Friday, June 13, 2014

How can I, a Muslim, become assured of paradise?


Answer:
“Whoever believes in the Son has eternal life, but whoever rejects the Son will not see life, for God’s wrath remains on him” (John 3:36).

Jesus said, “For what shall it profit a man, if he shall gain the whole world, and lose his own soul?” (Mark 8:36). Life on earth is short. No matter how prosperous, life is tragic if it ends in eternal separation from God.

Jesus warned that the way to heaven is hard: "Enter by the narrow gate. For the gate is wide and the way is easy that leads to destruction, and those who enter by it are many. For the gate is narrow and the way is hard that leads to life, and those who find it are few. Beware of false prophets, who come to you in sheep's clothing but inwardly are ravenous wolves” (Matthew 7:13-15).

The Bible tells us how we can enter the narrow gate and be assured of paradise.

Can good works earn me a place in heaven?
Many people think following God’s laws and doing good works will get them into heaven. Muslims, for example, strive to keep the Five Pillars. If good deeds outweigh bad deeds, people hope God will accept them. But God says in the Bible that no person can earn heaven.

“For by works of the law no human being will be justified in his sight, since through the law comes knowledge of sin. . . . for all have sinned and fall short of the glory of God” (Romans 3:20,23).

The more a person tries to obey God’s laws found in the Bible (ultimately fulfilled in perfectly loving God and neighbor—Matthew 22:34-40), the more a person sees he is a sinner. God is a just Judge with a holy wrath against sinners (Romans 2:5). He will punish sinners—regardless of good deeds done or laws kept (Ecclesiastes 12:14;James 2:10;Revelation 20:11-15). Since sin prevents our entrance to heaven, who can help us?

Can Jesus bear the wrath of God against sinners?
A substitute, taking the punishment for a sinner, must be perfect. Otherwise, that substitute must receive God’s punishment for his own sin. The only perfect One who walked on earth is Jesus (1 Peter 2:22-24).

Can keeping the Five Pillars of Islam get me to heaven?


Answer:
Because God is just, He will punish sin – regardless of how well you keep the Five Pillars.

As a Muslim, you long to reach paradise after you die. But as a sinner, how will you escape God’s judgment? You may think, “My faithfulness in keeping the Five Pillars may outweigh my sins. Hopefully, God will admit me to paradise.”

You strive to keep the Five Pillars of Islam. Five times a day you kneel toward Mecca. The creed (shahadah) often forms on your lips. You bring no bread or water to your mouth during the daylight of Ramadan. You are saving up money for the pilgrimage to Mecca and are freely giving alms to the poor.

But still you question, “Is keeping the Five Pillars enough?”

Your conscience convicts you of failing God’s standard of holiness. How could the holy God accept to paradise someone stained with even a little sin?

Only one sin caused the first man’s downfall. Adam’s sin was not a “big sin” like adultery, murder, or blasphemy. By eating the forbidden fruit, Adam brought the curse of sin and death into the world.

Shall we escape? We who have dishonored our parents, lied to our neighbors, or cheated our customers (Exodus 20)? We sin routinely by putting selfish interests ahead of loving God (Matthew 22:36-40). We proudly overlook or excuse our sins. But God does not overlook or excuse any sin. He will judge every thought, word, and deed (Ecclesiastes 12:14;Matthew 12:36;Revelation 20:12-15).

Tuesday, June 3, 2014

JE MUNGU WA WAISLAMU (ALLAH S.W) NA MUNGU WA WAKRISTO (YEHOVA) NI MMOJA?



UTANGULIZI.
Imekuwa ni kawaida sasa kwa miaka zaidi ya ishirini hivi, kusikia katika mihadhara inayoendeshwa na wahadhiri wa dini ya Uislamu, ambayo imeenea sehemu mbalimbali Duniani na haswa katika nchi za Africa Mashariki na Kati,(East and Central Africa). Wahadhiri hao hufundisha jamii kupitia Qurani na Biblia kwa kusema kuwa Mungu ni Mmoja tu. Wasema Mungu kwa Kiebrania anaitwa Yehova , kwa Kiarabu Allah, kwa Kiingereza God na kwa Kiswahili ni Mungu. Kwa hivyo wasema Mungu Allah kama Qurani inavyofundisha, ndiye Yehova kama Biblia inavyofundisha. Mihadhara hiyo inayoendeshwa na Waislamu imeenea sana, mfano Nchini Tanzania kuna vikundi vingi na kimoja wapo kinaitwa Al-Marid International Propagation Center. Hawa wameandika katika bango lao kwa kunukuu katika Biblia maneno aliyoandika Mtume Paulo katika Waefeso 4:4-6. Maneno waliyoyanukuu yanasema hivi “Bwana mmoja , Imani moja ….., Mungu mmoja , naye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote. Nilipotembelea mkoa wa Morogoro pale mjini, eneo la kiwanja cha ndege nikaona Msikiti mmoja umeandikwa maneno haya ya Waefeso 4:4-6. Na nilipotembelea mji wa Nairobi Nchini Kenya pia nikaona kuna vikundi vingi vinavyoendesha mihadhara na kikundi kimoja wapo kinaitwa Kibera Islamic Propagation Centre. Hawa nao katika bango lao wameandika ujumbe unaosema hivi “Acha Biblia Ijisemee na kunukuu injili aya hii” Yohana 8:32 Tena mtaifahamu kweli nayo hiyo kweli itawaweka huru.

Kwa hivyo utaona kuwa wahadhiri hao wa Dini ya Uislamu hufundisha jamii kwa kutumia Qurani na Biblia na kusema Allah Sub-Hana Wataala ndiye YEHOVA. Fundisho hili wanalieneza kwa kupitia Radio, Vijarida, Mihadhara, vitabu na Kanda (cassettes) za Video na Audio. Na hivyo kuwafanya baadhi ya Wakristo kuacha Imani yao na kuingia katika Dini ya Uislamu. Na baadhi ya Wakristo wengine ingawa hawajabadili dini wanaamini hivyo. Swali la muhimu la kujiuliza kwa kila mkristo, je, ni kweli Mungu Allah kama inavyotuhadithia Qurani ndiye Yehova kama Biblia inavyotufundisha? Nakusihi fuatilia somo hili kwa makini ili kujua Ukweli……

SEHEMU KUU ZA SOMO HILI NI HIZI……

1. Hoja za waislamu kusema Allah ndiye Yehova.

2. Je, jina la Mungu kadiri ya Qurani na Biblia ni moja?

3. Je, Malaika mkuu wa Allah ndiye wa Yehova?

4. Je, ni nani muumba,Allah au Yehova?

5. Mji aliochagua Allah je, ni sawa na wa Yehova?

6. Allah anavyofundisha kuhusu kujitakasa nafsi je, ni sawa na Yehova?

7. Je, mbingu ya Yehova ni sawa na ya Allah?

8. Mwisho wa wanaomwabudu Allah ni wapi?



1. Hoja za waislamu kusema Allah ndiye Yehova

Wahadhiri wa Dini ya Uislamu wanasema Mungu Allah ndiye Yehova kwa sababu Manabii wa Mungu kadiri ya Biblia na Qurani walifundisha kwa kusema Mungu ni mmoja tu. Na wanasoma aya hizi…


Nabii Musa alivyosema

Kumbukumbu la Torati 6:4

Sikiza ee Israeli; BWANA Mungu wetu BWANA ndiye mmoja.

Nabii Isaya alisema hivi

Isaya 45:18,21

Maana BWANA , aliyeumba mbingu, asema hivi, yeye ni Mungu ,ndiye aliyeumba Dunia na kuifanya ….. si mimi BWANA? Wala hapana Mungu zaidi ya mimi. Mungu mwenye haki , mwokozi hapana mwingine zaidi ya mimi.

Nabii Daudi Alisema

Zaburi 86:10

Kwa kuwa ndiwe uliye mkuu, wewe ndiwe mfanya miujiza , ndiwe Mungu peke yako.



Yesu alisema hivi

Yohana 17:3

na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliye mtuma

Paulo naye Alisema hivi

1 Wakorintho 8:4

Basi kwa habari ya kuvila vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu; twajua ya kuwa sanamu si kitu katika ulimwengu, na yakuwa hakuna Mungu ila mmoja tu.

Hapa wahadhiri wa Dini ya Uislamu wanasema Manabii wote kadiri ya Biblia wanafundisha kuwa Mungu ni mmoja tu. Je, Muhammad (s.a.w.) alifundisha nini kuhusu Mungu? Wanasoma aya hizi za Qurani……..

Qurani 41:6 Suratul Haa Mym Sajdah (Kusujudu)

Sema; bila shaka mimi ni mtu kama nyinyi. Nimeletewa Wahyi (inafunuliwa kwangu)ya kwamba Mungu wenu ni Mungu mmoja tu……

Hapa wahadhiri wanasema kama vile manabii wote walifundisha Mungu mmoja ndivyo ilivyo fundisha Muhammad.

Qurani 29:46-47 Suratul Al- Ankabuut (Buibui).

Wala mshibishane na watu waliopewa kitabu (kabla yenu) ila kwa yale (majadiliano) yaliyo mazuri, isipokuwa wale waliodhulumu miongoni mwao. Na semeni :tunaamini yaliyoteremshwa kwetu, na yaliyoteremshwa kwenu. Na mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja : nasi ni wenye kunyenyekea kwake. Na namna hivi tumekuteremshia kitabu (hiki cha Qurani) basi wale tuliowapa kitabu (kabla ya hiki kama taurati na injili) wanakiamini (hiki kitabu ulichoteremshiwa kwani hakipingani na hivyo walivyoteremshiwa). Na miongoni mwa hawa (Waarabu wasiokuwa na Kitabu chochote)wako wanaokiamini. Na hawazikatai aya zetu isipokuwa wale wanaotaka kuficha haki.



Hapa wahadhiri wa kiislamu wakisha soma aya hizi husema vitabu vya Torati na Injili havipingani na Qurani, na vitabu hivyo walipewa Wayahudi na Manasara(yaani Wakristo) na Mungu wa Waislamu na Wakristo ni mmoja tu.

Je, hoja hii ni kweli? Nitaijibu huko mbele.

Saturday, May 31, 2014

Saying “KAFFIR” is a punishable offence in South Africa

Extracts from legal and court papers below:
REPORTABLE
IN THE HIGH COURT OF SOUTH AFRICA
(EASTERN CAPE, GRAHAMSTOWN)

CASE NO: CA 165/2008
In the matter between
MIETA M RYAN Appellant

VS
RODWIN PETRUS Respondent
JUDGMENT
PICKERING J:
turn then to consider the words uttered by defendant. It will be convenient to commence with the use of the highly offensive word “kaffir”.
As far back as 1976 James JP in Ciliza v Minister of Police and Another 1976 (4) SA 243 (N), after having referred to various dictionary definitions of the word, stated at 247H:
It follows that in my opinion one of the recognised meanings which the word ‘Kaffir’ now bears in South Africa is that such a person is uncivilised, uncouth and coarse and that if one calls a person a ‘Kaffir’ this will in certain circumstances constitute an iniuria.
In that matter a white policeman had used the word in addressing the plaintiff, who was a black man. Plaintiff was awarded the sum of R150,00 as damages.
In Mbatha v Van Staden 1982 (2) SA 260 (N) the plaintiff, a black man, sued the defendant, a white man, for iniuria after the defendant had repeatedly called him a “kaffir” and assaulted him. At 262 H – 263A Didcott J stated as follows:
The tirade’s worst feature was the use of the epithet ‘kaffer’. Such alone can amount today to an actionable wrong, according to the decision of the Full Bench here in Ciliza v Minister of Police and Another 1976 (4) SA 243 (N). Everything depends, of course, on the context in which the word is uttered. Settings which make it innocuous can no doubt be imagined. Ordinarily, however, that is not the case when, in South Africa nowadays, a Black man or woman is called a ‘kaffer’ by somebody of another race. Then, as a rule, the term is a derogatory and contemptuous one. With much the same ring as the word ‘nigger’ in the United States, it disparages the Black race and the person concerned as a member of that race. It is deeply offensive to blacks. Just about everyone knows that by now. The intention to offend can therefore be taken for granted, on most occasions at any rate.
The plaintiff was awarded the sum of R2 000,00 as damages.

In S v Puluza 1983 (2) P.H. H150 (E) van Rensburg J (with whom Jennett AJ concurred) referred with approval to the Ciliza andMbatha cases, supra and added:
(W)hen a black man is called a ‘kaffir’ by somebody of another race, as a rule the term is one which is disparaging, derogatory and contemptuous and causes humiliation.
See too: S v Steenberg 1999 (1) SACR 594 (N).
In the present case neither party is a black African. It may well be that if the word is uttered pejoratively by a white person to a black person the amount of damages which would be awarded to compensate the latter for the affront would be greater than when the recipient of the insult was not a black African, because of the racial overtones involved. It is, however, not necessary to determine this issue. In the present case it is abundantly clear from the context in which the word was used that defendant intended to give offence and used the word in its injurious sense of uncivilised, uncouth and coarse. As was stated in Ciliza’s case, supra at 248H such a use of the word constitutes an unlawful aggression upon appellant’s dignity.
 ***    ****   ****
The actio injuriarum is a civil claim where a wronged party sues for monetary compensation.
Race based insults that are directed at individuals have traditionally been dealt with under this head. For example, compensation was given to a victim for derogatory use of the word ‘kaffir’ in Mbatha v Van Staden.
Racist insults can also be criminal and result in criminal penalties and a criminal record. ‘[P]rovided the required intention is proved, … calling a person a ‘kaffir’ is a violation of that person’s dignitas and constitutes the crime of crimen injuria’.
  

Sauti ya Kuzimu

Kikundi cha wanajiolojia watafiti

Katika makala haya, tutaangalia jinsi wanasayansi wa kawaida, tena ambao walikuwa hawaamini  kabisa kwamba kuna Mungu au shetani, katika utafiti wao ambao haukuwa na uhusiano wowote na masuala ya rohoni, walijikuta wanagundua mambo ambayo yaliwatia hofu hadi wengine kukimbia kazi. Waliweza kusikia waziwazi sauti za vilio vya mateso kutokea katikati ya dunia! Sauti hizo walizirekodi; na mwisho wa makala haya utaona anwani inayoweza kukupeleka kuzisikia sauti hizo za kutisha na kusikitisha mno, mno!!

Ni nani ambaye hajasikia habari za kwamba wanga huenda baharini, wakatupa mayai viza kisha malango yanafunguka nao wanashuka hadi kuzimu? Bila shaka habari hizi si ngeni masikioni mwa wengi wetu? Ni mambo ambayo ni rahisi kuaminika katika ulimwengu wa kawaida lakini unapoyaongelea kwa mtazamo wa Biblia, hapo watu wanaanza kukosa imani na kudhani kuwa si za kweli.

Makala haya yanatokana na habari ambayo iliandikwa katika gazeti la Ammennusatia la kule Finland katika toleo lake la Julai 1989.

       Sehemu ya gazeti

Kikundi kimoja cha wanajiologia (wana elimu ya miamba) wa Kirusi walikuwa katika mradi wa kutoboa tundu katika eneo la Kola, karibu na Murmansk; maili takriban 150 kaskazini mwa Duara la Aktiki, nchini Siberia. Watafiti hao waliweza kutoboa tundu ardhini lenye urefu wa kilometa 14.4 kwenda chini.

Saturday, May 17, 2014

YESU WA BIBLIA SIO ISSA WA KURUAN

YESU WA WAKRISTO SIO ISSA WA WAISLAM
****************************************************************************************
JE, ISA BIN MARYAM NI JINA SAHIHI LA YESU WA BIBLIA?
+++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
Katika somo letu hili tutajifunza kuhusu jina sahihi la Yesu/Yashua na tafsiri yake katika Kiarabu. Je, Isa ni jina la Yesu wa Biblia?
Jibu sahihi la kihistoria na la wataalam wa kutafsiri litatupa ukweli halisi wa Jina la Yesu na kwanini alipewa Jina hilo katika " sherehe ya kumtaja " (Luka 2:21). Jina ambalo aliitwa na Mama yake, Baba yake wa Kambo, Ndugu zake na jamaa wengine, majirani zake , marafiki zake na wanafunzi wake wakati wa maisha yake duniani. Hakuna kutokuelewana kuhusu ukweli kwamba jina la Yeshua halikuwa la Kiarabu bali la Kiyahudi na Yesu/Yeshua mwenyewe aliishi katika Israeli, na alizaliwa katika familia ya Wayahudi wacha Mungu.

Jina la Yesu bila ya shaka yeyote ile ni la Kiyahudi. (Maana yake ni “kweli”). Tafsir ya jina la Yeshua Kiebrania katika Kiingereza itakuwa ni Jesus. Jina la Yesu halikuchaguliwa kiholela na wazazi wake, lakini yeye alipata jina lake moja kwa moja kutoka kwa Mungu (Mathayo 1:21 , Luka 1:31) kwa sababu ya maana ya jina lake na nani alilileta, basi leo hii tunaelewa madhumuni ya Yesu kuzaliwa na kuja hapa duniani (Mathayo 1:21 ).

Katika utamaduni na jadi ya Kiarabu. Jina la Yesu ni Yasu na si Isa kama ilivyo andikwa kwenye Koran ya Kiislam. Na hata leo, jina la Yasu linatumiwa na zaidi ya 99.99% ya Wakristo wote wa Kiarabu. Tembea katika kanisa lolote la Kiarabu huto sikia wanatumia jina la Isa, Sikiliza matangazo ya Wakristo wa Kiarabu katika Radio na Televisheni (za Kiarabu) huto sikiwa Mkristo anatumia jina la Isa, bali wanatumia jina la Yasu. Matangazo yote ya Kikristo katika Uarabu wanatumia jina la Yasu. Kamwe huto ona jina la Isa kama lilivyo kwenye Koran ya Waislamu.

Katika jadi ya Kiarabu na utoaji wa tafsiri wa jina, jina sahihi la Kiebrania (Yeshua) ni Yasu katika Kiarabu. Kila uchaguzi wa tafsiri ya jina la kigeni katika lugha tofauti ni uvumbuzi wa binadamu.
Kiisimu ipo wazi jinsi jina la Yeshua Kiebrania lilivyo tafsiriwa na kuwa Yesu Kiswahili na Jesus Kiingereza:

Yeshua '(Kiebrania) -> Ιησους (Kiyunani) -> Yesu (Kilatini) -> Jesus (Kiingereza) -> Yesu (Kiswahili).

Tuesday, May 13, 2014

UKANAJI MUNGU NI NINI?

“Ukanaji Mungu wazi,” pia waitwa “theolojia wazi” na uwazi wa Mungu,” ni jaribio la kuelezea ufahamu kuhusu Mungu kulingana chuguo huru la mwanadamu. Pingamizi la ukanaji Mungu wazi hasa ni huu: wanadamu wako huru kabisa; ikiwa Mungu alijua hatima, wanadamu hakika hawangekuwa huru. Kwa hivyo, Mungu kabisa hajui kila kitu kuhusu kesho. Ukanaji Mungu wazi washikilia kuwa kesho haijulikani. Kwa hivyo Mungu anajua kila kitu ambacho kinaweza julikana, lakini hajui kesho.


Ukanaji Mungu wazi waweka imani yao katika misingi ya kurasa za maandiko ambazo zaelezea Mungu “anabadilisha mawazo yake” au “kushangaa” au “kuonekana kupata hekima” (Mwanzo 6:6; 22:12; Kutoka 32:14; Yona 3:10). Kwa mwangaza wa maandiko mengine mengi ambayo yaelezea ufahamu wa Mungu wa kesho, maandiko haya lazima yaeleweke kama Mungu anajielezea kwa njia ambazo hatuwezi kuzielewa. Mungu anajua vile hatua zetu na maamuzi yatakuwa, lakini “Anabadilisha mawazo yake” kulingana na hatua yake ikitegemea hatua yetu. Chukizo la Mungu katika unyonge wa mwanadamu haimanishi kwamba hakujua kuwa hayo yatatokea.

Kwa hitalafiano na ukanaji wa Mungu wa wazi, Zaburi 139:4,16 yasema, “Maana hamna neno ulimini mwangu usilolijua kabisa, BWANA. Macho yako yaliniona kabla sijakamilika; Chuoni mwako ziliandikwa zote pia, Siku zilizoamriwa kabla hazijawa bado.” Mungu angewezaje kutabiri mambo tatanishi katika Agano La Kale kuhusu Yesu Kristo kama hajui siku za usoni? Ni namna gani Mungu kwa njia yo yote ile anaweza kuruhusu wokovu wetu wa milele kama hajui chenye kesho imetubebea?

Mwisho, ukanaji Mungu wa wazi unaanguka kwa vile unajaribu kuelezea yenye hayawezi kuelezeka- uhusiano kati ya ufahamu wa Mungu na penzi huru la mwanadamu. Vile aina ya Kikalvinisti yakaenda kupita kiwango yalivyoanguka ya kuwa yakataa uwepo wa Mungu kila mahali na uwezo wake. Mungu lazima yaeleweke kupitia kwa imani, kwa maana “bila imani ni vigumu kumpendeza Mungu” (Waebrania 11:6a). ukanaji Mungu wa wazi kwa hivyo si wa kiroho. Ni njia nyingine ya mwanadamu aliye na hatima kujaribu kuelewa Mungu asiye na mwisho. Ukanaji Mungu wazi lazima ukataliwe na wafuasi wa Kristo. Huku ikiwa ukanaji wa Mungu wa wazi ni elezo la uhusiano kati ya ufahamu wa Mungu kabla ya uumbaji na penzi huru la mwanadamu, sio elezo la kibibilia.

Monday, May 12, 2014

USHAIDI WA BIBLIA NA KURUAN (SEHEMU YA PILI)


Ndugu wasomaji: Leo ningependa tujifunze sifa za Mungu kupitia Biblia na Kuruani kama ushaidi zaidi wa Umungu wa Yesu.

Hapa chini nitaziweka sifa na au adhama za Mungu na tutaziangalia kama hizo zote zipo kwa Yesu Kristo.

1 Mungu ni wa milele
2 Mungu ndiye muumbaji,
3 Mungu yupo mahali popote,
4 Mungu ndiye anaye samehe dhambi za watu,
5 Mungu anajuwa na kufahamu yote hata yaliyomo mioyoni mwetu,
6 Mungu ni Nuru ya Mbinguni na Duniani
7 Mungu ndiye anaye watuma Mitume na Manabibii!
8 Mungu anauwezo wa kujidhihilisha (kuonekana) na tena mngu ni wa sili (kuto onekana)

JE, YESU WA KWENYE BIBLIA ANAZO HIZO SIFA?

1 MUNGU NI WA MILELE
Quran 2:255, Sifa ya milele ni ya Mungu pekee Je Yesu hiyo sifa unayo?
Waebrania 13:8 Yesu Kristo ni yeye yule jana na leo na hata milele,
Sifa ya Umilele teyari Yesu amesha inyakuwa.

2 MUNGU NDIE MUUMBAJI
Je, hii sifa ya Uumbaji Yesu wa Biblia anayo?
Quran 5: 110. Na pale Mwenyezi Mungu atapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Kumbuka neema yangu juu yako, na juu ya mama yako, nilipo kutia nguvu kwa Roho Takatifu, ukazungumza na watu katika utoto na utuuzimani. Na nilivyo kufunza kuandika na hikima na Taurati na Injili. Na ulipo tengeneza udongo sura ya ndege, kwa idhini yangu, kisha ukapuliza ikawa ndege kwa idhini yangu; na ulipo waponesha vipofu na wakoma kwa idhini yangu; na ulipo wafufua wafu kwa idhini yangu; na nilipo kukinga na Wana wa Israili ulipo wajia na hoja zilizo wazi, na wakasema walio kufuru miongoni mwao: Haya si lolote ila ni uchawi mtupu!

Friday, May 9, 2014

KWA NINI NAKATAA KUWA MWISLAMU?

Katika ulimwengu wa leo kuna njia nyingi za kutumaini. Furaha ya milele na Mbinguni vina hubiriwa kila mahali. Hata hivyo kuna dini nyingi tofauti, filosophia na mawazo juu ya tumaini hilo (furaha ya milele) vinatofautiana. Na kila mmoja katika tofauti hizo za dini na filosophia na mawazo juu ya tumaini hilo; anaamini ya kuwa amesimama katika ukweli.
Katika Surat Maryam, Kuruan inasema kuwa (19) 71.72. Inasema, wala hapana yoyote ila mwenye kuifikia jehanamu, maana ni wajibu wa Mola wako umekwisha kuhukumiwa, nasi tutawaokoa wale wamchao na kuwaacha madharimu hali wamepiga magoti.
Kuruan inakiri kuwan kila bin-adam amekwisha hukumiwa kuingia Jehannam kwa maana huo ndio wajibu wa Allah kuwaingiza watu Jihannam. Allah anaendelea kusema kuwa, yeye atawaokoa Waislam baada kuingia Jehanam. Je, haya madai ni kweli?
Quran 40: 60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike.
Katika Surat Ghaafir inakiri kuwa Alla anaendelea kusema kuwa Waislam wote wataingia Jehannam. Mimi kama Mkristo siwezi kuipenda dini hii ambayo teyari mungu wake amesha toa hukumu ya kwenda Jehannam kwa wote wanao ufuata Uislam.
Zaidi ya hapo, katika Surat Maryam, Allah ameshindwa kutueleza ni kivipi atawatoa watu Jehannam, bali ameweka madai tu kuwa atakuja huko na kuwatoa Waislam.
Bukhari :: Kitabu 6 :: Juzuu 60 :: Hadith 371
Imeletwa kwenu na Anas:
Nabii wa Allah alisema: Watu watatupwa katika Jihannam, na Jihannam itasema. "Je, hakuna watu zaidi wa kuingia huku Jehannam?" (50.30) Mpaka Allah atakapo weka Mguu wake Jehannam, na Jihannam itasema, Inatosha, inatosha (qat! qat!)

YESU NDIE NJIA NA KWELI NA UZIMA!

Katika ulimwengu wa leo kuna njia nyingi za kutumaini. Furaha ya milele na Mbinguni vina hubiriwa kila mahali. Hata hivyo kuna dini nyingi tofauti, filosophia na mawazo juu ya tumaini hilo (furaha ya milele) vinatofautiana. Na kila mmoja katika tofauti hizo za dini na filosophia na mawazo juu ya tumaini hilo; anaamini ya kuwa amesimama katika ukweli.

Na maisha ya mwanadamu yamefikia mawazo ya hali ya juu. Wengi wetu wanapenda kuishi katika dunia hii kwa muda mrefu iwezekanavyo. Baadhi yao wanategemeo la kuishi milele katika dunia hii.

Lakini kuna njia moja tu ya kumuingiza mtu katika furaha ya kweli ya milele. Kuna ukweli mmoja tu, umfanyao mtu kuwa huru. Kuna namna moja ya maisha itakayomfikisha mtu katika uzima wa milele. Yesu Kristo Mwana wa Mungu, ndiyo “Njia, na Kweli na Uzima.” Kumbuka Yesu mwenyewe alisema, “Mimi ndimi njia na kweli na uzima; mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya Mimi,” Yoh. 14:6. 

Na Yesu Kristo ni “Njia na Kweli na Uzima.” Kwa sababu Yeye alikufa kwa ajili ya dhambi zetu. Wote wametenda dhambi kwa kuiasi Sheria ya Mungu (Rum 3:23; 1 Yoh 3:4). “Na mshahara wa dhambi ni mauti,” Rum 6:23. Hii ndiyo mauti ya pili au Jehanamu (Ufu. 21:8; Mat. 10:28). Kwa sababu ya dhambi zetu tulistahili adhabu ya milele katika Jehanamu, lakini kwa sababu ya upendo mkuu wa Mungu na rehema zake alimtoa mwanawe Yesu Kristo akafa msalabani akalipa deni letu la dhambi zetu (Yoh. 3:16-17; Rum. 5:5-10; 6:17-23).

TRENDING NOW