Friday, July 14, 2017

MUISLAM WA BANGLADESHI AMZIBA MACHO NA MDOMO MKE WAKE, HALAFU AMKATA VIDOLE VYAKE ILI ASIENDELEE KUSOMA SHAHADA YA CHUO KIKUU

Image may contain: 1 person, text

Rafiqul Islam, 30, alimziba macho mke wake Hawa Akhter, 21 na kuziba mdomo wake kwa "tape" huku akimwambia alikuwa anataka kumshangaza kwa zawadi nzuri. Lakini baadae alimwambia anyooshe vidole vyake na kuvikata vyote vitano. Baada ay kuvikata vidole vyake, akavitupa vidole vyote kwenye pipa la takataka na kuhakikisha kuwa Madaktari hawata vipata na kujaribu kuvirudisha.
Hii tabia imekuwa kubwa katika Uislam inayo wakataza wanawake kwenda shule na kusoma masomo ambayo si ya kidini.
Kwa habari kamili ingia hapa.

No comments:

Mohammad’s Myths vs. Biblical and Scientific Reality: A Scholarly Debate on Laughter, Heart, and Divine Truth

By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute Introduction In evaluating the truth-claims of any religion, the alignment between i...

TRENDING NOW