Saturday, February 18, 2017

ALLAH KAMESA WAHUKUMU WAISLAM KUTUMIA INJILI NA SIO QURAN

Image may contain: one or more people, text and outdoor
Ndugu msomaji,
Surat AL Maida 47. Na wahukumu Watu wa Injili kwa yale aliyo teremsha Mwenyezi Mungu ndani yake. Na wasio hukumu kwa yale aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu basi hao ndio wapotofu.
http://www.quranitukufu.net/005.html
Allah kateremsha aya na kukiri mbele ya umma wake kuwa, INJILI NDIO IMEKAMILIKA NA HAINA SHAKA NDANI YAKE NA NDIO ITAKAYO TUMIKA KWENYE HUKUMU.
Jambo la kujiuliza, kwanini Allah hakusema tutahukumu kwa kutumia Quran?
Ushahidi zaidi wa Kiislam:
1. Sahih Al-Bukhari Hadith 4.657 Narrated by Abu Huraira
2. Sahih Al-Bukhari Hadith 4.658 Narrated by Abu Huraira
Je, Biblia nayo inasema nini kuhusu sisi Wakristo kutoa hukumu?
1 WAKORINTHO 6: 3 Hamjui ya kuwa mtawahukumu Malaika, basi si zaidi sana mambo ya maisha haya?
Biblia ndio imemaliza kabisaa na kusema kuwa, Wakristo wanahaki na uwezo na mamlaka ya kuhukumu mpaka Malaika.
Shauri ni lako, kuwa Muislam ambaye atahukumiwa kwa Injili, au kumfuata Yesu ambaye amekupa Mamlaka ya kutoa hukumu mpaka kwa Malaika.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

No comments:

WHY CHRISTIANITY IS BETTER THAN ISLAM?

Has Islam Improved to Become Better Than Christianity? Does Muhammad fulfill and complete the mission and purpose of Christ? Muhammad emphat...

TRENDING NOW