Friday, September 9, 2016

MUHAMMAD NA ALLAH WASHINDWA KUTUONYESHA KITABU ALICHO TEREMSHIWA IBRAHIM



KUMBE, MUHAMMAD NA ALLAH NI WABABAISHAJI TU
KUMBE QURAN NI BANDIA NA IMEJAA SHAKA KUBWA
Ndugu msomaji,
Surat Al Baqara 136. Semeni nyinyi: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyo teremshiwa sisi, na yaliyo teremshwa kwa Ibrahim na Ismail na Is-hak na Yaakub na wajukuu zake, na waliyo pewa Musa na Isa, na pia waliyo pewa Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi; hatutafautishi baina ya yeyote katika hao, na sisi tumesilimu kwake.
Allah anawaambia wafuasi wa Muhammad kuwa waseme wameamini yaliyo teremshwa kwa Ibrahim, Ishaq, na Yaaqub pamoja na manabii wengine.
Sasa basi, kama Allah anasema ukweli na Muhammad ni mtume wake, ningependa watuambie na kutuletea nakala za kitabu alicho teremshiwa, Ibrahim, Ishaq, Yaaqub.
Endelea kumshika uongo Muhammad na Allah wake.
Surat Al Aa'laa 18. Hakika haya yamo katika Vitabu vya mwanzo,
19. Vitabu vya Ibrahimu na Musa.
Allah anasema katika Surat Al Aa'laa aya ya 19 kuwa, ameteremsha kitabu kwa Ibrahimu.
SWALI: Tuambieni ni kitabu gani kiliteremshwa kwa Ibrahim na ipo wapi nakala yake na kinaitwa jina gani?
Muhammad, nabii wa Allah amekuwa akimsingizia Allah uongo pasipo kujua, kwa kudai kuwa Allah ameteremsha vitabu vinne tu ambavyo ni:
1. Taurat - Musa
2. Zaburi - Daudi
3. Injili - Issa bin Maryam
4. Qur'an - Muhammad
Ndio maana naendelea kusema kuwa Uislam ni dini ya kutengeza tu na Allah sio Yehova.
Ni mimi Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
For Max Shimba Ministries Org.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW