Wednesday, February 8, 2017

ALLAH ALIJUAJE KUWA NYAMA YA NGURUWE NI TAMU BILA YA KUIONJA?

Image may contain: one or more people and text
Allah anasema nyama ya Nguruwe ni TAMU.
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA KWA WAISLAM.
(Surat an-Nisaa 4;160). Quran inasema hivi katika aya hiyo “Basi kwa dhulma yao hao Mayahudi tuliwaharimisha VITU VIZURI walivyohalalishiwa na vilevile kwa sababu ya kuzuiliwa kwao watu wengi na njia ya mwenyezi Mungu” http://www.quranitukufu.net/004.html
Hii ni aya iliyo wazi kuwa Wayahudi PEKE YAO NDIO walizuiliwa KULA VITU VUZIRI kwaajili ya dhuluma, Mungu alitaka kuwahukumu kwa kuwanyima baadhi ya VITU VIZURI Quran inakiri wazi kuwa Nguruwe ni KITU KIZURI Umeona?
Surat An Nisaa aya 160 INASEMA:
1. Wayahudi ndio walio haramishiwa VITU VIZURI "NGURUWE"
2. Hii aya inasema kuwa, NGURUWE NI NYAMA NZURI.
SWALI KWA WAISLAM:
Allah alijuaje kuwa nyama ya Nguruweni tamu na nyama nzuri bila ya kuila?
Waislam nijibunu kwa aya kutoka Quran.
Watakabahu

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW