Tuesday, July 3, 2018

SHEREHE YA KULA NYAMA YA MBWA YAFANA



Sherehe ya kula nyama ya mbwa iliogubikwa na utata katika mji wa Madina imeanza licha ya ripoti za awali kwamba ilikuwa imepigwa marufuku mwaka huu.
Mapema mwaka huu ,wanaharakati walidai kwamba wafanyibiashara waliagizwa na mamlaka kutouza nyama ya mbwa.


    Lakini wamiliki wa vibanda vinavyouza nyama hiyo waliambia BBC hawajasikia lolote kuhusu hatua hiyo kutoka kwa maafisa.

    Katika sherehe za miaka ya nyuma kumekuwa na mzozo kati ya wauzaji nyama ya mbwa na wanaharakati waliojaribu kuwaokoa mbwa waliopangiwa kuchinjwa.

    No comments:

    Women Are Deficient in Intelligence and Religion!

      Women Are Deficient in Intelligence and Religion! Muhammad is smiling while holding two brains and saying: Women are half as intelligent! ...

    TRENDING NOW