Friday, July 14, 2017

YESU KRISTO ALIUMBA HISABATI


Image may contain: 1 person, smiling



Najua unashangaa kivipi Yesu awe Mwana Mahesabu. Naam, katika somo hili tutajifunza Hisabati ambazo wana Hesabu wameshindwa kuziweka katika "practical" vitendo.

Sasa tuanze na aya tamu za Biblia: Yohana 6:1-14 au Soma Matayo 14:13-21. Nitaweka aya moja ya 17 katika Matayo: "tunayo Mikate Mitano na Samaki wawili" 

Kwa akili za haraka haraka haiwezekani kwa Mikate Mitano na Samaki wawili kulisha watu zaidi ya Elfu tano.

Lakini kwa kutumia Hisabati za kawaida hesabu hiyo inawezekana, ila tunapo igeuza kuwa "VITENDO" haya mambo ni magumu sana. Je, Yesu aliwezaje kuwalisha watu elfu tano na zaidi kwa kutumia mikate mitano na samaki wawili?

Katika Hisabati kuna somo la "FACTORIAL NOTATION" hili somo ni la kuzidisha namba kinyume nyume mpaka namba ya chini kabisa ambayo ni moja.

Mfano:
1! = 1
2! = 2 × 1 = 2
3! = 3 × 2 × 1 = 6
4! = 4 × 3 × 2 × 1 = 24
5! = 5 × 4 × 3 × 2 × 1 = 120

Unaweza kujifunza hili soma hapa: http://math.tutorvista.com/statistics/factorial-notation.html?source=SEM&cpid=2162007&k=g%3DGenerals%3Dgm%3Dbp%3Da%3D42127945158c%3DDSA_Statistics&gclid=CNrJqdn1x9QCFdeLswodhecPRA

Kimahesabu inawezekana lakini kivitendo kamwe hawa wana mahesabu hawata weza igeuza Mikate mitano na Samaki wawili kuwa "Factorial ya 7" na kuwalisha watu elfu tano.

Mikate Mitano (5) na Samaki wawili (2) ni sawa na vyakula Saba. Yaani kulikuwa na vipande saba vya vyakula ambavyo vinaweza kuliwa.

Bwana wetu Yesu ambaye ni Mungu Mkuu (Tito 2:13) anaweza kufanya atakalo na likawa.

Yesu katika aya ya 18 kwenye Matayo 14 alichukua hiyo Mikate Mitano na Samaki wawili akaangalia juu na kuvibariki. Akawagaia wanafuzi wake na kuwaambia, wapeni watu wale.

Kumbuka huyu ni Yesu aliye gauza maji ambayo yenye Chemical formula ya H2O na kuwa Divai yenye chemical formula ya C6H12O6 = 2CO2 + 2CH3CH2OH.

Je, kuna jambo lolote gumu ambalo Yesu hawezi kulifanya? Kwenye Yeremia 32:27 inakujibu kuwa, hakuna jambo gumu kwa Mungu wetu.

Sasa turudi kwenye somo la Mikate Mitano na Samaki 2. Kimahesabu ni sawa na kusema:

7! = 7 x 6 x 5 x 4 x 3 x 2 x 1 = 5040

Ngona nitumia formula ya Recursive:

Solved Example
Question: Simplify 10!6!
.
Solution:

10!6! inaweza kuandikwa kama 10×9×8×7×6!6!

=> 6! inaeza kukatwa with that in the denominator and the expression reduces to 10 × 9 × 8 × 7 = 5040.

=> 6! = 5040.

Recursive Definition of Factorial Notation
Back to Top

Recursive definition of factorial notation

(k + 1)! = (k + 1) . K!

Factorial notation has a place in both Permutation and combination formulas. Factorial notation comes into liberal play while evaluating Permutation and combination formula.

P(n,r) = n!(n−r)! na C(n,r) = n!(n−r)!r!

Naam, ndio maana mimi nampenda sana Yesu anayejua HESABU KUBWA KAMA HIZI, maana yeye aliziumba.

Wewe unaye mpinga Yesu, unaweza kunionyesha wapi mungu wako au mtume wako ameweza fanya Hisabati ngumu kama hizi?

Au wapi dini yako inaweza kutoa miujiza namna hii? Haya yote yanawezekana kwa Yesu Mungu Mkuu.

Shalom,

Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW