Tuesday, August 22, 2017

KORAN NI SAWA NA TANGAZO LA VITA

Image may contain: one or more people and text
Dhana ya Kiislamu ya Amani, kwa maana ya kufanya ulimwengu kuwa wa Kiislamu, ni mipango ya kishetani kwa ajili ya kufanya vita na kumwaga damu. Ilikuwa si jambo la kufikirika kuwa siku moja Ugaidi wa Kishetani utaweza ingia kwenye Nchi za Kistaarabu, kwa kupitia njia ya "dini" ya amani, nikimaanisha Uislam. Maantiki ya fikra yakinifu katika Uislamu ni tofauti na ile ya Wastani wa Mtu ..., nikimaanisha, katika Uislam, kuuwa kwao ndio amani wanayo itangaza.
Mtu KAMWE hawezi kuuacha Uislamu, unajua, wale ambao waliiuacha Uislam na kujiunga na Imani zingine, wale hawakupigwa Muhuri wa kwenda Jehanamu. Maana Allah ameahidi Jehanamu kwa Waislamu wote Soma: Quran 40: 60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike. Kuukacha Uislam na kuingia kwenye hekima hilo ni kosa la kifo katika dini ya amani/Islam. Hapo ndipo panaanza kufanya mtu afikirie, Je, kweli Koran ni kitabu cha Mungu? Mbona kuna kulazimishana kwenye hii dini?
Hivyo, hii ni sehemu ya mantiki hiyo hiyo ya kuwa, Mtu ambaye anabadili dini na au shirika kama vile Al Shabaab au Uislamu ni tu kama nilivyoeleza, mtu wa namna hiyo hakupigwa Muhuru wa kwenda Jehannam na Allah, anyway. Hivyobasi, huyu mtu ni Msaliti na akikamatwa basi aelewe kuwa kifo kipo mkonini mwake, kwa kuikacha dini ha Amani/Islam.
Mwenye akili lazima ataelewa kuwa amani ya Allah na Muhammad ni vita na umwagaji damu. Hakuna jema kwenye hii dini ya Jibril zaidi ya kutangaza kifo kwa makafiri.
Shalom,

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW