Wednesday, July 11, 2018

MWISLAM SHAFQAT MALIK WA SIASA KALI AJILIPUA NA KUUWA WENZAKE 20 HUKU AKISEMA WALLAHU WAKBAR

Image may contain: 6 people

ALIBEBA BOMU LA KILO 8 NA VIFAA VINGINE VYA KUJILIPUA VYENYE KILO 3

WAISLAM WASHANGALIA TUKIO HILO 

PAKISTAN: Watu 20 waangamia katika shambulizi la kujitoa muanga nchini Pakistan lililo fanywa na Waislam wa Siasa Kali.

Watu wasiopungua 20,ikiwa ni pamoja na mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa, Haroon Bilour,wameuawa katika shambulio dhidi ya mkutano wa uchaguzi.
=================

Kundi la Waislam wa Taliban limedai kuhusika na shambulizi hilo kwa mujibu wa maafisa wa usalama nchini Pakistani.

Shambulizi hilo lililotokea katika Peshawar kaskazini-magharibi mwa Pakistani, ni shambulizi baya lililosababisha vifo vya watu wengi nchini humo tangu kuanza kwa kampeni ya uchaguzi wa wabunge,uchaguzi uliopangwa kufanyika Julai 25.

Shambulizi hili lilitekelezwa wakati wa mkutano wa chama cha Awami National Party (ANP),ambacho tayari kililengwa na mashambulizi ya wapiganaji wa Kiislamu kwa kuonyesha upinzani wake kwa makundi kama vile Taliban.

"Idadi ya watu waliouawa imeongezeka na kufikia 20 na 63 wamejeruhiwa, ambapo 35 bado wamelazwa katika hospitali mbili huko Peshawar," mkuu wa polisi Qazi Jameel ameliambia shirika la habari la AFP.

Idadi hii imethibitishwa na afisa katika Hospitali ya Peshawar, Zulfiqar Babakhel.

Kwa mujibu wa mkuu wa kikosi cha kutegua mabomu, Shafqat Malik, mshambuliaji wa kujitoa mhanga,16, alikuwa amebeba kilo 8 ya mabomu na kilo 3 ya vifaa vingine vya kuripuka..UKWELI NA UHAKIKA.

Huu ndio Uislam dini ya haq.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW