Friday, September 2, 2016

IMAM WA MSIKITI ABAKA MVULANA WA MIAKA TISA (9)


Imam Mohammad Rizvan wa kutoka kijiji cha Foundarynagar ameshitakiwa kwa kumbaka mvulana wa miaka 9 (Jina lake limehifadhiwa) amesha shitakiwa na Polisi wa Agra.
Msemaji wa Polisi bwana Shatrunja Signh anasema kuwa Mohammad ameshatikiwa kwa kutumia kifungu cha IPC Section 377 (unnatural offence) na POSCO,"
Mohammad ambaye anafahamika na familia ya mbakwaji, alikuwa namfudisha Quran na lugha ya Kiarabu.

No comments:

God

  Theology 101 When we attempt to conceive what God is like, we are immediately confronted with the limitation of human imagination, for ou...

TRENDING NOW