Friday, December 7, 2018

YESU NI MUNGU MWENYE KUHIDIMIWA MILELE

Image may contain: text
Warumi Mlango 9:5 ambao mababu ni wao, na katika hao alitoka Kristo kwa jinsi ya mwili. Ndiye aliye juu ya mambo yote, Mungu, mwenye kuhimidiwa milele. Amina. 

Neno la Mungu linatuambia yafuatayo:
1. Yesu yupo Juu ya mambo yote.
2. Yesu ni Mungu.
3. Yesu ni mwenye kuhidimiwa milele.

Tunapo sema Yesu ni Mungu huwa hatubahatishi.

Shalom,

Max Shimba Mtumwa wa Yesu kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

No comments:

Mohammad’s Myths vs. Biblical and Scientific Reality: A Scholarly Debate on Laughter, Heart, and Divine Truth

By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute Introduction In evaluating the truth-claims of any religion, the alignment between i...

TRENDING NOW