Friday, August 4, 2017

KWANINI MUHAMMAD ALISEMA WAAFRIKA WANAFANANA NA SHETANI?


KUMBE UISLAM NI DINI YA WAARABU.
Ndugu Waislamu;
Je, mnamfahamu vizuri mtume wenu? Je, huyu ni mtu mnaedai ni mtume wa mwisho na mkuu kati ya mitume wote wakati matendo yake yanasema tofauti? Soma hapa ufunguke macho....
Ishaq: 243 ''
Mtume wa Allah akasema: “Anayetaka kumwona Shetani yapaswa amtazame Nabtal.” Alikuwa mtu MWEUSI WA KUTOKA AFRIKA mwenye miraba minne aliyekuwa na nywele ndefu, macho makali na mashavu mekundu.
Sahih Muslim 5:2334
Nabii akasema, “Kiumbe chenye CHUKIZO miongoni mwa viumbe wa Allah ni mtu mmoja MWEUSI akiwemo Khwarij. Mojawapo ya vidole vyake ni kama chuchu za matiti ya mbuzi.”
Sahih Bukhari 1:11:664
Mtume akamwambia Abu-Dhar, “Msikilize na mtii mkuu, hata kama ni Mhabeshi aliye na kichwa kama zabibu.”
Ishaq: 450’’
Mtume akasema, “tuliwakusanya hapo, WATUMWA WEUSI, watu wasio na asili.”
Al-Tabari, Vol. 2, p. 11, p. 11
Mtume akaswali kwamba rangi ya maumbile ya MWAFRIKA ingebadilika ili kizazi chao kiwe watumwa wa Waarabu na Waturuki.
Ishaq: 374
Mtume wa Allah akasema, “Jeshi na WATUMWA WEUSI wa Makka wakalia na Waislamu wakasema, Allah awaangamize enyi walaghai waovu.”
Sahih Bukhari 9:87:161
Mtume akasema, “ndoto kuhusu WANAWAKE WEUSI ni ishara ya majanga.”
Ishaq:243
Mtume akasema, “Hapa yuaja kukaa nanyi MTU MWEUSI mwenye nyele ndefu, mashavu mekundu na macho mekundu kama vyungu viwili vya shaba. Moyo wake ni mkaidi kuliko wa punda.”
Ibn Musa al-Yahsubi, Qadi ‘Iyad, p.375
Ahmad ibn Abi Sulayman, mwendani wa Sahnun akasema, “yeyote atakayesema kuwa mtume alikuwa MTU MWEUSI yafaa auliwe.”
Kwa taarifa zenu enyi ndugu zangu Waislamu Waafrika, haya sio maneno yangu, maandishi na vitabu vya Kiislamu yamejaa tele kwenye mitandao ikiwemo Google kwa utafiti zaidi.
Inashangaza ni kwanini mtu kama huyu anafuatwa na watu zaidi ya 1.4 billioni duniani pamoja na kuwa mahubiri yake yalijawa machukizo kama haya. Inashangaza ni kwanini kuna vipofu wengi wa macho na akili.
Kumbe ndio maana Waafrika weusi waliopo katka nchi za Kiarabu wangali wanaishi kama watumwa na Waarabu wakiwa mabwana wao! Watu weusi wanajulikana kama ABDI yaani WATUMWA, kwa kila nchi za Kiarabu.
Mimi kamwe siwezi kumfuata huyu Marehemu Muhammad mwenye chuki kubwa na Waafrika, kiasi cha kuwaita ni sawa na Shetani.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW