Friday, September 2, 2016

IMAM WA MSIKITI ABAKA MVULANA WA MIAKA TISA (9)


Imam Mohammad Rizvan wa kutoka kijiji cha Foundarynagar ameshitakiwa kwa kumbaka mvulana wa miaka 9 (Jina lake limehifadhiwa) amesha shitakiwa na Polisi wa Agra.
Msemaji wa Polisi bwana Shatrunja Signh anasema kuwa Mohammad ameshatikiwa kwa kutumia kifungu cha IPC Section 377 (unnatural offence) na POSCO,"
Mohammad ambaye anafahamika na familia ya mbakwaji, alikuwa namfudisha Quran na lugha ya Kiarabu.

No comments:

The Qur'anic Cosmology of Stars as Weapons Against Demons

Title: The Qur'anic Cosmology of Stars as Weapons Against Demons: A Theological and Scientific Critique By Dr. Maxwell Shimba | Shimb...

TRENDING NOW