Sunday, August 6, 2017

YESU NI MUNGU MKUU WA MUHAMMAD NA ALLAH.

Image may contain: ocean, sky, cloud and text
Biblia iliyo kuja miaka zaidi ya 690 kabla ya Quran na kuzaliwa kwa Muhammad na dini yake, inasema kuwa:
Tito 2:13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;
Ukiona kiumbe mwengine anakuja baada ya hii aya na kupinga, basi huyo ni Kafiri na hafai kufuatwa.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo, Mungu Mkuu na Mwokozi wetu.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW