Friday, December 7, 2018

MUHAMMAD ALIVUNJA AMRI KUMI ZA MUNGU (SEHEMU YA SABA)

Image may contain: one or more people, text and closeup
Usizini. Kutoka 20:14
QURAN 24:2, SURAT, AN-NOOR
Mzinifu mwanamke na mzinifu mwanaume, mtandikeni kila mmoja wao bakora mia. Wala isikushikeni huruma kwaajili yao katika huruma ya Mwenyezi Mungu. Ikiwa ninyi mnamwamini Mwenyezi Mungu na siku ya mwisho. Na lishuhudie adhabu yao kundi la wauminh. ( mwisho wa kunukuu)
MUHAMMAD ALIVUNJA AMRI YA SABA KWA KUZINI
Sasa hebu endelea kusoma tabia ya Muhammad mtume wa allah hapa chini utagundua kuwa, kumbe Nabii wa Allah alikuwa mzinifu:
Siku moja mtume (s.a.w) Alikuwa Nyumbani kwa Mkewe Hafsa bint Umar, Hafsa akaenda kwa Baba yake kumjulia hali, Mtume (s.a.w) alimwita Mjakazi wake bibi Mariya Alqbitiyya, akawa nae Chumbani, Aliporudi Hafsa Akasema Maneno makali kwa Mtume juu ya tendo hilo (s.a.w) Mtume akasema nakuhakikishia Kuwa: Kuanzia Leo Sitamwingilia tena, mjakazi wako.
(Tafsir Ibn Kathir J. 6 Uk. 367)
Muhammad mtume wa Allah kafumaniwa ugoni, lakini hatusomi kuwa alipigwa bakora mia yeye na kimada wake. Je, Muhammad yeye yupo juu ya sheria ya uzinifu?
Hakika wamekwisha pigwa muhuri wa Jehannam wale wote wanao zini kama Muhammad.
MTUME MUHAMAMD ALIKUWA NA CHANGU DOA
Sunan Abu-Dawud, Kitabu 38, Namba 4458: Amehadithia Ali ibn AbuTalib: "Mtumwa wa Kisichana ambaye alikuwa mali ya nyumba ya Mtume wa Allah aligawa Uroda kwa Rafiki ya Muhammad. Basi Nabii wa Allah akasema kwa Ali: Nenda na ukampe adhabu Muasherati wangu kwa kufanya Ngono bila ya ruhusa yangu. Ali akaharakisha kwenda alipo yule Mtumwa wa Kisichana wa Muhammad na kuona damu ilikuwa inatiririka kutoka kwake, na bila kuacha. Hivyo Muhammad alikwenda kwake na akasema: Mwache damu iendelee kutiririka mpaka itakopo simama; kisha mpe adhabu kwa mujibu wa dhambi yake".
Je, kuwa na chagu doa ni sifa ya kiutume?
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN
Hadith Idadi 16,245: "maneno ya Washami," Hadith ya Mu'awiya Ibn Abu Sufyan": "Nilimwona Nabii wa Allah(saw) - akimnyonya ulimi na kulamba mdomo wa Al-Hassan Mwana wa Ali, Mwenyezi Mungu amrehemu, maana hakuna mtu atakaye teswa kwa Moto wa Jehannam baada ya kunyonywa ulimi na kulambwa midomo na Nabii wa Allah.
Mnaona tabia chafu ya Nabii wa Allah? Eti akikula denda na kukulamba midomo basi wewe huto kwenda Jehannam. Pia alisema, "Siku baadaye tuliomba muuguzi kwa ajili yake (Ali) lakini alikataa, basi tukamwita Nabii Muhammad - SAW -.ambaye alimnyonya ulimi "Ali" kwa kinywa chahe mpaka akalala. Hivi ndivyo Allah alivyo taka Ali afanyiwe na Nabii wake
Je, Muhammad kunyonya ulimi watu wa jinsia yake, ni sifa ya kitume?
KAA! JAMANI YAANI KILA WAKATI ALIKUWA ANAWAZA NGONO TU!
Kasema Mtume (s.a.w) "Akimwita Mwanamme mkewe kwa haja ya kumuingilia, basi amjie hata ikiwa huyo mke yuko katika tanuri Jikoni anapika" aache kazi yake huko Jikoni amtimizie haja yake mumewe, hii ni haki ya mume. (Mkweli Mwaminifu, J. 1-2, Hadithi Na. 462, Uk. 204).
HATA ALIPOKUWA AKIUMWA!
''Mtume kuamka tu asubuhi aliamka na kichwa kikali na homa ndogo.Kila siku ikipambazuka na homa ilikuwa ikizidi.Lakini vivyo hivyo alikuwa akijikaza kwenda msikitini kusali na kwenda kumtimiizia ngono za kila mke katika wakeze tisa''
(Kitabu cha maisha ya mtume,Sheikh A.S.Farsy,uk.79)
MSIMAMO WA KURAN KUHUSU USHOGA/UZINZI
Kuran inaruhusu ushoga; NDIYO! Taja…..
(QURAN 52:24) Iwe wanawapitia watumishi wao kama kwamba ni lulu zilizomo katika chaza.
(QURAN 56:17) Wakitumikiwa na wavulana wa ujana wa milele,
(QURAN 76:19) Na watawazungukia kuwatumikia wavulana wasio pevuka, ukiwaona utawafikiri ni lulu zilizo tawanywa.
…kuran inaelezea kuwa kule mbinguni wavulana wazuri kama lulu watawatumikia mujahidina waliopigana vita vya jihadi duniani…
Quran 4:24, allah anaruhusu waislamu kufanya ngono na wajakazi au wanawake waliotekwa vitani.
(Abu Dawud 38:4450) Waislamu wanaruhusiwa kufanya ngono na wanyama
(Abu Dawud 1:22) Mohammad alikuwa shoga
(Bukhari 2442) Mohammad alikuwa anavaa nguo za mke wake-Aisha, aliamini kuwa kufanya hivyo kulimfanya apate ufunuo.
(Musnad Ahmad 16245) Mohammad alipenda kunyonya ndimi za vijana wadogo wa kiume.
Bukhari 1:4:152 Mohammad aliwaonyesha vijana wadogo wa kiume sehemu zake za siri wakati akioga.
Al Tirmidhi 4412 Mohammad alijionyesha mbele ya wanaume akiwa uchi wa mnyama.
Bukhari 8:73:27 Mohammad na wafuasi wake walipenda kuwabusu vijana wadogo wa kiume
Bukhari, p. 96, 1375 Kulingana na maimam na mashekhe ni halal waislamu kuwa mashoga.
Abu Dawood 5224 Mohammad aliinua kanzu yake na mwanamume akambusu na kupapasapapasa mwili wake mzima.
Hivyo mashoga wote na wanaofungisha ndoa ya jinsia moja wao hawaendani na maandiko matakatifu ya Biblia, hawawakilishi Kristo Yesu na sio Wakristo, ni wenye dhambi na adhabu yao ni moto wa milele.
MATHAYO 7:15 Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali. Sitashangaa kufahamu kuwa ni Waislamu waliojificha kwenye Ukristo wakiwa na lengo la kuichafua nyumba ya Bwana wetu Yesu Kristo.
Shalom,
Max Shimba Mtumwa wa Yesu kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW