Sunday, September 10, 2017

Muslim Man Marries Young Bride And Proceeds To Slice Off Her Nose, Then The Abuse Gets Even Worse


AImage result for muslim man cuts wife's nosen unfortunate Muslim wife has almost literally loses her face after an inhumane torture acquired after requesting to her husband for one thing.
When a Muslim man married an 18-year-old girl, he believed he was acquiring a subservient wife who would fulfill his every desire. However, as soon as she stood up to him and made a very “dishonorable” request, that’s when she received the horrific punishment from her husband.
Over 1,400 years ago, the Islamic Prophet Muhammad told his followers that men are superior to women by right of Allah and that they must prove this to disobedient wives by physically beating them. The most devout Muslim men obey this scripture from Quran 4:34, although many get a little too creative with what Allah has commanded.
After Alamzeb Rehman married 18-year-old Gul Shifa in Karmang, Pakistan, he soon realized that his teen bride needed extra instruction on how to be a good Muslim wife. Faithfully adhering to Quranic scripture and Muhammad’s own demonstration of wife-beating, Alamzeb took to regularly beating his young wife for two years, hoping that she would learn to submit. Instead, she mustered up the courage to request something wholly un-Islamic — a divorce.
Gul Shifa said her husband Alamzeb subjected her to mistreatment because she was trying to walk out of a bad marriage.
In her complaint to the DPO, the 20-year-old from Ahal village said she was 18 when she was married off to Alamzeb, son of Abdul Rehman, from Karmang village.
Soon after their marriage in August 2014, Gul attempted to escape her new husband’s brutality by running back to her parents’ house. On two separate occasions, the battered and terrified woman was returned to Alamzeb, who had convinced her father that he would stop the abuse.
After a third instance, an assembly of religious leaders called a jirga came together to decide the couple’s fate. Adopted by many Muslims in Pakistan, the jirga concluded that Gul should not be granted separation from Alamzeb and that she should be returned to his house immediately.
The hapless woman saw no other route but to escape. Fearing she may be sent back into the abusive relationship, Gul Shifa chose not to go back to her parental home.
She reached Gandiyan Bridge, a few kilometres from her house, by foot.
“Tired of the constant walking, I decided to rest under a tree for a few minutes,” she said.
“That is when a police van stopped near me and the personnel took me back to my husband’s home after questioning.”
Gul Shifa said her husband severely beat her again when she returned home.
This was the final straw that prompted Alamzeb to accuse Gul of adultery, which subsequently increased the number and severity of her beatings. It was not long after her return that Alamzeb locked her in her room and invited over his brother to carry out his gruesome plans.
While there, the men attempted to force Gul under horrific torture to confess to having an affair. When she refused, they shaved her head, hacked off her nose with a kitchen knife, and began round two of their torture session.
“They also burnt my body parts repeatedly with a hot iron,” she said.
As Gul lie bleeding and near death, she cried for her husband to bring her to a local hospital. The brothers even denied her access to a medical facility as they feared legal action. Instead, the brothers offered their own inexperienced medical treatment, bandaging her various wounds to little avail.
The woman said both the brothers had gone out to a market in Karachi when she escaped and managed to reach her parents’ home back in Ahal village where they rushed her to receive the emergency medical attention that saved her life. When she spoke of her nightmare, her family took her to the police station, but officers refused to file a case as the offence was committed in Karachi.
Permanently disfigured and suffering from the trauma she endured, it’s recently come out that Gul’s horrific plight could’ve easily been prevented by authorities several times.
However, she then proceeded to the district police officer who ordered that an FIR should be registered, and arrest of the suspects.
The police sent her for a medical examination and said a case would be filed after the results are obtained.
Police are currently investigating Gul’s case. Fortunately, Rafique has been arrested, but Alamzeb is still on the run, believed to have fled back to his home village in Karachi.
This kind of abuse is not only prevalent in Islam, it is a fundamental of the violent ideology. From the moment Muhammad ordered men to beat their wives, and beat his own in the process, billions of Muslim men would be encouraged and justified in domestic abuse over the next millennium. Since their prophet’s tyrannical reign, Muslims have committed 91 percent of honor killings worldwide, and it is only increasing in brutality and number.
Sources:  MWN

JE UNAIJUA HOJA KUBWA NA PEKEE YA WASABATO "SDA" KUHUSU KUSHIKA SABATO? SEHEMU YA TATU

Image may contain: 1 person, standing and outdoor
3. MUNGU SI MTU HATA ASEME UONGO 
Wakinukuu andiko la Hesabu 23:19 kwa hiyo wanasema eti kwa kuwa Mungu alisema mtaishika Sabato (Kutoka31:16) basi ni lazima kuishika tu na kamwe Mungu hawezi kusema uongo akiagiza kuishika ni lazima iwe kushika, jibu la hoja hiyo ni hili. Ni kweli Mungu si mtu hata aseme uongo lakini ni lazima tuelewe Mungu ni mwamuzi wa yote,yeye ndiye mfanya sheria na pia ndiye muondoa sharia (Isaya 33:22) Mungu akiweka sheria halafu akaiondoa na kuiweka nyingine haimfanyi Mungu kuonekana muongo au haimaanishi kuwa Mungu kasema uongo.
Mungu aliye iweka sheria ya Sabato ya mwilini na ndiye mwamuzi wa kuiondoa na hakuna wa kumuuliza, vyote ni vyake yeye Mungu baada ya kuweka sheria ya Sabato ya mwilini au ya kupumzika Jumamosi akaahidi kuikomesha au kuisitisha au kuivunja (Hosea 2:11) na anatimiza kwa kuivunja (Yohana 5:2-9) kubeba mzigo siku ya sabato ilikuwa ni kuivunja Sabato (Yeremia 17:21) na huyu Yesu aliyevunja sabato ndiye aliye tuamuru watu wote duniani kumuiga Yesu katika yote ikiwemo na la kuvunja Sabato (Mathayo 11:29).
USIKOSE SEHEMU YA NNE
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu na Mwokozi wetu.

KWANINI WACHAWI WANAVAA MSAHAFU MGUUNI NA KUINGIA NAO CHOONI?

Image may contain: one or more people and text
NINI MAANA YA UCHAWI?
Al Azhari ambaye ni mtungaji wa kamusi maarafu ya kiarabu iitwayo “LisanulArab” amesema:
“Neno “Uchawi”, kwa kiarabu “As Sihr”, maana yake ni kitendo cha kujikurubisha na Shaytwaan na kwa msaada wake (Shaytwaan)”, na akasema pia kuwa; “Uchawi ni kulibadilisha jambo mbali na uhakika wake, nako ni kuwadhihirishia watu jambo lisilo la kweli wakaliona kuwa ni la kweli.”
Ama Swahaba Ibni 'Abbaas (Radhiya Allaahu ‘anhu) amesema:
"Uchawi ni kuidhirisha batili katika sura ya haki."
Hayo ni katika kamusi za lugha.
Amma katika kamusi ya dini, maana ya neno Uchawi (As Sihr), kama alivyofasiri Mwanachuoni mkubwa Fakhruddin Al Razi kuwa;
"Ni kila jambo lililofichika sababu zake, linalotokeza kwa sababu zisizo za kawaida na ndani yake mna hadaa (khidaa)."
Amma Shaykh Wahiyd Abdulsalaam Bali, mwandishi wa kitabu maarufu kiitwacho 'Al Saarim Al Batar fiy muhaarabat Al Saharatul ashraar', na kitabu kiitwacho "Al wiqaya mina l jinni wa shaytan", ambaye pia ni mtaalamu maarufu katika elimu ya majini na Mashaytwaan na uchawi na ambaye pia ni katika maulamaa maarufu wanaotoa majini kwa njia ya kusoma Qur-aan, yeye anasema:
"Uchawi ni makubaliano baina ya mchawi na Jinni akishurutishwa mchawi kufanya mambo ya haramu au ya shirki, na baada ya kufanya hayo, Jinni anashurutishwa kumsaidia na kumtii mchawi huyo kwa kila anachotaka."
Baadhi ya yale ambayo mchawi anatakiwa na Shaytwaan ayatende ili ajikurubishe naye ni:
 Mchawi anatakiwa auvae msahafu miguuni na aingie nao chooni
 Aandike baadhi ya aya za Qur-aan kwa damu ya hedhi.
 Miongoni mwao wanashurutishwa kuandika aya za Qur-aan penye nyayo za miguu.
 Au aiandike suratul Fatiha kinyume nyume.
 Asali bila ya Udhuu.
 Wengine hutakiwa kuchinja mnyama na kulitaja jina la Allaah kisha amtupe mnyama huyo mahali maalum anapoamrishwa na Shaytwaan.
 Wamo miongoni mwao wanaozungumza na nyota au kuzisujudia.
 Au hutakiwa kuandika herizi kwa maneno yenye kufru ndani yake
USILIKOSE SEHEMU YA PILI == VIPI TUNAWEZA KUMJUA MCHAW

MAANDIKO YA MAOMBI YA UPONYAJI

Image may contain: text
1. Zaburi 91:16 Kwa siku nyingi nitamshibisha, Nami nitamwonyesha wokovu wangu.
2. Zaburi 103:3 Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana, Wala usizisahau fadhili zake zote.
Akusamehe maovu yako yote, Akuponya magonjwa yako yote
3. Yeremia 30:17 Maana nitakurudishia afya, nami nitakuponya jeraha zako, asema Bwana, kwa sababu wamekuita, mwenye kutupwa, wakisema, Ni Sayuni, ambao hapana mtu autakaye.
4. Zaburi 118:17 Sitakufa bali nitaishi, Nami nitayasimulia matendo ya Bwana.
5. Yohana 10:10 Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele.
6. Zaburi 107:20 Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao.

UNAFAHAMU KUWA NABII WA WASABATO ELLEN G. WHITE JUMLA YA GEMATRIA YAKE NI 666?

Image may contain: text
Nini maana ya 666?
Katika Ufunuo sura ya 13, namba 666 hubainisha mtu, si tarehe. Ufunuo 13:18 inatuambia, "Hapa ndipo penye hekima. Yeye mnyama huyo; maan ni hesabu ya sita, sitini na sita. Kwa karne silizopita watafsiri wa Biblia wamekuwa wakijaribu kutambua baadhi ya watu wenye 666. Hakuna kubaliano kamili. Hiyo ndio sababu Ufunuo 13:18 inasema namba hii inahitaji hekima.
Sasa tangia 666 ni namba la jina lake huyu mnyama aliye tajwa kwenye Kitabu cha Ufunuo, hebu tuangalie kama jina la ELLEN G WHITE, nabii na mwanzilishi wa dhehebu la Wasabato anakidhi hii namba.
Sasa tuangalia GEMATRIA ya jina lake:
Ellen = L+L=100,
Gould = U+L+D = 555,
White = a double 'U' = 2 'V's +1 = 11.
Jumla ya hizo namba hapo juu tunapata 100 + 555 + 11 = 666
Hivyo basi, Ellen Gould White, mwanzilishi wa "Seventh Day Adventist" ana jumla ya namba 666. Mimi simuhukumu Ellen G White bali nawaonyesha tu wasomaji na mfanye maamuzi yenu wenyewe.
ELLEN GAULD WHITE.
L=50
L=50
E=
N=
G=
A=
U=5
L=50
D=500
W=10
H=
I=1
T=
E=
Jumla ni 666
Hebu sasa twende mbele zaidi na tuangalia kauli mbiu ya Wasabato, je, na yenyenewe inakidhi namba 666 kama ilivyo kwa Ellen G White?
CURE VITAL SEVENTH DAY.
C=100
U=5
R=
E=
V=5
I=1
T=
A=
L=50
S=
E=
V=5
E=
N=
T=
H=
D=500
A=
Y=
Jumla ni 666
Huyu ndie nabii mwanamke wa Wasabato na mmilki wa namba 666 aliyetabiriwa katika kitabu cha Daniel na Ufunuao Daniel 9:27 17:5, 13:18.
Huu ni mtindo wa manabii wa kiyahudi ujulikanao GEMATRIA yaani kukuokotia herufi kwenda namba.
Je, mnakata niweke na thibitisho la kujiita sauti ya Mungu alilo lidai Ellen G White kuwa ni 666?
USIKOSE "ELLEN G WHITE 666"
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Krito, Mungu Mkuu na Mwokozi wetu.

JE UNAIJUA HOJA KUBWA NA PEKEE YA WASABATO "SDA" KUHUSU KUSHIKA SABATO? SEHEMU YA NNE

Image may contain: sky, cloud, text, nature and outdoor
4. WANASEMA MUNGU ALISEMA HAWEZI KULIVUNJA AGANO LAKE NA HAWEZI KUBADILI NENO LILILOTOKA KINYWANI MWAKE
Kwahiyo wanasema Mungu aliweka agano na mwanadamu na agano hilo ni agano la Sabato na kwa kuwa Mungu alisema watu waishike Sabato basi hawezi kamwe kulibadili neno lake.
Wakinukuu maandiko yafuatayo Zaburi 89:34 na Kutoka 20:8-11. Majibu ni haya, ni muhimu kujua andiko hili la Zaburi 89:34 linazungumzia agano gani, kwa kuwa katika Biblia kuna maagano mengi ambayo Mungu alifanya na wanadamu kwa mfano;
Mungu alifanya agano na Nuhu na kizazi chake (Mwanzo 6:18, 9:9,11-12) Mungu alifanya maagano kadhaa na Ibrahim (kama mawili) na maagano hayo alifanya na Ibrahim na vizazi vyake yaani Isaka, Yakobo na watakaofuata. Agano la kwanza ni la kupewa Nchi ya Kanaani ambayo ndiyo Israeli (Mwanzo 15:18, Kutoka 2:24, Zaburi 105:8-11)
Agano la pili ni la kutahiriwa (Mwanzo 17:9-14). Sasa, Mungu aliposema “sitalihalifu agano langu” na "sitalibadili neno lililotoka kinywani mwangu" alikuwa anazungumzia nini?
Hapa alikuwa anazungumzia agano la Daudi, sio agano la Sabato angalia Zaburi 89:3-4,9-34-35) katika agano hilo na Daudi, Mungu hatalihalifu, na hatalibadili neno lililotoka mdomoni mwake alilosema kuwa amefanya agano na mteule wake Daudi, amemwambia Daudi, kuwa wazao wake atawafanya imara milele, na maneno yote yanayosemwa katika Zaburi 89:3-4,19-35 yanazungumzia agano la Daudi sio agano la Sabato.
USIKOSE SEHEMU YA TANO.
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu na Mwokozi wetu.

KIVIPI UTAWEZA KUMJUA MCHAWI?

No automatic alt text available.
Zifuatazo ni dalili zitazokuwezesha kutofautisha baina ya mganga na mchawi. Utakapoona mojawapo ya dalili zufuatazo utambuwe kuwa huyo ni mchawi bila shaka yeyote-
 Mchawi huuliza jina la mgonjwa na jina la mama yake
 Huchukua baadhi ya vitu vya mgonjwa kama vile nguo za nje au za ndani au kitambaa cha kufutia jasho n.k.
 Hutaka mnyama mwenye sifa maalum au rangi maalum ili achinjwe na anapigiwa BismiLLaahi anapochinjwa
 Huandika hirizi kwa aya za Quran na wino mwekundu.
 Husema maneno yasiyojulikana kwa lugha ya Kiarabu.
 Humtaka mgonjwa aepukane na watu muda maalum na akae katika chumba kisichofikiwa na juwa
 Mara nyengine humtaka mgonjwa asiguse maji muda wa siku arubaini hivi (anasema Shaykh Wahiyd Abdulsalaam Bali kwamba akikutaka ufanye hivyo ujue kwamba Jinni anayemtumikia mchawi huyo ni muislam)
 Humpa mgonjwa vitu ili avifukie ardhini
 Humpa mgonjwa karatasi aziunguze kisha ajifukize na moshi wake
 Mara nyengine humwambia mgonjwa jina lake na mji anaoishi
 Huandika maneno katika karatasi na kumwambia mgonjwa azichemshe na kunywa maji yake
UKIONA DALILI HIZI KWA MGANGA UMJUE HAPOHAPO KUWA NI MCHAWI NA UEPUKANE NAYE
Mungu awarehemu na kuwasamehe ndugu zetu wote wanao fanya Uchawi. Maana Biblia inasema kuwa WACHAWI WOTE WATAINGIA JEHANNAM.
1 Samweli 15 : 23 .......... dhambi ya uchawi, Na ukaidi ni kama ukafiri na vinyago; Kwa kuwa umelikataa neno la Bwana, Yeye naye amekukataa wewe usiwe mfalme.
Ndugu msomaji, mpokee Yesu aliye hai na upate uzima wa milele. Dini haita kusaidia kitu, maana sasa unaelewa kuwa, ni dini ambayo inakufanya uwe mchawi na kuachana na upendo wa Mungu.
Katika huduma yake,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu na Mwokozi wetu.

SHETANI NI MUISLAM


MUHAMMAD AMSILIMISHA SHETANI
Kitabu Asili ya Majini Ukurasa wa 20 INASEMA: Ni bahati mbaya kwamba Adam na Hawa hawakufanya jitihada za kumwezesha Shetani na wanawe kuomba Msamaha kwa Mwenyezi Mungu, NI MTUME MUHAMMAD TU NDIE ALIYE MSILIMISHA SHETANI AKAWA MUISLAMU.
Haya sio maajabu, maana tumesoma hapo kwenye Quran Surat Al Anaam kuwa Shetani anakaa kwenye NJIA ILIYO NYOOKA YA ALLAH. Na Njia iliyo nyooka ni UISLAMU Quran 6 aya ya 126 Na hii Dini ya Uislam, ndiyo Njia ya Mola wako Mlezi Iliyo nyooka. Tumezipambanua Aya kwa watu wanao kumbuka.
Ndugu zanguni, kwa mara nyingie tumejifuza kuwa Shetani ndie kiongozi wa dini ya Uislam. Shetani ndie yupo kwenye NJIA ILIYO NYOOKA NA AMEKETI HAPO. ZAIDI YA HAPO, SHETANI AMESILIMISHWA NA MUHAMMAD kama tulivyo soma katika Kitabu cha Asili ya Majini Ukurasa wa 20.
SHETANI ANAWAPULIZA WAISLAM MSIKITINI
Kasema Mtume (s.a.w) “Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala, basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi yule mtu inamwijia fikiria ya kuwa umemtoka upepo (kajamba) nae haukumtoka, basi akiona hali hiyo asiondoke kwenye sala mpaka asikie sauti ya kumtoka huo upepo au anuse harufu yake”. (KITABU CHA MKWELI MWAMIU, JUZUU YA 1 -2 HADITHI NA. 74, UK 42)
Muhammad anasema: Shetani anaingia msikitni na kuwachezea Waislam kama ushahidi unavyo sema hapo juu.
Kwanini mfuate dini ambayo inaongozwa na MASHETANI Msikitini?
Kwanini Shetani ana mamlaka ya kuwapuliza Waislam matako yao tena wakiwa Msikitini?
Shalom.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu na Mwokozi wetu.

QURAN YAKIRI KUWA WAISLAM WANABEBA MIZIGO MIBAYA SANA






Ndugu msomaji,
Waislam wamekuwa wakisema kuwa, mtu mwengine hawezi kukubebea mizigo yako, lakini, hayo madai yanapingwa na aya kadhaa za Quran.
Nasi tulipousikia uwongofu tuliuamini; basi anayemwamini Mola wake hataogopa kupunjwa wala kutwikwa (kubebeshwa) dhambi (za mtu mwengine).” (Qurani 72:13)
Quran inasema kuwa, anaye mwamini Mwenyei Mungu, hawezi kuogopa kubebeshwa dhambi za mtu mwengine.
Je, kuna watu wanaweza kubeba dhambi za Mtu mwengine?
Soma Quran Surat An Nahl(16) aya ya 25. Kuna watu wanawapoteza wengine Ili wabebe mizigo ya madhambi Siku ya Kiyama, na sehemu ya mizigo ya wale wanao wapoteza bila ya kujua. Angalia, ni mibaya mno hiyo mizigo wanayo ibeba!
Allah kupitia Quran anawaambia Waislam wote kuwa, hiyo mizigo ya dhambi wanayo beba, NI MIBAYA MNO, na wamepotezwa ili waibebe wenyewe mpaka siku ya kiyama.
SASA, kama kubeba Mizigo siku ya kiyama mbaya mno, je, tuipeleke wapi hiyo mizigo, SASA SOMA Zaburi 55: 22 Umtwike Bwana mzigo wako naye atakutegemeza, Hatamwacha mwenye haki aondoshwe milele.
BIBLIA INAWAJIBU WAISLAM KUWA, MTWIKE BWANA MZIGO WAKO. Ndio maana Wakristo wote tumegundua hili, ENDELEA KUSOMA Yohana 13:13 INASEA: Ninyi mwaniita, Mwalimu, na, Bwana; nanyi mwanena vema, maana ndivyo nilivyo.
Yesu anasema kuwa, NINYI MNANIITA MWALIMU NA BWANA, NANYI MWANENA VEMA. Endelea KUSOMA Yeremia 10:10 Bali Bwana ndiye Mungu wa kweli; Ndiye Mungu aliye hai, Mfalme wa milele; Mbele za ghadhabu yake nchi yatetemeka, Wala mataifa hawawezi kustahimili hasira yake.
YEREMIA 10:10 INAWAJIBU WAISLAM KUWA, HUYO BWANA NDIE MUNGU WA KWELI. SASA, Waislam wanashanga kivipi Yesu awe Mungu na Yesu huyo huyo afe Msalabani, ENDELEA KUSOMA
Quran 55:29 INAENDELA KUKUJIBU 29. Vinamwomba Yeye vilivyomo katika mbingu na ardhi. Kila siku Yeye yumo katika mambo.
QURAN inakujibu kwa ufasaha kuwa KILA KITU KILICHOPO MBINGUNI NA ARDHINI VINAMWOMBA YESU. Haya Mwislamu unaendelea kushangaa, Sasa angalia nini kilitendeka na au tokea Msalabani
SOMA: 1 Petro 3: 18 - 19 Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa Mungu; mwili wake akauawa, bali roho yake akahuishwa, 19 ambayo kwa hiyo aliwaendea roho waliokaa kifungoni, akawahubiri;
Neno la Mungu linasema kuwa MWILI WAKE NDIO ULIUWAWA BALI ROHO YAKE AKAHUISHWA. Sasa hakuna kushangaa tena maana tufahamu ulio uwawa ni Mwili wake to bali Roho yake haikuuwawa.
Maandiko yanasema kuwa MUNGU NI ROHO, sasa aliye UWAWA NI MWILI TU BALI ROHO YAKE AKAHUISHWA
1 Timotheo 6:15-16 15 ambako yeye kwa majira yake atakudhihirisha, yeye aliyehimidiwa, Mwenye uweza peke yake, Mfalme wa wafalme, Bwana wa mabwana; 16 ambaye yeye peke yake hapatikani na mauti, amekaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa; wala hakuna mwanadamu aliyemwona, wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye hata milele. Amina
Kumbe basi Yesu aliungama maungamo mazuri mazuri SOMA aya ya 13 katika 1 Timotheo 6: Nakuagiza mbele za Mungu anayevihifadhi hai vitu vyote, na mbele za Kristo Yesu, aliyeyaungama maungamo mazuri yale mbele ya Pontio Pilato, Ushaihid zaidi soma Luka 18: 31.
LAKINI ndugu zetu Waislam wanasema kuwa MSALABA NI ALAMA YA SHETANI, HEBU TUANZE NA QURAN 7:16 16. Akasema: Kwa kuwa umenihukumia upotofu, basi nitawavizia katika Njia yako Iliyo Nyooka.
SHETANI ANAMWAMBIA ALLAH KUWA, Kwa kuwa umenihukumia upotofu, BASI NITAWAVIZIA KATIKA NJIA YAKO ILIYO NYOOKA.
SHETANI AMEAPA KUWA ATAKETI KATIKA NJIA YA ALLAH ILIYO NYOOKA.
SASA HII NJIA YA ALLAH ILIYO NYOOKA AMBAYO SHETANI ameapa atakaa kwenye hiyo njia, ni ipi?
QURAN 6: 126. Na hii Dini ya Uislam, ndiyo Njia ya Mola wako Mlezi ILIYO NYOOKA. Tumezipambanua Aya kwa watu wanao kumbuka.
KUMBE SHETANI AMEKETI KWENYE NJIA ILIYO NYOOKA AMBAYO NI DINI YA UISLAMU, QURAN 7:16.
Kwasababu Shetani kaketi huko kwenye njia iliyo nyooka, ndio maana Shetani ana dini, au unabisha?
MUHAMMAD AMSILIMISHA SHETANI
Kitabu Asili ya Majini Ukurasa wa 20 INASEMA: Ni bahati mbaya kwamba Adam na Hawa hawakufanya jitihada za kumwezesha Shetani na wanawe kuomba Msamaha kwa Mwenyezi Mungu, NI MTUME MUHAMMAD TU NDIE ALIYE MSILIMISHA SHETANI AKAWA MUISLAMU.
Haya sio maajabu, maana tumesoma hapo kwenye Quran Surat Al Anaam kuwa Shetani anakaa kwenye NJIA ILIYO NYOOKA YA ALLAH. Na Njia iliyo nyooka ni UISLAMU Quran 6 aya ya 126 Na hii Dini ya Uislam, ndiyo Njia ya Mola wako Mlezi Iliyo nyooka. Tumezipambanua Aya kwa watu wanao kumbuka.
Ndugu zanguni, kwa mara nyingie tumejifuza kuwa Shetani ndie kiongozi wa dini ya Uislam. Shetani ndie yupo kwenye NJIA ILIYO NYOOKA NA AMEKETI HAPO. ZAIDI YA HAPO, SHETANI AMESILIMISHWA NA MUHAMMAD kama tulivyo soma katika Kitabu cha Asili ya Mini Ukurasa wa 20.
Huu ni Msiba Mwengine katika dini ya Allah ambayo sasa tumejifunza kuwa Shetani anakaa kwenye Njia Iliyo nyooka na alisilimu na kuwa Muislam.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

Tuesday, August 22, 2017

JE, MUNGU ANATAKA NINI KUTOKA KWAKO? SEHEMU YA KWANZA

Image may contain: one or more people and text
Ukisoma kitabu cha Mika, unaweza kufikiri mwanzoni kwamba ni orodha ndefu ya mashtaka dhidi ya Waisraeli walioasi. Bila shaka, Mungu aliona kuzorota kwa maadili ya watu wake waliokuwa wamejiweka wakfu, kutia ndani watu aliowaita: ‘Wanaochukia yaliyo mema na wanaopenda ubaya.’ (Mika 3:2; 6:12) Hata hivyo, mbali na kuwashutumu waziwazi, alitoa mojawapo ya mahimizo yenye kugusa moyo na yenye kuchochea zaidi katika Biblia. Mika anakazia uangalifu Chanzo cha viwango vya uadilifu, kisha anauliza swali hili lenye kuchochea fikira: “Mungu anataka nini kutoka kwako ila kutenda haki na kupenda fadhili na kuwa na kiasi katika kutembea na Mungu wako?”—Mika 6:8.
Je, unaona jinsi Muumba wetu anavyotusihi katika andiko hilo?
Anatukumbusha kwa upendo mambo yanayofaa tunayoweza kufanya badala ya kujiruhusu tukengeushwe na uovu uliopo.
Mungu anajua kwamba ushikamanifu wetu hutuchochea kusitawisha sifa kama zake, naye ana hakika kwamba tunaweza kufanya hivyo.
Ungejibuje kama ungeulizwa hivi: ‘Mungu anataka nini kutoka kwako?’
Je, unaweza kutaja mambo fulani maishani mwako yanayoongozwa au yanayopasa kuongozwa na viwango vya Mungu vya maadili?
Uhusiano wako na Mungu na maisha yako yatakuwa bora zaidi ukiendelea kufuata viwango hivyo. Unapoendelea kutazamia paradiso duniani, himizo hili na likutie moyo: “Mjipandie mbegu kwa uadilifu; mvune kulingana na fadhili zenye upendo. Mjilimie udongo unaofaa kwa kilimo, kukiwa kungali na wakati wa kumtafuta Mungu mpaka atakapokuja na kuwatolea ninyi mafundisho kwa uadilifu.” (Hosea 10:12) Hebu sasa tuchunguze mambo fulani makuu kutokana na shauri zuri la Mika 6:8.
USIKOSE SEHEMU YA PILI
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo, Mungu Mkuu na Mwokozi Wetu

An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance

  Title: An Academic Critique of Internal Contradictions in the Quran with Reference to Eschatological Descriptions of Hell’s Sustenance Au...

TRENDING NOW