Friday, December 7, 2018

UNALIJUA JINA LA MUNGU?

Image may contain: sky and text
Je, Mungu ana jina?
Yesu alisema: “Baba yetu uliye mbinguni, jina lako na litakaswe.” (Mathayo 6:9) Ingawa Mungu ana majina mengi ya cheo, ana jina moja tu.
Linatamkwa kwa njia tofauti katika kila lugha. Katika Kiswahili kwa kawaida jina hilo linatamkwa “Yehova.” Lakini watu fulani wanalitamka “Yahweh.”—Soma Zaburi 83:18.
Katika Biblia takatifu, jina la Mungu lilipatikana mara 7,000 hivi.
Yesu alifanya jina la Mungu lijulikane alipokuwa akiwafundisha watu kuhusu Mungu.—Soma Yohana 17:26.
Shalom,
Max Shimba mtuwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

No comments:

Mohammad’s Myths vs. Biblical and Scientific Reality: A Scholarly Debate on Laughter, Heart, and Divine Truth

By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute Introduction In evaluating the truth-claims of any religion, the alignment between i...

TRENDING NOW