Friday, September 2, 2016

IMAM WA MSIKITI ABAKA MVULANA WA MIAKA TISA (9)


Imam Mohammad Rizvan wa kutoka kijiji cha Foundarynagar ameshitakiwa kwa kumbaka mvulana wa miaka 9 (Jina lake limehifadhiwa) amesha shitakiwa na Polisi wa Agra.
Msemaji wa Polisi bwana Shatrunja Signh anasema kuwa Mohammad ameshatikiwa kwa kutumia kifungu cha IPC Section 377 (unnatural offence) na POSCO,"
Mohammad ambaye anafahamika na familia ya mbakwaji, alikuwa namfudisha Quran na lugha ya Kiarabu.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW