Sunday, August 6, 2017

MAMA ANYANG'ANYWA WATOTO WAKE BAADA YA KUUACHA UISLAM NA KUINGIA UKRISTO


Mahakama huko UAE, Ras Al Khaimah imemnyang'anya watoto mwanamke wa Kiislam kwa kosa la kuuacha Uislam na kuingia Ukristo.
Mahakama hiyo imedai kuwa, kosa la kuuacha Uislam ni kunyongwa mpaka kufa, lakini wamemsamehe na kumpa adhabu ya kuto waona watoto wake tena katika maisha yake hapa duniani.
NUKUU KWA KIINGEREZA:
The higher court said that the mother lost the custody of her children on the basis of the fact that she changed her religion and became a non-Muslim.
“As such, the mother cannot keep her children..."
As per court records, the father filed a lawsuit against his wife at the Ras Al Khaimah Personal Status Court of First Instance….
Kwa habari kamili ingia hapa:

No comments:

Mohammad’s Myths vs. Biblical and Scientific Reality: A Scholarly Debate on Laughter, Heart, and Divine Truth

By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute Introduction In evaluating the truth-claims of any religion, the alignment between i...

TRENDING NOW