Wednesday, February 8, 2017

Ikiwa Issa ndio Yesu wapi ndani ya Quran kanzu ya Issa ilipigwa kura/MNADA?

Yohana 19:23 Nao askari walipomsulubisha Yesu, waliyatwaa mavazi yake,wakafanya mafungu manne, kwa kila askari fungu lake, na kanzu nayo. basi kanzu ile haikushonwa, ilikuwa imefumwa yote pia tangu juu. 24 Basi wakaambiana, tusiipasue, lakini tuipigie kura, iwe ya nani.ili litimie andiko lile linenalo, waligawanya nguo zangu, na vazi langu wakalipigia kura. basi ndivyo walivyofanya wale askari. 

Swali ni hii,ikiwa Issa ndio Yesu wapi ndani ya Quran kanzu ya Issa ilipigwa kura/MNADA?

Image may contain: 2 people, people standing

No comments:

Mohammad’s Myths vs. Biblical and Scientific Reality: A Scholarly Debate on Laughter, Heart, and Divine Truth

By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute Introduction In evaluating the truth-claims of any religion, the alignment between i...

TRENDING NOW