Friday, September 2, 2016

IMAM AKAMATWA KWA KUBAKA MVULANA WA MIAKA KUMI (10) HUKO NIGERIA




Mkuu wa Usalama wa Jimbo la Nasarawa (NSCDC) amemkamata mwalimu wa dini ya Kiislam mwenye umri wa miaka 45 kwa kosa la kubaka mvulana ambaye anadai alikuwa akimfundisha dini huko katika kitongoji cha Lafia.
Imam Shahidu Suleh, ambaye ni Maalim vile vile, amekuwa akimbaka (Almajiri), Okasha Ishaka alisema. Huyo mtoto alisema kuwa, Maalimu alikuwa anambaka kila mara, na alimtishia kumuua, kama angemsema kwenye vyombo vya sheria.

No comments:

THE LIE OF THE ISLAMIC RELIGION

  THE LIE OF THE ISLAMIC RELIGION We believe that when you carefully follow this topic, you will obey the word of the true God, live it, and...

TRENDING NOW