Saturday, September 24, 2016

ALLAH KATEREMSHA AYA NA KUSEMA SINAGOGI SIO MISIKITI

Image result for SINAGOGU

HUU NI MSIBA MKUBWA SANA KWA WAISLAM WOTE DUNIANI.

Hii mada ni fupi na ni MSUMARI WA MWISHO KWENYE JENEZA LA WAISLAMU.

Katika Surat Hajj, nukuu naiweka hapa chini andiko linataja majina ya majengo mbalimbali ya ibada ikiwemo na Sinagogi, Makanisa na Misikiti. Sasa kama SINAGOGI NI MSIKITI, kwanini Allah ameyatenganisha kwenye Quran yake?

KWANINI TUANDIKE MATE WAKATI WINO UPO. HAYA SOMA AYA HAPO CHINI NA UINGIE MWENYE KWENYE LINK YA QURAN NILIYO ITOA.

Suratul Hajj 40. Wale ambao wametolewa majumbani mwao pasipo haki, ila kwa kuwa wanasema: Mola wetu Mlezi ni Mwenyezi Mungu! Na lau kuwa Mwenyezi Mungu hawakingi watu kwa watu, basi hapana shaka zingeli vunjwa nymba za wat'awa, na MAKANISA, NA MASINAGOGI, NA MISIKITI, ambamo ndani yake jina la Mwenyezi Mungu linatajwa kwa wingi. Na bila ya shaka Mwenyezi Mungu humsaidia yule anaye msaidia Yeye. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu Mtukufu.http://www.quranitukufu.net/022.html

INGIA KWENYE LINK YA QURAN (SURATUL HAJJ AYA YA 40http://www.quranitukufu.net/022.html ) USOME MWENYE NA KUACHANA NA NGOJERA ZA WAFIA DINI WA MAREHEMU MUHAMMADhttp://www.quranitukufu.net/022.html

AYA HAPO JUU INATAJA MAJENGO TOFAUTI TOFAUTI YA IBADA IKIWEMO, SINAGOGI, KANISA, MISIKITI. KAMA SINAGOGI NI MISIKITI, KWANINI ALLAH AMEYANGANISHA NA AU TENGANISHA MAJENGO KATI YA SINAGOGO NA MISIKITI?

NDIO MAANA HUWA NASEMA UISLAM NI DINI YAKUTENGEZA TU NA WALA HAIKUWEPO KABLA YA MUHAMMAD.

Ni mimi Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.



No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW