Friday, January 21, 2022

VITUKO KWENYE UISLAM SEHEMU YA NNE

 



Soma viroja na vituka vya Marehemu Muhammad.

Salaf walikuwa wakikanusha na kubadilisha aya za Quran (Na’uzubillah). [Majmua al-Fatawa Juzuu ya 12 ukurasa wa 492]

Mtume (saww) aliifanya Tahrif ya Kurani akiwa amekuja chini ya ushawishi wa Shetani (Na’uzubillah). [Tafseer Dur al Manthur, Juzuu ya 4 ukurasa wa 367]

Mtume (s) alibakia kuwa muabudu masanamu kwa muda wa miaka 40 (Na’uzubillah). [Fakhruddin al Razi, Juzuu ya 8 ukurasa wa 424]

Mtume (s.a.w.w.) alitaka kujiua baada ya kupata ule wahyi wa kwanza. [Sahih Bukhari Juzuu 9, Kitabu cha 87, Namba 111]

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa hajui dini na mwongozo sahihi (Na’uzubillah). [Aysar al-Tafasir cha Abu Bakr al-Jazaeri, juzuu ya 5 ukurasa wa 2070]

Mtume (s) aliingia Msikitini kuongoza Swala katika hali ya uchafu (Na’uzubillah). [Sahih Bukhari, Kitabu cha Ghusl Juzuu ya 1, Kitabu cha 5, Namba 274]

Mtume (s) alikuwa akikojoa akiwa amesimama (Na’uzubillah). [Sahih Muslim, Kitabu cha utakaso 002, Nambari 0523]

Mtume (s) alitanguliza kutafuta mkufu badala ya Swala (Na’uzubillah). [Sahih Bukhari, Kitabu cha Tayamum Juzuu 1, Kitabu cha 7, Namba 330]

Madhabahu ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) yanapaswa kupigwa buldod (Na’uzubillah). [Tuhfat al-Mujib cha Muqbel al-Wadei, ukurasa wa 406]

Mtukufu Mtume (s) alitafakari uzinzi (Na’uzubillah). [Sahih Ibn Habban, Juzuu ya 14 ukurasa wa 169]

Shalom

Dr. Max Shimba for Max Shimba Ministries

1 comment:

Yakobo Frank Malunga said...

Nafurahi kwa masomo dhabiti yenye kuwa na hakika katika vitabu Wala si maneno matupu... Ubarikiwe

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW