Friday, September 9, 2016

MKURUGENZI MKUU WA SHULE YA QURAN AMEHUKUMIWA KWENDA JELA KWA KOSA LA KUBAKA


Mkurugenzi wa " Minhajul Quran Islamic Center" nchini Uingereza amehukumia kwenda jela miezi 12 na kulipa faini ya Pound Elfu moja za Uingereza katika Mahakama iliyopo Manchester kwa kosa la kujaribu kumbaka mfanya kazi mwenzake.
Haroon Abbas ambaye ni mwanafunzi wa Pakistan Awami Trhrik (PAT) amesema Mwenyekiti Tahirul Qadri atakuwa chini ya uangalizi wa Polisi kwa miaka mitano ijayo baada ya kutoka Jela.
Gulnar ambaye alitaka kubakwa alisema kuwa Mkurugenzi wake alianza kumtomasatomasa na kujaribu kumbaka kwa nguvu wakiwa ofisini.

No comments:

Mohammad’s Myths vs. Biblical and Scientific Reality: A Scholarly Debate on Laughter, Heart, and Divine Truth

By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute Introduction In evaluating the truth-claims of any religion, the alignment between i...

TRENDING NOW