa Daniel], Wana wa Israeli walitia Muhuri wa uasi wao, kwa Kumpiga Stefano mawe na kuliudhi kanisa. Ndipo mitume wakaachana na Wayahudi na kuzambaza injili kwa watu wa mataifa.
Kuhusu Agano Jipya Biblia yasema hivi: “Lakini sasa amepata huduma iliyo bora zaidi, kwa kadiri alivyo mjumbe wa agano lililo bora, lililoamriwa juu ya ahadi zilizo bora. [Waebr8:6]. Katika Agano jipya Watu wa Mungu wakatakaswa kwa damu ya Yesu mwenyewe. Biblia yasema hivi: “wala si kwa damu ya mbuzi na ndama, bali kwa damu yake mwenyewe aliingia mara moja tu katika Patakatifu, akiisha kupata ukombozi wa milele. Kwa maana, ikiwa damu ya mbuzi na mafahali na majivu ya ndama ya ng'ombe waliyonyunyiziwa wenye uchafu hutakasa hata kuusafisha mwili; basi si zaidi damu yake Kristo, ambaye kwamba kwa Roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na mawaa, itawasafisha dhamiri zenu na matendo mafu, mpate kumwabudu Mungu aliye hai? Na kwa sababu hii ni mjumbe wa agano jipya, ili, mauti ikiisha kufanyika kwa kukomboa makosa yaliyokuwa chini ya agano la kwanza, hao walioitwa waipokee ahadi ya urithi wa milele. [Waebr9:12-15].
Agano jipya ndiyo jibu katika uasi wetu. Imeandikwa Yeremia 31:33 "Basi agano hili ndilonitakalofanya na nyumba ya Israeli, baada ya siku zile asema Bwana nitatia sheria yangu ndani yao na katika ioyo yao nitaiandika; nami nitakuwa Mungu wao nao watakua watu wangu."
Agano jipya laja kwa njia ya Yesu Kristo. Imeandikwa, Luka 22:20 "Kikombo nadho vivyo hivyo baada ya kula akisema; kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu inayomwagika kwa ajili yenu."
Agano jipya yamaanisha twaweza kwende mbele za Mungu bila mpatanishi kupitia kwake Yesu Kristo. Imeandikwa, Waebrania 7:22 "Basi kwa kadiri hii Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi."
Kuna ondoleo la dhambi katika agano jipya. Imeandikwa, Waebrania 9:14-15 "Basi si zaidi damu ya Yesu Kristo, ambaye kwa roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kua sadaka isiyo na mawaa, itawasafisha dhamiri zenu na matendo mafu, mpate kumwabudu Mungu aliye hai? na kwa sababu hi ni mjumbe wa agano jipya ili mauti ikisha kufanyika kwa kukomboa makosa ya liyokuwa chini ya agano la kwanza hao waliyo itwa waipokee ahadi ya uridhi wa milele."
Agano la Kale dhidi ya Agano Jipya – kuna tofauti gani?
JHuku Biblia ikiwa ni kitabu kimoja, kuna tofauti kati ya Agano la Kale na Agano Jipya. Kwa njia nyingi, zinakamilishana. Agano la Kale ni la msingi, na Agano Jipya lajijenga kwa huo msingi na ufunuo zaidi kutoka kwa Mungu. Agano la Kale laanzisha kanuni ambazo zinaonekana kuonyesha ukweli wa Agano Jipya. Agano la Kale lina unabii mwingi ambao unatimia katika Agano Jipya. Agano la kale linatoa historia ya watu ; Lengo la Agano Jipya ni juu ya Mtu . Agano la Kale linaonyesha ghadhabu ya Mungu dhidi ya dhambi (kwa kiza cha neema yake) na Agano Jipya linaonyesha neema ya Mungu kwa ajili ya wenye dhambi (kwa kiza cha ghadhabu yake).
Agano la Kale linatabiria Masihi (ona Isaya 53), na Agano Jipya linamdhihirisha masih kuwa yupo ( Yohana 4:25-26). Agano la Kale lakumbukumbu utoaji wa Sheria ya Mungu, na Agano Jipya laonyesha jinsi Yesu Masiya alivyotimiza sheria (Mathayo 5:17, Waebrania 10:9). Katika Agano la Kale, adhabu ya Mungu hasa ni kwa watu wake wateule, Wayahudi; katika Agano Jipya, adhabu ya Mungu hasa ni kwa kanisa lake (Mathayo 16:18). Baraka za kimwili zilizo ahidiwa katika Agano la Kale (Kumbukumbu 29:9) linatoa njia ya baraka za kiroho chini ya Mkataba ya Agano Jipya (Waefeso 1:3).
Unabii wa Agano la Kale kuhusiana na kuja kwa Kristo, ingawa ni wa kina, una kiasi fulani cha utata ambao umerekebishwa katika Agano Jipya. Kwa mfano, Nabii Isaya alisema ya kifo cha Masihi (Isaya 53) na kuanzishwa kwa ufalme wa Masihi (Isaya 26) huku hakuna dalili ya mwenendo wa matukio mawili - hakuna mwanga kwamba mateso na ujenzi wa ufalme utatenganishwa na milenia. Katika Agano Jipya, inakuwa wazi kuwa Masiya ako na ujio aina mbili : katika ule wa kwanza aliteseka na akafa (na kufufuka tena), na katika wa pili Yeye ataimarisha ufalme wake.
Kwa sababu ya ufunuo wa Mungu katika maandiko ni endelefu, Agano Jipya huleta katika lengo kali la kanuni kwamba walikuwa kuletwa katika Agano la Kale. Kitabu cha Waebrania kinaeleza jinsi Yesu kweli ni Kuhani Mkuu na jinsi kafara yake moja kuu ni nafasi ya sadaka zote za awali, ambayo ilikuwa kivuli cha yatakayo kuja. Pasaka ya Agano la Kale (Ezra 6:20) inakuwa Mwana-kondoo wa Mungu katika Agano Jipya (Yohana 1:29). Agano la Kale inatupa sheria. Agano Jipya linafafanua kwamba sheria ilikuwa na maana ya kuonyesha watu mahitaji yao ya wokovu na haikukusudiwa kuwa njia ya wokovu (Warumi 3:19).
Agano la Kale liliona Adamu amepotelewa na peponi na Agano Jipya linaonyesha jinsi peponi inapatikana kupitia Adamu wa pili (Kristo). Agano la Kale lasema kwamba mwanadamu alikuwa ametengwa na Mungu kwa njia ya dhambi (Mwanzo 3), na Agano Jipya linasema kuwa mwanadamu anaweza kurejeshwa katika uhusiano wake na Mungu (Warumi 3-6). Agano la Kale lilitabiri maisha Masihi. Injili imerekodi maisha ya Yesu, na Nyaraka hutafsiri maisha yake na jinsi sisi huitikia yote ambayo amefanya.
Kwa muhtasari, Agano la Kale huweka msingi wa kuja kwa Masihi ambaye atatoa nafsi yake kuwa sadaka kwa ajili ya dhambi za ulimwengu (1 Yohana 2:2). Agano Jipya limenakili kumbukumbu ya huduma ya Yesu Kristo na kisha inaonekana kutizama nyuma juu ya kile alichofanya na jinsi sisi tunastahili kuhitikia. Agano zote mbili zatangaza huyo Mungu mtakatifu, na wa huruma, na hakia ambaye Analaani dhambi bali atamani kuwaokoa wenye dhambi kwa njia ya sadaka ya upatanisho. Katika Maagano yote mawili, Mungu hujifunua kwetu na inatuonyesha jinsi sisi tunastahili kuja kwake kwa njia ya imani (Mwanzo 15:6; Waefeso 2:8).
Katika agano la kale watu wasaki kufanya nini?
Imeandikwa Kutoka 24:3 "Musa akaenda akawaambia watu maneno yote ya Bwana na hukumbu zake zote watu wote wakajibu kwa sauti moja wakasema maneno yote aliyoyanena Bwana Mungu tutayatenda.
Mungu ameagiza kufanya nini katika agano jipya?
Imeandikwa, Waebrania 8:10 "Maana hili ndilo agano nitakalo agana na nyumba ya Israeli baada ya siku zile asema Bwana nitawapa sheria zangu katika nia zao na katika mioyo yao nitaziandika nani nitakuwa Mungu kwao."
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

Thursday, February 21, 2019

Christian Mother of 11 Poisoned to Death in Uganda by Muslim Sister-In-Law Months After She Left Islam



A Christian mother of 11 was poisoned to death last week by her Muslim sister-in-law in an eastern Ugandan village, neighborhood sources told a leading Christian persecution watchdog organization.
Namumbeiza Swabura, a Muslim convert to Christianity, succombed to food poisoning last Wednesday after enduring months of constant threats from local Muslims after she and her husband — a former Islamic school teacher [sheikh] — accepted Jesus Christ as their Lord and Savior in August 2014, sources informed Morning Star News.
Swabura is survived by her husband, Mugoya Muhammad, and her 11 children, the youngest being a 5-month-old infant.
Sources allege that Swabura's sister-in-law, Jafaran Wowa, visited Swabura at her home around 4 p.m. last Wednesday in Kibuku District's village of Nabuli and offered to prepare Swabura a meal known in Uganda as matoke, which consists of cooked plantains.
After preparing the dish, Wowa did not eat any and left quickly after Swabura finished consuming it. When Muhammed arrived back at the house shortly after his sister left, Swabura was complaining about an extreme stomach pain. The report states that Swabura told her husband that the pain started almost immediately after she ate the meal that Wowa cooked for her.
As Swabura's condition worsened, her face grew pale, she began to vomit and her nose began bleeding uncontrollably.
While Muhammad frantically tried to find a rental car in order to drive his wife to the hospital, Swabura died inside the home. Since he was financially unable to pursue legal action for the loss of his wife, Muhammad buried Swabura the very next day.
The source who spoke with Morning Star News said they believe that Wowa was encouraged and possibly paid by other Muslims to carry out the murder of her convert sister-in-law, which she knew would leave 11 children without a mother.
"We suspect that Muhammad's sister, Jafaran Wowa, was given a lot of money to carry out the heinous act," the area source said. "This was a deadly drug, like rat poison or Bromethalin."
Swabura and Muhammad have received numerous death threats since their conversion from Islam to Christianity last November, which is considered by some hardline Muslims to be apostasy and a crime punishable by death.
"We are fearing for our lives as the Muslims are threatening to kill us if we continue in Christianity," Muhammad told Morning Star News in an interview in May.
The couple's pastor, James Kalaja, who pastors the New Hope Church in Nabuli, has also received threats for his leadership role in the church, which has forced him to move his family to another village that he feels is a less dangerous environment for them. Kalaja asserted that Christians are not safe in Nabuli.
"I only go to conduct service," Kalaja told Morning Star News. "Christians are facing threats here and the Muslims would not like to see a church in Nabuli village. It is sad that we have just lost our sister. The Christians are shaken by her death. We have been praying for Muhammad due to several threatening messages that he has been receiving through his phone."

Source: Christian Post 

JE, YUKO WAPI MUNGU BABA KWENYE AGANO LA KALE?

Image may contain: sky, cloud, text and outdoor
Ukweli unaoshangaza ni kwamba watu walioishi ziku za Agano la Kale walikuwa na uelewa mdogo sana juu ya Mungu Baba. Bali yeye alikuwepo na kwa kweli ametajwa mara-kadhaa.
Moja ya sababu zilizomfanya Kristo aje duniani kama mwanadamu ilikuwa ni kumdhihirisha Baba (Yohana 1:18; 5:37; 8:19; 14:7; Luka 10:22). Asingeweza kumdhihirisha iwapo kama Mungu wa Agano la kale ambaye ndiye Waisraeli walimjua, alikuwa ni Baba.
Tena basi kisababisho cha kwanza cha kuwepo kwa Mtu ambaye hatimaye alikuwa ndiye Baba kinapatikana kwenye sura ya kwanza kabisa ya ya Biblia. “Mungu akasema, Na tumfanye [sio mimi] mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu;....” (Mwanzo 1:26). Hii haiashirii “uwingi wa mwenyezi” kama wasomi na wanazuoni wengine wanavyofikiri).
Kwenye aya ya 2 tumepewa jina linguine la “Bwana [YHVH] Mungu”” kama mshiriki mlengwa wa matendo na maneno wa hii “sisi.” Kumbe huyu –Wamilele (ambayo naiyo maana ya neno YHVH)—ndye kila mara ndiye anayeshughulika na wanadamu kama ujumbe wa Biblia unavyosema. Kwenye Mwanzo 14:18, tunamkuta Mtu huyu akiwa kama “mfalme wa amani na haki” (Melkizedeki kwenye Waebrania), “mfalme wa Salemu” (amani). Thibitisho? Usemi unaotumika hapa ni wa kumuelezea Melkizedeki huyu “kumeshuhudiwa kuwa anaishi”—kuwa ni wamilele (Waebrania 7:8). Kwa uthibitisho zaidi wa mwonekano huu wa Melkizedeki, msomaji anakaribishwa kuagizia jarida letu linalotolewa bure linaloitwa “Usiri kuhu Melkizedeki Umetatuliwa”.
Jambo la kuliangalia hata hivyo ni kwamba, Melkizedeki, YHVH, ndiye ambaye hatimaye alikuwa ni Yesu Kristo, aliyefanyika kuwa Mungu Mwana, ambaye kwa wakati ule alikuwa ni Kuhani (linganisha na Waebrania 7:1 na aya nyingine zinazofuatia na Waebrania 8:1), wa “Mungu Aliye Juu Sana”.(Mwanzo 14:18-22). Sasa, ni nani huyu basi aliyejulikana kama Mungu Aliye Juu Sana, mtu ambaye alikuwa ni kuhani? Basi Yesu mwenyewe na ajibu: “…Baba ni MKUU kuliko mimi. (Yohana 14:28).
Ni kweli,
Lakini hebu na tupate uhakika. Je, alikuwa ni Yesu Kristo gani mwana wa “na nguvu zake Aliye juu zitakufunika kama kivuli;” malaika alimwambia Mariamu kabla hata Yesu mimba yake haijatungwa kwamba “kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa Kitakatifu, Mwana wa Mungu … Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa Aliye juu,” (Luka 1:35,32).
Luka 8:28 na Marko 5:7 zinathibitisha kuwa Yesu ni “Mwana wa Mungu Aliye Juu Sana” na Mwana wa Mungu Aishie Juu Sana”. Baba ametajwa mara mbili zaidi kwa jina hili kwenye Agano Jipya—Matendo 7:48 na 16:17.
Ni nani basi Yesu anayetuambia tumuombe dua zetu? Ni Baba (Mathayo 6:9). Na ni nani ambaye Daudi alikuwa anamuomba? “Nitamwita MUNGU Aliye juu, Mungu anitimiziaye mambo yangu.” (Zaburi 57:2). Na tena “Nitamshukuru Bwana kwa kadiri ya haki yake; Nitaliimbia jina la Bwana aliye juu” (Zaburi 7:17).
Ndiyo, inawezekana kuwa kwa hakika Daudi alimjua Yule ambaye hatimaye atakuwa Baba (kumbuka, asingeweza kumuitwa Baba na huku akiwa bado hajawahi kuwa na Mwana. Melkizedeki, YHVH alikuwa hajawa Mwana bado). “Neno la Bwana [YHVH] kwa Bwana wangu, Uketi mkono wangu wa kuume, Hata niwafanyapo adui zako Kuwa chini ya miguu yako” Zaburi 110:1; Waebrania 1:13
Daudi aliimba, “Bwana alipiga radi toka mbinguni, Naye Aliye juu akaitoa sauti yake” (IISamweli 22:14).
Je, Musa pia alilijua hilo? “Aliweka mipaka ya watu Kwa kadiri ya hesabu…” Kumbukumbu la Torati 32:8).
Nebukadneza mpagani kwa hakika asingeona ni vigumu kuwaamini washiriki wawili walio mbalimbali lakini pamoja kwenye familia ya Mungu. Wababelonia waliabudu miungu mingi sana ya uwongo. Baada ya Nebukadneza kusababisha watu watatu wafungwe na watupwe kwenye tanuru la moto, hatimaye alichungulia ndani na kuwaona “Akajibu, akasema, Tazama, mimi naona watu wanne, nao wamefunguliwa, wanatembea katikati ya moto hali hawana dhara; na sura yake yule wa nne ni mfano wa mwana wa miungu.” (Danieli 3:25-26).
Nabii Danieli aliona kinabii kurudi kwa ufufuo na kupaa mbinguni kwa Kristo na kwenda mbinguni kwa Baba ili akaupokee Ufalme (pia soma Luka 19:11,12,15): “Nikaona katika njozi za usiku, na tazama, mmoja aliye mfano wa mwanadamu akaja pamoja na mawingu ya mbingu akamkaribia huyo mzee wa siku, wakamleta karibu naye.
Naye akapewa mamlaka, na utukufu, na ufalme, ili watu wa kabila zote, na taifa zote, na lugha zote, wamtumikie; mamlaka yake ni mamlaka ya milele, ambayo hayatapita kamwe, na ufalme wake ni ufalme usioweza kuangamizwa” (Danieli 7:13-14). Huyu “Mzee wa Siku” anayetajwa hapa anamaanisha ni Baba ingawaje kwenye aya ya 9 inaonyesha kuwa Mwana anaweza pia kuitwa “Mzee wa Siku” sawa tu na anavyoweza kuitwa Wamilele [YHVH].
Huenda hata manabii wanaweza kuwa na fununu kidogo zinazoonyesha kuwa Mungu alijulikana kama familia: “Ni nani aliyepanda mbinguni na kushuka chini? Ni nani aliyekamata upepo kwa makonzi yake? Ni nani aliyeyafunga maji ndani ya nguo yake? Ni nani aliyefanya imara ncha zote za nchi? Jina lake ni nani? Na ni nani jina la mwanawe, kama wajua?” (Mithali 30:4).
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

JE, YESU NI MUNGU?

Image may contain: cloud, sky, text, nature and outdoor


Na je, Yesu ndiye Yahova Baba wa Milele? Je, kuna Mungu mwingine zaidi ya huyu Mmoja? Tafadhali Nifafanulie.”
Maswali haya ili kuyajibu kwa kina yanahitaji makala iandikwe ukurasa mzima. Na makala kama hiyo itayaonekana ikiendelezwa kwenye nakala zijazo za Kwanini Yesu ni Mungu http://www.maxshimbaministries.com/…/je-bwana-yesu-anapataj… . Jibu litakalotolewa kwenye kipande hiki cha makala litakuwa ni fupi na litakosa maelezo ya kina kufafanua.
Ndiyo, Yesu ni Mungu, vinginevyo asingeweza kuwa Mwokozi wa wanadamu.1). Iwapo kama Yesu angekuwa ni mwanadamu tu basi kifo chake kingekuwa cha kutoa dhabihu ya kulipa deni la adhabu ya kumfanya mwanadamu mmoja aliyeichukua adhabu ya kosa kwa kuvunja au kuiasi Torati ya kiroho ya Mungu. Kwa kuwa ni Mungu Baba ndiye aliyeumba vitu vyote kupitia kwa Yesu Kristo.
(Waefeso 3:9) na kwa kuwa vimhusivyo mwanadamu vilifanywa na Yesu Kristo (Yohana 1:1-5 pamoja na aya ya 14; na aya ya 10; 1Wakorintho 8:6; Wakolosai 1:12-19). Yeye ndiye Muumbaji na kwa hiyo ni Mungu, na maisha yake aliyoyatoa yana thamani kubwa kuliko kiasi chochote cha mlinganisho wa ya wanadamu wote.
(2). Maisha pekeyake yanaweza kuanzisha maisha mengine. Hii ndiyo kanuni ya ki-Biokemia kwa kuwa Uzima wa Milele ni ZAWADI kutoka kwa Mungu, basi ni Mungu tu mwenye kuwa na uweza wa kutokufa ndiye anayeweza kuutoa uzima huu. Na kama Yesu angekuwa ni mwanadamu tu, basi tusingeweza kuupata uzima wa milele kupitia kwake na asingeweza kuwa Mwokozi. Wanadamu hawezi kuwa na uzima wa milele ndani yake mwenyewe, lakini kama Mungu alivyo kuwa “Maana kama vile Baba alivyo na uzima nafsini mwake, vivyo hivyo alimpa na Mwana kuwa na uzima nafsini mwake” (Yohana 5:26 na 1Yohana 5:11-12).
Kwa upande mwingine lakini, Yesu ni mwanadamu pia. Kwa kuwa ni mwanadamu ndiye aliyeziasi Sheria za Mungu ambaye yuhai wakati wote ((Yohana 1:1-2) ndipo kwa kweli alifanyika kuwa mwanadamu katika mwili (aya ya 14). Yeye aliyekuwa Mungu hakika akafanyika kuwa mwanadamu mwenye mwili (1Yohana 4:2-3). Alitungwa mimba na kuzaliwa na bikira Mariamu (Mathayo 1:18, 16, 23; na 2:2). Hakufanyika kuwa mwili tu, bali alifanyika pia kuwa mwanadamu kimwili na damu. (Waebrania 2:14).
Yesu aliijiita mara kwa mara kuwa ni Mwana wa ADAMU, na pia Mwana wa MUNGU, (Mathayo 16:13-17). Yuko SAWA na Mungu (Wakolosai 2:6). Aliitwa Mungu (Yuda 1:24-25; Tito 2:10,13). Kwa hiyo yeye ni Mungu. Biblia ina nukuu nyingi kuhusu jambo hili na zilizo hapo juu ni chache tu kati ya nyingine nyingi zinazoshuhudia.
Ndiyo, Yesu ni “Yehova” ingawaje neno hili limetafsiriwa vibaya kwenye Biblia ya Kiingereza ya Reversed Version. Jina asilia la Kiebrania lina consonanti “YHVH”. Lilipoandikwa kwa Kiebrania, vokali ziliachwa na zilisikika kwenye matamshi tu. Kwa hiyo, jina hasa lilikuwa halijulikani. Bali kwa leo inadhaniwa kuwa lilikuwa ni “Yahwe”. Maana yake kwa Kiingereza ni “WAMILELE” au “MWENYE KUISHI MILELE” au “ANAYE KUISHI NA KUDUMU KWA UWEZA WAKE MWENYEWE PASI KUTEGEMEZWA”. Ilistahili kuwa “Yahwe”, au ni kama ilivyozoeleka kuitwa “Yehova”, au ni kama ilivyoandikwa kwenye Biblia ya Authorised Version “BWANA” wa Agano la Kale ni Mungu Baba wa Yesu Kristo. Haya ni makosa makubwa sana! “Yahwe alikuwa ni Mungu wa Israeli. Na ndiye aliyekuwa anajulikana kuwa ni Mungu pekee kwenye ibada za Israeli. Wao hawakumjua Mungu Baba.
Kwenye Mwanzo 1 jina la Kiebrania lililotumika kutafsiri jina “Mungu” ni “Elohim”. Hili ni jina lenye umoja wenye muunganiko na wengi ndani yake kama tunavyotaja “kanisa” au “familia”. Kanisa na familia vinajumuisha watu wengi ndani yake, zaidi ya mmoja, lakini bado linaitwa kanisa au familia moja. Kwa mtazamo wa aina hii jina “Elohima” linaashiria wote wawili, Mungu Baba na Yahwe ambaye ni “Logos” au NENO la Mungu ambaye kwao Roho anatokea, Roho Mtakatifu ambaye ni UZIMA, KITU HALISI na UWEZA wa Mungu.
Yesu analipokuwa akiliombea Kanisa alisema kwamba waumini wake wote wawe “kitu KIMOJA” (Yohana 17:11, 21). Kanisa ni Mwili MMOJA, lakini limeundwa kwa waumini wengi (1Wakorintho 12:12). Na mume na mke ni MWILI MMOJA, lakini wanaonekana kuwa ni watu wawili walio mbalimbali. Kwa hiyo Kristo na Mungu Baba ni Mungu MMOJA, na sio Miungu miwili, na—“ELOHIM” Mmoja. Na ndio maana Elohim alisema “NA tumfanye mtu kwa mfano WETU” (Mwanzo 1:26).
Yahwe alikuwa ndiye “NENO” au msemaji wa ofisi ya Uungu—mshiriki wa pili. Mara tu baada ya Mungu kuanza KUONGEA na wanadamu, ilikuwa ni yuhu “Yahwe” ndiye aliyekuwa akiongea nao (imetafsiriwa “BWANA” kwenye tafsiri ya Authorised na “Yehova” kwenye tafsiri ya Revised Version). Tazama kwenye Mwanzo 2:16, 18, nk, na pia tazama kwenye Kutoka 20:2, nk—kila mara inasema “Yahwe” kwenye tafsiri asilia ya Kiebrania “NENO” aliyefanyika mwili. Ili kuthibitisha hili kunahitaji masomo ya kina na yatakayogharimu kurasa nyingi kwa mamia ili kuthibitisha hili.
Ili kuthibitisha kiufupi, fananisha na Isaya 6:1-3 na 10 na Yohana 12:39-41; Isaya 8:13 na 1Petro 2:7-8; Isaya 40:3 na Mathayo 3:3 na Marko 1:3. Yohana alitengeneza njia kwa ajili ya “Yahwe” (Isaya 40:3) ambaye ndiye Kristo (Marko 1:12-15) kwenye Ufunuo 1:17, 8 na 22:13, Yesu Kristo (pia tazama Ufunuo 22:16 kwa uthibitisho kuwa alikuwa ni Yesu aliyekuwa anasema) alijiita kuwa yeye ni “Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho, wa Kwanza na wa MWisho”. Kwenye aya zilizo kwenye Isaya 44:6 na 48:11-12, (aya za 17-18 zinaonyesha kuwa ni Yahwe aliyekuwa akinena) na Isaya 41:4, YAHWE ni wa Kwanza na wa Mwisho Kwenye 1Wakorintho 10:1-4 “MWAMBA” wa Agano la Kale ulikuwa ni Kristo. Kwenye Kumbukumbu la Torati 32:3-4; IISamweli 22:2-3, 32; na Zaburi 18:1-2; “MWAMBA” huu huu ni Yahwe. Wakati Musa alipokuwa anaongea na YAHWE, na kumuuliza jina lake, (Kutoka 3:4-5, 13), alimjibu kuwa jina lake ni MIMI NIKO (aya ya 6 na 14) na YAHWE (aya ya 15). Pia tazama Kutoka6:2-3. Kwenye Yohana 18:5-8, mara tu baada ya Yesu kujitambulisha kwa makutano walioongozwa na Yuda kuwa yeye ni “MIMI NIKO” (kiponauni cha “yeye” kwenye uandishi mlalo kimeongezwa pasipo uvuvio, na hakikuwepo kwenye nakala asilia za mwanzoni), ndipo walirudi nyuma na kuanguka chini. Tena kwenye Yohana 8:56-58, Yesu aliijiita mwenyewe “MIMI NIKO”. Pia kwenye Ufunuo 1:10 na mahali pengine.
Mtu mwenye Uungu ambaye ndiye MKOMBOZI wetu ni Yesu Kristo (Yohana 4:42, Wagalatia 3:13, Wafilipi 3:20, Tito 2:10-14, Luka 1:58-59, nk, nk. Yesu Yule ndiye YAHWE, tazama kwenye Isaya 49:7; Isya 60:16; ambapo panasema pia kuwa yeye “Mwenyezi wa Yakobo”—(kwa hiyo, kuwa ni WA Yakobo kunamaanisha mwana, au uzao wa Yakobo)—Mwenyeenzi wa wana wa Yakobo. Pia kwenye Isaya 48:17 inasema YAHWE ndiye Mkombozi, na Mtakatifu wa Israeli—Ndiye aliye Mtakatifu wa Israeli! Ni sawa na ilivyoelezewa kwenye Isaya 43:14. Kumbuka pia aya inayofuatia (15), YAHWE ni Mtakatifu wa Israeli, Muumbaji wa Israeli, Mfalme wa Israeli. Sasa tega usikivu wako kwenye Matendo 3:14 ambako ni Kristo waliomkataa Wayahudi alikuwa ni huyuhuyu “MTAKATIFU—YAHWE! Pia tazama Matendo 2:27 na Marko 1:24.
Je, Daudi mchungaji alikiwa ni nani?—Zaburi 23:1, YAHWE. Kwenye Yohana 10:11, Yesu alisema kuwa yeye alikuwa ni mchungaji. Pia Waebrania 13:20, na 1Petro 2:24-25, na 5:2-4. Ni YESU KRISTO anayekuja tena Kimwili na akiwa Mfalme wa Wafalme kutawala, kuja KUYAFANYA MAMBO YOTE UPYA, (Ufunuo 19:13, 15; 17; 14; 1:5; na Matendo 3:20-21). Mchungaji Mkuu anayekuja KUTAWALA akiwa kama MFALME wa Mfalme wote ni YAHWE—Ezekieli 34:11, 30-31; na sasa weka mtazamo wako kwenye Isaya 2:1-4 na Mika 4:1-4— Lakini itakuwa katika siku za mwisho, ya kwamba mlima wa nyumba ya Bwana [YAHWE] utawekwa imara juu ya milima, nao utainuliwa juu ya vilima; na watu wa mataifa watauendea makundi makundi.Na mataifa mengi watakwenda na kusema, Njoni, twende juu mlimani kwa Bwana, na nyumbani kwa Mungu ‘YAHWE] wa Yakobo; naye atatufundisha njia zake, nasi tutakwenda katika mapito yake; kwa maana katika Sayuni itatoka sheria, na neno la Bwana litatoka Yerusalemu Naye atafanya hukumu kati ya watu wa kabila nyingi, naye atawakemea mataifa wenye nguvu walio mbali; nao watafua panga zao ziwe majembe, na mikuki yao iwe miundu; taifa halitainua upanga juu ya taifa lingine, wala hawatajifunza vita tena kamwe. Bali wataketi kila mtu chini ya mzabibu wake, na chini ya mtini wake; wala hapana mtu atakayewatia hofu; kwa kuwa kinywa cha Bwana wa majeshi kimesema hivi.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

Friday, February 8, 2019

ASIYE NA DHAMBI AWE WA KWANZA KUTUPA JIWE

Image may contain: 1 person, text


Tuanze na kujifunza maana ya "Dhambi". Dhambi ni nini?

Dhambi ni tendo, hisia, au wazo lolote linalopingana na viwango vya Mungu. Inatia ndani kuvunja sheria za Mungu kwa kutenda mabaya, au ukosefu wa uadilifu, kwa maoni ya Mungu. (1 Yohana 3:4; 5:​17) Biblia pia inaeleza kuhusu dhambi ya kutofanya lililo sawa ingawa mtu anajua alipaswa kulifanya.​—Yakobo 4:​17.

Katika lugha za awali za Biblia, neno dhambi linamaanisha, “kukosa shabaha.” Kwa mfano, askari fulani katika Israeli la kale walikuwa na ustadi wa kutupa mawe kwa kombeo “bila kukosea.” Maneno hayo yanapotafsiriwa kihalisi yanamaanisha “bila kufanya dhambi.” (Waamuzi 20:16) Hivyo, kufanya dhambi ni kukosa shabaha ya viwango vikamilifu vya Mungu.

Kwa kuwa Mungu ndiye Muumba, ana haki ya kuwawekea wanadamu viwango. (Ufunuo 4:​11) Tunawajibika kwake kwa matendo yetu.​—Waroma 14:12.

Sasa tusome aya kutoka Biblia Takatifu Injili kutokana na Yohana Mlaongowa 8 aya ya 2 mpaka 11:

“2 Hata asubuhi kulipokucha akaingia tena hekaluni, na watu wote wakamwendea; naye akaketi, akawa akiwafundisha. 3 na Mafarisayo wakamletea mwanamke aliyefumaniwa katika uzinzi, wakamweka katikati. Wakamwambia, Mwalimu, mwanamke huyu amefumaniwa alipokuwa akizini. Basi katika torati, Musa alituamuru kuwapiga kwa mawe wanawake namna hii; nawe wasemaje? Nao wakasema neno hilo wakimjaribu, ili wapate sababu ya kumshitaki. Lakini Yesu akainama, akaandika kwa kidole chake katika nchi. Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe. Akainama tena, akaandika kwa kidole chake katika nchi. Nao waliposikia, wakashitakiwa na dhamiri zao, wakatoka mmoja mmoja, wakianzia tangu wazee hata wa mwisho wao; akabaki Yesu peke yake, na yule mwanamke amesimama katikati. Yesu akajiinua asimwone mtu ila yule mwanamke, akamwambia, Mwanamke, wako wapi wale washitaki wako? Je! Hakuna aliyekuhukumu kuwa na hatia? Akamwambia, Hakuna, Bwana. Yesu akamwambia, Wala mimi sikuhukumu. Enenda zako; wala usitende dhambi tena.”] (Yohana 8:2-11)

KWANINI MAFARISAYO WALIMLETEA HII KESI YESU KRISTO?

Kisa hiki ni maarufu sana katika Biblia. Hii ilikuwa ni mojawapo ya kesi ngumu iliyowasilishwa kwa Yesu ili kumjaribu wamwone atasemaje. Maandiko yanasema waziwazi ya kwamba nia ya washtaki wa mwanamke mzinzi kwenye kesi hii haikuwa nia njema ya kuzuia uvunjwaji wa sheria; bali waliitumia kesi hiyo kama kisingizio cha kumjaribu Yesu huku wakimtafutia “sababu ya kumshtaki Yesu”.

Yesu hali akijua hila zao, alinyamaza kimyaaaa. Tunasoma maandiko yakisema “nao walipozidi kumhoji”, yaani waliendelea kumshinikiza wakitaka atoe majibu kama anakubali sheria ichukue mkondo wake dhidi ya mwanamke mzinzi, au anapingana na sheria halali, ili wapate “sababu ya kumshtaki”. Mwishowe Yesu akatoa tamko lake akisema: “Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe” kisha aliinama chini akaanza kuandika chini kwa kidole chake. Sasa hapa ndipo palipo na ujumbe kuhusu mada hii. Kwanini Yesu alisema yeye asiye na dhambi miongoni mwao awe wa kwanza kumtupia jiwe? Pili, alipoinama akaanza kuandika chini aliandika nini?

YESU ANAJUA YALIO NDANI YETU.

Kujibu swali la kwanza ni kwamba, Yesu kusema asiye na dhambi miongoni mwenu hakuwa na maana kwamba alikuwa anatafuta mtu asiye na dhambi kabisa miongoni mwao. Lugha asilia inasema Yesu aliwahoji kama kweli yupo mmoja kati yao ambaye “hajafanya dhambi yoyote iliyostahili hukumu ya kifo kama ya mwanamke mzinzi”. Yaani hakutaka wengi wasio na dhambi iliyostahili hukumu ya kifo, bali alitaka angalau hata mmoja tu kati yao asiyekuwa na dhambi inayostahili hukumu ya kifo!

Haya swali la pili, la alipoinama chini aliandika nini? Hakuna ushahidi wa kimaandiko ya kwamba aliandika nini chini. Lakini baadhi ya wataalamu wa tafsiri za maandiko ya kale wanasema alikuwa akiandika orodha ya dhambi zilizostahili hukumu ya kifo ambapo kila mmoja alisoma dhambi yake na kuamua kuondoka bila kuaga kuanzia mzee mpaka mtu wa mwisho.

ORODHA YA DHAMBI ZILIZOSTAHILI HUKUMU YA KIFO

Kimsingi, ni kweli ya kwamba katika Agano la Kale, ambalo lilikuwa na katiba (torati) iliyozingatia utawala wa sheria, lilidhibiti uhalifu na makosa ya jinai kwa adhabu kali kuanzia kupigwa viboko mpaka hukumu ya kifo cha kupigwa mawe.

Zilikuwepo zaidi ya sheria kumi na nne ambazo makosa yake yalistahili hukumu ya adhabu ya kifo. Baadhi yake ni kama hizi zifuatazo: Dhambi ya kuua kwa kukusudia ( Kutoka 21:12-14; Mambo ya Walawi 24:17,21), dhambi ya kushambulia au kulaani mzazi (Kutoka 21:15,17), Kutokutii wazazi (Kumbukumbu la Torati 21:18-21); biashara ya binadamu(Kutoka 21:16), mifugo ya wanyama ikishambulia na kuua watu na mwenye mifugo asizuie maafa hayo (Kutoka 21:28-29); dhambi ya uchawi (Kutoka 22:18; Mambo ya Walawi 20:27), Kutoa kafara binadamu (Mambo ya Walawi 20:2-5); Kufanya ngono na mnyama (Kutoka 22:19, Mambo ya Walawi 20:16), kufanya kazi siku ya Sabato (Kutoka 31:14; 35:2; Hesabu 15:32-36); Kuzini (Mambo ya Walawi 20:10; Kumbukumbu la Torati 22:22), ushoga na ulawiti (Mambo ya Walawi 20:13), Binti ya kuhani akifanya ukahaba (Law.21:9); Dhambi ya kukufuru (Mambo ya Walawi 24:14,16,23), dhambi ya kumwasi kuhani (Kumbukumbu la Torati 17:12).

WOTE SISI NI WATENDA DHAMBI

Haya tukirejea kwenye hoja ya msingi ya jibu la Yesu kwa waandishi na mafarisayo akiwataka kama yuko hata mmoja asiyekuwa na dhambi iliyostahili hukumu ya kifo sawa na ile waliyokuwa wakimshtakia yule mwanamke mzinzi; na wote wakaondoka bila kuaga, hiyo ikathibitisha waziwazi ya kwamba, hapakuwepo hata mmoja ambaye alistahili kumhukumu yule mwanamke mzinzi.

Kumbe wote walikuwa wamefanya dhambi mbali mbali zilizostahili nao wapigwe mawe kama yule mwanamke mzinzi. Inawezekana kweli hapakuwepo mzinzi kama yule mwanamke, lakini walikuwa na dhambi nyingine zinazostahili hukumu yenye uzito ule ule sawa na mwanamke mzinzi!

Biblia ndicho kitabu pekee chenye kuhukumu kwa haki bila upendeleo wala ubaguzi. Neno la Mungu katika Biblia halina unafiki wala hila ndani yake. Tunapolisoma na lenyewe linnatusoma na kutuhukumu dhamiri zetu hata kama tutajifanya hatuna hatia kwa nje. Biblia imeandika waziwazi ya kwamba: “Kwa sababu wote wamefanya dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu;..” (Rum.3:23); na kisha imeandikwa ya kwamba: “Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti;..” (Warumi 6:23)

KUKUBALI KOSA KABLA YA KUSAMEHEWA.

Mwanamke aliyefumaniwa uzinzi,alijikubali kwamba amefanya kosa,ndio maana tunaona hakujibu chochote cha kujitetea mbele za Yesu. Sababu kama asingekubali kosa lake angeliweza kujitetea,lakini alikaa kimya hata akasamehewa.

Mara nyingi sisi tunajihesabia haki penye makosa.

Yeye mwenye kujihesabia haki hali ni mdhambi,hawezi kupokea msamaha wa kweli. Kwa sababu kanuni ya kusamehewa ni lazima mmoja akubali makosa yake ndipo msamaha uachiliwe na msamaha wa namna hii uwa na nguvu sana.

YESU KRISTO ANAYO AMRI DUNIANI YA KUSAMEHE DHAMBI.

Imeandikwa;

“ Lakini, mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya kusamehe dhambi, (alimwambia yule mwenye kupooza). Nakuambia, Ondoka, ujitwike kitanda chako, ukaende zako nyumbani kwako. “Luka 5:24

Hakuna mwanadamu anayepaswa kumuhukumu mwanadamu mwenzake kwa sababu ya dhambi aliyotenda sababu mwenye kuhukumu ni Mungu mwenyewe.

KAMA HAKUNA ALIYEKUHUMU HATA MIMI SIKUHUKUMU

Sasa tumefika kwenye kiini cha ujumbe wa leo. Baada ya washtaki wote kukimbia na mwanamke mzinzi kuachwa peke yake, ndipo Yesu alipomwuliza kama hakuna hata mmoja aliyejitokeza kumhukumu kuwa na hatia, na mwanamke akasema hakuna. Yesu akamwambia, “Wala mimi sikuhukumu”!

Kumbuka ya kwamba, kwa viwango vya kimaadili, ni Yesu peke yake ambaye hakuwa na dhambi hata moja. Kwa hiyo, kibinadamu Yesu ndiye aliyestahili kumhukumu huyu mwanamke mzinzi. Lakini pasipo kutarajia mwanamke mzinzi alishangazwa na kauli ya Yesu pale alipotamkiwa “uhuru wa kuishi” tena. “Wala mimi sikuhukumu”

Swali ni kwanini Yesu hakumhukumu mwanamke mzinzi wakati Yesu alisema alikuja kuitimiliza torati? Hivi kumwachia huru sio kuendeleza uzinzi badala ya kuudhibiti? Majibu ya maswali haya yapo ndani ya tafsiri ya jina la Yesu mwenyewe ambalo ndilo lilibeba utume wa kuja kwake duniani:

“Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye.” (Yohana 3:17)

Bila shaka hapa unaweza kubaini ya kwamba, Yesu kutokumhukumu mwanamke mzinzi alikuwa akitekeleza utume aliotumwa na Baba yake. Kuokoa na sio kuhukumu! Kuokoa na sio kuhukumu! Hili lilitabiriwa na malaika Gabrieli kuhusu kazi ya jina la Yesu kama tusomavyo:

“Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake na dhambi zao.” ( Mathayo 1:21)

ENENDA ZAKO USITENDE DHAMBI TENA

Kwa hiyo, maana ya “kutokuhumu” sio “kubariki maovu” yaendelee kushamiri pasipo udhibiti. “Kutokuhukumu” kwa mujibu wa Yesu maana yake ni kumpa nafasi nyingine (second chance) mwenye dhambi aweze kujirekebisha kitabia baada ya kufutiwa makosa yake bure na Yesu Kristo. Na ndivyo Yesu alivyofanya kwa yule mwanamke mzinzi: “Enenda zako; wala usitende dhambi tena.”

Kauli ya “usitende dhambi tena” ni kiashiria cha kufutiwa dhambi zilizokwisha kufanywa nyuma, na kwamba inawezekana kuishi pasipo kutenda dhambi tena baada ya kukutana na Yesu ana kwa ana kama mwanamke yule mzinzi!

Mpendwa msomaji wangu. Kabla hutujatoa hukumu dhidi ya wakosaji wengine miongoni mwetu, hebu tujihoji kwanza kama sisi wenyewe pia tuna hatia katika maisha yetu ya faragha. Ukijikuta nawe una hatia katika eneo lolote hata kama watu wengine hawajui ukweli wa dhambi zako za siri, basi uzuie ulimi wako kutoa hukumu dhidi ya dhambi za wengine.

Hii haina maana mtu akikosea asiambiwe ukweli wa makosa yake kwa nia ya kumshawishi ajirekebishe. Kinachokatazwa ni kumtakia hukumu ya adhabu ambayo ikikugeukia wewe hutaifurahia. Jifunze kusamehe bila masharti. Lakini kama dhamiri yako inakuhukumu kwa dhambi zako, ufumbuzi wake ni kumkaribisha Yesu Kristo katika maisha yako na kumwomba akujaze Roho Mtakatifu atakayekusaidia kuishi maisha mapya ya utakaso wa kweli.

Kama ujumbe huu umekugusa nijulishe kwa ku-like post hii, wajulishe marafiki zako kuhusu page hii pia. Mungu akulinde na kukubariki kwa wingi wa fadhili zake katika jina la Yesu, AMINA!!

Shalom

An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance

  Title: An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance Au...

TRENDING NOW