Sunday, August 6, 2017

YESU NI MUNGU MKUU WA MUHAMMAD NA ALLAH.

Image may contain: ocean, sky, cloud and text
Biblia iliyo kuja miaka zaidi ya 690 kabla ya Quran na kuzaliwa kwa Muhammad na dini yake, inasema kuwa:
Tito 2:13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;
Ukiona kiumbe mwengine anakuja baada ya hii aya na kupinga, basi huyo ni Kafiri na hafai kufuatwa.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo, Mungu Mkuu na Mwokozi wetu.

No comments:

God

  Theology 101 When we attempt to conceive what God is like, we are immediately confronted with the limitation of human imagination, for ou...

TRENDING NOW