Friday, January 28, 2022

VITUKO KWENYE UISLAM SEHEMU YA TANO

 


VITUKO KWENYE UISLAM

SEHEMU YA TANO

Mtume (s) alikuwa akishughulika na kujamiiana na kula uroda hata katika dakika za kabla ya kifo chake (Na’uzubillah). [Sahih Bukhari, Juzuu ya 7, Kitabu cha 62, Namba 144]

Mtume (saww) alimtomasa tomasa mke wake mbele ya watu asiowajua (Na’uzubillah). [Usud al-Ghaba cha Imam Ibn Athir, Juzuu 1 ukurasa wa 56]

Mtukufu Mtume (s) alikunywa pombe (Na’uzubillah). [Al-Muajam al-Kabir, Juzuu ya 2 ukurasa wa 14 Hadithi ya 1177]

Hadithi ya kinabii ifutwe kwa ngano ya nguruwe (Na’uzubillah). [Tarikh Baghdad, Juzuu ya 13 ukurasa wa 401]

Amri za Abu Hainfa zilikuwa bora kuliko elimu ya Mtume (Na’uzubillah). [Tarikh Baghdad, Juzuu ya 13 ukurasa wa 401]

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliweka macho yake na kumtamani mke wa mtu (mwanamke aliyeolewa) (Na’uzubillah). [Tafsir Fatah al-Qadir, Juzuu ya 4 ukurasa wa 404]

Rasulallah (s) alikuwa anatoa ushauri wa kula ngono kwa Maswahaba wake [vikao vya ushauri wa ngono kwa Maswahaba] mbele ya Aisha (Na’uzubillah). [Sahih Muslim Book Haid 003, Number 0685]

Mtume (s) alikuwa akisoma Quran huku amelalia mapaja ya Aisha alipokuwa katika hedhi (Na’uzubillah). [Sahih Bukhari, Juzuu 1, Kitabu cha 6, Nambari 295]

Rasulullah (s) alikuwa anajadili masuala yanayohusiana na sehemu ya siri ya mwanamume na mwanamke asiye Mahram (Na’uzubillah). [Muatta ya Imam Malik, Kitabu cha 2, Namba 2.16.60]

Shetani alikuwa na umbo la Mtume Muhammad (Na’uzubillah). [Al Waseela, cha Ibn Tamiyah, kimetafsiriwa kwa Kiurdu na Ehsan Ali Zaheer ukurasa wa 41, (Idara Tarjamun ul Sunna - Sheeysh Muhall)]

USIKOSE SEHEMU YA SITA

Shalom

Dr. Max Shimba for Max Shimba Ministries

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW