Friday, September 2, 2016

WAKRISTO 27 WAFUKUZWA SAUDI ARABIA KWA KOSA LA KUWA NA BIBLIA


Wakristo 27 wamefukuzwa nchini Saudi Arabia baada ya kukutwa na Biblia nyumbani kwao.
Kabla ya kufukuzwa na kurudishwa kwao, Wakristo hao walihukumiwa kwa kosa la kufanya ibada ambayo sio ya Kiislamu.
Askari wa Kidini wa Saudi Arabia katika eneo la Al-Aziziyah huko Mecca walithibitisha kukamatwa kwa hao Wakristo huku wakiwa katika ibada ambayo si ya Kiislamu.
Saudi Arabia ndio nchi yenye sheria kali za kidini na yenye chuki kubwa kwa Wakristo na Ukristo.

No comments:

Mohammad’s Myths vs. Biblical and Scientific Reality: A Scholarly Debate on Laughter, Heart, and Divine Truth

By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute Introduction In evaluating the truth-claims of any religion, the alignment between i...

TRENDING NOW