Saturday, February 18, 2017

YAANI NILIKUWA NAJIULIZA TU – SINA JIBU – NAOMBA KUELEWESHWA.

Image may contain: one or more people
………..
Seba anakaa na Rama. Zena akaja akasema, “Seba, huyo kibaka wako unayekaa naye aliyeiba simu yako yupo?”
Rama akitokeza na kusema, “Nipo sijaondoka,” je, hata ungekuwa wewe, ukisikia jibu la Rama si utajua kuwa anakubali kuwa yeye ni kibaka? – maana hakanushi kuitwa kibaka.
………….
Katika Sahih Bukhari, Volume 6, Book 60, Number 475 tunasimuliwa na Jundub bin Sufyan kuwa siku moja mtume aliugua sana. Mama mmoja, mke wa Abu Lahab akaenda akamwambia, “O Muhammad! I think that YOUR SATAN HAS FORSAKEN YOU, for I have not seen him with you for two or three nights!”
……….
Yaani, “Muhammad, nadhani SHETANI WAKO AMEKUACHA”
…………
Kisha tunaambiwa kuwa: ON THAT, ALLAH REVEALED:“By the fore-noon, and by the night when it darkens, YOUR LORD (O MUHAMMAD) HAS NEITHER FORSAKEN YOU, NOR HATED YOU.” i.e. (Surah 93:1-3).
…………
Yaani Allah alishusha Sura 93:1-3 kumjibu mke wa Abu Lahab.
Lakini badala ya kusema, “We mwanamke, mimi sio shetani,” yeye akasema tu kuwa, “Naapa kwa mchana! Na kwa usiku unapo tanda! Mola wako Mlezi hakukuacha, wala hakukasirika nawe.”
…………..
Sasa, mimi nakuwa najiuliza tu – sina jibu:
1. Huyu mama alikuwa anamwongelea SHETANI, iweje atokeze ‘Mola’ kujibu swali hilo?
2. Kama mtu akija akasema, “Kaka yako yuko wapi?” je, anaweza kutoka DADA na kujibu, “Niko hapa?”
Shalom:
Imeletwa kwenu na Jimmy John:

No comments:

WHY CHRISTIANITY IS BETTER THAN ISLAM?

Has Islam Improved to Become Better Than Christianity? Does Muhammad fulfill and complete the mission and purpose of Christ? Muhammad emphat...

TRENDING NOW